Tunapoteza mda kwa kutotumia vizuri elim hii , so my be iko hatujui , lakini kama haipo , soon itengenezeni kwa faida ya taifa na vizazi , ili tuwaze kwa reason sio holela , daa big up thabit kuna kitu apo , mtaala shiken huyo MTU kabla hajatoroshwaaaa,,,, .....
@tubonekasaba56153 ай бұрын
Tunashukuru sana Thabit kwa elimu unayoitoa.
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Bro Gangana umetisha sana kukuona tena Mr Thibiti ofisini kwako
@albertmallya41923 ай бұрын
Vipindi vyenu navifuatilia sana, na nikiri nimejifunza mambo mengi sana kwako gangana kupitia thabit.
@aloycemwambwiga23183 ай бұрын
Mijadala kama hii inahamasisha hata kufuatilia media, inafunza, inatafakarisha na inapanua wigo wa fikra....
@Pedeshee013 ай бұрын
Vyote hivi ni vichwa ambavyo kwa nchi maskini kama tz havijui thamani yake,mwisho wa siku vikipata watu kama nchi zenye akili tunabaki kulia lia,Sisi Africa ni fungu la kukosa tu nchi inakua na viongozi na wananchi wana akili kuliko viongozi hii si hatari,nchi kama tanzania inapokea mchele kama msaada uliongezwa virutubisho, sasa kwa akili ya kawaida tanzania ni ya kupokea vitu hivi kweli haina vita wala nini mchele huo kwa ninl wasipewe huko ukrein.Hii dunia ombea uwe na akili tu, nchi za africa akili zilizokuwepo ni za darasani tu ambazo kuzitumia maisha ya kawaida hazifanyi kazi.
@alijuma80093 ай бұрын
Perfect
@GEORGEOBED-pd9ye3 ай бұрын
State house inatakiwa iitumie akili ya thabiti kwa namna yeyote ile! Niaminini mimi
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Hawana muda huo , watamtumia tu endapo atakua chawa wao Hawana lengo na akili wanataka wapuuzi wakuwasifia sifia
@tupodigital3 ай бұрын
JAVA SCRIPT, C++, CSS, HTML, JAVA NK HIZO PROGRAMMING UNANIKUMBUSHA MBALI SHEIKH THABITI
@user-dg7wf6fg2j3 ай бұрын
Mleteni atupe elimu mlangi
@user-wz4lv3pg9b3 ай бұрын
SI MCHEZO
@shabantelack57163 ай бұрын
Mara 7 na siajelewa
@mahamuduramadhani93673 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@malugukushaha67643 ай бұрын
Katika siku ambayo nimepata kitu muhimu ni hiki mlichokiongea. Salute kwenu👏👏👏. Kuna rafiki yangu nilikuwa naye chuoni, tukawa tunaongelea kiongozi ambaye anaweza kufaa kuongoza taifa hili, nikawa nimemwambia jina fulani(sitalitaja) alibisha sana akasema huyo hawezi ni mkali, na blaa blaa zingine.sikutaka kumlazimisha ila moyoni mwangu nilijisemea kuwa endapo fulani (jina sitaji) akiwa rais nchi itapata maendeleo kwa kasi sana. Si hivyo tu pia nyuma niliwahi kusema na marafiki zangu wengine kuhusu fulani akiwa rais tutapata maendeleo kwa kasi, lakini walitoa sababu zile zile kuwa huyo ni mkali hawezi na blaa blaa zingine. Lakini cha kushanganza na maajabu ya mungu huyo mtu alichaguliwa kuwa rais wa nchii hii na akawa. Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Ameen😢.
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Hata mimi nilimtabiri huyo na kweli akaja kuwa rais.Ila baadae nilimchukia kwa kuvunja katiba na kuandaa uchaguzi wa kihuni.Taifa linahitaji Rais anayetawala kwa kufuata misingi ya katiba.
@MathewNathan-yb2bz3 ай бұрын
Kama ni maendeleo hata Rais Samia anatuletea maendeleo na angalau anafuata katiba na nchi ina amani na furaha.Hakuna mauaji ni amani tu chini ya samia ila kwa sasa jambo muhimu ni kumsaidia rais kupambana na mafisadi na sio kumwachia rais apambane mwenyewe.