Mchungaji atema cheche Goodluck Gozbert kushiriki Fiesta| akatubu| Mbasha hatuna Mbingu

  Рет қаралды 6,734

Dar24 Media

Dar24 Media

4 жыл бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Meshacksalum #Goodluckgozbert#Emmambasha

Пікірлер: 63
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 4 жыл бұрын
Mchungaji hauko sawa kwa sababu Injili lazima iwafikie watu wote. Wewe mwenyewe mbona Umenyoa Denge Tungerudi kwenye Maandiko wewe mwenyewe Una Makosa Vilevile Wakubari Wakubari iyo sio kazi yetu ni kazi ya Mungu tu,.... Wachungaji wengi leo wanafanikiwa kukusanya waumini Kanisani tu na si Kuokoa Roho zao, wanapenda kuwa na waumini wengi kuliko kuwapeleka Watu kwa Yesu. Unasema tusufungiwe nira na watu wasioamini ni sawa Lkn Goodluck pale Hajafungiwa Nira, kama Angefungiwa nira Angeimba Bongo freva, asingeruhusiwa Kusema Bwana Yesu Asifiwe, Kumbukumbu yangu inaniambia kila Mwenye Pumzi Amsifu Bwana, sio kila mlokole, sio kila asiyekuwa na Dhambi, acheni Kuhukumu Walevi na wazinzi Wapeni Habari njema za Ufalme wa Mungu,... 🔥 Wapo wengi mbingu hawataiona kwa kujiona ni miungu watu,.... Songa mbele Goodluck Neema ya Bwana Yesu Kristo ikufunike katika wote hao hata Mmoja akipokea neema ya Mungu, Mungu atakupatia thawabu. 🔥 ETI TUSUFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI INA MAANA INJILI NI KWA WALOKOLE TU,... SIO SAWA NENDA GOODLUCK SONGA MBELE, NA WEWE MCHUNGAJI KABLA YA KUMUHUKUMU TAFUTA NAFASI UFANYE INJILI MBELE ZA WENYE DHAMBI HATA 500 TU AU ANDAA TAMASHA KAMA ILO ITA WAIMBAJI WA GOSPEL TANZANIA NZIMA FANYA GOSPEL NI AIBU KABISA TUNAZIDIWA NA WATU WA MATAIFA NA WATUMISHI TUPO TU HONGERA SANA Goodluck Gozbert. Yesu Kristo ni Bwana
@keziahnyanjui1612
@keziahnyanjui1612 4 жыл бұрын
Yo've said it right brother... Bless your heart..
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 4 жыл бұрын
@@keziahnyanjui1612 amen
@khadijahangida5421
@khadijahangida5421 4 жыл бұрын
Uko sawa
@sharifumagomba90
@sharifumagomba90 4 жыл бұрын
Aliokowa wangapi naviuno alivyokua anakata? ??pastor ukosawa kabisa
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
emmanuel john umeona hawa wanajifajificha maovu yao mno
@dotopeter1509
@dotopeter1509 4 жыл бұрын
ⓚⓐⓜⓐ ⓤⓝⓐⓜⓚⓤⓑⓐⓡⓘ ⓜⓔⓢⓗⓐⓒⓚ ⓛⓘⓚⓔ ⓗⓐⓟⓐ
@melody_mike_mavoice
@melody_mike_mavoice 2 жыл бұрын
Thank God you your so perfect ....
@mosesmwafwenga4133
@mosesmwafwenga4133 4 жыл бұрын
Goodluck yupo sahihi kabisa wala sio mdundishaji kama unavosema nyinyi ndo mnakwamisha waimbaji wetu wetu goodluck songa mbele bwana
@jonaswingodmushi2608
@jonaswingodmushi2608 4 жыл бұрын
Brother umemaliza yani. Be blessed indeed. Wenye kukuelewa watakuelewa tu ndg yangu.
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 жыл бұрын
sasa kwenye fiesta sindio kuna wanaokwenda kinyume akienda kuimba mambo ya mungu kule sindio kwenyewe
@gibsonkagoma3491
@gibsonkagoma3491 4 жыл бұрын
Baba nimekuelewa sana umejibu vema
@adelinaaudax2572
@adelinaaudax2572 4 жыл бұрын
Ubarikiwe bishop
@keziahnyanjui1612
@keziahnyanjui1612 4 жыл бұрын
GoodLuck said something the other day that is really mind blowing... "However the calling of God is working in his life only him n God knows"... jamani our job is to love n God does the judging...
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
Keziah Nyanjui Ndio kweli hawa wachungaji nao wanazingua tu
@clarencemitega6270
@clarencemitega6270 4 жыл бұрын
Nyakati za mwisho,tuwe macho wana wa MUNGU!
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 жыл бұрын
toka hapa
@maarifahub5066
@maarifahub5066 4 жыл бұрын
salute sana mtumishi meshack
@philipondumbaro7668
@philipondumbaro7668 2 жыл бұрын
Kwani injili inapelekwa kwa watu wa namna gani maana nashindwa kuelewa
@andreamchome9541
@andreamchome9541 4 жыл бұрын
Kwanini hukuona vema kumuita mkiwa wawili tu ukamuelekeza.
@zuhurashaaban4815
@zuhurashaaban4815 4 жыл бұрын
Msikilize mungu kaka g nakupenda ila angalia ucjitenge namungu
@dotopeter1509
@dotopeter1509 4 жыл бұрын
Nakubari
@boasmbwaga5114
@boasmbwaga5114 4 жыл бұрын
kiukwel amezingua
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Haha hiyo ebo namkumbuka bibi yetu alikuwa anaipendaga uwo usemi
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Shida waimbaji hawalipwi kanisani,sasa acha wakasake noti huko fiesta. 1 wakorintho 9:9-16
@esterlamecklameck8340
@esterlamecklameck8340 4 жыл бұрын
Gud napenda kaz yako lkn uendako siko kaka angu,kaongea vyema huyu mchungaji
@mckingmojojo363
@mckingmojojo363 4 жыл бұрын
Umenena kweli Mchungaji Meshack Salum
@mtishibgwicha8084
@mtishibgwicha8084 4 жыл бұрын
barikiwa mchungaji
@davidedward7281
@davidedward7281 4 жыл бұрын
Isaya aliambiwa apeleke ujumbe akiwa uchi ,it depend but injili iende mbele ustaalabu baadae
@monicaalanus4570
@monicaalanus4570 4 жыл бұрын
Mchungaji umekoseya kwasababu shaujui jinzimunguanavo mutumia
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
Monica Alanus kweli kabisa
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 3 жыл бұрын
Wote watubu. Neno hawana NENO KIBIAHARA. TUMUOMBE MUNGU, WA MUNGU TUNAWAJUA NA WA IBIRISI
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Uwe tayari nyakati zote
@eliasrodman9970
@eliasrodman9970 4 жыл бұрын
balaaaa zitooooooooooo
@monicatankini5958
@monicatankini5958 4 жыл бұрын
Sawa,msemaji wa mbinguni,ila g hajakosea chochote coz bibilia inasema nendenjiapanda mkahubiri neno aaminie na kuokoka atabatizwa ,xso we mwenyewe unahukumu we nani ,kwendaaaaaa g piga kazi tena wafate ukouko utalipwa na mungu na sio wanadamu ,hata ukizunguka hadi mbinguni kikubwa imani upo.
@monicatankini5958
@monicatankini5958 4 жыл бұрын
@Greyson Mdee ulitaka,akawaubilie waliopo kanisani ambao teali wanamjua yesu ,we mjinga mwenzangu.
@gideonbutalaye2921
@gideonbutalaye2921 4 жыл бұрын
nafikili alivyo eleza Mchungaji inaeleweha kama unabish nawewe katubu
@maimunafundi3544
@maimunafundi3544 2 жыл бұрын
To a boliti kwanza
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 3 жыл бұрын
Hapana ushirika kati ya giza na nusu.
@siwemamichael690
@siwemamichael690 4 жыл бұрын
Ni wivu tu nyamanza wew
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 3 жыл бұрын
Hujaokoka wewe wala neno hujui, na wala hutaki kujua.
@melody_mike_mavoice
@melody_mike_mavoice 2 жыл бұрын
All i could read from this guy he is so judging ...but why are most of ministers this way
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Wewe umeleta wangapi?
@Godlovegozbert
@Godlovegozbert 3 жыл бұрын
HaaaahAaaaaa
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 4 жыл бұрын
Anatafuta kiki bwege huyu!!kasome vizur bi
@captenndunga6199
@captenndunga6199 4 жыл бұрын
Wee ni kafiri kaa kimya.
@barakamahimbi9856
@barakamahimbi9856 4 жыл бұрын
We uwezo wako wa kifikra mdogo xana ungekua na akili timamu ucingeongea hayo
@andreamchome9541
@andreamchome9541 4 жыл бұрын
U swear?
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718 4 жыл бұрын
Tatizo nyie waimbaji mliotangulia hamja ungana na kuanzisha matamasha makubwa ya kidini. Hivyo wachungaji, mitume, maaskofu, na Wainjirist anzisheni matamasha km hayo, ili watu wasiende huko duniani.
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ni kwel mwimbaj na mwalimu japhet ilitakiwa na wao wawe na Fiesta Yao japo kaongea maneno ya maana, nimemuelewa sana
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Hila kwenda kuchezea, clabu hailusiwi kwa mwimbaj Wa dini japo wanasema yesu alishuka uko
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Na ndo mana mwenyew ameogopa tena kuwaandikia nyimbo wana bongo fleva alisema watu walikuwa wanaongea sana. Nimeshangaa kusikia moyo mashine ya Ben Pol kumbe aliandika yeye na nyimbo ya Baraka da prise anajuwa kutunga
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Hila good nyimbo zake tunazipenda sana watu wanaguswa nazo sana. Kama rose muhando Enzi izo nyimbo zake Paka, Waislam walikuwa wanazipenda baba anampenda jenifa anasema nyimbo zake NZUR zimetulia rose za fujo nikamwambia mbona naye anazo ambazo zimetulia ngoja siku nitamuwekea mwenyew atazipenda yani baba ulisema jenifa anakuja kanisan yupo lazi aende akamuone
@alexleganga8850
@alexleganga8850 4 жыл бұрын
kwa kweli gud ni muhuni tu hayupo ki mungu kabisaaa
@wilbertseme5455
@wilbertseme5455 4 жыл бұрын
Pastor umeongea ukweli mtupu huyu asijitetee anatafuta umaarufu huko na na njaa hizi baba MCH ndio zinawapeleka na kuanza kujiulinda KWA maandiko ambayo hata hayaingii hapo
@lilianjosephat9151
@lilianjosephat9151 4 жыл бұрын
ujumbe.ni.mzuri.una.nguvu .mungu
@sylvanemmanuely8333
@sylvanemmanuely8333 4 жыл бұрын
@@wilbertseme5455 Nyie hamjui lolote kwan, Yesu aliwabagua watu nyie mna chuki zenu tuu..!!
@johniwangombe3009
@johniwangombe3009 4 жыл бұрын
Muchungaji unawivusana wewe mbonshujsongeles wengine nyamazabasi imbanyimbozako achakufatilia zawengine
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 4 жыл бұрын
acha ujinga ww
@meshakikigumbi4459
@meshakikigumbi4459 4 жыл бұрын
ASANTE SANA WAJINA MUNGU HAKUTUNE.
@gideonbutalaye2921
@gideonbutalaye2921 4 жыл бұрын
Yeyote anaebisha na huu ujumbe nayeye pia atubu maaana unatetea uovu,
@williammasubi1114
@williammasubi1114 3 жыл бұрын
👍👍👍
BEAUTIFUL MORNING DUA | For Protection| Blessings| Rizq | Tasbih | full | Omar Hisham|
27:31
EthioQuran اثيو القرآن
Рет қаралды 2,6 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 493 М.
Playing hide and seek with my dog 🐶
00:25
Zach King
Рет қаралды 34 МЛН
Top U.S. & World Headlines - July 29, 2024
10:31
Democracy Now!
Рет қаралды 174 М.
7 Fatiha 7 Ayetel Kürsi 7 İhlas 7 Felak 7 Nas Kur'an-ı Kerim Rukye
24:23
fussilet Kuran Merkezi
Рет қаралды 77 МЛН
أذكار الصباح كاملة بصوت جميل راحة وسكينة 💚 Adkar Sabah HD
1:25:40