Рет қаралды 506
Mjadala huu umeibuka wakati Serikali ikiwasilisha majibu ya hoja ya Mbunge wa Viti Maalum Felista Njau aliyetaka kauli ya Serikali kufuatia kuwepo kwa malalamiko ya wananchi juu ya mikopo ya kausha damu ambayo imekuwa ikilalamikiwa na wananchi.