Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afanya ziara mkoa wa Dar es salaam [01-June-2021] #KaziIendelee #SSH
Пікірлер: 36
@gt.mkushimakoba5313 жыл бұрын
Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.. Hongera sana Malkia wa Sheba,Mama yetu,Mlezi wetu,Kiongozi wetu...pres SSH..Kazi iendelee
@Ba638283 жыл бұрын
Thank u Mama for visiting your people they love u Mama.
@barazalamjikati40103 жыл бұрын
Kazi ilendelee hongera sana Rais wa Tanzania mama mwenye upendo na wananchi wakee Mama oyeeeeee
@mariammpangalala84233 жыл бұрын
Kazi iendeleee, hongera sana mama yetu
@mollelraismunguakubarikipe7443 жыл бұрын
Mungu isadie ichii wetu
@yasinndalu533 жыл бұрын
Kazi iendelee
@muddymaulid27713 жыл бұрын
Safii
@mustafajumajuma22263 жыл бұрын
Mama Hongera sana
@mustafajumajuma22263 жыл бұрын
Safi sana sanaaaaaaaaaa
@saeedal-awen21903 жыл бұрын
Mama yetu we love you
@yasinndalu533 жыл бұрын
Naona bendera za Simba na yanga nyuma zinapepea Kama naww umeona nipe like zangu 😆
@salamashakipint62433 жыл бұрын
Hiyo ndio kazi mama yetu
@mustafajumajuma22263 жыл бұрын
Hadi machozi yanatoka kwa furaha Jamani
@Ba638283 жыл бұрын
Hata mm aisee
@nyamwellomeo71553 жыл бұрын
Mama yetu naomba uangalie swala la ujambaz na vibaka wapo Kasi sanaaal
@nabosedward48363 жыл бұрын
Naoma mama amemvuta bodyguard wake😅😅
@rajabungwembe56703 жыл бұрын
LAZIMA HAPO NI SOKON
@mussatayarjames6393 жыл бұрын
hap sawa tutakuelewa tembelea wanyonge mama,acha na kikwete atakupoteza
@aminasittusaid38303 жыл бұрын
Hapa sasa tutaanza kukuelewa na kukusikiliza
@hurumamsuya67583 жыл бұрын
Huu wimbo wa Nani???!! Na inaitwaje??!!
@abedomar51833 жыл бұрын
Kariakooo chafu Sana yani I do know why the don't know how to keep this place in clean,eish to much people
@mussatayarjames6393 жыл бұрын
hongera sn mamaetu tunafulahia sn kwakitendo cha kutembelea wanyonge wako
@nabosedward48363 жыл бұрын
Hicho ndo kinatakiwa sasa
@zawadimariembe72383 жыл бұрын
Hamna kitu hapa zaidi ni kutuongezea maumivu ya kumkumbuka magu anacho ongea hakieleweki
@khalidballeth59573 жыл бұрын
Wamachinga kero
@Ba638283 жыл бұрын
Presidential haswa
@uhurunyereremusa85923 жыл бұрын
hakuna mfanyabiashara anayeweza tengeneza faida baada ya kulipa mlolongo wa ushuru na kodi za kufanya biashara Tanzania..the whole tax structure needs to be dismantled
@jerichoseth41883 жыл бұрын
Mnazingua mbona mama hatumsikii kipindi cha Magufuri hakukua na chenga!
@mbegesdigita51823 жыл бұрын
Kipindi kilicho pita ulinzi ungekuwa kama wote ni kuto jiamini na unacho Fanya mama tuta kuelewa sana ukiwaletea watanzania katiba mpya na tume huru ya uchaguzi pamoja tuna songa!
@aminasittusaid38303 жыл бұрын
Yule wa mwanzo ulinzi ulikuwa mkali sababu alikuwa na maadui wengi maana alipambana na mafisadi, wauza madawa ya kuelevya na mabeberu.
@hadijaabdul87653 жыл бұрын
Hizo barakoa za Nini jamani
@NM-yl2uw3 жыл бұрын
jitoe akili tu
@zuhuramuhanga54003 жыл бұрын
Sokoni kuna harufu za bidhaa pia
@atupelemwaitete45123 жыл бұрын
@@NM-yl2uw 😂😂
@jamsimushi41693 жыл бұрын
Barakoa ni sawa na chupi uamue kuvaa au kutovaa ni faida na ni maamuzi yako