Saaaafiiiiiiiii mchungaji. Wewe ni mfano wa wachungaji tunaowataka. Nakupongeza sana.
@OmmyJames-xn7ji6 күн бұрын
MCHUNGAJI kawasahau MAPALOKO yeye kaingia SIASA SADAKA ZIMEPUNGUA sana sababu wengine tumekimbia 🤩🤩
@HafidhKhamis-ph8qg6 күн бұрын
Nyie wakristo acheni kushabikia uyu mchungaji hajielewi ni chadema tu uyu Hana lolote
@rebeccamaziku50706 күн бұрын
Mchungaji Mungu akulinde. Na hao weaked people let the be cursed until their great grandchildren in the NAME OF JESUS CHRIST.
@PauloAlfayo-qi1gn6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉amen mungu akulinde
@phillipmasungwa73657 күн бұрын
SAHIHI KABISA ULIYOSEMA.
@AdamTenda6 күн бұрын
Huyu si mchungaji sio mtumishi wa Mungu. Huyu ni zero nyeusi kabisa.
@zawadisisto81886 күн бұрын
Je wewe ndio ulie muajiri
@ezrasanga5066 күн бұрын
Acha ufala ndugu yangu...😢😢
@christopherkaroli93656 күн бұрын
Zero ni wewe paka mkubwa
@thedosiamremi26076 күн бұрын
Hujielewi
@AdamTenda6 күн бұрын
@@christopherkaroli9365 kumbe imeuma? Mbona maandiko yako wazi.kama unamtetea leta hoja ya maandiko( neno la Mungu )
@mr.yahzadochuno79146 күн бұрын
Hatukutaki samia must gooo
@thedosiamremi26076 күн бұрын
She must go sheet
@user-bo7rg6rw6n6 күн бұрын
Wachungaji tuombee amani nchi yetu si kuhamasisha machafuko kaziyetu ni kumuomba Mungu atusamehe wote Mungu aturehemu
@Romanasilvan9686 күн бұрын
Kabisa, Tunapaswa kuomba Toba, na kuwaombea viongozi wetu, watawale kwa hekima za KIMUNGU. Na sio kuchochea Vita au chuki.
@MariamAbuubakar-e5o7 күн бұрын
Ndugu yangu unasema kweli lkn tanzania haitaki ukwel naww baba angu jiangalie ya mkn unaweza kuuwawa kwakwel mungu shuka tanzania yetu imesha kufa samia nchi imekushinda achia madaraka kwani umesha dhulum sana nasfi za watu wengi sana kwakwel inauma sana😢😢😢
@suleimanmkongwa99506 күн бұрын
Nahuo ndio ufala wenyewe sasa kwani kuna atakae baki milele!? Wacha wanaume waongee ukweli wanaojitolea kwaajili ya wengine,waunaleta uoga kwa sababu haijatokea katika familia yako,namuomba Mungu ajaalie itokee kwenye familia yako sikumoja ushudie halafu maumivu yake halafu tuone kama utaleta huo uoga wako wakikekie
@JamesJastin-bg1rx6 күн бұрын
Wew itakuwa hujielewi
@ezrasanga5066 күн бұрын
Au na wewe ni mmoja wao?😢
@WingodEpafra-dl1cd7 күн бұрын
Mchungaji yy kafikisha ujumbe wake
@renatustinsimile54105 күн бұрын
Maweee! Mchungaji kwa maneno hayo tu! Mwana wa mungu aliyehai akulinde
@tumainimwaifunga38847 күн бұрын
Ushauri wangu jilinde
@zawadisisto81886 күн бұрын
Hata ukinyamaza utakufa ukisema bado utakufa tuu sasa uamue wewe
@Ndu-wa.uroony26 күн бұрын
Unajilindaje sasa?
@zebedayokatamaduni96766 күн бұрын
Wakoma waliamua kwenda kukabili majeshi ya washami kuliko kufa kwa njaa
@Romanasilvan9686 күн бұрын
@zebedayokatamaduni9676 Ni sawa, lakini kumbuka walipata Kibali kwa MUNGU, baada ya Elisha kuomba, je sisi tunakibali mbele za MUNGU?😢😢 Tujitafakari. Tumemwacha MUNGU. Tunapaswa kumlilia MUNGU kwanza, kama wana wa Israeli
@adorchmassimba44136 күн бұрын
Mchungaji mtamlaumu masauni bule nimemuona msibani akiwa anahuzuni kubwa sana mpaka akamuombea kheli marehemu kwa mwenyenzi Mungu aipokee roho yake mahali pema peponi Amin naamini masauni ni mwisramu safi naanahofu ya Mungu nayaliotokea mauwaji wa kada wa chedema hausiki
@geey78936 күн бұрын
Kama hawezi kukomesha haya maswala ajiuzulu anafanya nn madarakani? Anapata utamu gani kweny hicho kiti? Watu hawasemi anauwa ila anachangia mauwaji
@SamoraTabaga6 күн бұрын
Kwani wachawi hawahudhulii msibani na wanahuzuni sana.
@Romanasilvan9686 күн бұрын
Sisi tunapaswa kuwaombea Viongozi wetu mbele za MUNGU, Watawale kwa hekima za KIMUNGU. 😢😢 Ni huzuni sana, haya si mambo ya kishabiki, Sisi tumemkosea MUNGU. Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini?😢😢😢
@BARAKAJOSEPH-j4u5 күн бұрын
Hujui mtu anaweza ingia mskitini au kanisani na asiwe na hofu ya mungu
@MchungajiNzelani7 күн бұрын
Mzee butiku amesema uoga wenu mtakuja kujuta
@Romanasilvan9686 күн бұрын
Shida sio uoga, tujiulize, Je, Tunakibali mbele za MUNGU, ??. Tuombe toba kwanza.
@MusaOgwoko7 күн бұрын
Mtu wa mungu ndio Hawa sio wale wa sadaka
@DaudiMakaza4 күн бұрын
Mungu akupiganie baba
@dorothymbuere52366 күн бұрын
Tunaambiwa ukimwendea Mungu kwa hasira na matukano na umebeba watu Mungu hasikii hanageuza tena ukiraani apo basi unajichukulia maamuzi mwenyewe. Tena kwenye Biblia inasema usimwendee Mungu na hasira. Mwachie Mungu anaona kila kitu. Yakobo sura ya nne tunaomba vibaya ndio maana hatujibiwi. Mungu atuurumie. Poleni sana ndugu. Ndio Dunia Tusubiri Unyakuo tutakuwa tayari kumuona Bwana tukiwa safi rohoni?
@Romanasilvan9686 күн бұрын
Ni kweli Sisi tunapaswa kuiombea nchi yetu pamoja na viongozi wetu.😢😢 Baba zetu walitenda dhambi, hata sasa tunayachukua maovu yao. Je, Misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini.?. Tumlilie MUNGU.
@bishoparronmgaya17497 күн бұрын
Msisahau kwamba hatupo mbinguni wala paradiso hapa siyo peponi. Nikweli mauaji si jambo la kushangilia lakini ni muhimu kusema ukweli bila kutukanana.
@SalumFuraha6 күн бұрын
Kuomba heri ni wema
@PatrickJulius-uy3yb6 күн бұрын
Naona tanzania inaenda kuwa huru baada ya kumariza muhura wa wazee waoga sasa tupo gen Z no retreat no surrender
@ezrasanga5066 күн бұрын
Katukana wapi?😢😢
@jeniphermyingajeniphermyin80296 күн бұрын
Amen
@CharlesMulaki-j8h7 күн бұрын
Mch yupo sawa watanganyika hamjitambui haya mambo ya kuuana
@DaudiMakaza4 күн бұрын
Amina baba
@MagangaAbdallah4 күн бұрын
Hiyo si kweli Mama Samia Ataendea kuwa Kiongozi Wetu .Vyombo vipo kazini Tusubiri Uchunguzi.
@MWINJILISTHURU5 күн бұрын
Haya wakuteke na wewe tuone kiburi chao, maana raisi wa nchi hii haruhisiwi kusemwa, ni zaidi ya Mungu.
@sethstiven33936 күн бұрын
Damu dam dam damu damu damu zinamwagika Tanzania
@petermabura61516 күн бұрын
Safi
@neemanziku54036 күн бұрын
Ni kweli kabisa Mungu hapendi kutetea uongo wala kuwa shuhuda wa uongo mtumishi uko sawa
@thedosiamremi26076 күн бұрын
Nimempenda bure Mungu alete wengine kumi nchi utakuwa na heri
@AmosRugaimukamu7 күн бұрын
Tumechoka sana
@EzekielKandonga6 күн бұрын
Kwa tulipofikia tutasema Ukweli,Bora watuuwe tu
@PatrickJulius-uy3yb6 күн бұрын
Naunga hoja hatuwezi kuishi kwa uoga
@ElizaAxson4 күн бұрын
Wàchungaji mmekua mnasahau kazi zenu sasa taifa lina potea badala mliombee mnaanza ujinga ata usituunganishe wakrsto wote fanya uo ujinga pekeako sisi tutamuomba mungu mungu ndii muhuku wawisho
@abdalahasuman87406 күн бұрын
💪
@rebeccamaziku50706 күн бұрын
Na mtu wa Mungu ndiyo hiyu anayekemea maovu na siyo sadaka tu kabla hata ya neno inasisitizwa sadaka kwanza. Yani inasikitisha watumishi wengi wamekaa kimya hawalikemei hili jambo.
@user-tt1nm9xs4n6 күн бұрын
Wanawaza sadaka
@VuaiBabaSafi15 сағат бұрын
Mimi ni mzanzibar tuvunje mungano hili ndo tatizo mungano haufai na jamani tuazisheni wabara wote warudi kwao
@batwelimahenge78507 күн бұрын
🙏✔️
@makoromaregesi48915 күн бұрын
Inaonekana u utanganyika na uzanzibar unawauma sana muungano ni lazima na mzanzibar lazima atawale kwa sababu ni sehemu ya muungano masauni asijiuzuru wala i g p wasijiuzuru wanapaswa waongeze juhudi za usimamizi wa kazi zao je waliouliwa singida na mganga je masauni aliusika acheni chuki za uzanzibar nautanganyika tumuachiye mungu ataukumu kwa maana ndiye mwenye haki
@SmilingApron-zw6ne6 күн бұрын
NAJUA WANAOKUPONGEZA KWA COMMENT HAWAJUI MUNGU AWASAMEHE, NA WEWE NAKUAGIZA ACHA HIYO TABIA YA KUMZOMEA RAIS WA NCHI, KAMA KUNA SHIDA JE MUNGU WETU ANASHINDWQA KUTENDA HADI UFIKIE HATUA IYO?
@deusdedithjoseph758813 сағат бұрын
Mchungaji unamtukana Rais wa nchiiii???
@godwinshoo50324 күн бұрын
Wakristo kuweni makini na watumishi wa mungu kama huyu msije kutenda dhambi bila kujua!
@EliaHiluka6 күн бұрын
It is true
@KhalfanHamisi-p8x2 күн бұрын
Ungekuwa na akili usinge ropokwa huna utume wala unabii ungetuonesha kitabu ulichopewa naMungu
@IddiMahanga6 күн бұрын
Ni kweli baba mchungaji wengine wanacha watu wapoteye wanankâ kimya
@petromwashusa99486 күн бұрын
Mchungaji gani anamtukana Mh Rais. Kama wewe hutambui hadhi na nafasi ya Rais wa nchi heri ikae kimya. Fanya kazi za uchungaji wako.
@HajiAmbali-jq9dr4 күн бұрын
Wewe ni chadema huna lolote ccm haitoki daima mbele nyuma mwiko koma
@godfreymasele88536 күн бұрын
Huyu siyo mchungsji ni mchungwani kada wa chadomo. Jina la Yesu halitumiki hivyo . Fikra zako ,mawazo yako ni yako. Hata hao unaowafikiria ni wasafi ni wachafu hivyohivyo. Nabii njaa nabii tapeli. Heri wapananishi maana hao watamuona Mungu. Usihukumu usije ukahukumiwa. Chacha wangwe yuko wapi? Tuambie mganga njaa.
@user-tt1nm9xs4n6 күн бұрын
Toka hapa shetan
@zawadisisto81886 күн бұрын
Wewe ndio mchungaji kwa kuwa moyo wako umejaa unafiki
@ezrasanga5066 күн бұрын
We fala usituchochee hasira tukupopoe na mawe....huyu Mzee kakosea wapi?...Watu wangapi wameuawa na serikali haijachukua hatua?...haya hao ni Chadema, aliyemteka Roma ni nani?, aliyemteka Mo ni nani?...Acha uboya wewe??😢😢😢
@christopherkaroli93656 күн бұрын
Wapatanishe huku mko mnaua watu
@bintmrisho35266 күн бұрын
Bila shaka ww ni lusifa kwaiyo umefurah mauaji yanayoendelea na watu wanaopotea je
haya ndo madhara ya serikali kutoshughulikia matatizo ya wanachi kwa wakati madhara yake wananchi hupanic na kuzungumza lolote litokalo mdomoni
@AbdulrashidKitadu6 күн бұрын
Maneno haya angeongea sheikhe angeonekana mdini.ila mkiongea nyinyi sio wadini.kipindi cha makufuli mlifunga midomo.
@BjleonardBhianda6 күн бұрын
Jamani watumishi wengine mnatumia jina la Yesu Kristo vibaya!! unaongea maneno magumu mazito husiyokuwa na akika nayo...inaonekana wewe ni mwanasiasa sana zaidi ya kiongozi wa dini...huwezi kuilani serikali ambayo Mungu ameiridhia kuwepo..Ndiyo maana Mungu katika maandiko matakatifu amesema atahukumu dhamiri za wanadamu...je Masahuni ndani ya dhamiri yake amependa haya yatokee? au rais wetu amependa haya yatokee ili serikali yake isemwe vibaya?...Mungu ni wa haki na atahukumu dhamiri za wanadamu kwa haki...tunatakiwa kuwaombea viongozi na si kuwalaani kwa chuki za dhahiri kabisa,narudia kusema Mungu ni wa haki anajua kinachoendelea mtu yeyote anayefanya utekaji huu au mauaji haya ili serikali ionekane mbaya hipo siku atajulikana.Namuomba sana Mungu kama Mkristo na Mtanzania ,Mungu aulinde muungano wetu,awalinde wananchi wote na viongozi wote aliotupa Mungu kuanzia raisi kushuka chini...tusipende kulaani pasipo kuwa na ushahidi...Jicho la Mungu ni la haki na litahukumu dhamiri za wanadamu kwa haki na si kwa hisia na mihemko iliyojaa matarajio binafsi.Mungu mbariki na kumlinda rais wetu na viongozi wote, na Watanzania wote kwa jumla.
@majebelemathis99916 күн бұрын
Tuungane tumkatae Samia na CCM Yao
@TUCASABUTIMBA6 күн бұрын
Usitoe maoni ya hivyo muogope Mungu mbona wafanya kama sio mtumishi wa Mungu Biblia inaelekeza mtu anapo kosea au kuanguka muombee sio kutukana Aiza Kwa maneno hayo umefanya kazi sio yako .kuzomea mtu anae kosea ni kazi ya SHETANI basi bila shaka mimi Kwa maoni yangu ww ni wakakala wa SHETANI kabisa na ninakuomba ufanye matengenezo .lsaya 38:1-10
@goodlucksawaya6 күн бұрын
Safi sana mtu wa mungu
@HajiAmbali-jq9dr4 күн бұрын
Mchungaji feki mla sadaka huna jipya
@epimackjohn4615 күн бұрын
Wengi tumechukizwa na matukio haya mabaya , na ujumbe anaoutoa huyu KIONGOZI wa dini ni sahihi ila 👻ulimi na baadhi ya matamshi❓❓ ya huyu kiongozi wa DINI katika kutoa ujumbe wake SAHIHI✔️nadhani hayapendezi .🙈
@mohamedkipara13154 күн бұрын
Udini
@sosthenesjames78216 күн бұрын
Acha kutumia jina la Yesu vibaya,jina hilo usilitumie kuchochea uovu
@mr.yahzadochuno79146 күн бұрын
Mxuuu jwendaaa
@zawadisisto81886 күн бұрын
Mungu haambatani na waoga na wanafiki ukitaka andiko nitakupatia
@ezrasanga5066 күн бұрын
Waoga hawatarithi ufalme wa mbinguni...😢😢
@makoromaregesi48915 күн бұрын
Mnashadadia ujinga wa mtu kwa kivuli cha ukristo huyu siyo mchungaji bali ni mtu asiye kuwana karama ya mungu nena kwa hekima mbona kibiti amkujitokeza kuyasema haya mnayo yasema au wale awakuwa watanzania kumbukeni akuna serikali inayo taka kuuwa watu wake tutumiye busara sana utanganyika na uzanzibar
@KolamuWabene6 күн бұрын
Tanzania kwanini huwa mnajitanhaza kwamba mna amani? Tanzania akuna amani kamwe ila kuna umwagaji WA damu ambao hunahongozwa na serekali pili kuna demokrasia bandia ambapo chama kimoja kiwe kinatawala,pale alipo fanya magufuli wanabunge wawe watu WA ccm mpaka Kura zikahibiwa,nikasema basi inchi himehelekea pabaya,hizo damu zinazo mwahika zitasema siku moja
@HijaSaid-xd7fg6 күн бұрын
Nini fasiri ya kumzomea mteule wa boss,
@zebedayokatamaduni96766 күн бұрын
Safi sana kiongozi
@khambhai3602 күн бұрын
Nabii mtanganyika Na Mimi naku zomea ooooooooooooooo.Huna adabu acha ujinga.
@kainimlowe96466 күн бұрын
Na mm nayazomea ooooooooooooooooooooooooooooooooo Kuma Nina zenu
@bintmrisho35266 күн бұрын
😂
@elizabethmunuo53793 күн бұрын
Inahitaji uchunguzi zaidi
@estambuya39016 күн бұрын
Kweli kabisa mchungaji.
@salimukimwaga-fu8cc6 күн бұрын
Tumekodishiwa viongozi Toka nje watanganyika hatuwezi ila uchawa
@IbrahimuFumbwe2 күн бұрын
We mjinga wao ndio wameteka alafu wajichunguze wenyewe???ingekua ni ndugu Yako alie uwawa?
@MasterOil-qm6vw6 күн бұрын
Kwanza shukuru sana utawala uliopo kitendo cha kujiita mtume nikosa kwenye nchi nyingine ungeshakamatwa kwa kosa la kujiita mtume lakin hapa unaweza ukaachwa tu ukajiita utkavyo hata ukitaka kijiita mungu hawana shida na wewe sasa huoni nchi hii ina amani ya kutosha mpaka unafyanya unavyotaka unaweza kuharibu imani za watu lakin serikali hii tukufu haina shida na wewe lakin unaiona haifai utakuja kuikumbuka hii serikali
@Ndu-wa.uroony26 күн бұрын
Fia mbali!!!
@VuaiBabaSafi15 сағат бұрын
Chuki tu sababu mzanzibar
@HamisMghuna-fj3vz6 күн бұрын
Kuzoomewa msibani masauni Asante kw hilo mchungaji tunakishuru mchungaji,,
@nurumohammed13106 күн бұрын
Hata samia kasema uwongo
@melichmahingule28966 күн бұрын
YESU YUPO KARIBU KUJA, TILIA MZEE HASIRA ZA NINI? VERY SOON MAISHA YATAKUWA YA FURAHA❤
@ShaloMasofa6 күн бұрын
Kuka mtu ajitetee usikubali jukamatwa nawatu usiowafahamu bila kitambulisho Bora ufie pale walipokukuta
@user-tt1nm9xs4n6 күн бұрын
Kweli
@kibedikamba76166 күн бұрын
Kwa magufuli uliwahi kuongea ayo ama sese mushaota meno. Na Bible uliisahau kipindi kile.
@Godfreymofire6 күн бұрын
masauni is a big liar, actually booing masauni is booing samia
@rahmahabibu14326 күн бұрын
Ila munamchukia samia kwa kua ni mzanzibari ila mungu ndie aliemuweka mama
@OmmyJames-xn7ji6 күн бұрын
SIO UZANZIBAR NI UDINI WANAJULIKANA HAWA
@rahmahabibu14326 күн бұрын
Wana roho mbaya t
@zawadisisto81886 күн бұрын
Mwinyi alikuwa wa wapi
@OmmyJames-xn7ji6 күн бұрын
@@zawadisisto8188 KYELA 🤩🤩
@ezrasanga5066 күн бұрын
Dini ya Uislamu inataka watu wauawe?....Na Kikwete alikuwa mchungaji wa Kanisa gani?...Unaongea makande kwenye hoja za msingi😢😢😢
@issakhalid10982 күн бұрын
Wewe nimpumbavu yesu alitabili watatokea makrisito wauogo na manabii wauongo nawatatoa ishara ya maajabu ndiyo wewe anaye kusikiliza nakukupongeza ni chizi
@MagnusMsoma-ip9tw2 күн бұрын
KAZI ya mchungaji n ipi haswa?dini au siasa,,,,,,,,,,
@LeocadiaDominicus6 күн бұрын
Nani aliyekuweka kuwa mshauri wa wakristo?Hivi wewe ukristo unaujua kweli.Acha kuchafua imani yetu wewe upo kivyakovyako
@MohammedSalumHamad6 күн бұрын
Kwa Magufuli watu hawakupotea?ulisema nini au ulikuwa haupo?
@OmarKombo-h2j3 күн бұрын
Tunamshauri mtume wa uwongo atafute kazi akafanye asidanganye watu sisi tunaelewa kuliko unavoelewa ww
@ibrahimgwasma12236 күн бұрын
Hapo kwenye serikali ya Marekani, ni kuturudisha kwenye ukoloni so hatukubaliani
@NixonJohnson-r4m6 күн бұрын
😂😮😮wataua wangapi kila siku wanajitokeza watu waliokata tamaa kwenye kuishi ... mtu ashushwe kwenye bus na kuuwawa .. hapana Makanisa yaongeee kwa nguvu zote
@godwinshoo50324 күн бұрын
Amani gani ya kumzomea kiongozi anayeongoza watu pamoja wewe
@dhamirshariff94156 күн бұрын
Kwanza hatuamini katika wachungaji ni wanafiki wapiga pesa za wajinga tu
@ElizaAxson4 күн бұрын
Tatizo nikwamba wewe unahamasisha machafuko mungu ataki sio kwamba tunafuraia apana ila omba ushamasishe machafuko wewe ni mtumishi bwana
@mr.yahzadochuno79146 күн бұрын
💔💔
@divaimafuru68446 күн бұрын
Mchungaji zomea tena😂😂😂
@selemankishema57804 күн бұрын
Wee mpuuzi tu chizi alafu mjinga wa chuki akisha kaa muislam mnakosa amani kabisa.
@MasterOil-qm6vw6 күн бұрын
Wewe mzee fikisha neno kwa kondoo wako hujui mambo ya uongozi huwenda ukipewa wewe hii nchi ukaiingiza kwenye matatizo makubwa mama samia hjawekwa na mtu pale ilishaandikwa toka samia haja zaliwa kwamba atakuja kua mtanzania na atakua kiongozi wa nchi yake acha polojo mzee kaa utafakari kwanza wewe ni muongo unajiita mtume
@LusiaThom6 күн бұрын
Wewe sio mchungaji ombea bwana unamzomea mama wa watu amekosa nn acha zako wewe
@samwelilulandala23845 күн бұрын
Huna akili wewe! Serikali kama inaona nashauri wakukamate ufungwe hufai kuwa mtumishi wa Mungu pili ni mchochezi, na ni mhaini, wewe unauhakika gani kwamba serikali inahusika na hayo? Inabidi ulisaidie jeshi
@chepkirui-vn1bu7 күн бұрын
Mimi ningesema kitu wala lawyer
@YusufSuluhu6 күн бұрын
Wewe kibabu umeshafilsika kama chadema hayooo yanauwana wenyewe😅😅😅
@zebedayokatamaduni96766 күн бұрын
Basi tu yaliyoko gizani Mungu anayaweka wazi ,
@KhalfanHamisi-p8x2 күн бұрын
Huna akili
@Luka-j7p6 күн бұрын
Unamzomea Rais ? Hadharani?
@mr.yahzadochuno79146 күн бұрын
💔💔💔💔🩸🩸🩸
@StephenRioba6 күн бұрын
Mchungaji gani unaamasisha watu kupigana na polisi.Wewe mwenyewe vita vikianza unatoroka nchi.Ushauri wako sio mzuri.Kitu cha muhimu ni kuvumiliana
@emmanuelbayi46406 күн бұрын
Riob wew unafurahia watu kutekwa na kuuawa acha mambo yako mch Yuko vzuri
@abuumrisho2043 күн бұрын
Mchungaji hajielewi, nabii feki ww
@kibedikamba76166 күн бұрын
Wewe ni mchochezi
@LuganoAmwamsojo6 күн бұрын
😂😂😂😂Safi sana mchungaji mbwa anastaili kuzomewa
@DormanDorman-jm3dz7 күн бұрын
OVYOOO
@RehemaMtono7 күн бұрын
Serikali inanuka maviii viongozi mavi matupu raisi tokaaa tumekuchokaaa
@SixmundMakonja6 күн бұрын
Huyu si mchungaji. Huyj kama kiboko ya wachawi. Kibaraka wa wapinzani uchwara.