SAKATA LA SUKARI, WAZALISHAJI WAVUNJA UKIMYA KUTOTENDEWA HAKI

  Рет қаралды 2,250

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Ай бұрын

Umoja wa Wazalishaji wa sukari nchini (TSPA) umekanusha madai ya kuficha sukari ili kuongeza bei kwa faida yao binafsi.
Wamesema hawana nia ya kuwa waagizaji kwa sababu lengo lao ni kuzalisha zaidi, huku wakilalamika kwamba wametuhumiwa na kuhukumiwa bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.
Wamesema wao hawana nia ya kuwa waagizaji wa sukari, kwa sababu lengo la biashara yao ni kuzalisha zaidi.
Akizungumza kwa niaba ya wazalishaji wa sukari jana Jumatatu, Julai 1, 2024, mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Wazalishaji wa Sukari nchini, Ammi Mpungwe, amesema tangu utabiri wa hali ya hewa ulipotangazwa na kuonesha kwamba kutakuwa na mvua za El Nino, wazalishaji waliwasiliana na mamlaka za Serikali kuzitaarifu kwamba Desemba mwaka jana kungekuwa na tatizo.

Пікірлер: 11
@isaachayes9783
@isaachayes9783 Ай бұрын
Curtaiĺ ipo na ninyi mnafanya 'silent curtail' msitudanganye, ujanja huu mshaufanya mara nyingi ndio maana hakuna stability kwenye bei ya sukari.
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 Ай бұрын
Ukipitia comment unaona watanzania ni mazombi , hii ingekuwa inahusu mambo ya Mpira ungeona comment kama elf 20
@geofreymranda9743
@geofreymranda9743 Ай бұрын
Tafsuri ya haraka, huu ni ujumbe kwa bashe kuwa hawamtaki na hawataki kushilikina nae katika sekta ya kilimo kwa wakulima wa miiwa na wazaliahaji wa sukali🤔
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 Ай бұрын
Acheni kutuona mazuzu! Badala ya kuja na majibu ya hatima ya tatizo hili kwa wananchi mmeendeleza uchawa! GEN Z wapo wanaangalia.
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 Ай бұрын
Tatizo kwa nini kila mwaka linajirudia? Mimi binafsi naona waache uhuru wa kuagiza ili kuleta unafuu kwa mlaji suala kubwa walipe kodi au waongeze viwanda vya sukari. Hujuma za kila mwaka na kupanda bei tulisha zoe sbb zipo zipo kila mara.
@abdulikilala5902
@abdulikilala5902 Ай бұрын
Kiko wapi wabunge mliokuwa mnamtetea Hussein Bashe mlaaniwe ninyi wakina msukuma na gengeni lenu la kupinga wabunge wazalindo mlaaniwe
@isaachayes9783
@isaachayes9783 Ай бұрын
We ndio ulaaniwe maana ni mbumbumbu, unaamini maneno yao hawa bila kujiridhisha wayasemayo ni kweli au la, je kuna curtail au la,
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 Ай бұрын
Serikali ya vibaka hii
@senixdanethox
@senixdanethox Ай бұрын
Kuna shida hadi kwenye kamati za bunge kuna kauli mzee kaongea mpina anajambo lake
@godfreybigeyo4356
@godfreybigeyo4356 Ай бұрын
Tanzania ya vibaka hii
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 38 МЛН
BAGAMOYO SUGAR; KIWANDA CHENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU ZAIDI TANZANIA
26:39
PROF.MKENDA"TUNATUPA MIWA TUNAAGIZA SUKARI NJE YA NCHI TUMELAANIWA?
7:17
FULL SPEECH: Donald Trump speaks before the NABJ in Chicago
36:28
FOX 32 Chicago
Рет қаралды 379 М.
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 11 МЛН