#MEDANIZASIASA

  Рет қаралды 8,457

Star TV Habari

Star TV Habari

Күн бұрын

Пікірлер: 19
@PoliceBrutalityWorldWide-pd8mw
@PoliceBrutalityWorldWide-pd8mw 7 ай бұрын
Mbatia ni msomi na mwanasiasa mzuri , nakukubali toka Bungeni. Umetulia ingawa kuna usaliti. You look younger, calm and stable. God bless you always 🙏🏾
@ibrahimnyangura2195
@ibrahimnyangura2195 7 ай бұрын
👌👌
@albertvalentino130
@albertvalentino130 7 ай бұрын
Yakijirudia ya 2020 tunaweza kuwa kwenye hatari ya kutumbukia shimoni.
@jumahungulu9891
@jumahungulu9891 7 ай бұрын
@odemba👋
@reginamwendwa6709
@reginamwendwa6709 7 ай бұрын
Mbatia namkubali sana mtu wa uelewa mkubwa hekima na mcha Mungu NCCR bila mbatia inapwaya
@albongo6
@albongo6 7 ай бұрын
Mbatia ni mahiri sana
@deokessy6596
@deokessy6596 7 ай бұрын
Fact mbatia
@ChristerShao
@ChristerShao 7 ай бұрын
Mbatia hekima ipo,nilisikitika sana,alichofanyiwa na Selasini.Ni mtu wa Heshima sana.
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 7 ай бұрын
Mbatia uko vizuri sana ila odemba anataka kukubaisha, swala la uenyekiti kwa chama kinachotafuta dola siyo wakubadilisha hovyo hovyo unaweza kuleta mamuluki
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 ай бұрын
✌️👊👍.
@The199269
@The199269 7 ай бұрын
Edwin Odemba Ulindwe na Mizimu yote ya ma babu zetu
@jumayussuf6786
@jumayussuf6786 7 ай бұрын
Ccm muandishi
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 7 ай бұрын
Odemba huyu si kiongozi bandia unaowayumbisha.
@raymondswai5555
@raymondswai5555 7 ай бұрын
Odemba si mwandishi au mtangazaji mahiri,,,,uliza swali subiri jibu vinginevyo ni MDAKU tu
@csato9415
@csato9415 7 ай бұрын
Huwa nashangaa maana haachi mtu akamaliza kujieleza, labda mimi sijui... pengine ndio taratibu kwa wanahabari kuhoji !
@user-hf9kp7ys2h
@user-hf9kp7ys2h 7 ай бұрын
Ndugu odemba CCM hawachagui mwenyekiti bali hupatikana Kwa kuchaguliwa Kwa urais wake hivyo hatokani na kuchaguliwa kama wanavyochaguliwa wenyeviti wa vyama vya upinzani Kuna tofauti kubwa sana hapa na hii yote inafanyika kuwabana waliomashuhuri na viongozi wanaofanya vizuri kwenye upinzani wasiendelee kuchaguliwa. Tuviache vyama vya upinzani viwe huru kuwachagua viongozi wanaowataka wenyewe wawaongoze bila kujali ni Kwa muda Gani !
@RichadTenga-ze4vp
@RichadTenga-ze4vp 7 ай бұрын
Mbatia NI comrade,WENYE akili wanamjua ndo maana wanamwekea njama KILA kona .tunamfurahia.mchango wake tumeukosa Sana shupavu huyu wa mama tanzania.hao waliompindua tunawajua hawana lolote NI wahuni wamenunuliwa,na hawafiki popote.na tunawafuatilia Kama wanna hoja hatuzioni.tunachoona NI ndevu tu zinapepea,majungu na maneno ya uongo na ya kumchafua mheshimiwa mbatia ili wammalize hawataweza huyu NI Nelson Mandela wa tz
Apple peeling hack
00:37
_vector_
Рет қаралды 37 МЛН
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 24 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
#MEDANIZASIASA-LAZARO NYARANDU NDANI YA MEDANI ZA SIASA N CHIEF ODEMBA
54:30
VICKY KAMATA NDANI YA MEDANI ZA SIASA NA CHIEF ODEMBA.
54:58
Star TV Habari
Рет қаралды 2,4 М.
#TAARIFA YA HABARI JIONI _07/09/2024
19:00
Star TV Habari
Рет қаралды 85
It is VALENTINE | Oka, Carpoza & Binty Suzy
3:23
Wanyabi
Рет қаралды 42 М.
Apple peeling hack
00:37
_vector_
Рет қаралды 37 МЛН