Uyu mzee ndo anajua maisha halisi ya mtanzania,hongera sana
@neponova89882 жыл бұрын
Always on point sir....respect
@johnbenjamini98042 жыл бұрын
Noma sana mzee nakuamini
@norascomulenzi2222 жыл бұрын
Kanda ya ziwa kuna watu wenye ufahamu mkubwa mnoo, mchango mzuri kanda ya ziwa matofali ya kuchoma ndo yanatumika pia ndo imara hata wakiulizwa engeners.
@yustinasindamwaka80722 жыл бұрын
Huenda hula vichwa vya samaki nisikia vichwa vya samaki ukila unakuwa na akili sana(nsomile)
@adrianmuwelelwa16742 жыл бұрын
mzee hao watalaam ni wasomi wa kukariri hakuna wanachojua
@mathewdamian47352 жыл бұрын
Basi hao polisi wawe wanafika shuleni mara kwa mara ili wale watoto inapofika siku ya mitihani wasiwaogope la sivyo ile siku ya mitihani wasiende kuwazingira kama majambazi fulani vile
@festovenas5022 жыл бұрын
Wewe nimwakilishi wa Wana nchi sio mlajitu hongela mungu akutunze
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Elimu ya msingi ni muhimu sana kuliko elimu za madesa na kupoteza muda ..
@user-ht6wt6kt5f5 ай бұрын
Uyu mzee mkn sana
@Skomi-0nedayyes2 жыл бұрын
Im proud of you kishimba u a the best always
@mwendapolejulius46852 жыл бұрын
Safi sana, tungekuwa na watu kama nyie nusu ya nchi tungepiga hatua kubwa sana
@pastorb.alaurent10062 жыл бұрын
Mbunge hongera sana kwa hoja zr ya Askali kwenda kusimamia mitian Kama kuna ukweli moo
@leonishiyo50522 жыл бұрын
mzee hongera Sana mwenyewe sahvi doctor ila nakumbu cku ya mtihani for 4 unasachiwa na polic Kama gaidi
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Hahahahhahahaha
@ejidemaswalikinoja56432 жыл бұрын
Jumanne Kishimba hajawahi kukosea hata kidogo kabisa maana hayo mambo ni dhahiri kabisa.. na kuhusu Dini ni kweli kabisa dini zetu za asili zianze kufundishwa pia 😂😂😂
@cbegram61612 жыл бұрын
Hapo kwenye dini naunga mkono hoja mheshimiwa
@mohamedimazige1585 Жыл бұрын
Huyu ndiye Mbunge mwenye akili zaidi kuwahi kutokea Tanzania
@maniakihengu49412 жыл бұрын
Safi Sana mbunge
@emanuelsamson-hq2jv Жыл бұрын
Kishimba musukumaa nyieeee nihataliii San mungu awabarikiii
@onyangoemanuel4061 Жыл бұрын
Nakukubali kishimba
@abdebasalsalum1309 Жыл бұрын
this man deselve more
@Skomi-0nedayyes2 жыл бұрын
Long life kishimba
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Angekuwepo magufuli ndohiyo lingekuw saw
@juliaskayanda35782 жыл бұрын
Kishimba yaani maneno yake yanamaana kubwa sana ukiyatafakali kwa umakini
@mekumeku24842 жыл бұрын
Jamaa safi sana
@yasmeenaal41912 жыл бұрын
Baba unazidi kuukonga moyo wangu
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Saw kabsa kweny matofali ukosahihi saan
@husseinnkuna4260 Жыл бұрын
Huyu mzee angepewa wizara ya viwanda angefaa sana daah.
@godlovekamuntu9732 жыл бұрын
Spendi mtu kusifiwa siku ya mazishi. Huyu Baba akitambuliwa akiwa mzima,ataongea mpaka ziada,na atasaidia uelewa wa wengi.
@ericklyatuu13012 жыл бұрын
Jamaa anaongea kweli
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Wasukuma hawana uzungu uzung
@JIWEtv64842 жыл бұрын
Uzungu wa nn
@ginamasauna8906 Жыл бұрын
Mzee mungu akupe ulinzi
@robertabely57942 жыл бұрын
Nzuri
@jamaa27602 жыл бұрын
Ajabu, Mila na desturi zetu zmepuuzwa sana, hata mia nzuri zinapuuzwa pia, Utandawazi!
@mugirejoseph54742 жыл бұрын
Safi
@fatimangoma54612 жыл бұрын
Good
@kissizanberi Жыл бұрын
Huyu jamaa anachukuliwa poa poa lakin mimi namwelewa sana ana hoja zinazo eleweka sana🚶🚶🚶🚶🚶🚶
@thabitikibonajoro12302 жыл бұрын
Sawa kabsa
@godfreyayo7831 Жыл бұрын
Kweli huyu ni Prof
@lewisjovin Жыл бұрын
Mzee Kishimba ana akili sana.
@willydugilo3258 Жыл бұрын
Hakika!!
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Aiseeeeee
@eliasnganira76612 жыл бұрын
Ni kweli
@fadhililihinda64912 жыл бұрын
Kweli usichanganye Kati ya ELIMU na AKILI. Kishimba J4 ana akili though Hana elimu
@machiyakulwa16872 жыл бұрын
Huyu mzee anahitaji kutazamwa kwa makini ni mtu anaidia nzri Sana
@samwellema56422 жыл бұрын
Mzee anaubiga mwingi sana
@amonimwaitulo93462 жыл бұрын
Mheshimiwa pongeza kwako
@jerrymfinanga3773 Жыл бұрын
HOJAAA 100%
@yassinhamza19692 жыл бұрын
Huyu mzee kichwa
@ramadhanimtetu72462 жыл бұрын
Huyu Mzee Apewe U Daktari wa Falsafa wa Heshima
@perfectmasawe58702 жыл бұрын
Hapo kwenye usimamizi wa mitihani Mzee umetoa hoja ya msingi
@brayanphilipo18512 жыл бұрын
👊🏼
@comrademlewaisavile3362 жыл бұрын
Nondo za kanda yaziwa
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Umeona kanda yaziwa walivyo naakili
@merryluzwilo28662 жыл бұрын
Mbunge kishimba ni wajimbo langu yani huwa ananivuja mbavu hata huwa nashindwa kujibu nangua kicheko hadi chaji inaisha cm inazima
@lewisjovin Жыл бұрын
Elimu si kingereza
@emmanuelcharles56132 жыл бұрын
Wakati ukifika profesa kachukuwe karatasi
@gipsonmwankobela28252 жыл бұрын
akili nyingi sana
@sirmwita33512 жыл бұрын
Nazani ile Doctor ya msukuma ungepewa wewe
@masaidelmangu65282 жыл бұрын
Yeye alipewa uprofesor na Ndugai
@Wamoyothenumberone2 жыл бұрын
Baraaa wasukuma wanajalisaana mila jaman
@victorjames37302 жыл бұрын
Huyu MTU ni ana akili haswa
@abdiabdi59292 жыл бұрын
Daah mm naangalia leo huyu ni mwamba
@osianadavid3062 Жыл бұрын
😂😂😂
@immaculatejohn99062 жыл бұрын
Hahahah kishimba bwana
@emanuelmsechu90022 жыл бұрын
huyu ndo anastahili kuwa rais
@jumaabdalah18362 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@salimrashid8092 жыл бұрын
We inglikuw sio polisi unglikuwa hpo? We haujielew mzee
@isikesamike2 жыл бұрын
Huwezi kujilinganisha na mzee Kishimba hata kwa chochote. Humjui wala nini, nyamaza kabisa. Akili yako ni ya kulia ubwabwa tu.
@lucasseleli22032 жыл бұрын
Hujitambui
@JIWEtv64842 жыл бұрын
Kwani police ndio anafanya mtihan
@juenimusimu63592 жыл бұрын
Wewe ndo ujielewi, hao polic walikusaidia nini wewe kwenye mitihani wakati unajifunza kuandika huko mapolini kwenu?