Asante Bwana Yesu kwakutumia mtumishi wako kutulisha chakua hichi. Mungu nirehemu nimepata ufahamu sasa ntaanza upya una kusudi namm kunipa somo hili. ❤
@geraldmayunga14112 күн бұрын
Nadhani ni meditation ni SoMo Muhimu sana kwa mwanadamu..Pastor ikikupendeza tafuta Nafasi na taarifa za kutosha kuhusu jambo hili uweze tupa maarifa zaidi..
@simonprosperity95732 күн бұрын
My pastor my Teacher hakika wewe ni mwalimu mzuri kwangu na nakupenda umenisaidia mengi kwa mafundisho yako unayoyatoa.
@EuphrasiaNtawatawa2 күн бұрын
Powerful man of God thank you 🙏 my Lord Jesus 🙏
@godfreymwacha23403 күн бұрын
Amina hallelujah 🙌🙏
@YustinaMwita3 күн бұрын
Nimebalikiwa amen
@EM_JUNE11_WABWANA8 күн бұрын
Nabalikiwa na Neno la Mtumishi napenda sana mifano yake
@jamesfanuel45958 күн бұрын
AMINA MUNGU Katika Jina la YESU Kristo wa Nazareth alie hai NENO LA MUNGU Li hai tena lina Nguvu
@josephinecharles86156 күн бұрын
Powerful
@El9a7 күн бұрын
Wow...manifestation of the Power through the Word of God. GLORY...
@risanj-g9l7 күн бұрын
Simple but powerful, may God give you more pastor.
@hannahmanu86428 күн бұрын
Amen mungu nitie ngufu wakati niko jikone
@deniskimario92887 күн бұрын
Ameen, hili neno ni langu..
@justusmusango99778 күн бұрын
Mungu wa Israeli. What a powerful sermon
@Youth_revivaltz5 күн бұрын
Nimepokea kitu cha ziada Sana barikiwa Sana
@user-ru8ne9oi3y6 күн бұрын
Amen napokea ni langu
@ediusiganiza47376 күн бұрын
Nabarikiwa sana na neno lako
@flobad.mhubiri6 күн бұрын
Ameeeeeen. Toka Congo drc
@graysonlikwama18737 күн бұрын
Amen
@ediusiganiza47376 күн бұрын
Neno la MUNGU ❤❤❤
@graceoisso32382 күн бұрын
Amen, hakika mtumishi Sanbella ni mwalimu wa neno la MUNGU. MUNGU akubariki baba
@geraldmayunga14112 күн бұрын
Joshua 1:8..it tell us why we should meditate on word of god...Pia Pastor amezungumzia issue ya kujifunza kuisikia sauti ya MUNGU jambo ambalo wa kristo waliowengi Bado hawajui jinsi gani Tupo ktk upande Mmoja tu wa Sisi kusema na MUNGU ila upande wa MUNGU kusema na sisi tuna shida hapo