Legendary miongoni mwa wakuu wa Majeshi Bora Tanzania respect
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Hongera Mh Mwamnyange kwa moyo wako katika mchango wa eneo ulilolipa muda wa maisha yako . Hakika moyo na dhamira yako unadhihurika hadi dakika hii ambayo inaendelea kuboresha hususani kitekinolojia kutoka katika kauli zako, japo umestaafu. Hakika moyo wako haujachoka unaipenda kazi yako. Amaizing big heart . Superb absolutely. Mungu azidi kukupa afya hakika u - hazina ya kudumu. 👍
@geofreyshaurimoyo59182 жыл бұрын
Mkuu tutakukumbuka daima umeweza kulibadilisha jeshi kuwa la kisasa Sana🙏
@Eldiablo_69 Жыл бұрын
21:15 General Claudio Graziano
@charlesmaestro10922 жыл бұрын
Bless up Sir
@betrackjasson66985 ай бұрын
Mkuuu ongera ulifanya kazi nzuri tangu nikiwa mdogo nakuona katk makumu yako ila nataman kuw mmoja wa kazi yako ila sijapata nafasi
@arnoldluwibwakila34582 жыл бұрын
Man Of His Time.
@yusufmohamed88742 жыл бұрын
Huyu kamanda alistaafu akiwa kijana sana
@adkajisi45362 жыл бұрын
Lkn pia aliwahi kupata wadhifa mkubwa akiwa bado mbichi