MFAHAMU MUONJA CHAKULA CHA RAIS/ AFICHUA MAISHA YA IKULU/ KAZI YA KIFO/ HAIJAWAHI KUTOKEA!

  Рет қаралды 66,238

Dar24 Media

Dar24 Media

11 ай бұрын

Maisha ya IKULU yana siri kubwa sana, Dar24 Media imefanya mahojiano na mtu muhimu ambaye ni muonjaji wa chakula cha Rais kabla hakijafikishwa mezani, amesimulia panda shuka alizozipitia.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ikulu #raissamia #nyerere

Пікірлер: 82
@msafirizakayo539
@msafirizakayo539 11 ай бұрын
Safi sana mzeee kw upendo huo wa kujitoa mhanga💐💐💐
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 11 ай бұрын
Mashaa'Allah mwenyez Mungu akuhifadhi baba na akujalie mwisho mwema yarabiy
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 11 ай бұрын
Hongera Sana mzee kamanda,kwa umri teule miaka 96. Aisee... na bado kumbukmb,sauti na uoni ni angavu. Heri ya umri mrefu pamoja nami. Mungu ashukuriwe.
@geofreymwaijonga4044
@geofreymwaijonga4044 11 ай бұрын
Dar24Media hamjawahi kuniangusha. Haya mahojiano yamenifunulia mengi kuhusu UTHUBUTU MAISHANI. Endea unachokiamini. Just big up guys. 🔥🔥🔥
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 11 ай бұрын
Geoff hata mimi nimejifunza kitu, hawa wazee walikuwa very patriotic and trustworthy
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 11 ай бұрын
Best interview ever. Hawa ni mashujaa SANA AMBAO wanahitaji kuenziwa SANA.. ukiangalia maisha ya mzee huyu yamkini ni ya duni SANA. Sijui serekali yetu inawatambua je au waenzi watu kama hawa.. Naona TV chogo.
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 11 ай бұрын
yes
@mkomoremkomore-hy3xj
@mkomoremkomore-hy3xj 10 ай бұрын
Duh boc wang hongera sana ingawa cc hatuna changamoto hzo sana ktk kuonja chakula ila hongera
@deomajiji1789
@deomajiji1789 11 ай бұрын
Amepewa upendeleo wa Mungu kwa kuwa na afya nzuri sana ya mwili....Miaka 95? Anaonekana wa miaka 75...!! Mungu akubariki...
@michaelnchagwa
@michaelnchagwa 11 ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukutunza mzee wetu
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 11 ай бұрын
Asante sana mzee
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 11 ай бұрын
Kuna mzee mmoja,niliwahi kumwona kipindi cha waziri mkuu Salimu Ahmed Salimu, anafanana na huyu mzee nayeye alikuwa anaonja chakula, nilikuwa namuona mroho sana,sasa nimeelewa.Ila hiyo kazi ngumu sana jamani, na ni ya upendo mno.Kipindi hicho waziri mkuu alikuja kutembelea JKT Makutopora.Hongera sana mzee.
@BeatusKLeon
@BeatusKLeon 11 ай бұрын
Hongera nyingi kwa Mzee wetu huyu, Mungu amhifadhi na kumbariki sana. Kwa muonjaji huyu ni hakika Nyerere hakula kitimoto
@TALLUBOY
@TALLUBOY 11 ай бұрын
Duh hatari sana Ni kweri iyo tamaduni Yakuonja chakula nikubwa Sana dunian kote
@paschalmeesay963
@paschalmeesay963 10 ай бұрын
Hongera kamada
@masoudmasasi1801
@masoudmasasi1801 11 ай бұрын
mahojiano mazuri sana ila mngenogesha na picha za mzee kipindi hicho
@stevenobunde9345
@stevenobunde9345 11 ай бұрын
Interesting history, ubarikiwe sana mzee!!!!
@chamchuuconsult4682
@chamchuuconsult4682 11 ай бұрын
Waislamu walijitoa sana kwa Nyerere wazee kama ho waikiislam wapo wengi waliopigania Uhuru kijitoa muhanga lakini Leo wanadharauliwa na wajanja wa mipango wazee walikuwa wakweli hao sio sisi vijana waleo
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 11 ай бұрын
Huyu mzee alikuwa mkweli kama walivyo waislamu wote ni wakweli kundi la watu sasa hivi linatuharibia kwa unafiki wao..!
@fadhiliromwald
@fadhiliromwald 6 ай бұрын
Huyu mzee yupo vizuri
@mussakiyondomagoga5051
@mussakiyondomagoga5051 11 ай бұрын
Ongelaa
@user-bm6ev7ff4l
@user-bm6ev7ff4l 11 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 4 ай бұрын
Ilikuwa ubabaishaji na ukosefu wa ujuzi na uzoefu kwani unaweza ukaenda. Je ukitoka unajua kinachoendelea? Trials and errors.
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 10 ай бұрын
Anayetukuzwa ni Mungu tu! Achana na hiyo habari ya atukuzwe!
@JaneMlangwa-qd1jc
@JaneMlangwa-qd1jc 11 ай бұрын
Habari, kiukweli naomba wizara husika iwaangalie kwa kuwatafuta walipo na kuwahandle,ili kuimarisha uzalendo zaidi kwa watumishi tuliopo!!
@bestantony7917
@bestantony7917 11 ай бұрын
Historia nzuri. Mwandishi umehoji vizuri ila nadhani kuna tatizo katika kumbukumbu kutokana na umri wake kuna sehemu anachanganya matukio
@ABSTemu
@ABSTemu 10 ай бұрын
Kweli. Zambia, Malawi, Samora...Ila linabakia hizi historia muhimu sana Kitaifa
@sumatraveler1957
@sumatraveler1957 4 ай бұрын
Nimewaza kitu nika Google chap , kumbe miaka ya 1960 Population ya TZ ilikua Milioni 10 tu .
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 11 ай бұрын
Duh! Jamani huyu mzee ni kiwango cha rais, serikali jitafakari la sivyo dhambi kubwa inatukabiri
@billsepengaa7886
@billsepengaa7886 11 ай бұрын
👍🤜🏼
@damianmstambi848
@damianmstambi848 4 ай бұрын
Inauma Sana kuona mambo kama,watu wanajimilikisha mapesa na kununua saaa za gharama wakati wazeee wetu wanateseka ,shenzi kabisa hawa viongozi bure kabisa
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 4 ай бұрын
Akila itakuwa watu wausalama wa Taifa wamepita hapo na kuona hakuna madhara.
@deviskitonge6478
@deviskitonge6478 9 ай бұрын
Duuuh nchi yetu inamambo mengi sn yn
@user-zd2kq6xc7u
@user-zd2kq6xc7u 11 ай бұрын
🎉
@missarepafra3973
@missarepafra3973 11 ай бұрын
Cha kujifunza hapa ni uzalendo. Kusimama kwa maslahi ya wengi. Sio watu wanajisogeza kwa viongozi na wenye vyeo na kujifanya "chawa" Lengo ni kujenga urafiki huku wakiwanyofoa kwa mtindo wa kichawachawa kunyonya damu. Chawa hawa ndio wanawachanganya viongozi wetu. Viongozi tafuteni wazalendo wa kwenda nao sio hao machawa.
@suleimansadalla5606
@suleimansadalla5606 11 ай бұрын
Ni aibu kubwa sana pensioni ya huyo Mzee ni laki moja Tanzania tupo wapi
@geraldkayanda6075
@geraldkayanda6075 11 ай бұрын
Yanakula majizi ya nchi
@bakermusa9033
@bakermusa9033 11 ай бұрын
Dah huyu Mzee hastahili kuwa anapewa hela ya mboga huku mijitu ukiwa busy kuiba pesa za umma
@lamecklaurentius8936
@lamecklaurentius8936 11 ай бұрын
Mjaluo wa Musoma, Mzee Apiyo?
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 11 ай бұрын
Ningependa kumwomba rais Samia amtazame mzee huyu ,na amwongezee penshen.
@JaneMlangwa-qd1jc
@JaneMlangwa-qd1jc 11 ай бұрын
Kwa Kazi yake ngumu na kujitoa na kuhudumu naomba hiyo pensheni iangaliwe kwa watumishi mahiri kama hawa ,wenye historia kuntu!!
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 11 ай бұрын
Angalieni maisha yake 😢
@noahamiryngidange1285
@noahamiryngidange1285 11 ай бұрын
Pesheni ya wastaafu itazamwe ni aibu watu wengi waliolitumikia taifa kwa uaminifu wanaadhirika mitaani.
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 11 ай бұрын
Walikuwa simple sasa hebu ona haya majizi ya siku hizi wanavyofuja mali
@mumuog7876
@mumuog7876 10 ай бұрын
Hahaha
@evansifulmensi
@evansifulmensi 11 ай бұрын
tafathali serikali watazameni wazee awa muwatunze laki moja kwa maisha ya sasa ni kidogo mno.
@andrewluhamo6853
@andrewluhamo6853 4 ай бұрын
inakuwaje kama ni slow poisoni?
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt 11 ай бұрын
Huyo mzee anatakiwa aweanapewa milioni moja kwamwezi
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 11 ай бұрын
Mwalimu akija sasa hivi akute bandari zinauzwa😭😭
@abdulkadirhaji1098
@abdulkadirhaji1098 11 ай бұрын
Yaani laki moja kwa mwezi ? Duh
@ramadhanmkorogwe1798
@ramadhanmkorogwe1798 4 ай бұрын
Huyu mzee nihazina Inakuaje huyu mzee Apate pensheni ndogo hivi Hizi ndizo laana
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 11 ай бұрын
Kweli serikali yetu tukufu iwangalie kwa jicho la pekee wazee wetu kama hawa kweli walifanya kazi nzuri sana tena sio kwa ubishoo ila ni uzalendo kutoka ndani ya rohoo zao kabisa
@AbdallahMgwasi-zy1ei
@AbdallahMgwasi-zy1ei 11 ай бұрын
IPO siku tutakuja kudai uhuru. Kwamara yapili.
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 7 ай бұрын
Miaka 96 bado ana kubukumbu nzuri
@King_186
@King_186 11 ай бұрын
Kuna wazee wengi ambao wamekuwa na mchango mkubwa kwa taifa hili,,ni vema wakaenziwa na kusaidiwa waishi vema,,Chasamba ni Shujaa kama mashujaa wengine
@kamalabuberwa2001
@kamalabuberwa2001 11 ай бұрын
Mpatieni pension yake
@shamte9musicofficial126
@shamte9musicofficial126 11 ай бұрын
Nimeipenda Sana kazi yako mzee
@roselambert6700
@roselambert6700 10 ай бұрын
Ndo mnampa laki mija hapana hapana muonfezeeni
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 11 ай бұрын
Laki 1 Pension ???
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 11 ай бұрын
Nyerere Angekuwepo leo Angekuwa 101 Yrs, Ati huyu anasema Alikuwa Mlinzi wa Mwalimu Nyerere Ndio Tu Kaoa hana hata Mtoto??? Huyu Mzee Ana Miaka Mingapi?
@innocentbitana
@innocentbitana 11 ай бұрын
Mzee ana miaka 96
@noahamiryngidange1285
@noahamiryngidange1285 11 ай бұрын
Kwa sababu hujui hesabu ndio maana huoni wamepishana miaka mingapi leo Mel angekuwa na 101 na huyu ana 96 huoni watofautiana miaka mitano tu.
@dominicrobert266
@dominicrobert266 11 ай бұрын
Katibu huyo mjaluo wa musoma alikuwa Timothy Opiyo.
@jeremiahjabiry3295
@jeremiahjabiry3295 11 ай бұрын
Mzee anamadini adimu sana
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 7 ай бұрын
Raisi Mkapa ni Raisi wa mwisho kutuongezea wazee pensions hivi wengine mnaona sawa tu! Kwa kweli ninyi viongozi mnawakumbuka wacheza mipira lakini sisi ni Raisi Mkapa tu aliyeliona hili jamani tunaishi kwa mateso sana laki moja ninyi hata sitting allowance zenu kwa masaa mnapewa shs. Hizo? Nasi tulitumika tena kwa bidii katika serikali hii. Tunaomba mtukumbuke kama mnapenda sisi tuendelee kuishi kama binadamu wengine.
@hindamir2008
@hindamir2008 11 ай бұрын
Nacho omba serekali wamuangalie Na wa mmpe zawadi ili iwe funzo kwa wengine
@antarsangali4456
@antarsangali4456 11 ай бұрын
Nyerere hakuanzisha TAA acha mambo yako. Nyerere alikuwa mmoja kati ya waasisi 17 wa chama cha TANU mwaka 1954.TAA imeanzishwa mwaka 1929 pengine hata wewe muonja chakula ulikuwa hujazaliwa
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 10 ай бұрын
Mwaka 1929 huyu mzee hajazaliwa? kwa umri wake amepishana miaka mitano tu na nyerere means amezaliwa mwaka 1927 acheni kuongea upuuzi bhas kama hamna akili timamu
@mtz5582
@mtz5582 10 ай бұрын
Kinyiramba tunaita nyama ilyokaushwa "mintanda"
@patrickemanuel3105
@patrickemanuel3105 3 ай бұрын
We jamaa😂😂😂
@salimalharrasi3943
@salimalharrasi3943 11 ай бұрын
SIO NYERERE ALIOANZISHA CHAMA CHA TANU WEWE MZEE MUONGO
@kassidpandu866
@kassidpandu866 11 ай бұрын
Testa
@shaqi1929
@shaqi1929 11 ай бұрын
Huyo katibu jaluo wa musoma anaitwa Apiyo Dede
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 11 ай бұрын
Yaani wanatakiwa walelewe na serikali lakini laki moja kweli mshahara wake tutapataje baraka nchini
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
Hii nchi hovyo sana mzee kama huyu wa kulipwa laki moja ehh.unaweza kuwa sirias na nchi yako lakini nchi yenyewe haipo sirias.Ufisadi umejaa tu.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 11 ай бұрын
Sasa miaka hiyo laki moja kama milioni wewe nawe umezaliwa juzi tuulize sisi tulitumia sumni shilingi moja mpaka shilingi ishilini we ulikuwepo zamani laki Hela nyingi
@Pedeshee01
@Pedeshee01 11 ай бұрын
@@tinnahagustinolyelu4247 umemsikiliza vizuri mzee anasema kwa yaani hii 2023 analipwa laki moja kama fao lake la uzeeni kwa kila mwezi,kitu ambacho kwa enzi hizo ilikua kubwa yaani miaka hiyoo na siyo hii 2023 ulipwe laki moja ndugu haitoshi kivile.
@missarepafra3973
@missarepafra3973 11 ай бұрын
Jaluo huyo ni Apiyo Odede
@chayomgonja3131
@chayomgonja3131 11 ай бұрын
mtangazaj mtafute mzee Butiku itakuwa njia rahisi ya huyu mzee kupata msaada sababu yeye bado yupo angalau kariibu na hz serikali... maoni tu
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 11 ай бұрын
Mzee hana maisha ya kifahari kabisa kwani hata mazingira yake aliyopo yana onyesha ni ya kichovu sana. 🤔🤔🤔🤔
@yusuphstambuli4852
@yusuphstambuli4852 10 ай бұрын
Mtu Muhimu kama huyu analipwa laki dah
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 48 МЛН
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 101 МЛН
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 51 МЛН
#TBC1: MAZUNGUMZO NA MPISHI WA MWALIMU NYERERE
29:58
TBConline
Рет қаралды 486
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 377 М.
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 48 МЛН