Ooooh my God wonderful,ni kijana mwenye hekima anaongea vizuri
@mohsinalbalushi69153 жыл бұрын
tumefurahi sana kumuona anton mashaallah anton mungu mkubwa mungu ambariki anzungumza vizuri tu nitakuja tanzania
@kennedyjastin243 жыл бұрын
Huyu mtoto ni mchungaji mkubwa sana Tanzania miaka ijayo mark my word millard
@isacklissu8473 жыл бұрын
Sauti ya kichungajii
@mustaphagairo19363 жыл бұрын
Inafanana kwel kwel
@pendokilimba13643 жыл бұрын
Amen to that🙏
@jackwisdom92643 жыл бұрын
It's good thanks you jesuse
@ahmedijumaselemani77103 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa
@carptentv68483 жыл бұрын
Huyu mtangazaji godtza ni noma anaibua habari kali na anakuwa na muendelezo asante kwa kumhoji mtoto antony
@carptentv68483 жыл бұрын
Mtangazaji na dogo Wana confidence sana
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
Kafanana na uyo mfadhiri kweli
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
Yaan uyo mtangazaji
@carptentv68483 жыл бұрын
@@ibraimoissiaca6058 hahaha kwa mbali
@naamohamed99643 жыл бұрын
Yan nilimkumbuka juzi
@happinessemmanuel57373 жыл бұрын
I see upcoming Pastor ,holy spirit protect that child Amen.
@Myright8883 жыл бұрын
Amen
@suleimanissa3953 жыл бұрын
Umetabili Burma
@noelamtesigwa68193 жыл бұрын
Kabisaa☺️☺️😆
@ggtt81453 жыл бұрын
Sure.the voice
@badenbensoni75163 жыл бұрын
Huyu anayemsomesha mungu atampa thawabu sana
@raheemaraheema54533 жыл бұрын
Saana na m. Mungu amkiinge na wachaawi maana wachawi sio watu wazuuri😢😢😢
@wilsonmikate75703 жыл бұрын
Bgup kwa anaye toboka mfuko kwa ajiri ya gns
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Amiin
@gsmartcreation56553 жыл бұрын
Ameen
@prettyh75093 жыл бұрын
Aaamina
@rachelmbeyu43853 жыл бұрын
He speaks so well. May God continue blessing you to be what you want in life.
@joycekiza23023 жыл бұрын
Mungu akujalie wewe ulie mshika mkono uyu kiumbe ubalikiwe sana
@aminajumma40773 жыл бұрын
Mchungaji wa badae
@evamwasse28513 жыл бұрын
Kwa kweli mungu ni mwema soma Sana mtoto ili utimize ndoto zako nakupenda Sana mwanangu
@witnessmsuya10583 жыл бұрын
Huyu baba anaemlea hakika Mungu Usimuache m bariki kila aingiapo na atokapo
@frarobby39583 жыл бұрын
Ad nimelia
@jacintaitumo55713 жыл бұрын
Kwa kweli mungu ni mungu. Hongera kwa aliye jitolea kumuhelimisha Huyu kijana. Hata kizungu yake nisafi sana. Pongezi nyingi kwa mwalimu wanao msomesha Huyu kijana. Watching from LONDON.
@daisytarus49713 жыл бұрын
Am so proud God is faithful following this angel from, Kenya
@elizabeththiongo31782 жыл бұрын
I've been following from Nairobi Kenya I'm a grandmother n i love this child's interest in education it will tranform his family lives at home n Tanzania as a country may God bless his God parent n teachers for this far also the pioneer of this whole episode may blessings of our Lord be upon you all.
@rashidkalimbo24513 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Atambariki sana huyu jamaa aliyejitolea kumsomesha In Shaa Allah...
@abdulrahmanhassan92543 жыл бұрын
Mm namuona Huyu mtoto ni kiongozi ajae yaani ana uwongozi ndani yake . Mungu amuongoze In shaa Allah
@jackwisdom92643 жыл бұрын
🙏 Amina
@عباسعباس-ش9ه4ت3 жыл бұрын
Mungu amjaalie sana uyu mtoto na walez kwa ujuuma
@chazzstar3 жыл бұрын
Hongera sana kwa mzazi ulie jitolea kumsomesha huyo mtoto Mungu akubariki sana
@sulemohd48123 жыл бұрын
Mashallahu
@giftkharoub24233 жыл бұрын
❤❤❤ Allah amtangulie
@khadijamhapa30562 жыл бұрын
Mungu akubarki sana mfazir
@aloycemasua20162 жыл бұрын
Abarikiwe
@wellbrand34153 жыл бұрын
Waoooo... Mtoto Anthony anakipaji sana, Amepokea mafunzo ya shuleni vyema. Baraka za Mungu kama mvua ziende kwa mfadhili aliyejitolea kumsomesha. Thank you Ayo_tv...🔥🔥🔥
@furahiniyouthschools60223 жыл бұрын
ASANTE KWA DUA YAKO. NIMEPOKEA KWA IMANI
@wellbrand34153 жыл бұрын
@@furahiniyouthschools6022 waooo.... You deserve all the blessings from The Almighty God
@witneyjerry12933 жыл бұрын
Mungu naomba umzidishie yule aliyejitolea kumsomesha Antony
@musaomary46103 жыл бұрын
Amina Amina!!!
@pilikhamis29243 жыл бұрын
Maashaallaah mtoto Antony uko vzr sana mungu akuzidishie duuh uko vzr sana hongera sana
@prettyh75093 жыл бұрын
Mashallah mtoto nzur muda woote wamshukuru Mungu, Mungu akuhfafh na woote wanaokusaidia awajaze kheri
@neemamushi93703 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana wewe unaemsomesha huyu mtt
@evamariadaudi50383 жыл бұрын
Jaman huyu mtoto huwa ananitoa Sana machozi! Asante yesu kwa kuendelea kumpa afya na saiv anaendelea vizuri kimasomo.
@josephgeraid38303 жыл бұрын
Jamani hata mimi kanitoa machoz anamaneno ya busara had huruma aisee
Not beautiful a man never be beautiful hahahahaha use a word smart boy
@experanciamom84733 жыл бұрын
MUNGU UFANYA NJIA PASIPO NA NJIA NIMEPENDA SANA HII KAULI INAFUNDISHA WATU KUMWAMINI MUNGU KWA KILA JAMBO 🙏🙏
@mankammari30833 жыл бұрын
asee mpaka nimelia😭😭😭
@experanciamom84733 жыл бұрын
@@mankammari3083 pole
@eliassamwel58243 жыл бұрын
AMEEN
@upendokiwanga95383 жыл бұрын
waoo halafu ana uwezo wa kupreach huyo hiyo sauti ya kiinjilist kabisaa , Mungu ambariki kila aliempa support huyo mtoto jamani , Mungu awazidishie baraka na msipungukiwe na kitu
@justkibet11253 жыл бұрын
Followed this boy from day one to date. Indeed development is gradual and anything is achieveable. Love from a Kenyan in cologne.
@joycemichael49203 жыл бұрын
Nilimmiss mwee😄 ubarikiwe sana Mfadhili Mungu asikupungukie👏
@asamkanyasa3532 жыл бұрын
Mungu Ambariki Huyu Kijana Atafika Mbali Zaidi... Na Mzee Aliyejitole Mungu Amuongezee Zaidi Na Zaidi.... From Mbeya Tanzania.
@ukhtymwana49983 жыл бұрын
Mashallah yaani mpaka raha mungu Amlipe anaemsomesha
@melangongo28293 жыл бұрын
Amen amen amen
@mozasaid38693 жыл бұрын
Mashaallah! Nimefurahi sana kumuona Antony anaendelea vizuri, mwenyezi mungu atamlipa mfadhili anaemsomesha,
@Mwamy113 жыл бұрын
Woow my boy is a big boy now. Congratulations God always is good!!! Keep it up.
@bajombahamis44373 жыл бұрын
yani huyu mtoto anakipaji ata chakuongea kama nawew umeona like chin
@emmanuelmwambona34383 жыл бұрын
Kwakweli mlioguswa kumsaidia huyu mtoto Mungu awazidishie. Na Mungu pia aendelee kumlinda mtoto na afike mbali sana katika malengo yake.
@hassanovajunior69723 жыл бұрын
Masha Allah, I real love his talking confidence keep going Antony 👏👏
@charitymwaniki93772 жыл бұрын
Wow i love the fact that this boy has greatly improved especially in his communication,,,its a great move compared to the previous video,,, following from kenya
@RomwardWM3 жыл бұрын
Barikiwa sana Millardayo kwa kutusogezea habari pendwa kama hii.
@catherinejumanne93783 жыл бұрын
Mtangazaji nakupenda bure
@grandgrand81433 жыл бұрын
Mungu akujaliye
@J4UPro3 жыл бұрын
Maashaallah
@ashuramhando52853 жыл бұрын
Kaka ALLAH akuongeze ulipopungukiwa una moyo wa kipekee ni wachache wenye Moyo Mungu akulinde 🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@amirimkinga39613 жыл бұрын
Kijana yuko vizuri nimependa sana confidence aliyonanayo,,na Mungu amuongoze vema Inshaallah hongera pia kwa wahisani walioamua kumsaidia Mungu awape mwisho mwema.
@allywilson41553 жыл бұрын
He has a confidence wich will lead him through his dreams.
@mohamedjuma54063 жыл бұрын
He ha confidence .....
@agnesndinda47973 жыл бұрын
Sure
@mwalikokiluwa97783 жыл бұрын
Goooood
@Rymaas1TV3 жыл бұрын
Anthony uko vizuri Mungu yuu pamoja nawe
@saitawilson73073 жыл бұрын
Amina
@malilolukensa85193 жыл бұрын
Antony mungu akupe hitaji la moyo wako mdgo angu
@CHOSENGENERATIONHUB3 жыл бұрын
Chosen One, Great Servant of God..God will use this young man in mighty way
@hizamwaimu39183 жыл бұрын
Safi Sana Yuko vizuri dogo mungu ampe afyanjema
@alimairakoze37843 жыл бұрын
🤲🤲🤲
@fidasjohn47003 жыл бұрын
Namtabilia hugo mtoto atakua mhubili wa injili
@neemamuro37213 жыл бұрын
Safi sana Mungu akiwa upande wako ninani aliyejuu yako
@elyshaedward25283 жыл бұрын
Kweri pasipo na njia mwenyez mungu hutia njia na,nia god blessing Antony
@finemichael24353 жыл бұрын
Wooow, Mungu ni Mwema Amuongoze ❤️😊 Buh anasauti kama Mchungaji hivi 😉
@dignatemba16152 жыл бұрын
Hakika huyu ni mchungaji
@fundi.5053 жыл бұрын
God bless the Kid's sponsor. God continue blessing that child
@ااجج-ط5د3 жыл бұрын
Mashaa Allah mwenyezi mungu aendelee kuwabariki wote wanaomsaidia huyu mtoto Congratulations
@sarahmariba62203 жыл бұрын
Mbarikiwe
@Snipperthebabslow3 жыл бұрын
Well done Antony soon utafanikiwa, blessed Sana kwa Mzazi aliyejitolea kumsomesha
@zakyahya46453 жыл бұрын
Mwili umenisisimka jamani yaani alie msaidia uyu mtoto mungu atampa zaidi na mtoto mwenyew anaonyesha Juhudi za hali ya juu jamani yaani anajiamini adi raha ❤️❤️❤️❤️
@matildahanne14803 жыл бұрын
Keep it up our boy. We thank God for this far he has brought you. Endelea hivyo hivyo na Mungu akutunze mwanetu
@tantrayukina45073 жыл бұрын
This boy is going far God has way of reaching his people
@bethfabian30522 жыл бұрын
Mungu akubariki baba unaemsomesha mtoto huyu, na mungu akuongezee unapotoa, nimefurahi sana.
@munaaabdillah90973 жыл бұрын
Nampend sana uyu mtt mungu amkuze vyema inshaalah ❤️🙏
@janek91033 жыл бұрын
So amazing mungu ni mwema.neema ya mungu izidi kua juu yake.feeling so humbled from kenya
@amosmahona4333 жыл бұрын
Hongera Sana mdogo wangu Mungu ni Mwema utafanikiwa Zaidi
@yagalbyyaayuni72473 жыл бұрын
Nimefurahi sana kumuona Anthony tena baada ya miaka 3 thank God for everything kweli wacha mungu aitwe mungu story yake iliniza sana huko nyumba bt saa hii nakuombea mungu ufaulu maishani ili uje uitunze familia yako Insha Allah
@remiomar71543 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah Mungu ambariki huyo aliyejitolea kumsupot mungu amuongeze palipo punguwa
@hadijalukas59593 жыл бұрын
wallah nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭kwa uchungu na furaha pia baada ya kumuona Anton alivotusuwa kingereza kuliko mie mtu mzima mungu akubariki mfaziri wake azidi kukupa moyo na kukutia nguvu kwa kazi ulioifanya
@nasraabdallah8503 жыл бұрын
Mung amjaalie aliejitolea kumsomesha jmn mtt yuko vizur sn mashaallah naanajitihada sn mpaka aliejitolea kumsomesha nadhani ajuti kwani anajembe sio sir. Mung akubariki mzee 👏👏👏wang
@mohammedzahiry58893 жыл бұрын
Hongera xn kuwakumbuka wanyonge hawa xyo kuwapa akna mond pexa
@gloriakiria60963 жыл бұрын
Verru good my young braza god bless you
@silvesterkitaly42983 жыл бұрын
Asante baba uliye jitolea kumsomesha
@dolingaceri56093 жыл бұрын
Thankyou God bless you more unapoedelea kuchomesha uyu mtoto unafanya kazi nzuri hela zijae mifukoni mwako
@ansilaulotu71783 жыл бұрын
He's a blessing God bless the Father from heaven
@happinesstesha70613 жыл бұрын
Be blessed toto Mungu azidi kukuinua. Na wewe ulie msaidia Mungu akutendee mema zaidi.
@furahinimichael50343 жыл бұрын
He never change his passion since day one, bado anataka kuwa mwl...keep the fire burning champion ❣️
@allystideforever65943 жыл бұрын
Nice mtoto wa ngundusi kitongoji cha mkitamo namkumbuka sana Mungu ni mwema
@innocentmarunda58533 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu ayo kwa kuzunguka kila mahali. Antony Mungu akupe nguvu. usiige ubaya Iga wema na utafanikiwa mtumishi.
@lamerckjesus54043 жыл бұрын
_Mungu AKUBARIKI pia kwa mawaidha hauo brother @Ino_
@nicksonlagat64753 жыл бұрын
Am from kenya that boy will be a good leader in future God is great
@theceefamily77643 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa kujitolea kumsomesha mtoi antony,Pia Mungu akuzindishie baraka mtoto antony🌹❤🌞🙏.
@mariaalsaid36903 жыл бұрын
Asante sana Milad TV nimefurahi sana ku muona Antony na kuwa anaendeleya vizuri
@franciskajessy74013 жыл бұрын
Oh I’m so impressed God bless this school and Anthony
@w40583 жыл бұрын
Aammin Franciska
@w40583 жыл бұрын
Watu wengi watafurahia kuona maendeleo yake
@w40583 жыл бұрын
He changed a lot and full confidence
@andrewjosephhezron233 жыл бұрын
It's not easy for three years and this guy he speaks good English .... Is power of God.
@mutheumildred24273 жыл бұрын
😭😂😂
@errydeo88653 жыл бұрын
Fantastic,thats all i can say,God is great! next CARDINAL,AFTER RUGAMBWA...
@errydeo88653 жыл бұрын
@@aimew.5515 what do mean??
@wilsongatimu98803 жыл бұрын
Hongera sana kwa huyu kijana waliimu na sanasana mwenye anamshikilia kimasomo. Iraq watching
@raymondsospeter11763 жыл бұрын
Asee God is GOOD MTOTO HUYU KATOKA MASHARAH
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Alhamdulilh nnimefurahinsanaa maana nilifatiliaa mwanzoo mbaka mwisho Leo nilivyoionaa ni kasemaa siendii bongo starsech Kwanzaa nimuonee mtoto Anton Allah atakujaaliaa mtoto mazurii nakupendaa sanaa ❤️
@omarykindaile64513 жыл бұрын
Wakwanz nipe like apa twend paamoja💞💞💞
@bethmsigwa67423 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@fadhilimhepela73663 жыл бұрын
@@bethmsigwa6742 àp
@marymungai44292 жыл бұрын
success Anthony you are very talented God bless you for standing for your family. you are a superstar
@dralhajijbmatatala45803 жыл бұрын
,,Maa Sha Allah! ,, Mwz Mungu Ampe Umri Sahiki , Anaye Msomesha :
@alexlaizra55363 жыл бұрын
Mungu akusidixhie ujue saidi💪💪bless you
@jumannewamburaa41453 жыл бұрын
Mungu amzidishie alie jitolea
@dentist.kennethkaunda50363 жыл бұрын
utakuwa mwalimu but you will be a strong man of GOD....YOU WILL PREACH THE WORD OVER THE WORLD.....
@elizabethjackson38653 жыл бұрын
Anaye msomesha huyu mtoto Mungu hatamwacha hivi hivi 🙏🏼🙏🏼
@katembokinyamaganga58933 жыл бұрын
Mung u atamlipa anaemsomesha
@teresawanjiku66253 жыл бұрын
Mungu akubaliki sasa,, akulinde na pia afungue jia zako zote
@yusuphmtumbuka68053 жыл бұрын
@@teresawanjiku6625 mungu akubalik
@peterdaiman58133 жыл бұрын
Hongera kwa mfadhili Mungu amubariki sana
@peterphilipo41522 жыл бұрын
Nilichokipenda zaidi kwa dogo janja ni msimamo wake yan I want be a teacher 🙌🙌
@sifamushi17473 жыл бұрын
Life had this young man grow up quickly. God bless him.
@husnatgamaah13353 жыл бұрын
Iam so happy, ame improve sana MashaAllah 🥰❣🌹
@pascalkana31033 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awabariki sana nyie munaomusomesha uyo kijana amen
@lamerckjesus54043 жыл бұрын
_Kuna watu wana Imani dogo Imani yake, iko juu sana kaulizwa"ilikuwa na Imani kwamba utakuja ufike hapa" kasema ndio maana Mungu anafanya njia pasipo na njia, duh! Huyo mtoto ana kitu kikubwa ndani Mungu anakiandaa_👏
@hdmtanzania26173 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akutangulie Anton
@pascalinechambunyota35523 жыл бұрын
Mungu atafungua njiya kwenye pasipo kua njiya Mungu asifiwe sana ,Kijana Antony endeleya nakumutiya Mungu mbele,Mungu awabariki sana wenye kusomesha nakumlisha kijana uyu Antony
@messaabbas83463 жыл бұрын
God,,the boy he’s so amazing,,god bless you Antony and the god bless the the man who is take all opportunity for little boy 👏🏻
@gracemwankesa3313 жыл бұрын
Mng akubalik kwa kujitoa kumsomesh huy kijan ongela san
@gloriarobert65823 жыл бұрын
Hongera mtoto, na mfadhili pia ubarikiwe sana. Mungu azidi kumwongezea pale ulipopungukiwa.
@gracejohn8863 жыл бұрын
Ongela uliyejitolea kumsomesha ujapoteza pesa MUNGU awatangulie
@mohamedpesambili94603 жыл бұрын
Ni hongera siyo ongela
@nancysrath21843 жыл бұрын
@@mohamedpesambili9460 😂😂😂😂
@saidbanga3 жыл бұрын
@@mohamedpesambili9460 Ila kuna watu hapa Duniani 🤣🤣🤣😅😅
@veronicadaniel11223 жыл бұрын
Amina
@gracejohn8863 жыл бұрын
@@mohamedpesambili9460 ndo ivyo ata maisha yanatuchenga mda mwingine sembuse kuandika 😆😆😄😄
@adnaosimbo26313 жыл бұрын
Mungu ni mwema, such good Samaritan need to live long 🙏🙏🙏
@halimamayunga19113 жыл бұрын
Mungu akubariki sanaaa Mtoto mzuri💕❤🙏
@veronicashema46003 жыл бұрын
Hongera sana Dogo mungu kweli mwema,mzazi ulie jitolea utapata thawabu kwa mwenyezi mungu
@khadijacharles24333 жыл бұрын
Da we baba mungu akulinde sanaaa🙏❤
@gililwise3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mdhamini hakika Mungu atakuinua zaidi kwa kumsaidia huyo mtoto .jamani wazazi wengine sijui wamelogwa mnawatelekeza watoto tena wenye akili.du
@edsonmwambokela37073 жыл бұрын
Tunamshukuru Sana ndugu yetu ulie amua kumsomesha huyu mtoto na Mungu akuongezee pale alipo toa
@josephkiwango58983 жыл бұрын
Msuya nimemwona, schoolmate wetu. Hongera kwa kazi nzuri
@magrethyasso31043 жыл бұрын
Jamaniii nimepata furaha mpka nimelia mungu ni mwema kila wakati acha aitwe mungu na atabakiki kuwa mungu
@isdorymethusela96893 жыл бұрын
Nini kimekuliza hapo kwamfano,be serious plz,
@isdorymethusela96893 жыл бұрын
Furaha mpaka Julia ndonn?!
@magrethyasso31043 жыл бұрын
Nimefahi mno mpaka nikajikuta nalia kwa furaha, kama umesha wahi kufatilia kisa cha huyu mtoto naamini hata wewe unayeuliza nn kimeniliza usingeuliza
@marycharles26093 жыл бұрын
Aiseeeh vile anamtaja Mungu naenjoy Sana mimi.....Mungu akutangulie kwa kweli Antony
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Alie msaidia Dogo kumpeleka shule Mw/MUNGU 🙏 amjalie Sanaaa na Dogo pia Mungu amjalie Afya njema 🙏
@bernadetamodest61703 жыл бұрын
Ayooo tv nimefurah sana kusikia tena habar za mtoto huyu asante sana kwa kutuletea maendeleo yake.Mungu ambariki mfadhil wake na amuweke ili kuyaona mafanikio ya mtoto Antony
@tanzaniakwanza16993 жыл бұрын
Asante sana
@franksarwatt90843 жыл бұрын
Amen 🙏 mdg wangu Mungu akulinde... Duh noma sana Kama mtu mzima..