CHEKECHE : Je, mwelekeo wa BRICS una athari gani kwa nchi za Magharibi na Bara la Afrika?

  Рет қаралды 13,211

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Je, mwelekeo wa BRICS una athari gani kwa nchi za Magharibi na Bara la Afrika?

Пікірлер: 35
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 Жыл бұрын
Very good
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Rais wa Russia Vladimir Putin na Rais China Xi Jiping walisema Changes is Coming to Africa maana yake Mabadiliko yanakuja Afrika kupitia Umoja wa BRICS wameamua kutusaidia Afrika kujitegemea. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
@kassim1262
@kassim1262 Жыл бұрын
Hahahah wanatafuta uanja wakutuibia vizuri tu mchina mwizi wakutupwa ae nikuulize kwanini kila cku mcina anatujengea brbr zetu lakin hatuoni mabadiliko au htupati misaada kutika China
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 Жыл бұрын
Thabiti Mrangi mmemuacha wapi Leo? Yule Jamaa ni mchambuzi mzuri sana
@GeorgeUsele-kr6qk
@GeorgeUsele-kr6qk Жыл бұрын
Kifo Cha marekani atakufa taratibu sio gafla kwahy haya yote yanayofanyika yatamuua taratibu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Sababu ya Nigeria kuzuiwa kujiunga BRICS ni kwa sababu amefungamana na Nchi za Magharibi hivyo tusitegemee Nigeria na Nchi kama Kenya kujiunga BRICS sababu ni Vibaraka wa Nchi za Magharibi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 Жыл бұрын
Nikwel
@kassim1262
@kassim1262 Жыл бұрын
India mwenyewe iopo kwenye mgogoro na china kuhusu mipaka india hiyo hiyo ipo kwenye nchi wanachama jumuia yamadola yani hasa mataifa yaliotawaliwa na Uingereza vp apo usitudanganye em tueleweshe
@celifpower4993
@celifpower4993 Жыл бұрын
Toka phoenix Arizona nawa fata 💯 chekeche kipindi pendwa changu
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Жыл бұрын
THE WIND OF CHANGE! BRICS WAMEONDOA UBABAISM WATU FULANI! VIVA PUTIN VIVA RUSSIA!
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Жыл бұрын
Natamani na sisi Tanzania tuingie rasmi BRICS mwaka 2025 maana kwa sasa tumeanza kushirikia Mikutano ya BRICS. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 Жыл бұрын
Sahau hilo labda uongoz ubadilike
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Жыл бұрын
Kwanza viongozi wa afrika waache wizi pili wakiingia madarakani Hawatoki tatu. Mwafri aki ulizwa Hela walizo kopa wamefanyia Nini hawana majibu kama huamini Leo hii yubadilishane na marekani na tanzania baada ya miaka kumi tuta omba msaaada tena
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Sekta ya utengenezaji inajumuisha makampuni mbalimbali ya viwanda katika sekta mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mafuta ya petroli, chuma, ndege, magari, kemikali, mawasiliano ya simu, umeme, usindikaji wa chakula, mbao, bidhaa za walaji na madini.
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Awo nimadikteta TU mwenye demokrasia alikuwani1 tu blazir
@danstanmushobozi-bu7ru
@danstanmushobozi-bu7ru Жыл бұрын
Kwani demokrasia inasaidia nini? Maana hata hapa Tanzania demokrasia ipo kuwanufaisha Wana siasa tu, huku wananchi wa kawaida wakilia njaa.
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 Жыл бұрын
Safi brics naiona ina vision ya mbali
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Жыл бұрын
Star Tv ipo Azam
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Raymond naomba utujulishe taiwani inendereaje na swala lakiongozi wa Wagner kk tujue mstakabari wake napia swala laindia kutuma chombo chake mwezini kwani co jambo dogo kk
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Yani iki kipindi nakipend sn asa uyu mtangazaji wake anajuwa sn akika tukiikosa asa ivi vipindi vyaabar zakidunia
@yorsaliembeyene270
@yorsaliembeyene270 Жыл бұрын
👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽🇲🇴🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Umoja wamadikteta duniani Yani bristi
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 Жыл бұрын
Ufinyu waakili ulionao
@hassansingano1150
@hassansingano1150 Жыл бұрын
Ikitokea Tanzania kuomba kujiunga na BRICS, Itakubaliwa kwa haraka sana, kwanini? Kwasababu Tanzania **NI ENEO LA KIMKAKATI KIUCHUMI AFRIKA MASHARIKI NA KATI** ASANTE
@ahmadkazema1055
@ahmadkazema1055 Жыл бұрын
Ni wachache sana wanatambua hili,kama viongozi wa juu kabisa hawakutambua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo,sasa hivi watu wanajadili bandari kisa UAE wamepewa na wamo BRICS,..unaweza ona jinsi West wanavyotumia kila namna kuzorotesha maendeleo yetu,na ya Africa kwa ujumla..
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Chochote kinachoibuliwa huwa ni kwa misingi maalum, mfano, Covid-19, Vita ya kwanza ya dunia, Vita vya pili vya dunia, Chanjo, Uzazi wa mpango, Madawa ya kulevya, Soko la siraha, AID's hii imeenda au kuna swali? Vita vya Ukraine na mzozo wa Niger sasa basi huu ni mwanzo wa tu wa anguko la uchumi duniani kwasababu Dolla ifikapo may be 2030 BRICKS itakuwa imeizamisha kabisa Dolla
@petrompunga221
@petrompunga221 Жыл бұрын
Tukijiunga BRIGS kwa sisi Tanzania, tutakuwa na shida
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
Ni Suali au maelezo?
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Akuna kitu apo marekani Dola yake itaanguka saw ila tusisaau nakugawanyika kwaurusi
@IsmailiNiraji
@IsmailiNiraji Жыл бұрын
kivip mzee toa fact
@hamisifamba6436
@hamisifamba6436 Жыл бұрын
Sawa nabiiii lini sasa hyo
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 Жыл бұрын
Ebu wapagani nawatu wenye dini kwer wanaweza kufanya mashilikiano ukwer apo najuwa aiwezekan apo niunafki TU akuna kitu apo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 Жыл бұрын
NYIE ACHENI KUICHEZEA MAREKANI!!AMEAMUA KUZIKUSANYA DOLA ZAKE!ANGALIA DUNIA HASA AFRICA TUNAVYOPATA TAABU YA KUFANYA BIASHARA! NA LOCAL MONEY ZA KIAFRICA ZINAVYOZIDI KUWA MAKARATASI!!
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
Umesomea uchumi lakini hamza?hawa jamaa kuanzisha umoja wao na kuanzisha shilingi yake ni kuwa dola itakua haitumiki kwenye nchi hizi wakitaka kufanya biashara kwenye soko la kimataifa kwa maana hiyo dola itapoteza thamani na kama dola itajaa sana marekani inamaana uchumi utadorora.Hii pesa ilikua inapata sana nguvu pale ukinunua mafuta kule mashariki ya kati.Waliweka mfumo petrodolar kwa maana ukitaka mafuta ni lazima ununue kwa dola ila kwa sasa India ama china akitaka mafuta kwa Saudia anaweza kutumia tu sarafu yake mpaka hapo itakapotoka sarafu ya Bricks.ndugu yangu soma vizuri uchumi utaelewa.
@ahmadkazema1055
@ahmadkazema1055 Жыл бұрын
Kwa kifupi,dollar kwa sasa inatumika kama silaha,na sio kiuchumi/biashara,.mfano,interest za bank ya IMF,ni x2 kwa nchi africa..umeona hela za Russia zilivyozuiliwa,na kutolewa kwny SWIFT system..so Brics inaleta uhuru wa kibiashara..dunia imesimama,fujo tuu hakuna biashara,utemi..
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 94 МЛН
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 8 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
CHEKECHE || Ukosefu wa Dolla na sababu za kuadimika kwake
24:37
SOKA KIJIWENI SEPTEMBA 30, 2024
22:39
Azam TV
Рет қаралды 297
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 94 МЛН