Huyu ni mchambuzi na anaijua history vizuri Sana ssr hongera Sana safii
@dorothymbuere52362 жыл бұрын
Kusema kweri wewe hii kazi nimeisomea na imekukubari kabisa sio mbabaishaji.Tumeelewa vizuri sana nakupongeza Sana.
@makaramayatibamrmichaelkih36832 жыл бұрын
Hongera kwa uchambuzi
@adammgana57152 жыл бұрын
Brother upo deep sana lakin ili uendelee kuheshimika tafadhar usikubali kununuliwa na siasa hakika utathaminika sana na kuheshimika ....
@reubenmanembe65332 жыл бұрын
Daah! Watu kama hawa cjui huwa Kwnn wanaachwa tu na serikali bila yakuwezeshwa chakufanya jmn!!!
@hamisiausi6083 Жыл бұрын
Unatujuza vyema ubarikiwe broo
@jumakifutu4642 жыл бұрын
Kaka hongera sana absolutely 💯
@hassanhamudy9822 жыл бұрын
Thabit ndio alinifanya nka subscribe gangana chanel hua narejea clips zake zote za nyuma mara kwa mara
@liberatusulaya22692 жыл бұрын
Sikuuu nyingii sanaa Mzee thabit , strategic thinker,
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Mimi kwa kweli American ndo anafanya Dunia isiwe na Amani
@HamisiGatusoАй бұрын
Upo sawa unajua sana
@shabantelack57162 жыл бұрын
Mwangu unajua to infinity ,so deep
@jacobnorbertchenga94652 жыл бұрын
Jamaa yuko fresh
@adamphinias24572 жыл бұрын
Nlijua tu ntapata kitu hapa kuhusu huu mgogoro!!
@jacksonmartin84852 жыл бұрын
Uko vizuri bro ila kuna muda unatumia maneno magumu ila najifunza kwako kitu
@michaelnsangano22292 жыл бұрын
Very deep man Thabit
@thobiaskayange93022 жыл бұрын
Huyu jamaaa smart sana ameniongezeaa maalifaa kumbe Tanzania 🇹🇿 kuna watu makini hivi kwa nini wapumbavu km kina mwijaku ndio wanakelele wanakuwa maarufu Huyu kaka hata kuongoza bunge anauwezo mpana Damnnnnn nitampataje Huyu mwambaa sanaaa
@roggermwakyanjala35862 жыл бұрын
Safi sanaaaaaaa
@deusisindwa6162 жыл бұрын
Safi sn Ninamda mlefu cjakufatilia
@salehkhamis86532 жыл бұрын
hii channal nime subscribed kwa huyu mchambuzi2 nimemuelewa sana heshima kwako brother ila tunaomba muendelezo
@paschalcharles36172 жыл бұрын
Hakika lengo la URUSI lazima litimie lazima huyo volodimyr zelensyky Rais wa UKRAINE ambae ni kibaraka wa marekani aondolewe madarakani atake asitake
@godshanthomas32972 жыл бұрын
Nilikua nasubiri hii kwa hamu
@jacobnorbertchenga94652 жыл бұрын
Mchizi anaitwa nani ? nime mkubali sana Khalid
@shedrackjacob60382 жыл бұрын
Thabiti mrangi
@salehkhamis86532 жыл бұрын
kweli upo sahihi mchambuzi nimekuelewa mwanzo mwisho... kwakweli propaganda za nchi za magharibi zimeenea katka hii vita
@venanceselegebu8566 Жыл бұрын
Uwe unamleta kaka thabiti mlangi mara Kwa mara Kwa mada tofauti
@simonmwashambela32332 жыл бұрын
yaaan apo umewini bro gongana tulikuwa tunamsubri mlangi
@jackhans77082 жыл бұрын
Bro hapa umechemsha,hauijuwi hii story au unajifanya mjinga.
@kamalbashir5127 Жыл бұрын
Mchambuzi suala la raia wa Ukraine kuisapoti Russia, sio kweli mm naishi ulaya mda mrefu, waukraine hawataki Kua party of Russia, wao wanataka kua taifa huru, kama mataifa ya jirani.pia warusi wanaishi Ukraine ni wahamiaji kama watanganyika wanavo hamia zanzibar. Kwa hiyo kuna baadhi ya mambo mchambuzi huko sawa
@muichorekishagani17512 жыл бұрын
naukubali uchambuzi wako , uchambuzi wa kitaalamu kabisa
@Pedeshee012 жыл бұрын
Sisi Africa tuna viongozi maboya tu hawawazi kujitegemea.Urusi ni taifa kubwa lina nguvu Marekani naye ndiye kiranja wa dunia ana nguvu watayamaliza kikubwa hawa.Vita vya kwanza vya Ghuba chanzo ni Sadam kuivamia kuwait,UN wakampa pigo Sadam akaomba poo,Afghanistan,Iraq na Libia Marekani na washirika wake Nato walienda bila kibali cha UN kwa sababu wanazozijua wao,kama Libia ingekuwa ipo vizuri kijeshi ama Iraq ama Afghanistan wangejadiliana mezani lakini hao wote serikali zao zilikuwa hazina nguvu kubwa kijeshi wakapigwa na kupinduliwa na wengine wakauliwa,Huyu Urusi ni mkubwa mwenzao wameishia vikwazo tu na kubweka kama mbwa asiyeng'ata. Sisi huku Africa miaka nenda miaka rudi kuna vita leo hii tugeukie Urusi na Ucrain eti huu si ujuha.kisa eti Ursula(kiongozi wa U.E)anasema Putin kaleta vita Europe inamaana wao kwengine kukiwaka moto wanaona raha ehhh?kila mmoja apambane na hali yake,Sisi Africa tutawakumbatia hawa viongozi wetu hawana tofauti na Mwijaku na Juma lokole,Viongozi hawana akili za kulinda mali za Africa karne zijazo vizazi vyetu vitatucheka kama sisi tunavyowaona babu zetu waliliuza bara letu kwa wakoloni.Sisi tunaliuza kwa mikataba ya kilaghai pamoja na kujua kusoma wale hawakujua kusoma na kuandika.Mungu ibariki Africa bariki kizazi chake na umoja wa wa Tanzania Aamen!
@user-mm6no9kp1sАй бұрын
Wewe kimbe ni kibaraka
@sultanbakary4292Ай бұрын
Safisha mavi kwanza mkundun
@jumanassoro15522 жыл бұрын
Wachambuzi vipi mnaita vita wakati ni operation maarum nyie vipi
@kamalbashir5127 Жыл бұрын
Kwa maana hiyo ,waukraine hawataki Kua na Russia bali putin analazimisha tuu,neo maana 2014 wayukraine walifanya maandamano nchi nzima kumuondoa yule raisi kibaraka wa Russia. Ndugu mchambuzi Kua makini na uchambuzi waki