Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZbin : kzbin.info?su... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 114
@francispeter6848 Жыл бұрын
Una Mungu mkubwa Sana Ndani yako mzee barikiwa Mno
@jacksonjosephkungunde63373 жыл бұрын
Nakushukuru mtumishi wa Mungu umenifundisha kitu hapo kwenye Sala ya Bwana na ya kwamba tupo kwa ajili ya wengine, Mungu akubariki sana na kukupa maisha marefu yenye baraka mafanikio na amani tele.
@uwezoseleman55303 жыл бұрын
Nimekupenda bure mchungaji, unavyowatendea mema wasioweza kukulipa unamkopesha Mungu
@geofreyjulius3772 жыл бұрын
Hakuna kitu kizuri sana duniani kama ufahamu,huyu mtumishi amejikita kwenye ufahamu mimi napenda vipindi kama hivi kwakweli. vinaponya watu wengi sana.
@simonmzazi80463 жыл бұрын
Aise huyu mchungaji amenibariki sana... Nimejifunza na kucheka sana😂😂😂😂😂😂aaaiiiy.... Jamaa sheedah sana
@alphashila69573 жыл бұрын
Kitu kigumu duniani ni kukubali udhaifu wa wenzetu..ni kigumu sana,na Biblia inaelekeza sio tu kuchukuliana nao lkn kuwapenda na kuwasaidia wasio na nguvu!!Mungu atusaidie..Asante Sana Mchungaji Hananja
@frankjohn87063 жыл бұрын
Yesu kasema siombei ulimwengu nawaombea Hawa ulionipa, Tena imeandikwa watu wawili hawaendi pamoja wasipopatana Amos 3:3 kuhusu kuchukuliana ni wale wa njia moja Imani moja Roho mmoja ubatizo mmoja sio aliebatizwa na asie batizwa ati kisa anaitwa mKristo anaimba Kama sisi anahubiri na kukemea pepo au kutoa pepo Kama sisi jmn kunatofauti Kati ya wakristo na wale wasiobatizwa hujiinua nakusema wao ndio halisi japo ishara na miujiza hazifuatani nao , na usipoijua miujiza ya Mungu hutoijua ya shetani
@ciciandjojo77013 жыл бұрын
Wewe mia unagomga kabisaaaa tena na ishirini juu miaka ya biblia. Sio kwa kujifurahia huku ufeje mapema kwa mfano mchungaji. Huko vizuri spiritually and mentality. Mungu akutunze sana kiukweli vijana wanakuhitaji sana🤲🙏 kweli unajicho la ndani sana. Hawa watu wanahitsji zaidi msaada kuliko maeneo mengine
@revinalibenanga22353 жыл бұрын
😂😂😂😂 Waliosikia mwanamke ni mratibu wa safari ya maisha gonga like hapa
@sophiamathu415 Жыл бұрын
Ndio
@InnocentLeonard-gy1mn3 ай бұрын
Sio wote sasa😅
@BM_Smart2-63 жыл бұрын
Hiyo ni huduma sahihi ya kitume kwa waliobezwa. ubarikiwe mchungaji.
@neemasalema15463 жыл бұрын
Ameen kweli kabisa watu wamekalia ugomvi tu kugombanisha ishu ni moja tu kumjua Yesu
@anethjoseph38653 жыл бұрын
Mungu akubariki saana Mchungaji
@labnalast75513 жыл бұрын
Asante sana pastor,Kwa Neno zuri na kujitoa Kwa vijana mwenyezi mungu akupe Maisha marefu
@eliayunga77663 жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji upo sahihi Yaani mchungaji Hananja ana maneno yenye hekima sana na Mungu aendelee kumtumia apendavyo
@chelangwamsangi20643 жыл бұрын
" MTAZAMO " MTAZAMO "MTAZAMO" kitu mtazamo kinatutesa sana tulio wengi hasante sana PASTOR HANANJA mimi binafsi nimekuelewa
MUNGU NI MUNGU wa wote kwenye mwili. Asante kuwajali watu walioktaliwa na jamii.
@fedrickwilliam17213 жыл бұрын
Mhubiri 12:7 Nawe vumbi utarudia udongoni ulimotolewa na roho yako itamrudia Mungu aliyeiumba.
@jaribmkonje27104 ай бұрын
Upovizuri saana nyanyua vijana
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Nimepata elimu tofauti hapa a see Du
@fatmakizimba7443 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Nimebarikiwa mno
@evakiwia10523 жыл бұрын
Kwa kweli nimepata ufahamu mkubwa,Mungu ibariki Chomoza Mungu mbariki mtumishi wako
@tingbatuuka72782 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni asimame na wewe na akulinde siku zote za maisha yako
@ciciandjojo77013 жыл бұрын
Kwakweli! Ukimpenda mwenye tatizo akajua umemthamini. Anapona kabisaaaa. Upendo ni dawa maishani🤲
@frankjohn87063 жыл бұрын
Wafanye upendo Basi tuone watu wakiacha magongo kanisani na kurudi wakitembea sawasawa
@marymichael81973 жыл бұрын
Uko vizuri mtumishi. Hekima uliyonayo inafaa kwetu pia.
@iyanromy67352 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana natamani niendelee kupata mafundisho yake
@rosenyato87293 жыл бұрын
Mchungaji tunakumiss sana morning glory. Msalimie mama Mchungaji Roouuuse usimuite Kama afande 🤣🤣🤣
@soberkaleya51482 жыл бұрын
Zaburi 69: 6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. *TUKAE KATIKA HALI YA KUMNGOJA BWANA!! AIBU, FEDHEHA NA UOVU WOTE UONDOKANE NASI SASA!! TUMWONE MUNGU KWA USHINDI WA KISHINDO!! KWAKE YEYE NI HESHIMA, UTUKUFU, ENZI, NGUVU, UWEZA NA MAMLAKA, HALELUYA!!!*
@jimmyjohn81842 жыл бұрын
Usingizi wa kodi unawahi kuisha
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
Mungu akubariki saana muundaji na mchungaji Hiki ni chakula cha watu wazima
@sophiamathu415 Жыл бұрын
Uko sawa mtumishi
@noelkiwoo21002 жыл бұрын
Mungu akubariki aendelee kukupa moyo huohuo
@christophermsekena6163 жыл бұрын
Like kwa mimi mtazamaji wa kwanza, Hananja ana madini sana
@dickensimlwafu31063 жыл бұрын
kaka naona upo
@dorithysempindu45013 жыл бұрын
Aamen Baba. Songa mbele Mungu aibariki huduma yako waponywe mwili na roho
@verynicemonyo86713 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri ubarikiwe
@rehemakaijage13643 жыл бұрын
MUNGU akutie nguvu, na kukuwezesha zaidi. Endelea kuwa myenyenyekevu, UTAFIKA MBALI SANA. Nakuombea.
@khadracilmi89293 жыл бұрын
Amin
@HabakukiMajogoro-uf1cy8 ай бұрын
Mchungaji hananja nakukubali
@kazungubinti7 ай бұрын
Be blessed pastor 🙏🙏🙏🙏
@frankyunia18093 жыл бұрын
BARIKIWA BABA
@bonifacebeatrice80773 жыл бұрын
Amina, nabarikiwa na elimu unayotoa
@deogratiasrugaba92713 жыл бұрын
👍👏🙏 Live long pastor, your eyes oppener. I appreciate your knowledge, experience and understanding, you deserve a 21st century Pastor life... for the marginalised and underprivileged big up for to day msg.
@charlesmalekelah89253 жыл бұрын
Mchungaji upo vizuri,mtangazaji maswali yako mepesi sana,akili kubwa kama hizi fahamu haina ya maswali ya kuuliza.
@ramadhanirashidkigoto84453 жыл бұрын
Kazi nzuri,Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu unafanya kazi nzuri
@andreasdismas3 жыл бұрын
Mzee kweli anamadini kinoma mpaka anakera sema namuelewa sana huyu pastor
@adamjutto58493 жыл бұрын
Mi muislamu,lkn huyu jamaa mnamuona anafurahisha lkn ni mtu ana ufahamu mkali sana ktk kuongea na anaongea point,nimejifunza kitu kwake
@mkingasana4003 жыл бұрын
Kweli
@milkagaula82892 жыл бұрын
NIMEELIMIKA SANA,MUNGU AKUBARIKI MCHUNGAJI
@biccochunga77713 жыл бұрын
Nakuelewa Sana my lovely pastor hata Mimi huwa nakuwa na maswali mengi yasiyo kuwa na majibu
@ghulamjuma28833 жыл бұрын
Hakuna Mtume bwana mnadanganya sana
@meshackmgogosi52922 жыл бұрын
Hivi wengine mna nini au yaani hakuna mitume Kwa hiyo wewe unaakili kuliko Mungu alosema kuna mitume, waalimu, wainjilisti,Wachungaji,manabii,kwa nini wachungaji wawepo alafu mitume wasiwepo someni neno acheni ushabiki huu sio mpira
@malaikakimaro49543 жыл бұрын
Mimi nimebarikiwa sanaaaaa
@abigailphillip36883 жыл бұрын
Amen baba Mchungaji, barikiwa sana
@donudonu2.r Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Paster. Mungu akuzidishie siku za kuishi. Nimejifunza kitu.
@khadracilmi89293 жыл бұрын
Kazi njema kabisa
@maulidichanyoya19182 жыл бұрын
mchungaji uko vizuri sana Taifa ungelisaidia sana kama utagombea
@upendomollelu7260 Жыл бұрын
Mchungaji kwa maandiko TU nakurespect barikiwa sana!
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi, Mungu azidi kununua kazi yako ni njema sana pastor ❤❤❤
@sarahmarco99122 жыл бұрын
Asante sana mch nebarikiwa sana na huduma yako
@sadockalfred17103 жыл бұрын
Aise jaman huyu mchungaji yuko wapi nataka nikasali kanisani kwake nisikilize hizo nondo
@johnsonjacob61052 жыл бұрын
Niliwai kumuona Moshi akifungisha ndoa mbokom
@malyaterry93083 жыл бұрын
Asante Mtumishi kwa ujumbe mzuri.
@athanaskitime14843 жыл бұрын
Ungempa air time ya kutosha
@jonathanjocksonmushi95183 жыл бұрын
Amina mch hahaha nmefurahia gar ya mkaa
@abuumwichumu55203 жыл бұрын
Daaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukinunua toa risiti uyo ni dada powa wakishua 😂😂😂😂😂
nimejifunza ving sana Pastor ....Mungu akubariki weka namba tutoe sadaka kidogo kwa ajil ya Foundation
@julietknight62703 жыл бұрын
Very wise!
@yolandaliyoya18393 жыл бұрын
🙏🙏🙏Mungu akubariki
@alessandrotodeschini52502 жыл бұрын
Mchungaji hongera sana
@deusoden36143 жыл бұрын
Hallelujah!! I respect my Dad🙏
@thomaskibwana92282 жыл бұрын
Deeep. Be blessed.
@arthurisacksuka53693 жыл бұрын
Tupo kwa ajili ya wengine
@ziyandamhlana87762 жыл бұрын
Jama na mwelewa sanaaa
@frankjohn87063 жыл бұрын
PENYE MZOGA NDIPO WAKUSANYIKAPO TAI, alisema YESU neno hilo ukiona watu wanajaa kwa Mwamposa msikilize Mwamposa anaongea habari zake au za YESU?ukijaliwa Neema ya Mungu utajua Lile Neno UFALME WAKO UJE limetimia pale hata watu wanafunguliwa matatizo yao
@azaransari73073 жыл бұрын
Wanateseka sana na Mwamposa watu wanataka majibu ya changamoto zao, Na wanataka kumwuona Mungu anayetenda sawasawa na Neno lake.
@frankjohn87063 жыл бұрын
@@azaransari7307 utamu wa ngoma ingia ucheze,imeandikwa Wana macho hawaoni,Wana masikio hawasikii ivi watu wanatakaje kumuona Mungu zaidi ya kwenda kanisani na magongo na kurudi unayaacha huko unatembea kwa miguu yako ,kwenda mgonjwa unarudi mzima , Nani awezae kumponya mtu Kama sie YESU wa uzima, je atakuepo YESU kwenye kusanyiko lake alafu asifungue mtu? Lah hasha Kama watu watakuwa wajinga Basi ujinga huu ni mzuri wa kupata uzima kwa mwenye uzima YESU
@adoniaceisaya7003 жыл бұрын
Mchungaji umeniacha hoi!!!
@nicolausmasaki56992 жыл бұрын
Amina mchungaji
@BayLatmoz1 Жыл бұрын
Chuki ya nini?? asanteeeeeee mlezi
@madatapeter22183 жыл бұрын
Nimepta chakula Cha akili Sana asant
@kapelotz9967 Жыл бұрын
Salutiiiiiiiii
@khadracilmi89293 жыл бұрын
I really fancy you bwana mwamposa
@AnomieKashindi-to9ep9 ай бұрын
Amen
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Hahaa asee amesema kweli
@LyonWalker_2 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana
@noahemanuel70153 жыл бұрын
Yaan wachungaji wote na manabii wangekua na akili Kama ya huyu jamaa tungekuwa tunalala kanisani tukiwajibika ipasavyo. Ila wengine Hawa tumepigwa
@oscarmario4662 жыл бұрын
Ni kweli kabisa aisee
@kelvinmbelekwa12192 жыл бұрын
wow...
@adelmine34393 жыл бұрын
huyu anachekesha sana mambo ya MUNGUmlmm
@mkingasana4003 жыл бұрын
Kindly help huyu mchungaji Ni mwalimu wangu nilipotezana nae muda mrefu nawezaje kupata namba yake?
@yosialutufyo30193 жыл бұрын
Kweli kanisa limekomaa na miradi siku hizi kitu ambacho sio jukumu lake naunga mkono hoja ya vitegahuduma na sio vitegauchumi
@siacollins85533 жыл бұрын
Mchungaji Yuko vizur, nimempenda Sana,anachekesha na anafutahisha
@enerstmusa53983 жыл бұрын
Haleluya nimefurahi nimefarijika saaana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻Asante Mchunjaji from zambia