Halima anakuwang mzuri can but ni hoja yake ndy wanaikataa 2 jmn 🎉🎉
@stevenndeda Жыл бұрын
Ww dada hunapambanasana mungu hakulinde❤❤
@FrankChalula-hz6dn7 ай бұрын
Halafu wewe mbona unaandika kiswahili kibovu sana , kwanini lkn?
@daudnorbet2366 ай бұрын
Halima anajua anachokijua very bright 🌞
@gililwise Жыл бұрын
Halima oyeeee mama Samia mpe wizara ya kilimo anafaa sana.
@emmanuelbonaventura4258 Жыл бұрын
Ana hoja lakini haimaanishi anaweza kufanikisha kilimo.
@birianination7097 Жыл бұрын
Kwa hiyo sasa ni bora tuendelee na kilimo cha jembe na mvua kinacho limwa hasa na wazee, kisa kulima kilimo cha umwagiliaji na mashine kinacho ajiri vijana ni garama.
@AbdallahThomastz Жыл бұрын
Mama nakuelewa halima
@FaustinapreКүн бұрын
I love you Mdee
@TajweedKachila-qb9eq Жыл бұрын
Yaaah big up to you 😁😁😁 if we get representative like you .....we successful our plan
@birianination7097 Жыл бұрын
What is your plan, vijana kuto pata fursa, kuendelea kulima kwa jembe
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Mboe fanya maliziano na hawa wabunge haraka ukiwatoa bungeni utaua chama
@petermwanyondo5370 Жыл бұрын
Huyu halimadee bulaya matiko bunge nk bunge linanoga malizen tofauti sna jaman
@StadiusJustus-ck8xi11 ай бұрын
Point dada point dada sema kazia hapoo
@benny4345 Жыл бұрын
Halima is spot on! She is making a lot of sense!
@birianination7097 Жыл бұрын
So the government should stop assisting over 1.6 million youth to get into modern agriculture, they should stop the program that aims to increase agro product for over 73% due to it is expensive to do so.
@nayfatyally4108 Жыл бұрын
Wema s eptu @@birianination7097
@mako331 Жыл бұрын
Yani tunawabunge wenye akili sana, ila michango yao ingesikilizwa tu
@abdillahyussuf7200 Жыл бұрын
Nakukubali dada
@dominicbinonde9163 Жыл бұрын
Anaitwa Halima James Mdee!
@liverpoolfootballclub9985 Жыл бұрын
Halima mdee breathing fire but oozing some wisdom. 🇰🇪
@DavidMohamed-r5q9 ай бұрын
Halima
@hamisimsosi6237 Жыл бұрын
Huyu ni mtu hatari Sana yaani chuki weka mbali na watoto😅😅😁😁♥️♥️🏆🏆🔥🔥
Bashe anataka kuhawa ardhi yote alafu wajukuu zetu watalima wapi?
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Kuna mashamba wamemilikishwa wageni tunayaona tuuuu afu baadae yakifikiwa na mji ukikua wanafungua viwanda. Alafu kwann sijaona taarifa ye yote kwenye kuchangia kwake huyu binti yenu?
@JamesMapapara-jw4th7 ай бұрын
Ndio shida ya waongoza vikao mtu akiongea kusadia taifa mtu anawaza uchaguz inchi 😅😂😂 kituko kweli
@sialo8624 Жыл бұрын
Genius
@anastazialushika7 ай бұрын
Sawa madam
@TajweedKachila-qb9eq Жыл бұрын
Inavutia Xana ukweli mtupu bg up mama
@dastanlufunda8846 Жыл бұрын
Tunashida nchi hii kila mchangiaji mzuri anapochangia jambo zuri in kama watu. Hawataki , kiti, ushauri kwenye vitu sence vyavtaifa , tuwape mda zaid wale wanaocahangia ukombozi, halima yuko sawa kwa hili, gwajima yupo sawa na wachache wengine tuikomboe nchi yetu jameni,.....
@Piscesblair7 ай бұрын
The problem is lack of a national strategic planning benchmarked to guide our leaders to pursue our national vision.
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
Alima mdee yuko sahii kwa mapungufu ya waziri ila wegemi kupewa arizi miaka mingi ni hatari Sana
@charlesmakuri792 Жыл бұрын
Bashe anadanganya wa at chakula kiuzwe nje ya nchi ndio bei inapanda mkulima iuza mazao siku nyingi mfanyabiashara arabica stoo ,bei inapanda mkulima anazidi kuumia wananchi nao wanakufa na njaa we mashavu yana nenepa unajisifia bure jitafali maana kuna MUNGU
@prosperidinya586410 ай бұрын
Akili kubwa sana ya huyu dada. Tunahitaji wabunge kama hawa. Lakini Kwa bahati mbaya sana mawazo ya watu kama hawa hayasikilizwi. Tutaendelea kupiga marktime Kwa tulio wengi na wachache kutengezwa mabilionea.
@EvethaBurra9 ай бұрын
Yaani tunawabunge wenye akili kama wewe 10.
@idrissaomba8803 Жыл бұрын
Nazani umejibiwa sasa, Bashe amekumaliza
@genarahaswile2990 Жыл бұрын
halima kunywa pepsi kwa mangi nitalipia
@ibrahimtesha27339 ай бұрын
Halima, wewe ni msalliti wa CHADEMA, Unashangiliwaje na CCM? SI MBUNGE HALALI!
@EzekiaMtwale7 ай бұрын
ni kwel lakin tuwaangalie wanachokizungumza kwa tija ya wananchi hususan wanyonge!
Huo ni upigaji mwingine huo mkubwa, sana haijawahi tokea
@samuelmbogo74489 ай бұрын
Madee umeongea pointi! Na huo ndiyo ukweli . Wakulima wadogo wanatakiwa kuboresha kilimo chao. Hiyo pesa ni nyingi sana.
@brunokalipesa5231 Жыл бұрын
Ila nikweli
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Duh 🧐
@innocentsaka934 Жыл бұрын
Ni Kilimo cha mjini kweli
@DONALDMTOWE-u9g Жыл бұрын
Wewe sio mbunge uliibiwa kura kawe uko hapo kimakosa kadai kura zako,na utafute chama ndio uje, ilikua zamani.
@simonloishiye7163 Жыл бұрын
Halima hoyeeeee anafaa sana kuwa kiongozi Tena Bora kabsa
@nyemombogoni3755 Жыл бұрын
Hivi naweza kujiweka hapa?🤔🤔
@Sianonyangwa-ct2vk8 ай бұрын
Naomba mikataba ya ardhi kwa wawekezaji ifutwe nitoe mfano shamba naco mbalali nakodi eka moja laki moja je unamsaidia mkulima mdogo au unamuumiza
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Halima amewazoea sana ccm anawapoteza anazungumza 7bu mnamlipa bila 7bu
@feiswalsalim21178 ай бұрын
mbolea za wazungu jeetz slitrgeza hstaa mbeguu
@isaacbarnabas9608 Жыл бұрын
She's too logical fr fr
@birianination7097 Жыл бұрын
How
@floraflora57177 ай бұрын
Uyu mtu Tanzania kweli mbona anauza ichi hii naiyo ngozi kama ya somali au ndio anatumaliza
@seifsaidseifsaid1210 Жыл бұрын
Hatuna mawaziri wakiwa nje wanapiga kelele wakipewa uwaziri hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga pesa!
@evelina96218 ай бұрын
Huyo.nibei.hafai.wizi
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Haaaaaa kilimo Cha mjinii
@onesmomasala-rg2wd Жыл бұрын
Dada uko vizuri lkn covd 19
@BoscoMaftaa4 ай бұрын
Halima Mudee
@magrethlubimbi4055 Жыл бұрын
Umenena vyema kabisa mdee
@evelina96218 ай бұрын
Wazungu.wanatucheka.bei.gani Hiyo.waziri.
@gideonmphunami2448 Жыл бұрын
Harima Mdee ni mgodi unatakiwa ulinzi
@genarahaswile2990 Жыл бұрын
bashee ni 😂
@TedyMwitadaudy Жыл бұрын
Halima.jaman Duu
@samsonkatigiri2344 Жыл бұрын
Namshauri Rais awe makini na mradi huu,nimradi wa upigaji,wakulima tayari wapo kazini hao wa kutafuta kwenye vyombo vya habari ni njia tu ya upigaji,wakuwapa hayo mashamba tayari wapo shambani wanalima,nendeni vijijini muwape hao msaada kilimo lazima kiwe ndani ya damu ya mtu sio kulazomisha watu wawe wakulima,haya ni makosa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,benki haikopeshi mfamyabiashara mpaka awe na biashara,hivyo hivyo serikali iwape mashamba ambao tayari wana shamba.
@yusuphMwebesa Жыл бұрын
washa moto
@fredrickmatiku7783 Жыл бұрын
Wapi Babutale ni mbunge bado au meneja wa mziiki Diamondplatnumz
@simongwandu7392 Жыл бұрын
CCM cha changu lakini kisa cha wabunge 19 bila chama inanipa kigugumizi
@innocentsaka934 Жыл бұрын
Hakuna ruzku kuna umiza wakulima tulimpenda akiwa mbunge sijui wizara inampoleza
@sahilimassawe3557 Жыл бұрын
Kashachokauyoooo
@DanielMsangi-x9w Жыл бұрын
Madee umeongea wengi wanaangalia leo tu !
@birianination7097 Жыл бұрын
Kwa hiyo tuachane na kilimo cha machine na umwagiliaji kisa ni cha garama sasa, Tuendelee na kilimo chetu cha bei poa cha kutegemea mvua na majembe kinacho limwa na wazee, Je hao wazee wakiisha watalima nani, Je mvua isipo nyesha tutakula nini Je hao vijana wafanye nini
@ismailferouz8688 Жыл бұрын
@@birianination7097 usitupange vijana wenyewe tunalima njo kwetu tabora skonge kaliuwa urambo uwone vijana tunavyo Lima uyo bashe si tabora one, ila hapo somkubaliii
Hivi kweli tunaweza kusema Halima mdee hatuwakilishi vyema eti kwa sababu tu CDM wamemkataa?
@salmanmagwe2612 Жыл бұрын
Simuelewi huyu mama anachoongea hapa,na anachosikitikia ni nini hasa? Mimi ni ni mkulima wa korosho naelewa ugumu wa kusafisha pori,kulima,kupima n.k. Si hata utoe basi plani yako?
@olivaerasto6669 Жыл бұрын
Ubadhilifu unaoendelea .IPO siku utautolea hesabu,uwe raisi uwe wazili uwe mbunge .au hata ukiwa mwanaichi upandacho ndicho uvunacho.hakuna atayeishi miaka puku
@eliaschipanda20069 ай бұрын
Nimemkubali huyu mama. Halima una big brain so mchezo.