JAMANI MSIPITILIZAGE TUU HAPA PALIJENGWA KWA AJILI YETU KAMA AMBAVYO MASANJA ALIPITA AKASIMAMA.
Пікірлер: 51
@stevemwakisimba59864 жыл бұрын
Frola yupo juu sana na mungu atamsimamia kwa kila hatua anayopitia asitishwe isivunjike moyo hiyo kazi anayofanya inavikwazo kuliko mafanikio!lakini mungu atampa wepesi
@juliethkiwelu81824 жыл бұрын
Hongera kwa utalii wa ndani Dr. EM😊 cheers
@mwalongojames15074 жыл бұрын
Kupitia Wewe vipo vingi najua na naendelea kujua barikiwa sana
@AlexJoseck4 жыл бұрын
Ha ha haaaa majina ya watalii fx tu mwana wala hamfahamiani aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jumandutu22754 жыл бұрын
Hawajui uyoo 😂😂😂😂😂😂
@AlexJoseck4 жыл бұрын
Ha haaa ati linaondoa magonjwa ha haaaaa
@HappyRobert-bu3luКүн бұрын
huyo ana lake jambo
@rhinakiza4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤔nakupenda bureee God blessings you 👏👏I was happy to meet you here America
@ladsonmshana99204 жыл бұрын
Hilo eneo zuri sana nilifika hapo
@lisasalum24624 жыл бұрын
Kama umeona bodaboda kapita speed 120 kwenye kona gonga like ........
@christophermgoli12364 жыл бұрын
Kweli huyo mchaga mtata
@wilbrodwemaonlinetv83794 жыл бұрын
Big up Masanja karibu tena Hme place Manyara
@geraldlaurent74654 жыл бұрын
Well done Dr masanja
@christianjohnmwalugaja80904 жыл бұрын
Masanja mmechukua tahadhari ya kushikana mikono wakati huu. Tunaogopa sana hili gonjwa la corona
@mwalongojames15074 жыл бұрын
Kunawakati linakua bega😅😅😅😅😅
@lisasalum24624 жыл бұрын
Masanja huyo MURO mchoma samaki sio Jeri??
@jumaigembemakula36984 жыл бұрын
Brother nachokukubalia wewe unaishi katika uhalisia (original life) kama pesa imeshindwa kukubadirisha hakuna kingine
@godblessmndewa45784 жыл бұрын
mteremko ni centigrade ngapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ramsikhamis70834 жыл бұрын
😀😀😀😀😀Nimechekaa mbaayaaa
@gauedwin19604 жыл бұрын
Kwa matamchi ya majina ya ndugu zako watalii😂😂😂 kuywa thoda majina yatiririke..love u my pastor💪
@eddowkivuko66014 жыл бұрын
Yaaan nimecheka mzee wakidirisha taja tena hilo jina la mzungu wakwanza
@jumandutu22754 жыл бұрын
Ziwa linapungua na kua bega 😂
@ibrahimgwasma2354 жыл бұрын
Umenikumbusha Mbali tulikuwa tunakamatwa kuwinda huko
@penielmbise53884 жыл бұрын
Masanja we mjnga kwel
@Tiner_cakes4 жыл бұрын
Frola jamniiiii nimefurahi kukuona!
@gracegrace62004 жыл бұрын
Jamani angalieni korona kwa kushikana mikono. Mutambukizana corona
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@AlexJoseck4 жыл бұрын
Muro mbishiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@gullaalex65904 жыл бұрын
😂😂😂Ukiangalia eti unapona uti, 🤔
@AlexJoseck4 жыл бұрын
Cm 37 za mraba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@godfreykawibesele85454 жыл бұрын
Hahaha! Masanja slope ya nn???
@joelmgaya42384 жыл бұрын
Napajua.
@noelmakere91084 жыл бұрын
Hongera kuangalia ziwa manyara.
@mwl.michaelsainethmlowe26414 жыл бұрын
Wewewee
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
Masanja wewe ni bonge ya fix aisee!!
@paschalkiniofficial1234 жыл бұрын
Kama umesikia tisheti kama gazeti like kwa wingi
@hardsonchikole99964 жыл бұрын
Kama umesikia sentimita kadhaa za mraba gonga like
@paulebby15524 жыл бұрын
Slope ya centigrade?!! Masanja slope Ya centigrade?!!! 🙆🙆🙆🙆🙌🙌🙌🙌
@Ishengoma14 жыл бұрын
Centigrade 😂😂
@AlexJoseck4 жыл бұрын
Mwanangu hiyo namba ya sentigredi mbona kama haisomeki kwenye netiwoki??? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣