Watu Walinielewa Vibaya Kuhusu Mtume Mwamposa Richard Hananja

  Рет қаралды 114,254

Chomoza Tv

Chomoza Tv

3 жыл бұрын

Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
Facebook : / gospeltvshow
Instagram : / chomozanews
KZbin : kzbin.info?su...
#ChomozaTv#2021

Пікірлер: 114
@francispeter6848
@francispeter6848 Жыл бұрын
Una Mungu mkubwa Sana Ndani yako mzee barikiwa Mno
@jacksonjosephkungunde6337
@jacksonjosephkungunde6337 3 жыл бұрын
Nakushukuru mtumishi wa Mungu umenifundisha kitu hapo kwenye Sala ya Bwana na ya kwamba tupo kwa ajili ya wengine, Mungu akubariki sana na kukupa maisha marefu yenye baraka mafanikio na amani tele.
@uwezoseleman5530
@uwezoseleman5530 3 жыл бұрын
Nimekupenda bure mchungaji, unavyowatendea mema wasioweza kukulipa unamkopesha Mungu
@geofreyjulius377
@geofreyjulius377 2 жыл бұрын
Hakuna kitu kizuri sana duniani kama ufahamu,huyu mtumishi amejikita kwenye ufahamu mimi napenda vipindi kama hivi kwakweli. vinaponya watu wengi sana.
@simonmzazi8046
@simonmzazi8046 3 жыл бұрын
Aise huyu mchungaji amenibariki sana... Nimejifunza na kucheka sana😂😂😂😂😂😂aaaiiiy.... Jamaa sheedah sana
@alphashila6957
@alphashila6957 3 жыл бұрын
Kitu kigumu duniani ni kukubali udhaifu wa wenzetu..ni kigumu sana,na Biblia inaelekeza sio tu kuchukuliana nao lkn kuwapenda na kuwasaidia wasio na nguvu!!Mungu atusaidie..Asante Sana Mchungaji Hananja
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
Yesu kasema siombei ulimwengu nawaombea Hawa ulionipa, Tena imeandikwa watu wawili hawaendi pamoja wasipopatana Amos 3:3 kuhusu kuchukuliana ni wale wa njia moja Imani moja Roho mmoja ubatizo mmoja sio aliebatizwa na asie batizwa ati kisa anaitwa mKristo anaimba Kama sisi anahubiri na kukemea pepo au kutoa pepo Kama sisi jmn kunatofauti Kati ya wakristo na wale wasiobatizwa hujiinua nakusema wao ndio halisi japo ishara na miujiza hazifuatani nao , na usipoijua miujiza ya Mungu hutoijua ya shetani
@ciciandjojo7701
@ciciandjojo7701 3 жыл бұрын
Wewe mia unagomga kabisaaaa tena na ishirini juu miaka ya biblia. Sio kwa kujifurahia huku ufeje mapema kwa mfano mchungaji. Huko vizuri spiritually and mentality. Mungu akutunze sana kiukweli vijana wanakuhitaji sana🤲🙏 kweli unajicho la ndani sana. Hawa watu wanahitsji zaidi msaada kuliko maeneo mengine
@revinalibenanga2235
@revinalibenanga2235 3 жыл бұрын
😂😂😂😂 Waliosikia mwanamke ni mratibu wa safari ya maisha gonga like hapa
@sophiamathu415
@sophiamathu415 Жыл бұрын
Ndio
@InnocentLeonard-gy1mn
@InnocentLeonard-gy1mn 3 ай бұрын
Sio wote sasa😅
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 3 жыл бұрын
Hiyo ni huduma sahihi ya kitume kwa waliobezwa. ubarikiwe mchungaji.
@neemasalema1546
@neemasalema1546 3 жыл бұрын
Ameen kweli kabisa watu wamekalia ugomvi tu kugombanisha ishu ni moja tu kumjua Yesu
@anethjoseph3865
@anethjoseph3865 3 жыл бұрын
Mungu akubariki saana Mchungaji
@labnalast7551
@labnalast7551 3 жыл бұрын
Asante sana pastor,Kwa Neno zuri na kujitoa Kwa vijana mwenyezi mungu akupe Maisha marefu
@eliayunga7766
@eliayunga7766 3 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji upo sahihi Yaani mchungaji Hananja ana maneno yenye hekima sana na Mungu aendelee kumtumia apendavyo
@chelangwamsangi2064
@chelangwamsangi2064 3 жыл бұрын
" MTAZAMO " MTAZAMO "MTAZAMO" kitu mtazamo kinatutesa sana tulio wengi hasante sana PASTOR HANANJA mimi binafsi nimekuelewa
@beatricebarcos2626
@beatricebarcos2626 3 жыл бұрын
Haleluya nimefurahi nimefarijika saaana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante Mchunjaji
@rehemakaijage1364
@rehemakaijage1364 3 жыл бұрын
MUNGU NI MUNGU wa wote kwenye mwili. Asante kuwajali watu walioktaliwa na jamii.
@fedrickwilliam1721
@fedrickwilliam1721 3 жыл бұрын
Mhubiri 12:7 Nawe vumbi utarudia udongoni ulimotolewa na roho yako itamrudia Mungu aliyeiumba.
@jaribmkonje2710
@jaribmkonje2710 4 ай бұрын
Upovizuri saana nyanyua vijana
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Nimepata elimu tofauti hapa a see Du
@fatmakizimba744
@fatmakizimba744 3 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa mno
@evakiwia1052
@evakiwia1052 3 жыл бұрын
Kwa kweli nimepata ufahamu mkubwa,Mungu ibariki Chomoza Mungu mbariki mtumishi wako
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni asimame na wewe na akulinde siku zote za maisha yako
@ciciandjojo7701
@ciciandjojo7701 3 жыл бұрын
Kwakweli! Ukimpenda mwenye tatizo akajua umemthamini. Anapona kabisaaaa. Upendo ni dawa maishani🤲
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
Wafanye upendo Basi tuone watu wakiacha magongo kanisani na kurudi wakitembea sawasawa
@marymichael8197
@marymichael8197 3 жыл бұрын
Uko vizuri mtumishi. Hekima uliyonayo inafaa kwetu pia.
@iyanromy6735
@iyanromy6735 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana natamani niendelee kupata mafundisho yake
@rosenyato8729
@rosenyato8729 3 жыл бұрын
Mchungaji tunakumiss sana morning glory. Msalimie mama Mchungaji Roouuuse usimuite Kama afande 🤣🤣🤣
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
Zaburi 69: 6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. *TUKAE KATIKA HALI YA KUMNGOJA BWANA!! AIBU, FEDHEHA NA UOVU WOTE UONDOKANE NASI SASA!! TUMWONE MUNGU KWA USHINDI WA KISHINDO!! KWAKE YEYE NI HESHIMA, UTUKUFU, ENZI, NGUVU, UWEZA NA MAMLAKA, HALELUYA!!!*
@jimmyjohn8184
@jimmyjohn8184 2 жыл бұрын
Usingizi wa kodi unawahi kuisha
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 3 жыл бұрын
Mungu akubariki saana muundaji na mchungaji Hiki ni chakula cha watu wazima
@sophiamathu415
@sophiamathu415 Жыл бұрын
Uko sawa mtumishi
@noelkiwoo2100
@noelkiwoo2100 2 жыл бұрын
Mungu akubariki aendelee kukupa moyo huohuo
@christophermsekena616
@christophermsekena616 3 жыл бұрын
Like kwa mimi mtazamaji wa kwanza, Hananja ana madini sana
@dickensimlwafu3106
@dickensimlwafu3106 3 жыл бұрын
kaka naona upo
@dorithysempindu4501
@dorithysempindu4501 3 жыл бұрын
Aamen Baba. Songa mbele Mungu aibariki huduma yako waponywe mwili na roho
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 3 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri ubarikiwe
@rehemakaijage1364
@rehemakaijage1364 3 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu, na kukuwezesha zaidi. Endelea kuwa myenyenyekevu, UTAFIKA MBALI SANA. Nakuombea.
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 3 жыл бұрын
Amin
@HabakukiMajogoro-uf1cy
@HabakukiMajogoro-uf1cy 8 ай бұрын
Mchungaji hananja nakukubali
@kazungubinti
@kazungubinti 7 ай бұрын
Be blessed pastor 🙏🙏🙏🙏
@frankyunia1809
@frankyunia1809 3 жыл бұрын
BARIKIWA BABA
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 жыл бұрын
Amina, nabarikiwa na elimu unayotoa
@deogratiasrugaba9271
@deogratiasrugaba9271 3 жыл бұрын
👍👏🙏 Live long pastor, your eyes oppener. I appreciate your knowledge, experience and understanding, you deserve a 21st century Pastor life... for the marginalised and underprivileged big up for to day msg.
@charlesmalekelah8925
@charlesmalekelah8925 3 жыл бұрын
Mchungaji upo vizuri,mtangazaji maswali yako mepesi sana,akili kubwa kama hizi fahamu haina ya maswali ya kuuliza.
@ramadhanirashidkigoto8445
@ramadhanirashidkigoto8445 3 жыл бұрын
Kazi nzuri,Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu unafanya kazi nzuri
@andreasdismas
@andreasdismas 3 жыл бұрын
Mzee kweli anamadini kinoma mpaka anakera sema namuelewa sana huyu pastor
@adamjutto5849
@adamjutto5849 3 жыл бұрын
Mi muislamu,lkn huyu jamaa mnamuona anafurahisha lkn ni mtu ana ufahamu mkali sana ktk kuongea na anaongea point,nimejifunza kitu kwake
@mkingasana400
@mkingasana400 3 жыл бұрын
Kweli
@milkagaula8289
@milkagaula8289 2 жыл бұрын
NIMEELIMIKA SANA,MUNGU AKUBARIKI MCHUNGAJI
@biccochunga7771
@biccochunga7771 3 жыл бұрын
Nakuelewa Sana my lovely pastor hata Mimi huwa nakuwa na maswali mengi yasiyo kuwa na majibu
@ghulamjuma2883
@ghulamjuma2883 3 жыл бұрын
Hakuna Mtume bwana mnadanganya sana
@meshackmgogosi5292
@meshackmgogosi5292 2 жыл бұрын
Hivi wengine mna nini au yaani hakuna mitume Kwa hiyo wewe unaakili kuliko Mungu alosema kuna mitume, waalimu, wainjilisti,Wachungaji,manabii,kwa nini wachungaji wawepo alafu mitume wasiwepo someni neno acheni ushabiki huu sio mpira
@malaikakimaro4954
@malaikakimaro4954 3 жыл бұрын
Mimi nimebarikiwa sanaaaaa
@abigailphillip3688
@abigailphillip3688 3 жыл бұрын
Amen baba Mchungaji, barikiwa sana
@donudonu2.r
@donudonu2.r Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Paster. Mungu akuzidishie siku za kuishi. Nimejifunza kitu.
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 3 жыл бұрын
Kazi njema kabisa
@maulidichanyoya1918
@maulidichanyoya1918 2 жыл бұрын
mchungaji uko vizuri sana Taifa ungelisaidia sana kama utagombea
@upendomollelu7260
@upendomollelu7260 Жыл бұрын
Mchungaji kwa maandiko TU nakurespect barikiwa sana!
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu azidi kununua kazi yako ni njema sana pastor ❤❤❤
@sarahmarco9912
@sarahmarco9912 2 жыл бұрын
Asante sana mch nebarikiwa sana na huduma yako
@sadockalfred1710
@sadockalfred1710 3 жыл бұрын
Aise jaman huyu mchungaji yuko wapi nataka nikasali kanisani kwake nisikilize hizo nondo
@johnsonjacob6105
@johnsonjacob6105 2 жыл бұрын
Niliwai kumuona Moshi akifungisha ndoa mbokom
@malyaterry9308
@malyaterry9308 3 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa ujumbe mzuri.
@athanaskitime1484
@athanaskitime1484 3 жыл бұрын
Ungempa air time ya kutosha
@jonathanjocksonmushi9518
@jonathanjocksonmushi9518 3 жыл бұрын
Amina mch hahaha nmefurahia gar ya mkaa
@abuumwichumu5520
@abuumwichumu5520 3 жыл бұрын
Daaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukinunua toa risiti uyo ni dada powa wakishua 😂😂😂😂😂
@januarynicholas8088
@januarynicholas8088 Жыл бұрын
Mungu akulinde akupe nguvu mtumishi tnakupenda
@emmanuelimwingira429
@emmanuelimwingira429 3 жыл бұрын
Mungu akubariki
@newgeneration9524
@newgeneration9524 3 жыл бұрын
Duuh aisee huyu pastor nimempenda
@gracedonald8794
@gracedonald8794 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@allyally3054
@allyally3054 2 жыл бұрын
Hahaha dah mzee mungu akuweke
@josephurupia4653
@josephurupia4653 3 жыл бұрын
Haka kawimbo mwishoni kanaitwaje mwenyekujua tafadhal 😔
@vm_rr
@vm_rr 2 жыл бұрын
Still here.
@sundayndabaga9837
@sundayndabaga9837 2 жыл бұрын
nimejifunza ving sana Pastor ....Mungu akubariki weka namba tutoe sadaka kidogo kwa ajil ya Foundation
@julietknight6270
@julietknight6270 3 жыл бұрын
Very wise!
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏Mungu akubariki
@alessandrotodeschini5250
@alessandrotodeschini5250 2 жыл бұрын
Mchungaji hongera sana
@deusoden3614
@deusoden3614 3 жыл бұрын
Hallelujah!! I respect my Dad🙏
@thomaskibwana9228
@thomaskibwana9228 2 жыл бұрын
Deeep. Be blessed.
@arthurisacksuka5369
@arthurisacksuka5369 3 жыл бұрын
Tupo kwa ajili ya wengine
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 2 жыл бұрын
Jama na mwelewa sanaaa
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
PENYE MZOGA NDIPO WAKUSANYIKAPO TAI, alisema YESU neno hilo ukiona watu wanajaa kwa Mwamposa msikilize Mwamposa anaongea habari zake au za YESU?ukijaliwa Neema ya Mungu utajua Lile Neno UFALME WAKO UJE limetimia pale hata watu wanafunguliwa matatizo yao
@azaransari7307
@azaransari7307 3 жыл бұрын
Wanateseka sana na Mwamposa watu wanataka majibu ya changamoto zao, Na wanataka kumwuona Mungu anayetenda sawasawa na Neno lake.
@frankjohn8706
@frankjohn8706 3 жыл бұрын
@@azaransari7307 utamu wa ngoma ingia ucheze,imeandikwa Wana macho hawaoni,Wana masikio hawasikii ivi watu wanatakaje kumuona Mungu zaidi ya kwenda kanisani na magongo na kurudi unayaacha huko unatembea kwa miguu yako ,kwenda mgonjwa unarudi mzima , Nani awezae kumponya mtu Kama sie YESU wa uzima, je atakuepo YESU kwenye kusanyiko lake alafu asifungue mtu? Lah hasha Kama watu watakuwa wajinga Basi ujinga huu ni mzuri wa kupata uzima kwa mwenye uzima YESU
@adoniaceisaya700
@adoniaceisaya700 3 жыл бұрын
Mchungaji umeniacha hoi!!!
@nicolausmasaki5699
@nicolausmasaki5699 2 жыл бұрын
Amina mchungaji
@BayLatmoz1
@BayLatmoz1 Жыл бұрын
Chuki ya nini?? asanteeeeeee mlezi
@madatapeter2218
@madatapeter2218 3 жыл бұрын
Nimepta chakula Cha akili Sana asant
@kapelotz9967
@kapelotz9967 Жыл бұрын
Salutiiiiiiiii
@khadracilmi8929
@khadracilmi8929 3 жыл бұрын
I really fancy you bwana mwamposa
@AnomieKashindi-to9ep
@AnomieKashindi-to9ep 9 ай бұрын
Amen
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Hahaa asee amesema kweli
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 2 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana
@noahemanuel7015
@noahemanuel7015 3 жыл бұрын
Yaan wachungaji wote na manabii wangekua na akili Kama ya huyu jamaa tungekuwa tunalala kanisani tukiwajibika ipasavyo. Ila wengine Hawa tumepigwa
@oscarmario466
@oscarmario466 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa aisee
@kelvinmbelekwa1219
@kelvinmbelekwa1219 2 жыл бұрын
wow...
@adelmine3439
@adelmine3439 3 жыл бұрын
huyu anachekesha sana mambo ya MUNGUmlmm
@mkingasana400
@mkingasana400 3 жыл бұрын
Kindly help huyu mchungaji Ni mwalimu wangu nilipotezana nae muda mrefu nawezaje kupata namba yake?
@yosialutufyo3019
@yosialutufyo3019 3 жыл бұрын
Kweli kanisa limekomaa na miradi siku hizi kitu ambacho sio jukumu lake naunga mkono hoja ya vitegahuduma na sio vitegauchumi
@siacollins8553
@siacollins8553 3 жыл бұрын
Mchungaji Yuko vizur, nimempenda Sana,anachekesha na anafutahisha
@enerstmusa5398
@enerstmusa5398 3 жыл бұрын
Haleluya nimefurahi nimefarijika saaana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante Mchunjaji from zambia
@biccochunga7771
@biccochunga7771 3 жыл бұрын
Nimejifunza baba
@adelinacharles3887
@adelinacharles3887 3 жыл бұрын
💟
@pesambilimlamba6914
@pesambilimlamba6914 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️
@meshackmgogosi5292
@meshackmgogosi5292 2 жыл бұрын
Namba yake jamani
@tingbatuuka7278
@tingbatuuka7278 2 жыл бұрын
Nimemuota mwenye nyumba 🤣🤣🤣🤣
@endeshyamat6773
@endeshyamat6773 3 жыл бұрын
Hahahaaha
@julietknight6270
@julietknight6270 3 жыл бұрын
Very wise!
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Amen
@deusoden3614
@deusoden3614 3 жыл бұрын
Hallelujah!! I respect my Dad🙏
@arodiaisdory4804
@arodiaisdory4804 2 жыл бұрын
Amen
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 49 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 156 МЛН
Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa
41:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 54 М.
NAPENDA KUTUKANWA-MCHUNGAJI HANANJA AIBUKA VIFUNGU VYA BIBLIA KISA......
16:11
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 254 М.
红尘为救闺蜜使出了浑身解数
0:39
侠客红尘
Рет қаралды 19 МЛН
БАЧОК ПОТИК
0:22
KINO KAIF
Рет қаралды 2,9 МЛН
Зачем она так поступила с ним??😨
0:26
BitesFrome
Рет қаралды 1,8 МЛН
Папа помог Дочке 🥹❤️ #shorts #фильмы
0:30
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 1,6 МЛН