Mchungaji atema cheche Goodluck Gozbert kushiriki Fiesta| akatubu| Mbasha hatuna Mbingu

  Рет қаралды 7,624

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

Пікірлер: 72
@emmanueljohn7
@emmanueljohn7 5 жыл бұрын
Mchungaji hauko sawa kwa sababu Injili lazima iwafikie watu wote. Wewe mwenyewe mbona Umenyoa Denge Tungerudi kwenye Maandiko wewe mwenyewe Una Makosa Vilevile Wakubari Wakubari iyo sio kazi yetu ni kazi ya Mungu tu,.... Wachungaji wengi leo wanafanikiwa kukusanya waumini Kanisani tu na si Kuokoa Roho zao, wanapenda kuwa na waumini wengi kuliko kuwapeleka Watu kwa Yesu. Unasema tusufungiwe nira na watu wasioamini ni sawa Lkn Goodluck pale Hajafungiwa Nira, kama Angefungiwa nira Angeimba Bongo freva, asingeruhusiwa Kusema Bwana Yesu Asifiwe, Kumbukumbu yangu inaniambia kila Mwenye Pumzi Amsifu Bwana, sio kila mlokole, sio kila asiyekuwa na Dhambi, acheni Kuhukumu Walevi na wazinzi Wapeni Habari njema za Ufalme wa Mungu,... 🔥 Wapo wengi mbingu hawataiona kwa kujiona ni miungu watu,.... Songa mbele Goodluck Neema ya Bwana Yesu Kristo ikufunike katika wote hao hata Mmoja akipokea neema ya Mungu, Mungu atakupatia thawabu. 🔥 ETI TUSUFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI INA MAANA INJILI NI KWA WALOKOLE TU,... SIO SAWA NENDA GOODLUCK SONGA MBELE, NA WEWE MCHUNGAJI KABLA YA KUMUHUKUMU TAFUTA NAFASI UFANYE INJILI MBELE ZA WENYE DHAMBI HATA 500 TU AU ANDAA TAMASHA KAMA ILO ITA WAIMBAJI WA GOSPEL TANZANIA NZIMA FANYA GOSPEL NI AIBU KABISA TUNAZIDIWA NA WATU WA MATAIFA NA WATUMISHI TUPO TU HONGERA SANA Goodluck Gozbert. Yesu Kristo ni Bwana
@keziahnyanjui1612
@keziahnyanjui1612 5 жыл бұрын
Yo've said it right brother... Bless your heart..
@emmanueljohn7
@emmanueljohn7 5 жыл бұрын
@@keziahnyanjui1612 amen
@khadijahangida5421
@khadijahangida5421 5 жыл бұрын
Uko sawa
@sharifumagomba90
@sharifumagomba90 5 жыл бұрын
Aliokowa wangapi naviuno alivyokua anakata? ??pastor ukosawa kabisa
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
emmanuel john umeona hawa wanajifajificha maovu yao mno
@siwaleshadrick41
@siwaleshadrick41 3 ай бұрын
Amina, ubarikiwe mtumishi wa Mungu. Na hii ndio injili ya kweli, watachukia lkn, ujumbe umefika na ww umenawa.
@melody_mike_mavoice
@melody_mike_mavoice 2 жыл бұрын
Thank God you your so perfect ....
@Gindi-v7g
@Gindi-v7g 5 күн бұрын
God bless you mtumishi,uliongea ukweli kabisa,Leo hii tungalijua tunajuta😢lakini Mungu yupo.
@mosesmwafwenga4133
@mosesmwafwenga4133 5 жыл бұрын
Goodluck yupo sahihi kabisa wala sio mdundishaji kama unavosema nyinyi ndo mnakwamisha waimbaji wetu wetu goodluck songa mbele bwana
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 жыл бұрын
sasa kwenye fiesta sindio kuna wanaokwenda kinyume akienda kuimba mambo ya mungu kule sindio kwenyewe
@rabecamapunda6389
@rabecamapunda6389 19 сағат бұрын
Pata ubatizo sahihi, ubatizo ULIOTUMIKA KWENYE BIBLIA uko hapa. Matendo 2:37:38. Matendo 8:14-17. Matendo 10:47-48. Matendo 19:1-7 Hakuna mtu kwenye Biblia aliyewahi kubatizwa kwa jina la Baba Mwana na Roho Mtakatifu. Neno linasema TUBUNI MKABATIZWE KILA MMOJA KWA JINA LAKE YESU KRISTO, MPATE ONDOLEO LA DHAMBI ZENU, NANYI MTAPOKEA KIPAWA CHA ROHO MTAKATIFU. Kama umebatizwa kwa jina la Baba Mwana na Roho Mtakatifu, rudia ubatizo wa kweli , kuna wenzako warudia kubatizwa Matendo 19:1-7
@jonaswingodmushi2608
@jonaswingodmushi2608 5 жыл бұрын
Brother umemaliza yani. Be blessed indeed. Wenye kukuelewa watakuelewa tu ndg yangu.
@dotopeter1509
@dotopeter1509 5 жыл бұрын
ⓚⓐⓜⓐ ⓤⓝⓐⓜⓚⓤⓑⓐⓡⓘ ⓜⓔⓢⓗⓐⓒⓚ ⓛⓘⓚⓔ ⓗⓐⓟⓐ
@RhodaKibona-w9j
@RhodaKibona-w9j 3 ай бұрын
Yesu anarudi, majibu yatapatikana!!!!
@keziahnyanjui1612
@keziahnyanjui1612 5 жыл бұрын
GoodLuck said something the other day that is really mind blowing... "However the calling of God is working in his life only him n God knows"... jamani our job is to love n God does the judging...
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
Keziah Nyanjui Ndio kweli hawa wachungaji nao wanazingua tu
@mathewdyzymaleyafrica9128
@mathewdyzymaleyafrica9128 3 жыл бұрын
toka hapa
@gibsonkagoma3491
@gibsonkagoma3491 5 жыл бұрын
Baba nimekuelewa sana umejibu vema
@ainekishagodwin1877
@ainekishagodwin1877 3 ай бұрын
Jamani sio kila anayeimba nyimbo za din kwamba katoka Kwa Mungu mkipenda kufatilia watu mbingu mtaikosa sababu wengine ni mawakala wa shetan
@adelinaaudax2572
@adelinaaudax2572 5 жыл бұрын
Ubarikiwe bishop
@motowainjili-1
@motowainjili-1 5 жыл бұрын
salute sana mtumishi meshack
@monicatankini5958
@monicatankini5958 5 жыл бұрын
Sawa,msemaji wa mbinguni,ila g hajakosea chochote coz bibilia inasema nendenjiapanda mkahubiri neno aaminie na kuokoka atabatizwa ,xso we mwenyewe unahukumu we nani ,kwendaaaaaa g piga kazi tena wafate ukouko utalipwa na mungu na sio wanadamu ,hata ukizunguka hadi mbinguni kikubwa imani upo.
@monicatankini5958
@monicatankini5958 5 жыл бұрын
@Greyson Mdee ulitaka,akawaubilie waliopo kanisani ambao teali wanamjua yesu ,we mjinga mwenzangu.
@gideonbutalaye2921
@gideonbutalaye2921 5 жыл бұрын
nafikili alivyo eleza Mchungaji inaeleweha kama unabish nawewe katubu
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Shida waimbaji hawalipwi kanisani,sasa acha wakasake noti huko fiesta. 1 wakorintho 9:9-16
@philipondumbaro7668
@philipondumbaro7668 2 жыл бұрын
Kwani injili inapelekwa kwa watu wa namna gani maana nashindwa kuelewa
@zuhurashaaban4815
@zuhurashaaban4815 5 жыл бұрын
Msikilize mungu kaka g nakupenda ila angalia ucjitenge namungu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 ай бұрын
Mi siungi mkono kwa kuwa madhabahu zilizo andaa hio fiesta ,huyu mwimbaji akatubu,nakumbuka alienda kwa nambii wauongo. akaumanishwa kuptia zawadi
@mckingmojojo363
@mckingmojojo363 5 жыл бұрын
Umenena kweli Mchungaji Meshack Salum
@mtishibgwicha8084
@mtishibgwicha8084 5 жыл бұрын
barikiwa mchungaji
@davidedward7281
@davidedward7281 5 жыл бұрын
Isaya aliambiwa apeleke ujumbe akiwa uchi ,it depend but injili iende mbele ustaalabu baadae
@clarencemitega6270
@clarencemitega6270 5 жыл бұрын
Nyakati za mwisho,tuwe macho wana wa MUNGU!
@dotopeter1509
@dotopeter1509 5 жыл бұрын
Nakubari
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Haha hiyo ebo namkumbuka bibi yetu alikuwa anaipendaga uwo usemi
@andreamchome9541
@andreamchome9541 5 жыл бұрын
Kwanini hukuona vema kumuita mkiwa wawili tu ukamuelekeza.
@melody_mike_mavoice
@melody_mike_mavoice 2 жыл бұрын
All i could read from this guy he is so judging ...but why are most of ministers this way
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 4 жыл бұрын
Wote watubu. Neno hawana NENO KIBIAHARA. TUMUOMBE MUNGU, WA MUNGU TUNAWAJUA NA WA IBIRISI
@boasmbwaga5114
@boasmbwaga5114 5 жыл бұрын
kiukwel amezingua
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718
@mwimbajinamwalimujaphetgeo1718 5 жыл бұрын
Tatizo nyie waimbaji mliotangulia hamja ungana na kuanzisha matamasha makubwa ya kidini. Hivyo wachungaji, mitume, maaskofu, na Wainjirist anzisheni matamasha km hayo, ili watu wasiende huko duniani.
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Ni kwel mwimbaj na mwalimu japhet ilitakiwa na wao wawe na Fiesta Yao japo kaongea maneno ya maana, nimemuelewa sana
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Hila kwenda kuchezea, clabu hailusiwi kwa mwimbaj Wa dini japo wanasema yesu alishuka uko
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Na ndo mana mwenyew ameogopa tena kuwaandikia nyimbo wana bongo fleva alisema watu walikuwa wanaongea sana. Nimeshangaa kusikia moyo mashine ya Ben Pol kumbe aliandika yeye na nyimbo ya Baraka da prise anajuwa kutunga
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Hila good nyimbo zake tunazipenda sana watu wanaguswa nazo sana. Kama rose muhando Enzi izo nyimbo zake Paka, Waislam walikuwa wanazipenda baba anampenda jenifa anasema nyimbo zake NZUR zimetulia rose za fujo nikamwambia mbona naye anazo ambazo zimetulia ngoja siku nitamuwekea mwenyew atazipenda yani baba ulisema jenifa anakuja kanisan yupo lazi aende akamuone
@Martindavid-g5x
@Martindavid-g5x 3 ай бұрын
Wanamaskio ila hawasikii ukwel ukisemwa unachukiwa
@esterlamecklameck8340
@esterlamecklameck8340 5 жыл бұрын
Gud napenda kaz yako lkn uendako siko kaka angu,kaongea vyema huyu mchungaji
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Wewe umeleta wangapi?
@Godlovestephenofficial
@Godlovestephenofficial 4 жыл бұрын
HaaaahAaaaaa
@ezekielmartin5675
@ezekielmartin5675 4 жыл бұрын
Uwe tayari nyakati zote
@eliasrodman9970
@eliasrodman9970 5 жыл бұрын
balaaaa zitooooooooooo
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 4 жыл бұрын
Hapana ushirika kati ya giza na nusu.
@siwemamichael690
@siwemamichael690 5 жыл бұрын
Ni wivu tu nyamanza wew
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 4 жыл бұрын
Hujaokoka wewe wala neno hujui, na wala hutaki kujua.
@maimunafundi3544
@maimunafundi3544 3 жыл бұрын
To a boliti kwanza
@monicaalanus4570
@monicaalanus4570 5 жыл бұрын
Mchungaji umekoseya kwasababu shaujui jinzimunguanavo mutumia
@christina_john77
@christina_john77 4 жыл бұрын
Monica Alanus kweli kabisa
@evcloudjuma9790
@evcloudjuma9790 5 жыл бұрын
Anatafuta kiki bwege huyu!!kasome vizur bi
@captenndunga6199
@captenndunga6199 5 жыл бұрын
Wee ni kafiri kaa kimya.
@barakamahimbi9856
@barakamahimbi9856 5 жыл бұрын
We uwezo wako wa kifikra mdogo xana ungekua na akili timamu ucingeongea hayo
@andreamchome9541
@andreamchome9541 5 жыл бұрын
U swear?
@alexleganga8850
@alexleganga8850 5 жыл бұрын
kwa kweli gud ni muhuni tu hayupo ki mungu kabisaaa
@wilbertseme5455
@wilbertseme5455 5 жыл бұрын
Pastor umeongea ukweli mtupu huyu asijitetee anatafuta umaarufu huko na na njaa hizi baba MCH ndio zinawapeleka na kuanza kujiulinda KWA maandiko ambayo hata hayaingii hapo
@lilianjosephat9151
@lilianjosephat9151 5 жыл бұрын
ujumbe.ni.mzuri.una.nguvu .mungu
@sylvanemmanuely8333
@sylvanemmanuely8333 5 жыл бұрын
@@wilbertseme5455 Nyie hamjui lolote kwan, Yesu aliwabagua watu nyie mna chuki zenu tuu..!!
@johniwangombe3009
@johniwangombe3009 5 жыл бұрын
Muchungaji unawivusana wewe mbonshujsongeles wengine nyamazabasi imbanyimbozako achakufatilia zawengine
@meshakikigumbi4459
@meshakikigumbi4459 5 жыл бұрын
ASANTE SANA WAJINA MUNGU HAKUTUNE.
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 5 жыл бұрын
acha ujinga ww
@gideonbutalaye2921
@gideonbutalaye2921 5 жыл бұрын
Yeyote anaebisha na huu ujumbe nayeye pia atubu maaana unatetea uovu,
@williammasubi1114
@williammasubi1114 3 жыл бұрын
👍👍👍
Salama Na Goodluck Ep 31 | WASTAHILI SIFA Part 1
31:43
YahStoneTown
Рет қаралды 98 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Don’t Choose The Wrong Box 😱
00:41
Topper Guild
Рет қаралды 62 МЛН
It works #beatbox #tiktok
00:34
BeatboxJCOP
Рет қаралды 41 МЛН
Goodluck Gozbert - WAONYESHE (Official Video)
3:40
Gozbert Ministries
Рет қаралды 261 М.
Salama Na Goodluck Ep 31 | WASTAHILI SIFA Part 2
24:51
YahStoneTown
Рет қаралды 50 М.
Benjamin Dube ft. Hlengiwe Mhlaba - Kubobonke OThixo (Official Music Video)
15:28
Dube Connection Enterprise
Рет қаралды 8 МЛН
Goodluck Gozbert -BADO (RUDISHA KAMBA) SMS SKIZA 6983633 TO 811
5:27
Gozbert Ministries
Рет қаралды 351 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН