-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #Meshacksalum #Goodluckgozbert#Emmambasha
Пікірлер: 63
@emmanueljohn89704 жыл бұрын
Mchungaji hauko sawa kwa sababu Injili lazima iwafikie watu wote. Wewe mwenyewe mbona Umenyoa Denge Tungerudi kwenye Maandiko wewe mwenyewe Una Makosa Vilevile Wakubari Wakubari iyo sio kazi yetu ni kazi ya Mungu tu,.... Wachungaji wengi leo wanafanikiwa kukusanya waumini Kanisani tu na si Kuokoa Roho zao, wanapenda kuwa na waumini wengi kuliko kuwapeleka Watu kwa Yesu. Unasema tusufungiwe nira na watu wasioamini ni sawa Lkn Goodluck pale Hajafungiwa Nira, kama Angefungiwa nira Angeimba Bongo freva, asingeruhusiwa Kusema Bwana Yesu Asifiwe, Kumbukumbu yangu inaniambia kila Mwenye Pumzi Amsifu Bwana, sio kila mlokole, sio kila asiyekuwa na Dhambi, acheni Kuhukumu Walevi na wazinzi Wapeni Habari njema za Ufalme wa Mungu,... 🔥 Wapo wengi mbingu hawataiona kwa kujiona ni miungu watu,.... Songa mbele Goodluck Neema ya Bwana Yesu Kristo ikufunike katika wote hao hata Mmoja akipokea neema ya Mungu, Mungu atakupatia thawabu. 🔥 ETI TUSUFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI INA MAANA INJILI NI KWA WALOKOLE TU,... SIO SAWA NENDA GOODLUCK SONGA MBELE, NA WEWE MCHUNGAJI KABLA YA KUMUHUKUMU TAFUTA NAFASI UFANYE INJILI MBELE ZA WENYE DHAMBI HATA 500 TU AU ANDAA TAMASHA KAMA ILO ITA WAIMBAJI WA GOSPEL TANZANIA NZIMA FANYA GOSPEL NI AIBU KABISA TUNAZIDIWA NA WATU WA MATAIFA NA WATUMISHI TUPO TU HONGERA SANA Goodluck Gozbert. Yesu Kristo ni Bwana
@keziahnyanjui16124 жыл бұрын
Yo've said it right brother... Bless your heart..
@emmanueljohn89704 жыл бұрын
@@keziahnyanjui1612 amen
@khadijahangida54214 жыл бұрын
Uko sawa
@sharifumagomba904 жыл бұрын
Aliokowa wangapi naviuno alivyokua anakata? ??pastor ukosawa kabisa
@christina_john774 жыл бұрын
emmanuel john umeona hawa wanajifajificha maovu yao mno
@dotopeter15094 жыл бұрын
ⓚⓐⓜⓐ ⓤⓝⓐⓜⓚⓤⓑⓐⓡⓘ ⓜⓔⓢⓗⓐⓒⓚ ⓛⓘⓚⓔ ⓗⓐⓟⓐ
@melody_mike_mavoice2 жыл бұрын
Thank God you your so perfect ....
@mosesmwafwenga41334 жыл бұрын
Goodluck yupo sahihi kabisa wala sio mdundishaji kama unavosema nyinyi ndo mnakwamisha waimbaji wetu wetu goodluck songa mbele bwana
@jonaswingodmushi26084 жыл бұрын
Brother umemaliza yani. Be blessed indeed. Wenye kukuelewa watakuelewa tu ndg yangu.
@mathewdyzymaleyafrica91283 жыл бұрын
sasa kwenye fiesta sindio kuna wanaokwenda kinyume akienda kuimba mambo ya mungu kule sindio kwenyewe
@gibsonkagoma34914 жыл бұрын
Baba nimekuelewa sana umejibu vema
@adelinaaudax25724 жыл бұрын
Ubarikiwe bishop
@keziahnyanjui16124 жыл бұрын
GoodLuck said something the other day that is really mind blowing... "However the calling of God is working in his life only him n God knows"... jamani our job is to love n God does the judging...
@christina_john774 жыл бұрын
Keziah Nyanjui Ndio kweli hawa wachungaji nao wanazingua tu
@clarencemitega62704 жыл бұрын
Nyakati za mwisho,tuwe macho wana wa MUNGU!
@mathewdyzymaleyafrica91283 жыл бұрын
toka hapa
@maarifahub50664 жыл бұрын
salute sana mtumishi meshack
@philipondumbaro76682 жыл бұрын
Kwani injili inapelekwa kwa watu wa namna gani maana nashindwa kuelewa
@andreamchome95414 жыл бұрын
Kwanini hukuona vema kumuita mkiwa wawili tu ukamuelekeza.
@zuhurashaaban48154 жыл бұрын
Msikilize mungu kaka g nakupenda ila angalia ucjitenge namungu
@dotopeter15094 жыл бұрын
Nakubari
@boasmbwaga51144 жыл бұрын
kiukwel amezingua
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Haha hiyo ebo namkumbuka bibi yetu alikuwa anaipendaga uwo usemi
Wote watubu. Neno hawana NENO KIBIAHARA. TUMUOMBE MUNGU, WA MUNGU TUNAWAJUA NA WA IBIRISI
@ezekielmartin56754 жыл бұрын
Uwe tayari nyakati zote
@eliasrodman99704 жыл бұрын
balaaaa zitooooooooooo
@monicatankini59584 жыл бұрын
Sawa,msemaji wa mbinguni,ila g hajakosea chochote coz bibilia inasema nendenjiapanda mkahubiri neno aaminie na kuokoka atabatizwa ,xso we mwenyewe unahukumu we nani ,kwendaaaaaa g piga kazi tena wafate ukouko utalipwa na mungu na sio wanadamu ,hata ukizunguka hadi mbinguni kikubwa imani upo.
@monicatankini59584 жыл бұрын
@Greyson Mdee ulitaka,akawaubilie waliopo kanisani ambao teali wanamjua yesu ,we mjinga mwenzangu.
@gideonbutalaye29214 жыл бұрын
nafikili alivyo eleza Mchungaji inaeleweha kama unabish nawewe katubu
@maimunafundi35442 жыл бұрын
To a boliti kwanza
@queenmwasanguti23703 жыл бұрын
Hapana ushirika kati ya giza na nusu.
@siwemamichael6904 жыл бұрын
Ni wivu tu nyamanza wew
@queenmwasanguti23703 жыл бұрын
Hujaokoka wewe wala neno hujui, na wala hutaki kujua.
@melody_mike_mavoice2 жыл бұрын
All i could read from this guy he is so judging ...but why are most of ministers this way
@ezekielmartin56754 жыл бұрын
Wewe umeleta wangapi?
@Godlovegozbert3 жыл бұрын
HaaaahAaaaaa
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
Anatafuta kiki bwege huyu!!kasome vizur bi
@captenndunga61994 жыл бұрын
Wee ni kafiri kaa kimya.
@barakamahimbi98564 жыл бұрын
We uwezo wako wa kifikra mdogo xana ungekua na akili timamu ucingeongea hayo
@andreamchome95414 жыл бұрын
U swear?
@mwimbajinamwalimujaphetgeo17184 жыл бұрын
Tatizo nyie waimbaji mliotangulia hamja ungana na kuanzisha matamasha makubwa ya kidini. Hivyo wachungaji, mitume, maaskofu, na Wainjirist anzisheni matamasha km hayo, ili watu wasiende huko duniani.
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ni kwel mwimbaj na mwalimu japhet ilitakiwa na wao wawe na Fiesta Yao japo kaongea maneno ya maana, nimemuelewa sana
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Hila kwenda kuchezea, clabu hailusiwi kwa mwimbaj Wa dini japo wanasema yesu alishuka uko
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Na ndo mana mwenyew ameogopa tena kuwaandikia nyimbo wana bongo fleva alisema watu walikuwa wanaongea sana. Nimeshangaa kusikia moyo mashine ya Ben Pol kumbe aliandika yeye na nyimbo ya Baraka da prise anajuwa kutunga
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Hila good nyimbo zake tunazipenda sana watu wanaguswa nazo sana. Kama rose muhando Enzi izo nyimbo zake Paka, Waislam walikuwa wanazipenda baba anampenda jenifa anasema nyimbo zake NZUR zimetulia rose za fujo nikamwambia mbona naye anazo ambazo zimetulia ngoja siku nitamuwekea mwenyew atazipenda yani baba ulisema jenifa anakuja kanisan yupo lazi aende akamuone
@alexleganga88504 жыл бұрын
kwa kweli gud ni muhuni tu hayupo ki mungu kabisaaa
@wilbertseme54554 жыл бұрын
Pastor umeongea ukweli mtupu huyu asijitetee anatafuta umaarufu huko na na njaa hizi baba MCH ndio zinawapeleka na kuanza kujiulinda KWA maandiko ambayo hata hayaingii hapo
@lilianjosephat91514 жыл бұрын
ujumbe.ni.mzuri.una.nguvu .mungu
@sylvanemmanuely83334 жыл бұрын
@@wilbertseme5455 Nyie hamjui lolote kwan, Yesu aliwabagua watu nyie mna chuki zenu tuu..!!
@johniwangombe30094 жыл бұрын
Muchungaji unawivusana wewe mbonshujsongeles wengine nyamazabasi imbanyimbozako achakufatilia zawengine
@yudadaniel48674 жыл бұрын
acha ujinga ww
@meshakikigumbi44594 жыл бұрын
ASANTE SANA WAJINA MUNGU HAKUTUNE.
@gideonbutalaye29214 жыл бұрын
Yeyote anaebisha na huu ujumbe nayeye pia atubu maaana unatetea uovu,