Mkuu wa Majeshi wa Kwanza JENERALI SARAKIKYA, Asimulia Alivyoshiriki Kuliunda Jeshi

  Рет қаралды 86,188

Ulinzi Channel

Ulinzi Channel

2 жыл бұрын

#wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Пікірлер: 50
@user-cy2vl6yh8p
@user-cy2vl6yh8p 11 ай бұрын
Babu hongera sana nakupenda sana babu yangu mungu akulinde
@user-rt7cj8nj1z
@user-rt7cj8nj1z 10 ай бұрын
Hongera sana baba yangu.Umeupiga mwingi.Najivunia kuwa na baba huyu kwenye familia ya kwetu.
@fadhilially8446
@fadhilially8446 2 жыл бұрын
Asante mzee wetu kwa mchango wako mzuri kwa taifa letu.We proud u and we love our army 💪💪
@denismabubu291
@denismabubu291 2 жыл бұрын
Mungu mbariki huyu mzee afike mwika 100 na wabariki pia viongozi wetu waliopo uzarendo km wa mzee huyu
@patrickmarko4467
@patrickmarko4467 2 жыл бұрын
Hongera Jenerali Kwa kuunda jeshi letu na kuliwekea misingi imara
@ishimwejoe
@ishimwejoe 2 жыл бұрын
Sandhurst graduate 🔝🙌🏾🔥
@andrewlwilla8831
@andrewlwilla8831 2 жыл бұрын
Big up Mzee Sarakikya, tunakutakia maisha marefu.
@roymbeko6361
@roymbeko6361 2 жыл бұрын
BADO YUKO HAI.?
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Hongera Mzee wetu Gen Sarakikya. Mungu akujalie Maisha marefu.
@herryshabanimakomberasimba9722
@herryshabanimakomberasimba9722 2 жыл бұрын
MZEE MRISHO SARAKIKYA MJUKUU WAKO REHEMA .M.SARAKIKYA ALIKUWA MTUKUTU SAANA
@rashidnagasangula2032
@rashidnagasangula2032 2 жыл бұрын
Huyu mzee pamoja na umri wake mkubwa akili yake ipo imara sana. Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu.
@IBENGM
@IBENGM 5 ай бұрын
Asante Mzee wetu kwa mchango wako kwa Taifa letu! Mungu akubariki
@simonnaivasha6393
@simonnaivasha6393 3 ай бұрын
Hongera mzee Generali Sarakìkya kwa ùzalendo wako ,umesaidia kuweka historia ya Tanzania sawa, wewe ni mojawapo wa wanajeshi muhimu kwa ulinzi wa Taifa letu na msomi mzuri wa jeshi letu, Mungu akupe maisha marefu , ili nchi iendelee kupata mawaidha yako bora ya kizalendo.
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 2 жыл бұрын
Afande ametoa darasa LA kutosha.Mliopo kazini, msikilizeni kwa makini.Tanzania tupo vizuri
@mhochibiliclintony8625
@mhochibiliclintony8625 Жыл бұрын
Ofcoz huyu kamanda yuko very bright by nature
@maselemasele5959
@maselemasele5959 2 жыл бұрын
Afande wewe ndio msingi wa Kwanza wa jeshi letu jwtz hongera Sana kwa kwa uzalendo na kujitolea kwa ujenzi wa msingi mkubwa nahuta sahaulika kwa jeshi na Inchi yako
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 2 жыл бұрын
Wazee ni Hazina. Jeshi Imara Ulinzi wa Mipaka yetu Uendelee. Tanzania Imara Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
@abelalpha441
@abelalpha441 2 жыл бұрын
Mungu ibariki African Mungu ibariki Tanzazia Amen
@alfredcharles8029
@alfredcharles8029 2 жыл бұрын
Wonderful Jamaa brain yake bado iko intact kabisa ana flow vyema bila kumung'unya neno
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 2 жыл бұрын
Kweli tumetokea mbali aise,Mungu ashukuriwe sana!♥️🙏
@pthegentleman4293
@pthegentleman4293 Жыл бұрын
Thank You General for your Service! ( Hii ni Hazina Kubwa kwa Taifa na Uongozi kiujumla )
@jumannerizimbura6750
@jumannerizimbura6750 2 жыл бұрын
Madini tupu, mzee MUNGU AKULINDE TUNAKUHITAJI SAAANA
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 жыл бұрын
General. Ssrakiky. Nakupenda. Kwa. Ukatmu. Wako
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Longlive mzee sarakikya
@abelsariko1788
@abelsariko1788 2 жыл бұрын
Imekatikia njiani....tunaomba ndugu zetu wa ulinzi channel mtuletee muendelezo wake. Afande Sarakikya ni hazina kubwa sana kwataifa letu na historia. Tuendelee kufaidi kwake kwa kumshirikisha katika vipindi mbalimbali
@isaacngomuo5586
@isaacngomuo5586 2 жыл бұрын
Naunga. mkono huyu babu Generali mstaafu vyombo vya habari vimtumie kuchimba mambo mazuri ya zama I.
@clausemsemwa297
@clausemsemwa297 2 жыл бұрын
Hawa watu wapo hamuwahoji watupe madini....mpo bize na kina baba Revo na Hamp Rappa
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 Жыл бұрын
Salute
@ngosicheleso5745
@ngosicheleso5745 2 жыл бұрын
Good news keep it up
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 2 жыл бұрын
VIVA TANZANIA ♥️🇹🇿♥️♥️♥️💪🇹🇿♥️🇹🇿
@alphonceephulaim1274
@alphonceephulaim1274 2 жыл бұрын
Father nimekusikiriza vizuri hapa lwaha tatizo lahuyu nikutengeneza picha lenyegarama kubwa harafu halinafaida siborakutama picha ya mr.maganga dar to Lagos et Loyola laninisasa
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 2 жыл бұрын
Aliongoza Jeshi akiwa kijana na Mdogo kwa Gen Musuguri ingawa alifuata baadae yy ana enda 100 yrs
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 4 ай бұрын
Mungu akulipe kila la kheli
@michaelobunde753
@michaelobunde753 2 жыл бұрын
Yule aliyeongoza Vita kagera ndio nguli haswaaa
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 2 жыл бұрын
Anenepa, alikuwa mwembambaaa
@machasofficialsite6221
@machasofficialsite6221 2 жыл бұрын
Huyo kamishna alikuwa na makosa,kumnyima general chuo,hajui jeshi ndo uti wa mgongo wa taifa hili?
@mkizercypher125
@mkizercypher125 2 жыл бұрын
Saf mike
@khalidbelhasa2137
@khalidbelhasa2137 4 ай бұрын
Huyu sio mkuu wa majeshi wa kwanza Tanzania, baada ya uhuru
@kelvinalex9982
@kelvinalex9982 2 жыл бұрын
General Wa Kwanza Si Abdallah Twalipo Sio
@patrickmarko4467
@patrickmarko4467 2 жыл бұрын
Lkn Sarakikya ndio mkuu wa majeshi wa kwanza wa TPDF
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 жыл бұрын
Ni hyu bro
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 жыл бұрын
Hyo ndiye mkuu WA majeshi wa kwanza bro ndie akafuata Twalipo,na ndio mkuu wa majeshi aliyekuwa mdogo
@binahmedjuma8681
@binahmedjuma8681 2 жыл бұрын
Mzee huyu ndio wa kwanza, Abdallah Twalipo ni wa pili.
@patricknyiti5303
@patricknyiti5303 Жыл бұрын
Huyu alichelewa sana kua General...Ila Cha kushangaza ndio mkuu wa Jeshi wa kwanza
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 жыл бұрын
Hivi huyo ndo WA Kwanza? Msuguri ni wangapi
@rashidnagasangula2032
@rashidnagasangula2032 2 жыл бұрын
General Musuguri alikuwa wa tatu baada ya General Abdallah Twalipo
@salvatorymtunga2802
@salvatorymtunga2802 2 жыл бұрын
Huyo ni mkuu wa majeshi wa kwanza TZ.
@vicentelias491
@vicentelias491 2 жыл бұрын
Kwa lugha nyepesi yeye ndie alieliunda jeshi la wananchi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 жыл бұрын
.
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 51 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 9 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 3,9 МЛН
Jaramandia la uhalifu : Mapinduzi ya serikali ya Moi 1982
25:44
KTN News Kenya
Рет қаралды 1,4 МЛН
HISTORIA FUPI YA MEJA JENERAL ALFRED KAPINGA
6:50
RUVUMA TV
Рет қаралды 20 М.