Mchungaji Hananja asimulia alivyotoka kwenye Maisha ya Utukutu, Baunsa wa Bar hadi kuwa Mchungaji
Пікірлер: 39
@jacobnduya798 Жыл бұрын
Nimegundua siwezi kuchoka nikimsikiliza huyu mchungaji😁 Thanks alot for interview kumbe ujana maswali uzee ugonjwa utoto utumwa🤭
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Dunia ya Sasa wanahitajika watu kama hawa. Ukiwasikikiza hata kama unamawazo unatudi kwenye furaha.
@oyay2821 Жыл бұрын
Mfupi kama tairi ya gari, nguvu kama faru John🤣🤣🤣
@princessjj8298 Жыл бұрын
Huyu baba ana kipaji cha pekee sana, yaani anaongea neno jipya kwa kadri anavyoendelea kuongea hata watangazaji mnakosa maswali ya kumuuliza. Haichoshi kumsikiliza😅😅
@abdulomary61282 жыл бұрын
Huyo power misunga alikuja kuwa mlinzi kwenye kampuni ya Mohamed Enterprise, alikuwa na maneno kama huyu aiseee, hatari sana.
@alphoncemayala4214 Жыл бұрын
Haaaaa naona Siku hio jahazi mlipata mtu na nusu 😂😂😂kwani Yale maswali yenu leo hayajapata nafasi au vip
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Uyo mchungaji Yuko sawa
@ibrahimsanga690 Жыл бұрын
Namba 2 namba ya masaidiano..
@constantinennonjela3922 Жыл бұрын
Huyu pastor ni zawadi ya furaha
@janejohn1083 Жыл бұрын
Mchungaji kabla hajaongea Mimi nimeshacheka hatanikiwa namawazo vipi ananifariji
@eliabazil45802 жыл бұрын
mchungaji ana maneno matam sanaaaaa
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ubarikiwe Hananja
@ochutrendmwonekano56192 жыл бұрын
Aseeee
@ZROST Жыл бұрын
We mjungaji mungu ni mwema unaongea vizur Unakipaji
@hemedmalamsha8829 Жыл бұрын
Huyu mzee namkuli sana anajua
@aishatest4451 Жыл бұрын
kweli
@MarandaIhonde-qe6df Жыл бұрын
watu wa namna hii mngu awe anawareta wengi iri waokoe iki kizazi
@personpeter2221 Жыл бұрын
Interview tam hasa nmeipenda
@hannamakamba61082 жыл бұрын
Mchungaji comedy
@mrmartinipaul2464 Жыл бұрын
Waongo mbwa nyie hiyo ya kutoka kuwa bausa wa baa mbona hatujaisikia