Mwanzo mwisho jinsi Tundu Lissu alivyokabidhiwa gari lake na Polisi Dodoma

  Рет қаралды 47,681

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

16 күн бұрын

Makamu Mwenyekiti Chadema-bara, Tundu Lissu amekabidhiwa gari lake aina ya Toyota Landcruiser V8, VXR leo Ijumaa, Mei 17, 2024 ikiwa ni mwaka wa 7 tangu mwaka 2017 aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa kwenye gari hilo.
Lissu amekabidhiwa gari hilo jijini Dodoma ambapo kwa kulitazama lina alama za risasi zilikopita.

Пікірлер: 159
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 14 күн бұрын
Hiyo Gar Ibaki Makumbusho Makao Makuu Chadema Mh Lisuu Anunuliwe Gar jingine
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 14 күн бұрын
MWENYEZI MUNGU HAO WATU WATAPATA MITIHANI KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU IPO SIKU IN SHAA ALLAH AMEEN 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@ernestmwakalambo3938
@ernestmwakalambo3938 15 күн бұрын
Mungu akulinde milele mh tundulisu
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 15 күн бұрын
Mungu akulinde daima Rais watanzania 2025
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 15 күн бұрын
rais wa chadema au
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 15 күн бұрын
😂😂😂😂
@brownsebastianmwibi5647
@brownsebastianmwibi5647 15 күн бұрын
Umeongea nini na wewe?​@@samwelsimon7392
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 15 күн бұрын
@@ramsojimmykelly3379 ✌🇹🇿
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 15 күн бұрын
Rais wa Mazese au?😅😅
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 15 күн бұрын
Lisu shujaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤
@jamesurassa8091
@jamesurassa8091 14 күн бұрын
kura yangu kwa lisuuu me nafamilia yangu
@starjay3052
@starjay3052 15 күн бұрын
gali asitengeneze iyo aache wajukuu zake waje kuona itakua istory ata kisasi watalipa ila akitengeneza watasaau 😢
@costantineelisante8587
@costantineelisante8587 15 күн бұрын
Pole sana kamanda
@ElizabethMwalongo
@ElizabethMwalongo 14 күн бұрын
Mungu anampango na wewe ndiomaana akakuokoa 🙏
@MwitaBoy-pn5rm
@MwitaBoy-pn5rm 13 күн бұрын
Pole Sanaa mheshimiwa
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 14 күн бұрын
Aibu Aibu Aibu kwa Jeshi la polisi kushindwa kutatua jinai hii. Lakini tunaamini jinai haifi. Kuna siku kila kitu kitajulikana!!
@ernestmwakalambo3938
@ernestmwakalambo3938 15 күн бұрын
Mungu atakulinda milele mh tundulisu
@goodluckswai7496
@goodluckswai7496 15 күн бұрын
Mungu anakuona mkombozi wetu nakuombea kwa mungu uje ututowe kwenye hili garika la cccm
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 14 күн бұрын
Allah akusitiri,wameze wembe,
@kianda973
@kianda973 15 күн бұрын
Pole sana ndugu
@omaryidd4373
@omaryidd4373 15 күн бұрын
Mungu akulinde kaka angu tundulisu nakupenda mungu akupe umri mrefu
@TibaTito
@TibaTito 15 күн бұрын
Wanaume tunasema tunapambana ila huyu mwamba ndo mpambanaji aseeee. Real Man hana woga wala chuki na mtu!
@Nyanda506
@Nyanda506 15 күн бұрын
Wangeshindana naye kwa hoja tu na si marisasi hivyo ..Nchi ya kidemokrasia huwa haiendi kwa marisasi..Pole sana Lisu na Mungu akupe nguvu daima 😢😢😢
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 15 күн бұрын
Mungu ni Mkubwa wallah yani Risasi zote hizi
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 14 күн бұрын
Ya Mungu mengi yamekua wanyaturu wa mezeee wembeee atraghunki mighuuu juu,,hilo fumbo c wanyaturu ,ww watajiju,wajifia,myampaaa,huna baya,
@petersenteu7252
@petersenteu7252 15 күн бұрын
Love this man
@user-fl7jl7vk3n
@user-fl7jl7vk3n 15 күн бұрын
Mungu ana jambo kubwa na mh lisu mungu akulinde daima
@SaidZablon
@SaidZablon 14 күн бұрын
Kamanda karudi
@salummohamed2689
@salummohamed2689 14 күн бұрын
Aliyetuma hao wapigaji tujiulize yupo wapi? Tusimchezee Mungu au tusimfananishe na chochote,
@adolfufedinandi2534
@adolfufedinandi2534 12 күн бұрын
huenda kashaZikwa
@lucimwica647
@lucimwica647 14 күн бұрын
Pole Sana ndugu, Mungu aendelee kukulinda
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 14 күн бұрын
Historia yako Lisu imeandikwa. Umeipambania nchi kuikomboa dhidi ya mabeberu ya ndani na mabaradhuli. Mungu awalipe stahili zake.
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 14 күн бұрын
Ivi inawezekanaje mtu kutumia namba plate ya Gali lengine tokea izo siku adi sasa kama uyo mtu si waserikalikini nia yake ni nini kwanini asitafutwe na akamatwe mpaka sasa ameachwa?
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 15 күн бұрын
❤✌🇹🇿 Mh.Tundulisu baba yetu ndugu yetu mzalendo wetu mungu akuepushe na kila mabalaa na wakutakihao mabaya wasifanikiwe siku zote ameeen WATANZANIA TUKO PAMOJA NA WWE BABA
@Loshiphameliyomoleli
@Loshiphameliyomoleli 15 күн бұрын
Da.pole kamanda mungu akikataa akuna. Ampingaye
@emmanuelnyakunga8320
@emmanuelnyakunga8320 12 күн бұрын
Kamanda which
@lowkeybongo
@lowkeybongo 9 күн бұрын
Allahu Akbar
@datiusmartin6040
@datiusmartin6040 14 күн бұрын
Amen
@user-mi8te8ou1d
@user-mi8te8ou1d 14 күн бұрын
asante kwa kumkabidhi gari lake lissu
@adolfufedinandi2534
@adolfufedinandi2534 12 күн бұрын
da hii nchi ina laana mpaka aibu
@NiceMkengefu
@NiceMkengefu 7 күн бұрын
Siku uliyopigwa risasi kaka angu nilipata mshtuko mpaka nikaenda kujifungua so nilijifungua mtoto wangu wa kwanza na akawa mtoto wa historia
@mohamedsheikh6618
@mohamedsheikh6618 15 күн бұрын
Mheshimiwa, hiyo gari msitengeneze ni vyema ibaki kama ilivyo kama kumbukumbu ya kuonesha ukubwa wa Muumbaji jinsi anavyomlinda aliemuumba mpaka ifike siku yake na itimie ahadi yake ya kuwa kila mtu ataonja mauti
@zebrongondwe
@zebrongondwe 14 күн бұрын
Kuna mtu anaangalia mahali hili tukio huku nafsi inamsuta😮‍💨
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 14 күн бұрын
Na anatamani sana amfuate Lisu ,amuombe japo samahani,ila anaanzaje sasa😢
@CristinLyanga
@CristinLyanga 15 күн бұрын
Lisu wewe ni kamanda wa jeshi la wokovu.hata hilo tukio baya kuwahi kutokea juu yako nikwasababu ya kupigania haki za Watanzania hasa wanyonge. Mungu akutunze daima milele. Amina.
@Bilioneabichwa331
@Bilioneabichwa331 15 күн бұрын
Siku zote hakulichukuA? Kwann
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 15 күн бұрын
Mungu akubariki
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 14 күн бұрын
Pole sana mtani wangu
@ephrahimmwaitenda8197
@ephrahimmwaitenda8197 14 күн бұрын
Kweli mungu ashukuriwe sana
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 14 күн бұрын
WATANGANYIKA SIO UUNGWANA ,AKILI KAMA AFRICA KUSINI TABIA MVOVU KUUWA NDIO IBADA YAO NA WIZI NDIO WANAYOJUWA 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@WakaliFashionTz
@WakaliFashionTz 14 күн бұрын
Ndo kukata tamaa kuwa atakufa paka namba za gari zikapewe mtu mwengine
@Faustinfaustinfaustin
@Faustinfaustinfaustin 14 күн бұрын
Tunakupenda sana mbunge wetu wa zaman tujivunie wanasingida jembe tunalo tushindwe kulima
@nahodakhamis2903
@nahodakhamis2903 13 күн бұрын
Ushauri wangu mh lissu gari iweke kumbumbu za taifa Ili watu waje waiangalie kama kumbukumbu za taifa
@JM-eo3wo
@JM-eo3wo 8 күн бұрын
Huyu mupisani aede gm fuata siasa kama sa raila kenya saa hii baba akura ikulu
@damiankamugunda9806
@damiankamugunda9806 15 күн бұрын
Malipo ni hapa Duniani
@user-mi8te8ou1d
@user-mi8te8ou1d 14 күн бұрын
Mungu mwema
@bururemnanka73
@bururemnanka73 15 күн бұрын
Ameeen
@user-hd7gs5by4s
@user-hd7gs5by4s 15 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu na kwann awaja kutengenezea jamani
@AyoubPapiy
@AyoubPapiy 15 күн бұрын
Vipi gari ni full insurance au bima ya patasote"??
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 14 күн бұрын
Ukweli walikuwa..wanakumalisa..sasa..itabiditu..wachane..na..siasa.mungu..Mali . Amekutoa..murudietu..mungu
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 15 күн бұрын
Lissu mungu kakuacha anamakusudi na wewe tunakipenda lissu
@boazmwaipungu8989
@boazmwaipungu8989 15 күн бұрын
Mungu mkuu sana
@asteriashios1852
@asteriashios1852 15 күн бұрын
Hii nchi hii mungu simama tumeona mkono wako mungu waliofanya hivyo damu iliyomwagika na ikawe juu ya vizazi vyao haijalishi ni nani ila mungu ukaneme juu yao
@victoravelin575
@victoravelin575 15 күн бұрын
Najiuliza mbn gar walisema ipo salama sehem salama leo vioo hakuna??
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 15 күн бұрын
Ipigwe risasi milangoni vioo viwepo?
@elimishanyamoga6797
@elimishanyamoga6797 14 күн бұрын
Bora mpanga mashambulizi alikufa ndio maana mm nilifurahi sana
@khamishemedsaid2134
@khamishemedsaid2134 15 күн бұрын
Unabadilisha miwani linagara sana?
@AlexMkwama
@AlexMkwama 14 күн бұрын
Hizo ni lensse
@khamishemedsaid2134
@khamishemedsaid2134 14 күн бұрын
Lensse za macho au miwani?
@ayubunato-lg7yy
@ayubunato-lg7yy 15 күн бұрын
Msywiiiiii hii nchi hii basi tuu
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 15 күн бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu.
@johnjohnkipokola5077
@johnjohnkipokola5077 15 күн бұрын
Amen
@helvickkabunga4105
@helvickkabunga4105 15 күн бұрын
Natamani siku tuongee ata kidogo muheshimiwa
@jayson.chanel.9870
@jayson.chanel.9870 15 күн бұрын
MUNGU AKULINDE MH. LISSU....TUNAKUPENDA LISUU RAISI UNAEISHI MIOYONI MWA WATANZANIA..WOTEE
@karibunyumbani3824
@karibunyumbani3824 14 күн бұрын
Eh haishi kwenye moyo wangu
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 15 күн бұрын
DUH MWAMBA HUYU HAPA
@hashimyusuf9965
@hashimyusuf9965 14 күн бұрын
Gari hilo lisitengenezwe badala yake liifadhiwe kama lilivyo kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo humu nchini na nchi za nje!
@deohaule8161
@deohaule8161 15 күн бұрын
Mbona una chukua ushahidi, kwani kesi imeisha?
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 15 күн бұрын
tundu ana roho ngumu sana
@ludovickanael3426
@ludovickanael3426 15 күн бұрын
Nashauri hii gari isibadilishwe ilivyo,bali alijengee makumbusho nyumbani au ofisini kwake,libakie ukumbusho kwa vizazi vingi.
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 15 күн бұрын
Hili inafaa hata usilitumie liweke tu nyumban utakua utakumbuka ama wageni wakikutembelea utawaonyesha
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 15 күн бұрын
Anavyo penda sifa kila mkutano atakua analionyesha .shukulu mungu amekuokoa
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 15 күн бұрын
Ulitaka akuonyeshe wewe, acha kejeli za kipumnavu hivyo
@barmwa
@barmwa 15 күн бұрын
Ushuhuda ni kwa wanadamu na siyo kwa MUNGU
@theempire4058
@theempire4058 15 күн бұрын
Huna akili mwamba, unataka atoe ushuhuda upi, shuhuda zote za manabii walioko kwenye bibilia tunazisema kila siku na bibilia ipo miaka na miaka, fikiri kabla ya kutoa comment.
@barmwa
@barmwa 15 күн бұрын
@@theempire4058 huko kwenye Biblia ni wapi umesoma Mungu alitoa ushuhuda? Wewe mwenyewe umeandika kwamba manabii walishihudua...dah ni rahisi kumuona mwingine mjinga lakini kumbe mambo ni tofauti kwenye ground
@hamnajipyadicksoni4007
@hamnajipyadicksoni4007 15 күн бұрын
Mama yako mwambiye naye akatowe gar yake
@user-rw2mm1jk6o
@user-rw2mm1jk6o 15 күн бұрын
Ndo basi tena gari lishakua shipa😅😂😂😂
@salimsoyo8118
@salimsoyo8118 15 күн бұрын
😂😂😂
@bedsonjohn2051
@bedsonjohn2051 15 күн бұрын
Au basi acha n nyamaze
@SalambaPeter
@SalambaPeter 15 күн бұрын
Hakika mungu akisema hakuna wa kupinga
@user-sj1rf8ij7f
@user-sj1rf8ij7f 15 күн бұрын
Giza haliwezi kushindana na Nuru
@BIGCHENDREADLOCKS
@BIGCHENDREADLOCKS 15 күн бұрын
When jah bless no man case ❤
@AbelMayombo-fd7fb
@AbelMayombo-fd7fb 15 күн бұрын
Shetani hao mungu Hana baya damu yako haotaends bure
@hatimmohamed4299
@hatimmohamed4299 15 күн бұрын
Tunataka walio fanya tukio wapo wapi? , jeshi la polisi munasema mupo makini na kazi yenu Mupo kisiasa zaidi
@florencemwanansao834
@florencemwanansao834 15 күн бұрын
Serikali ya ccm haioni hata aibu. Sote tunapita dunia haina mwenyewe zaidi ya mungu. Oneni aibu
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 15 күн бұрын
MH LISU KALITOE SADAKA KANISANI .. MUNGU ATAKUPA LINGINE KWANI MUNGU ALIKUWA UPANDE WAKO
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 15 күн бұрын
DAH KIONGOZ WETU FANYA MAZOEZ MZEE HICHO KITAMBI SI KIZURI
@AlexMkwama
@AlexMkwama 14 күн бұрын
Dunia mduara, yatakukuta siku moja
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 14 күн бұрын
@@AlexMkwama WE FARA SANA YAN MJINGA XX HAPO KOSA LIPI HDI UKIMBILIE DUNIA MDUARA MBWA PANYA BUKU JERO YAN MAJITU MENGNE CJUI MLI
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 14 күн бұрын
@@AlexMkwamaKWANI LISSU ALIKUAGA NA KITAMBI CHOTE HICHO KUSEMA TU KIONGOZ WETU FANYA MAZOEZ Y TUMBO TYR USHALETA USHETANI WAKO PITA KULE
@shizoshop2469
@shizoshop2469 15 күн бұрын
Huyu lissu inaonekana anapenda sana mambo ya kesi 😂😂😂😂
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 15 күн бұрын
Wewe ungefanyaje ambaye hutaki mambo ya kesi?
@peterjengela1770
@peterjengela1770 15 күн бұрын
Amefanya nini kuashiria kupenda kesi
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 15 күн бұрын
Wewe wapenda sana wasichana au
@solomonkitonka6904
@solomonkitonka6904 13 күн бұрын
Hujui kazi ya mwanasheria
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 13 күн бұрын
Siyo Kesi tuu anapenda pia Kufirambwa Wasenge na Mashoga kama wewe
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 14 күн бұрын
Hii kesi iliishia wapi tena
@simonchristian6319
@simonchristian6319 15 күн бұрын
Huyu mwamba hawezi kufa,mpaka ashuhudie wale wote walioshiriki katika njama za kutaka kumuua wafe,lazima ashuhudie kwanza,na hiyo ndo kanuni ya dunia
@kiboshokiboshomungumkubwa7789
@kiboshokiboshomungumkubwa7789 14 күн бұрын
Maadam upo hai wewe chukua gari lako ni ajali kama ajali nyingi acha siasa wewe sio wa kwanza ishia
@erasmuskwayu5643
@erasmuskwayu5643 13 күн бұрын
Hii Dunia Ina Wapumbavu wengi sana lakini Kuna wengine siyo Wapumbavu tuu ni Ngombe kabisa ...unaweza kuwa kwenye hilo kundi
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 14 күн бұрын
Poi
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i 15 күн бұрын
MUNGU ni mwema
@muddyausi8470
@muddyausi8470 14 күн бұрын
Huyu mutu mumvumilie tu amepitia mazito sana Mungu ndo aliemuokoa hebu beba yangewafika nyie munemuona mkolofi
@JacksonMahende-ho2wb
@JacksonMahende-ho2wb 15 күн бұрын
We exavery mbona sio muungwana angekuwa kaka yako ungesema hayo au we ccm ni mama yako au baba yako
@Allybinamour
@Allybinamour 14 күн бұрын
tundu lisu hayo yote yalitokea wakat wa magufuli na uliposalimika na kifo hadi nchi uliikimbia,mama samia akakurejesha nchni na akakuhakikishia usalama wako,leo amekua mbaya kwako, ama kweli wazanzibar wanaosema muungano sasa basi ni haki yao,ikiwa watanganyika ndo mko ivo!!!!
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 14 күн бұрын
Mwamba anaishi na risasi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 15 күн бұрын
Dereva wake alihusika.Tena sana Lissu a n amfichia maovu yake.Wote tunafahamu.😮
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 15 күн бұрын
Ulikuwepo? Mbona hukwenda kutoa ushahidi?
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 14 күн бұрын
Magu kufa kabisa muuaji mkubwa
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i 15 күн бұрын
Nachotamani lissu awe rais tujue walotakaa kumuua
@victorwilliam1111
@victorwilliam1111 15 күн бұрын
Kumbe Risasi ni kitu cha kawaida.
@AlexMkwama
@AlexMkwama 14 күн бұрын
Subiri yakukute
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 15 күн бұрын
Kudadadeki chupu chupu 😂😂😂
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 15 күн бұрын
I'm
@deusdeditsimba4452
@deusdeditsimba4452 15 күн бұрын
Muacheni MUNGU AITWE MUNGU,NA MUNGU NI MUNGU HANA MBADALA
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 15 күн бұрын
Duniani Kuna watu wajinga sana unafulai mwenzio kupata matatizo kweli jamani angekuwa ndugu yako ila mungu wa haki naamini nao watakufa kikatili lissu kawafanya nini kiss kusema kweri inaniuma sana
@valenakomba7686
@valenakomba7686 14 күн бұрын
WASHWAHILI BWANA, YAANI GARI TUU MPAKA DUNIA NXIMA IENDEE.😂😂
@ramlamohamed4401
@ramlamohamed4401 15 күн бұрын
Lisu ni vizuri hiyo gari uwe unaiyendesha hivyo hivyo usiirekebishe huo ni ukumbusho sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 15 күн бұрын
Wote tutakufa Tu Hata Lissu pia . So what.Risasi kuminasita umekuwa wimbo.wangapi wamekufa😮.Vurumai tupu .na Uchizi tu.Watu wa maana nchini wameondoka sembuse wewe. RIP our dear JPM.
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 15 күн бұрын
Kwani wewe utaishi milele??
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 5 СЕРИЯ
27:21
Inter Production
Рет қаралды 582 М.
狼来了的故事你们听过吗?#天使 #小丑 #超人不会飞
00:42
超人不会飞
Рет қаралды 57 МЛН
Waombolezaji watoa ya moyoni kwenye mazishi ya anayedaiwa kuuawa na Mkewe
4:14
Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
8:19
Lissu alivyogoma kutoka Mahakamani ili asikamatwe na Polisi Dodoma
11:07
President William Ruto arrives for Madaraka celebrations
7:01
KTN News Kenya
Рет қаралды 89 М.
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 5 СЕРИЯ
27:21
Inter Production
Рет қаралды 582 М.