MWIGULU ASHUSHIWA NONDO SAKATA LA KARIAKOO, MFANYA BIASHARA AJILIPUA KWA MASWALI

  Рет қаралды 150,885

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Жыл бұрын

Пікірлер: 146
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 Жыл бұрын
Asante kwaajil ya maisha ya magufuli hapa dunian hakika alitufungua
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Sana,laiti angelikuwepo jembe nina uhakika wangetumbuliwa
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 Жыл бұрын
@@Worldunite nihapohapo hadharan wazir alikuw hana kazi
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Hahahahahaa..... Hiv umewahi kufanya biashara
@jacksonkabaata6011
@jacksonkabaata6011 Жыл бұрын
@@sultansallah8772 yaap
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 Жыл бұрын
Mwigulu hafai marehem magufuli alimuona samia kajiona yy ni zaidi ya yule mwamba matokeo yake ndio haya wafanyabiashara kazeni buti
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Inauma sana mnatufanyia ubaya sana watanzania
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
TRA kijana mdogo anajenga nyumba ya kifahari ata mwaka haufiki kwa mshahara gani
@princekarani7836
@princekarani7836 Жыл бұрын
Ndo hapo sasa mjiulize,upigaji mwingi kinouma
@Nashondaniel
@Nashondaniel Жыл бұрын
😭😭😭Mimi Natoa machozi Jamani,,watanzania wanaumia Sana,,, baadhi ya viongozi wanatunyonya jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Mwigulu sikuchukiii lkn huwezi narudia tena huwezi..Upo hapo mbele kwa dharau unacheka lro hii bila kujari lkn ungejiuzuru tu
@messiahmlyuka9422
@messiahmlyuka9422 Жыл бұрын
Hongera kiongozi wetu kutoka Njombe🎉
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Dokta.wa.nchi.uchumi
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
YAANI HAO TRA WA TANZANIA, KWA KWELI MASHETANI SANAA.
@SilvesterRaphael-xb6it
@SilvesterRaphael-xb6it Жыл бұрын
Mnampigia nguruwe kengere wabunge wanaongea kila siku kuhusu utitiri wa kodi lakini serikali imejifanya kiziwi sembuse nyinyi wafanyabiashara hakuna kitu hapo wanawazumu tu hao akina za kayo wakitoka hapo wanawacheka tu
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 Жыл бұрын
Watanzania yetu viongozi mnawatesa sana wafanyabiashara
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Sana! Jamani kwa nini mama asimtoe Mwigulu?Kwa kweli inasikitisha. 😢
@mohdmazruiy2028
@mohdmazruiy2028 Жыл бұрын
Mwiguku hatukuhitaji katika serekali
@uswizinyanginywa2498
@uswizinyanginywa2498 Жыл бұрын
Tunakushukuru kiongoz wetu kwa kutuwakirisha Wana Njombe na Nchi nzima.
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Жыл бұрын
JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM 😭😭😭
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
INAUMA SANA SANA UYU MWIGULU AJITAFAKARI SANA
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
MAMA HATAKI KUMTUMBUA! SIJUI ITAKUWAJE?
@Doten-zg3yl
@Doten-zg3yl Жыл бұрын
Hata stand za nagari yaendayo mikoa ni na nje ya nchi wakusanyaji wanapga hela tu hawatoi list
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 6 ай бұрын
Ninachikiona kwahili mwigulu alipandushwa vyeo tu😢😢😢😢
@mbwanamungia9921
@mbwanamungia9921 Жыл бұрын
Kuna mabasi yanaitwa ester tunaambiwa ni yake kama ni kweli ye anamshahara gani wa kununua mabasi yote yale we mwigulu wewe
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 Жыл бұрын
Mwigulu mwigulu weweeeee una mkosi,jihuzuru tu,huoendwki kwa dharau zako
@queenraphaher7736
@queenraphaher7736 Жыл бұрын
Hapo TRA walikuwa sawa, kwani waliangalia bei za kawaida
@kwisa4899
@kwisa4899 Жыл бұрын
Mwiguli anaonewa tatizo lipo kwa uongozi wake walio mtuma kufanya hayo yeye ni mbuzi wa kafara
@vaskosamweli3556
@vaskosamweli3556 Жыл бұрын
Ata mtoto akilelewa vbaya atakuzarau ata mzaz kwakua mwigulu ndio mwenye body ya mfumo wa ukusanyaj kod
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
😂😂😂😂 mbuzi wa kafara ndo yukoje jamani
@user-go6ht5vv8r
@user-go6ht5vv8r Жыл бұрын
Semaa kabisa wanatukondesha sana
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Shameless mwigilu...akwende huko...
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 6 күн бұрын
TRA Wako sawa wako pamoja na Magufuli na Magufuli anataka kuuwa wafanyabiashara wote. Na ni yeye anahusika kwa kubiga hizo pesa na wala wadhibitiwi anawafahamu vizuri.
@hassanosman3824
@hassanosman3824 Жыл бұрын
Mwigulu mimi nigekwambia afadhali acchhaaa kazi hauwezi hii sio kazi ya kukaa kwasababu umeshiba hujali umeaibika sana
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Mwigulu hakujiweka kwenye hiyo position ndugu yangu. Hii ni aibu aliyemuweka ndio amuondoe madarakani.! Wanawafanyia makusudi. Nia yao watanzania waendelee kuwa maskini. 90% ya watanzania tumebaki maskini.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Dawa ni kutowapigia kura CCM. TUAMKE!
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
KATIBA MPYA ! NI SASA....
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy Жыл бұрын
Tulieni wafanyabiashara nyinyi dawa iwangie kelele za nn isomeni nomber ccm oyeeii❤
@mohamediomari1614
@mohamediomari1614 Жыл бұрын
RIP MAGUFULII
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 Жыл бұрын
Ni ujinga huo
@mwasubilasaimoni4119
@mwasubilasaimoni4119 Жыл бұрын
Wanatusumbua sana T R A mikumi utafikiri wenyewe wanamizigo yao wanataka bei iwe kubwa wakati mizigo inabei ndogo
@ahmedsdk6736
@ahmedsdk6736 Жыл бұрын
Ata mm nakunywa chai na ANDAZI
@bettymeshack7759
@bettymeshack7759 Жыл бұрын
Magufuli amka Baba amka tunaumia sanaa
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 Жыл бұрын
Kwani TRA walishapanga bei ya kusafirisha mizigo? Mwenye gari hana haki ku-negotiate bei na mteja wake kutegemea situation?
@zakiahashim2274
@zakiahashim2274 Жыл бұрын
Uko sahihi mm mwenye nifanya kazi kusafilisha mzigo nisumbuka san nipata hasala kubwa sana nilal mikumi siku mbili mpaka mzigo ulihalibika
@jamesmhema719
@jamesmhema719 Жыл бұрын
Huyu apewe maua yake.✊
@RehemaMwambelo-ix2pv
@RehemaMwambelo-ix2pv Жыл бұрын
Sio mikumi tu nikote tra wanatua ndio maana saizi kila mtu anapuresha
@shizoshop2469
@shizoshop2469 Жыл бұрын
Samia ayasikie haya sasa mwigulu ni mwizi
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Жыл бұрын
Kwni unahic Samia hayajui Aya anayajua na izo Kodi ni zake
@barakadanieli1440
@barakadanieli1440 Жыл бұрын
Samia anatia mikataba mikubwa ya mikopo kutoka kwa wazungu Koo ili madeni ya wazungu yalipwe lazima tu raia tuumie maana Samia anapenda sifa Sana na Cha ajabu anakopa akiamini wananchi watambanwa walipe Kodi na wakilipa Kodi zinapingwa nawalaji sasa unafili Nini kifanyike ? Maana wakipunguza Kodi madeni ya wazungu watalipa na Nini Wapigaji nao wataishije na wamezoea kupinga? Rais mwenyewe mpigaji
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Nahisi Ni Vita vya Urais 2030. Kuna Watu wanaanza Kujipanga Baada ya Samia na Wanahujumuana na Kukashifiana. Jiulize Kwanini Mwigulu Ndiye anatukanwa na Kukashifiwa na Hamna Anayemtetea, as if yeye ndiye Mwamuzi wa Maswala yote Ya Mchi. Kuna M2 Alimwambia Doctor gani wewe? Na husikii hata PM skimzuia Kuongea Vile. Tanzanians Hamjui Vitu zingine Vinapangwa Sirini.
@vaskosamweli3556
@vaskosamweli3556 Жыл бұрын
Wanakusanya kwa nguvu alaf znapgwa kwa akiri
@user-ic6js4sc8u
@user-ic6js4sc8u Жыл бұрын
Mmmmh Aibu sanaaaaaaah hayo maumivuu makalii
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Жыл бұрын
Hii nchi ya watu wachache wengine tuumizwe,hata polisi Kila idara kunanuka,watu wanaogopana,Bora watanzania wateseke wao wajichane,nyie endeleeni kulatu ipo siku mtavitapika shimoni
@barakawilliam3993
@barakawilliam3993 Жыл бұрын
Nimekuelewa kiongoz wetu.
@abdulraqeebfaiz9442
@abdulraqeebfaiz9442 12 күн бұрын
Kengere babako
@paskalinyanga
@paskalinyanga Жыл бұрын
Kukandamizawafanya biashala ndio kukandamiza masikini wa chini tumuogope mungu na tuwe na hofu yamungu
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 Жыл бұрын
Bandari zetu zimepoteza ubora vitu vina ibiwa ,wateja wanahamia bandari mombasa kenya
@HudayjumaTaalib
@HudayjumaTaalib 3 күн бұрын
Mama samia kwann humuondosh huyu Mugulu Makuful aalkua anamjua huyu simtendaj atakufelsha
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 Жыл бұрын
serekali angalizo ukiona watanzania wameweza kugoma hata sikuu tatu mjue pumda amechoka anataka kushusha mzigo kueni makini hapo ni daresilaam tuu wako mikoa mingine yote wakiweka mgomo unafikiri nchiii inakuaje mawaziri wakufa tai yenye nembo yataifa
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Жыл бұрын
🤣🤣 ati mawaziri wakufa tai yenye nembo yataifa..nimecheka kweli hahaa
@emmanuelmayuma3466
@emmanuelmayuma3466 5 күн бұрын
Tutatoboa, Tanganyika hoyee.
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 Жыл бұрын
Trillion 2 kapiga mwenyewe Mwigulu,nashangaa Rais anamwachia tu
@fredsanga9461
@fredsanga9461 Жыл бұрын
Mwigulu ni tatizo
@sultanramadhan5269
@sultanramadhan5269 Жыл бұрын
Nchi yetu imejaa vitengo kila kona ktk idara ya serikali kitengo TARURA Wana kitengo ukaharibikiwa tu wapo nyuma wanashombo la rushwa tupu.
@kdloon2030
@kdloon2030 Жыл бұрын
Magufuli,hakua mjinga kumtumbua Mwigulu.
@karimmunis8302
@karimmunis8302 Жыл бұрын
Mama amemrudisha na kumpa wizara ya fedha
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
alimrudish ten
@annaniasbyarugaba5788
@annaniasbyarugaba5788 Жыл бұрын
Huyu Mwigulu hamna kitu hapo
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 Жыл бұрын
Mama naomba uzisikie hizo kero,mama samia,na pia waziri mkuu tunao njooni mkutane na wafanyakazi wenyewe muulize juu ya kikokotoo kwa wastaafu mtajua wazee wamekwenda kuibiwa na kuuawa
@ombendaud5938
@ombendaud5938 Жыл бұрын
Mweeee mimi naomba waziri mkuu watumishi wa serkali hatujalipwa madeni ya mishahara huu mwaka wa kumi.Tuna imani na wewe atusaidie wafanyakazi wa serkali.Vyuo vya afya tuna madeni tunadai fedha nyingi mno
@eliassospeter
@eliassospeter Жыл бұрын
Jamaa wote wapegina nondo kali
@floridachami9090
@floridachami9090 Жыл бұрын
Jamani tra migori wamezidi waziri mkuu
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Raia wa Tanzania hairuhusiwi kuwa na maisha mazuri ,unatakiwa uwe maskini mpaka kufa
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
😂 Una zambiiiiiiii
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
😂
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa Tanzania ukiwa maskini kidogo unaafadhari ila matajili wana hari mbaya
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 Жыл бұрын
Umeongea point kubwa. Na ndivyo inavyoonekana Wanapenda kutuona maskini. Maisha magumu.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
@@aliyageorge6794 kwasababu ukiwa na maisha mazuri utaandamana au utatetea haki yako kwa umakini zaid,ila ukiwa na njaaa utawaza kuhangaikia watoto wale bas na sio kingine
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Yaani huyu jamaa anafaa kuwa mbunge aiseeee
@4hestatecompany20
@4hestatecompany20 Жыл бұрын
Rais chukua hatua 2025 utapanda mlma na mizgo kchwan,mabegan,na miguun.Ucwaamn wanaokuamnsha watanzania wanakuchukia 7b ya hao kna trab na trat
@lovenesaman
@lovenesaman Жыл бұрын
Sana mpandira
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 Жыл бұрын
Yan mim kwanz nina mpango wakuuza gar langu la mizigo kwanza maan maona mateso barabaran makadirio makubwa yan
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
BA MAWAKALA WA KUTOA N KUINGIZA MIZIGO NAO PIA NI WATU WA KUWAANGALIA SANAA.
@christophermsekena616
@christophermsekena616 Жыл бұрын
Magoma oyee
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Жыл бұрын
Samia ndio tatizo ameweka watu virusi kwenye serikal yake na watu walishamkataaa
@barakadanieli1440
@barakadanieli1440 Жыл бұрын
Kweli rais ndo tatzo mbona watu wengi wanamzunguka hawatak kumchana rais
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Wezi wezi wezi hata kwetu wapo....
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Jamani huyu Mwigulu kila siku anazungumziwa ajirekebishe. Au apewe wizara ingine
@user-hq4ff3gl9k
@user-hq4ff3gl9k Жыл бұрын
tunakuomba mama samia watoe hao majuzi maa a wanaona sana
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 Жыл бұрын
Mapembelo ngojo
@rabwarab574
@rabwarab574 Жыл бұрын
HUYU MWIGULU!!
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
Hakia'mungu wafanya biashara n wakwel
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Waambieni wezi hao , Maana watu wanateseka juani alafu kunawatu wanafunikwa , kila mwezi wanakula , tulowaajiri kwa jasho letu wanatumia pesa zetu vibaya alafu wanatuletea VIBURI machozi ya waTZ YATAWALIPA , MUDA SI MREFU VIONGOZI WOTE WANAOTUIBIA WATALIPA MACHOZI YA DAMU
@mbawalamakomae5094
@mbawalamakomae5094 Жыл бұрын
Geti la mikumi litolewe tunasumbuliwa xnaaa
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Жыл бұрын
Kweli kabisa usipo nunua gari wakuite mbwa
@deocosmas8708
@deocosmas8708 Жыл бұрын
Watuu wanatoa nondoo mpk wazr anaogp
@NzenzuleManyanda
@NzenzuleManyanda Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nataka nifoji fomu nifanye kazi TRA
@rashidsalim7078
@rashidsalim7078 Жыл бұрын
Kumbe nawe unaupenda wiziiiii😂
@NzenzuleManyanda
@NzenzuleManyanda Жыл бұрын
@@rashidsalim7078 napenda magazine mazuri
@NzenzuleManyanda
@NzenzuleManyanda Жыл бұрын
@@rashidsalim7078 napenda magari mazuri kama ya watumishi wa TRA
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
Huyu mwigulu kuna nn hapo kati jaman
@ABERIKADIKILO-kg6jq
@ABERIKADIKILO-kg6jq Жыл бұрын
Mh.waziri mkuu fatilia hata ushuru wa samaki Wilaya mleba tunaumia sana sisi wafanya biashara ya wasamaki wilaya zingine ushuru ni sh. 90 kwakl lakini wao ni sh. 300 kwakila kilo
@johndunda250
@johndunda250 Жыл бұрын
Mafisa wa tra mikumi wezi san wajanja wajanja wamekalia kila siku kula rushwa tu wat wa tan rod mzan mikumi wezi mzani wame ufanyia ujanja ujanja san wana kula san rushwa
@MariaMfanga-qu2pl
@MariaMfanga-qu2pl Жыл бұрын
Nikwel baba atembelee na viwandani vya wachina wananyanyasa sana wafanyakaz
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Hana aribu mwigilu nchemba...
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Жыл бұрын
Sasa wenye mitaji ya million moja itakueje
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Aondokeeèeeee...
@wiliiammkenda5174
@wiliiammkenda5174 Жыл бұрын
Limwigulu lipo hapo hapo
@sultansallah8772
@sultansallah8772 Жыл бұрын
Lisu oyeeeeeeeee
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Жыл бұрын
Hivi Tanzania haina wachumi mpaka imng’ang’anie Mwigulu?
@karimmunis8302
@karimmunis8302 Жыл бұрын
Tatizo ni raisi aliyewekwa hapo ndo chanzo cha haya
@marthaswai1185
@marthaswai1185 Жыл бұрын
Mikumi ni tatizo mno.
@malembobulongo3856
@malembobulongo3856 9 ай бұрын
Hakika tunakukumbuka mjomba magu wewe uliyaweza haya!!!
@zainabismail359
@zainabismail359 Жыл бұрын
Sawa
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Жыл бұрын
Wasomi hovyo
@healingsschool4630
@healingsschool4630 Жыл бұрын
Tatizo ni mfumo sio mtu, hata wewe na mimi tungefanya hivyo hivyo
@AmriManengelo-yz5pp
@AmriManengelo-yz5pp Жыл бұрын
Na mfumo unabadilishwa na mwenye dhamana husika so Bado tunarudi kwa mtu
@ngoshasuzi
@ngoshasuzi Жыл бұрын
Utaishia crown na ist za 1999 kwa rushwa hizi
@SwalehMasoud-gg2hl
@SwalehMasoud-gg2hl Жыл бұрын
Duuu hatari
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Жыл бұрын
Huyo ndio mpigaji mkubwa
@mailisagaswe1544
@mailisagaswe1544 Жыл бұрын
Mwigulu jitafakari Kama unafaa kuendelea kuwa waziri wetu was mapesa
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Жыл бұрын
Ajitafakari kwa lipi ambalo hasa ni kosa lake?? Waziri anasimamia Sheria za TRA iliotokana na bunge. Acheni wivu wa kike
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
​@@abelkingu4653 hatumtaki
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Жыл бұрын
KAZI kwako usiyemtaka ndio yupo Sasa. Don't work to try to change system, anza wewe kubadilika
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
@@abelkingu4653 inawezekana ni ndugu yako maana kila coment unamtetea ila wengi hawamtaki
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x Жыл бұрын
Mwigulu na January tatizo sana taifa halina makali watu wakojuu ya nnchi ni JWTZ tu ndio waadilifu wengine wanatuwinda raia we ngoja iposiku
@VeronicaElia-pj5hb
@VeronicaElia-pj5hb Жыл бұрын
Mwigulu hatumtaki
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 Жыл бұрын
😂😂 mwigulu aji tafakari
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Жыл бұрын
Akitekeleza Sheria za bunge lenu mavi mnasema mwigulu hafai, tulien. Sheria TRA watekeleze Sheria, mwacheni mwigulu asimamie kile nchi imekubaliana...chuki za kipuuzi muacelhe
@AnossyMbonekela-sb6ol
@AnossyMbonekela-sb6ol Жыл бұрын
Shida walio serikarini hawana ujuzi na biashara, wala hawpandi daladala wanatoa maamuzi ambayo hawajwahi kuvaa viatu hivyo wanaamua ili kuwakomoa watu
@marydimoso6303
@marydimoso6303 Жыл бұрын
Si vitoto vidogo vinapata kazi kwa vimemo tu na wazee wasiokubali kutoka kwenye hzo ofisi walichosomea hakijulikani wanafanya kazi kwa mihemko kujifanya Wanasimamia sheria
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Жыл бұрын
😂😂
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Жыл бұрын
Magu tunakukumbuka
@simonzelote5998
@simonzelote5998 Жыл бұрын
Magufuli alimtoa mwigulu kwa sababu hiyo ila mama halijui hilo
@nyachikomesi315
@nyachikomesi315 Жыл бұрын
Sema mmeyatoa ya moyon mpaka mnatupa moyo , wajitafakar yanamwisho haya yalioongelewa yote point tupu
@bakarimtange570
@bakarimtange570 Жыл бұрын
Hizi. Siasa2 sio km Samia hayajui.aya acheni tukufanya punda wenu
@mussalusinde7716
@mussalusinde7716 Жыл бұрын
Mwizi in huyohuyo hakuna mwingine
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Жыл бұрын
Mwigulu Piga kazi, watu wanaotafuta kukufelisha wataanguka wenyewe. Kuna kikundi kiko bize mtaani kujaribu kukuangusha, watashindwa.
@kinginno3412
@kinginno3412 Жыл бұрын
Acha ujinga wewe nanini anataka afeli anajifelisha nwenyewe
@azizakiswili9063
@azizakiswili9063 Жыл бұрын
Peleka huko ujinga wako
@abelkingu4653
@abelkingu4653 Жыл бұрын
Njaa zinawatesa Hadi mnaanza kuwa na wivu. Sheria za nchi lazima zitekelezwe ipasavyo. Ukiona Kodi sio sawa sema na wabunge wako Sheria ifanyiwe marekebishi
@gladysmwendwa3660
@gladysmwendwa3660 Жыл бұрын
Kiwavi
@barakadanieli1440
@barakadanieli1440 Жыл бұрын
Si wafanya biashara tu wanaoteseka but wakulima, wafungaji n.k kiufup serikari ya awamu ya sita uongozi wake hauko rafiki nawananchi
MFANYA BIASHARA AJILIPUA KUMTAJA MWIGULU SAKATA LA KARIAKOO
9:31
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
OMG🤪 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:50
Potapova_blog
Рет қаралды 18 МЛН
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН