Рет қаралды 5,775
Dunia inaweweseka kwa ukosefu wa Dolla ya Marekani kwenye mzunguko wa fedha na kusababisha biashara na shughuli nyingi za maendeleo kukwama huku watu wengi wakiwa hawajui ni kwanini shughuli zinakwama kwa ukosefu wa Dolla ilihali Tanzania tuna sarafu yetu.
Ufafanuzi unatolewa na Dkt. Nassib Mramba mtaalamu wa uchumi