Ubalikiwe baba nipo ng'ara huku kazi ya Mungu hiendleeeeeeeeeeeeeeee!!! Amen
@JanethPaul-n3s2 күн бұрын
Nami Mungu anaye kuri nda anirinde katika usiku Wareno
@neemamathew74652 жыл бұрын
Kitu kinachonifanya nimpendea huyu paster anafundisha kwa imani na matendo hafundishi kwa mazoea ,,,,pia anatumia moto wa damu ya yesu ,,,Mungu akubark paster
@mosesmonyaka36642 жыл бұрын
Pole pst mungu akusidishie nguvu
@amina79142 жыл бұрын
Mimi ni mkenya, nakutazama nikiwa saudia Arabia. Nabarikiwa sana mafundisho Yako na jinsi unavyo wanusuru watu wa MUNGU kutoka Kwa uchawi. MUNGU akupe neema hekma na maarifa ili uzidi kuwanusuru watu waMUNGU
@rizikibahati83643 жыл бұрын
From Australia pole sana baba Mungu akufunike kwa damu ya Bwana wetu YESU KRISTO Amen
@rosenyabuti83813 жыл бұрын
From Kenya pole sana mchungaji MUNGU akufunike na damu yake kwa Jina YESU
@janetchinga56172 жыл бұрын
Mungu anaye kufisha muchungaji Dickson naomba namimi pia anifishe Na family yangu yote kwajina la yesu
@dominickkiggendi6532 жыл бұрын
Mtu mishi Robert Raphael ; hongera kazi yako ni njema sana , na Baba akubariki sana
@josephmutisya48602 жыл бұрын
God bless you man of God
@salomeshila36713 жыл бұрын
Mungu akufunike kwa damu ya yesu mchungaji Vita ni vikali kwakweli
@robertsonfelician2434 Жыл бұрын
Hatari sana
@Chari-0013 жыл бұрын
Yesu tunusuru kwa Jina lako tunamzingira Baba yetu Bishop Robert kwa Damu ya Yesu kwa Kweli Vita vipo lakini Mungu ni mkuu zaidi Amina
@janetchinga56172 жыл бұрын
I am watching from Cape town South Africa thanks Jesus
@carolynnafunawanyonyi81062 жыл бұрын
Elohim atukuzwe sana kwa kazi yke,akupe nguvu ya kuokoa watu wake.
@saadyusuph6554 Жыл бұрын
Acha uongo mch
@melodynafuna623 жыл бұрын
Aky mungu akubariki mtumishi wa mungu kwa kazi unayofanya
@JovinePaschal Жыл бұрын
Baba ubaliliwe sana kwakazi ya bwana
@monicabh16683 жыл бұрын
Wachawi wote washindwe katika jina la yesu
@janetchinga56172 жыл бұрын
Apigweeeeeeeee alikuwa anachanganya nandizi munavopenda ndizi bahaya ,umujuwe yesu
@adriannebatakanwa69042 жыл бұрын
Haleluuya. Hongereni na kazi ya Mungu. Ila wafungue zaidi washirika kwa maana si kila anayeangushwa na nguvu ya Mungu ni mchawi. Ila wachawi ni wagumu sana kuangushwa na nguvu ya Mungu kwa kuwa huwezeshwa kupambana wakati mwingine kateni mawasiliano na wachawi wengine wanaokuwa wanamsaidia. Wenye asili ya uchawi huwa wanaendelea kuwa antennae ktk maeneo mengi. Jipeni moyo mtashinda. Macho ya roho wa Mungu yanahitajika sana.
Uliposema wachawi Ni ngumu kuangushwa na Nguvu za MUNGU.
@ruthmoranga51423 жыл бұрын
Wachomwe katika jina la yesu maana hawataki kumurudia mungu hawatupatuii amani
@sylviashiana53182 жыл бұрын
Sylviashiana yesu anarudi
@bullahsambiga56623 жыл бұрын
Balikiwa baba kwa kazi unayoifanya
@gaudenceharerimana77433 жыл бұрын
Mwende mukaviunguze mchungaji
@rahabnkya82763 жыл бұрын
Hiyo kazi ni mgumu sana Mchj. Na kanda ni ya ziwa, mbona WASOMI ni wengi jamani. Huo uchawi utaisha lini. Maana wanawamaliza watu na watumishi wa Mungu wanajikwaa kwani nao binadamu tu. Hongera mtumishi kwa kazi uifanyao.
@mariemwaidi61033 жыл бұрын
Mungu akulinde muchunga
@kimcash30792 жыл бұрын
Hatari kabisa
@tantinemwemendi87903 жыл бұрын
Amena
@mariahmweni71103 жыл бұрын
Wachawi wamenitesa Sana ila wameshindwa kwa jina la YESU kristo mwana wa MUNGU alie hai 🙏
@annmichael47942 жыл бұрын
😭😭😭😭even kids. God hv mercy on us n our children
@elinanora30142 жыл бұрын
Amen
@mwazongawashe57213 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@marykifolo12523 жыл бұрын
Shetani ashindwe katika jina la yesu
@irenemuia27183 жыл бұрын
WASHINDWE kwa jina la YESU
@severinachami68332 жыл бұрын
Halelya hogera na kazi yangu
@davidwaruinu27042 жыл бұрын
Watumie kiswahili tuweze kufuata vizuri
@coolwaveac76593 жыл бұрын
Hakika Mungu ni mwema
@jamesmwangi88832 жыл бұрын
So witchcraft is a big problem in Tanzania
@kwambokaonchonga32693 жыл бұрын
Fire 🔥
@lizzybby23922 жыл бұрын
😭😭
@tantinemalenga5819 Жыл бұрын
Mungu mkubwa
@Ibyishomotv1969 Жыл бұрын
Tafazari munisaidiye number za hishop
@ruthmoranga51423 жыл бұрын
Pastor ningekuwa na uwezo wa kukuleta kenya yetu haswaa gusii land ukaubilie watu maana wachawi wameturemea na hawataki kuacha uchawi
@shabamuhidin6343 жыл бұрын
atakuja kukimbia yeye na mahuburi yake,maana hapo ni maaigizo tu hakuna lolote
@adriannebatakanwa69042 жыл бұрын
Hiyo roho ya uzinzi ni silaha yao kubwa. Msiwanyoshee vidole watumishi wa Mungu wakianguka ila waoombeeni sana watumishi kila siku kabla hawajaanguka. Mimi ni Mtumishi mwenzenu. Nimepitia mazito!
@jannyrose53672 жыл бұрын
Mungu akulide na akutie nguvu,Kwa jina la YESu kristo 🙏
@HellenSulle-m7t8 ай бұрын
Kwani esta anashuhudia kila cku?
@AlistidiaTaneki9 ай бұрын
Bb
@stellahokworo65613 жыл бұрын
Ishindwe
@marykifolo12523 жыл бұрын
Kenya wachawi wamezindi mchungaji
@peteryukunda92393 жыл бұрын
Uaaa! Hayo machawi,tena yaongee kiswahili yacvunge.
@graceaandambike73002 жыл бұрын
Kweli kbs waongee kiswahili
@salimahlokoh96993 жыл бұрын
Kama mimi.mahari wamenifikisha 😭😭😭😭
@rosenyabuti83813 жыл бұрын
From Kenya MUNGU hafurashwi hata kidogo na wale wanaowaumiza wengine Kwa mfano bibilia inasema kwamba anachukia mikono inayomwaga damu isiyo na hatia Methali 6 16 17
@jeniphaledaschali45943 жыл бұрын
Jamani huli kanisa la wapi hawajui kiswahili???????
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂
@lovenesseliah93812 жыл бұрын
Vyumba 350 vya kuzmu
@salimahlokoh96993 жыл бұрын
Wachomwe wachawi wametutesa sana
@rechomethod82883 жыл бұрын
Jamani yani Hawa watutesa kweli 😐
@femidayahaya92934 ай бұрын
Shetan mbaya kabisa anawatumia watu wazuri kama huyo.mschana wa kwanz kuhojiwa mzur wa sura kwel yan
@kabebemazambi5757 Жыл бұрын
Awo ni waongo wanapiga hela 😂😂😂😂😂
@MiriamuJingu6 ай бұрын
Kabila gani hii
@basilisamsaka84692 жыл бұрын
Sasa mbn kihaya tuuuu kumbe ushamba mwingi huko!
@mwitaagness4552 жыл бұрын
Kwann anamhoji wamchinje muuaji huyu anawasanifu
@constantinohaule29982 жыл бұрын
Kabisa akatwe kichwa. Kama Nabii Samuel alivyomkata Mchawi Agagi