MITAMBO YA JAMAA ALIEKATAZWA NA TANESCO KUGAWA UMEME KWA WATU 300 BURE

  Рет қаралды 116,467

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 163
@mdachitv3459
@mdachitv3459 5 жыл бұрын
Unataka TANESCO wale wap 😃😃
@martinnzunda2196
@martinnzunda2196 5 жыл бұрын
Tanzania ina wabunifu wengi sana, ila kuna watu wanawarudisha nyuma badala ya kuwasaidia. Uncle Jpm asingesema ingekuwa basi tena Big Up fundi Endelea kuijenga Tz
@richardsoka2400
@richardsoka2400 5 жыл бұрын
@Martin Nzunda Rais Dr Magufuli amewatambua na kama Tanesco hawatamtambua, Viongozi wote wa Tanesco mkoa watatumbuliwa! Tuna Rais mzalendo!
@martinnzunda2196
@martinnzunda2196 5 жыл бұрын
@@richardsoka2400 saana mkuu Walikuwa wanabeza sana juhudi za wabongo wenzao
@michaelkessy5740
@michaelkessy5740 5 жыл бұрын
Kwel Magufuli anasaidia Watanzania wabunifu
@moseskayan3705
@moseskayan3705 5 жыл бұрын
Martin Nzunda perfect comment
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
Ubunifu upi hapa naombeni elimu maana hapo nikila kitu ka assemble
@creativefamily3880
@creativefamily3880 5 жыл бұрын
Team Milard Ago, fikisheni Pongezi zangu kwa mjenzi halisi wa Taifa Tanzania.
@abelsamweli7402
@abelsamweli7402 5 жыл бұрын
Tanesco Tanesco mheshimiwa anawaonaa😁😁
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Magufuli Rais wangu uliechaguliwa na Mungu kuiongoza Tz. Mungu akupe maisha marefu zaidi. Hakika watanzania tulirogwa haingii akilini tukawa tunakandamizana wenyewe bila sababu za msingi.
@abuusufian6506
@abuusufian6506 5 жыл бұрын
Hapa kaongelewa Rais au umeme duhh
@nelsonngemera9832
@nelsonngemera9832 5 жыл бұрын
Unajua Mungu? Acha kulitaja Bure jina la Mungu..
@lightnesslawrence8557
@lightnesslawrence8557 5 жыл бұрын
Shikamooh brother,unachofanya ni ndoto za wachache,you look serious and serious
@philemonlazaro5796
@philemonlazaro5796 3 жыл бұрын
Daaah hongera sana mzee baba big up my brother
@raymondndeanka2608
@raymondndeanka2608 5 жыл бұрын
Well-done brother .....keep it up
@johnbosco8914
@johnbosco8914 5 жыл бұрын
HONGERA BRO,Tanzania ya Viwanda inahitaji Watu Kama nyinyi,n.a. Imani Rais wetu Mpendwa atakapoiona kazi yako,atakutumia kwenye mambo mbali mbali ya maendeleo ya nchi yetu.
@norman4332
@norman4332 5 жыл бұрын
Jifunze PHOTOSHOP kwa KISWAHILI bonyeza profile picture yangu itakupeleka kwenye channel yangu pia usisahau ku SUBSCRIBE🙏🙏🙏
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 5 жыл бұрын
Makofi kwako mkuu 🙏💖💖
@husseinsalimmaula4254
@husseinsalimmaula4254 5 жыл бұрын
Brother cna uwezo wa kukuchangia pesa ili ufike mbali zaidi Ila mungu atakubariki kwa jitihada zako .
@RickshabyVlogs
@RickshabyVlogs 5 жыл бұрын
Naamin litakapo tokea company lingine la umeme kuacha tanesco huduma zitakua nzuri sana na ushindani sikuzote huleta mafanikio makubwa nchini Serikali iliangalie hili suala na kuruhusu competition kwenye Kada ya umeme 💪💪💪
@alfonsominari6530
@alfonsominari6530 5 жыл бұрын
The guy has a good idea,he should put more Panels and connect it to Tanesco power grid that's at daytime at a cost,If he can get Lithium ion for storage of energy can also be good.
@hamisisha
@hamisisha 5 жыл бұрын
Umeendelea kaka big up sana
@abelsamweli7402
@abelsamweli7402 5 жыл бұрын
Big up kaka.. Nimekubalii kazi yako
@kishymbatanzania9213
@kishymbatanzania9213 5 жыл бұрын
mtangazaji ni Kilaza anaonekana alisoma Arts badala ahoji idea ilikujaje kwanin ikawa moshi na si dar inafanyaje kaz mko na nan vip faida yake na hasar?linakimbilia gharama yan within 2min jamaa ameshajibu maswal yake yote
@prospermagali
@prospermagali 5 жыл бұрын
Nimefurahi kuona Tanesco wamemtembelea mzalishaji huyu mdogo na kumpa ushauri. Ni kweli mzalishaji huyu anahitaji kuboresha mambo kadhaa ili aweze kuzalisha umeme kwa ufanisi na kuwapatia majirani zake huduma ya umeme. Tunao mradi wa aina hii kwenye kijiji cha Mpale, Korogwe, Tanga, ambapo Tunazalisha 48kW kwa nguvu za jua na tayari tumeunganisha wateja 180. Mradi wetu umesajiliwa na EWURA na unatambulika na Wizara, REA, Tanesco Wilaya ya Korogwe na katika Halmashauri nzima ya Korogwe. Tunakusudia kuvipatia vijiji vingine 15 huduma ya umeme kwa miradi ya namna hii. Tunamshukuru sana Raisi Magufuli kwa kutambua mchango wa wazalishaji wadogo wa umeme kwa teknolojia mbalimbali na tutaendelea kumsaidia kuwaletea maendeleo wananchi hasa wa vijijini ambao hawajafikiwa bado na huduma ya umeme. Namshauri mzalishaji huyu afuatilie maelekezo yote atakayopewa ili kuboresha mradi wake...
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 5 жыл бұрын
Cha muhimu Tanesco mfanye haraka sio tena miaka km yapo mapungufu msaidieni kazi nzuri kafanya
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 3 жыл бұрын
Anajua kuliko Tanesco
@wilfredmoshi6507
@wilfredmoshi6507 5 жыл бұрын
Wamekwenda hapo baada ya kuona jpm aliwasema kutokana na yule wa iringa. yaani sijui nani aliyetuloga hatupendi kabisa maendeleo yetu.yaani ukiona mtanzania kabuni basi unaona hicho hakiwezekani ubunifu wote unatakiwa utoke nje ya nchi.da kazi tunayo.
@maselewilliam1114
@maselewilliam1114 5 жыл бұрын
Ninakupongeza sana jamaa ila nakushauli ubadirishe mfumo .....Mimi nipo California USA, huku walishahama matumizi ya battery wanafunga system ya isiyotumia battery ni panel ambazo ni mono crystal all weather na inverter inayochange current from DC to AC included capacitor store its easy to use.. Before to move to USA I was dealt with solar installer and national gred .....according my jobs you can't afford to provide Umeme kwa watu utaingia lawama. Panel 75 ndiyo kila moja ipo watts ngapi na battery za Ω ngapi na charging capacity ngapi na inainstall ngapi na excess ya ngapi....panel 75 ni kwa matumizi ya familia tu siyo kugawa ether uwe na support ya inverter charger kupitia generator you can afford to supply. Hongera sana ndugu umeonyesha mwanzo mzuri na serikali uipe changamoto wavune umeme kupitia solar. Ushauri kwa serikali naomba imsupport huyo mangi alichokifanya na wafanye kama USA tunazalisha hydro electricity, solar plant, wind turbines and gas.....wind turbines is very expensive to install but is very cheaper to use hivyo wataalamu wa umeme waje kujifunza ili wafanye Mapinduzi ya Umeme Tanzania na Africa. Mimi ni Watanzania ninayeipenda nchi yangu I wish siku moja umeme uwe haukatiki.
@songaym.assiyecheka5322
@songaym.assiyecheka5322 5 жыл бұрын
Masele William Umeongea point nzuri sana!! pia nakushukuru Kwa kuitakia mema nchi yako. huo ndio Uzalendo!!
@vanyjunior1708
@vanyjunior1708 5 жыл бұрын
Kaka naomba namba yako kaka
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 5 жыл бұрын
Yes. Ulicho kiongea nisahihi lazima awe na sistim inayo weza kuzalisha umeme nyakati zote masika ama kiangazi. Lasivyo atapata lawama kwa wateja wake.
@hamadshein935
@hamadshein935 5 жыл бұрын
Wewe upnd nch yko.ukakimbia kalifonia.
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU akuzidishie kipaji zaidi na mafanikio makubwa
@stevenpaul4818
@stevenpaul4818 5 жыл бұрын
Hatari hongera sana
@elibarikkiakyoo
@elibarikkiakyoo 5 жыл бұрын
Hapa ninapo andika umeme umekatika japo nahitaji kupasi,
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Huyu huko vizuri zaidi hata ya wale wazee wa mbeya!!Tanesco wamuunge mkono na kumpa vibali anavyohitaji ili asaidie watu wa eneo lake.
@kabefiramadhani7610
@kabefiramadhani7610 5 жыл бұрын
Jamaa katumia matirio ambayo hata wewe unaweza. Ila wale wazee ni shidaaa
@globalstar4471
@globalstar4471 5 жыл бұрын
Wale wazee Ndio Zaidi kuliko huyu kwani wanatumia majji.huyu Anatumia. solla
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 3 жыл бұрын
Tz nishamba la tanesco wa2 wanapigwa
@stanleyjacob6744
@stanleyjacob6744 5 жыл бұрын
Kugawa umeme kwa watu 300 au nyumba 300???
@jostamzxkaole3113
@jostamzxkaole3113 3 жыл бұрын
Watumia3😬😬. Tuende watu miatatu
@henrickchambilo4806
@henrickchambilo4806 5 жыл бұрын
Be blessed with God
@barakachaula7050
@barakachaula7050 5 жыл бұрын
De power of Maguwise😁
@rahmakhassani4148
@rahmakhassani4148 5 жыл бұрын
Yani tanesco wanaongea maharage tu apo badala ya kumwezesha mtu wanamzingua tena
@hajjialy2413
@hajjialy2413 5 жыл бұрын
wachoyo
@letsgobacktoafricafoundati1322
@letsgobacktoafricafoundati1322 3 жыл бұрын
Wana penda hela hao maharam
@lauworony1452
@lauworony1452 5 жыл бұрын
milioni mia tatu ingekuwa ni mradi wa serikali ungesikia umetumia bilioni 5
@nellywizz9631
@nellywizz9631 5 жыл бұрын
Kweli
@ramadhanisuru1822
@ramadhanisuru1822 5 жыл бұрын
Hiyo ndo Tanzania ninayo taka
@ashritaabdallah6474
@ashritaabdallah6474 5 жыл бұрын
Wale wazee wapo kizamani zaidi uyu kaka yupo vizuri mungu amzidishie
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 5 жыл бұрын
Acha uongo,huyu anatumia gharama kubwa wale wanatumia gharama za chini,pili tofautisha umeme wa jua na maji.
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 3 жыл бұрын
Hongera Kaka tunahitaji ubunifu km huyo ingekuwa nchi nyingine wakuinua ili uzidi kupanua hiyo kazi Kaka sijaijua Tanzania ni vipi Ila ni wagumu Ila mungu ataleta watu watakaokusapoti usonge mbele Hadi utoe ajira Kwa vijana wetu hongera sana
@aishasilaji5759
@aishasilaji5759 5 жыл бұрын
Vijiji vingi vinahitaji umeme bora tu angesapotiwa tu jaman
@ngelejangeleja6584
@ngelejangeleja6584 5 жыл бұрын
Tujifunze kitu watu kama hawa wanahitaji support kubwa sana kwa sababu tatizo la umeme ni Kubwa sana hapa nchini
@khatibhijja3958
@khatibhijja3958 5 жыл бұрын
Tanzania unatak watu kama kina Piere liquid sio hawa
@dutchkijiko1635
@dutchkijiko1635 3 жыл бұрын
Good job Tom
@iviejustified8109
@iviejustified8109 3 жыл бұрын
Kwanini ugawe bure boss?
@kwisa4899
@kwisa4899 3 жыл бұрын
Huyu alicho fanya katumia pesa kuwekeza kwene umeme wa solar hakuna alicho kibuni hapo kila kitu kaagiza nje (Invetor,solar panel,Back up Battery 🔋) hakuna jambo la ubunifu lililo fanyika hapo hivi ni vitu vya kawaida sana
@edinamutakyawa6872
@edinamutakyawa6872 5 жыл бұрын
hongera sana
@hassanmkungile6021
@hassanmkungile6021 3 жыл бұрын
Tanesco ndo shilika lenye wivu Dunia nzima hawajawah kubali ubunifu wa mtu bnafsi wanagwaya kupinduliwa watu wanavipaj apa bongo n atar tatizo Saporta hawapo 😠😡
@happymrema6728
@happymrema6728 3 жыл бұрын
Majibu yenu sio mazuri kwa kweli mnatak kumkatisha tamaaa
@mohamedmbela8778
@mohamedmbela8778 5 жыл бұрын
Mara betri hazitoshi, tena labda waje eura yaan wa tanesco hamujaeleweka mlichoongea. Sasa kama nyie elimu yenu ndogo kwann mliharakia kuja na kutokuwaachia hao eura?
@amanijampion3045
@amanijampion3045 6 ай бұрын
Millard tupe mwendelezo wa huyu jamaa amefika wapi? Thomas fanya tena coverage
@risasiponera8622
@risasiponera8622 5 жыл бұрын
big up tunahitaji watanzania kama hawa wenye uwezo wa kuthubutu kufanya kitu tatizo la nchi hii wtendaji walipoewa mamlaka ya kusimamia hawana uzalendo wengi wao wana chuki na wala rushwa wapo kwenye nafasi hizo kwa maslahi yao binafsi pumbavu zao .
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 3 жыл бұрын
Mbona ni kitu cha kawaida sana hicho . hiyo ni solar system inachaji betri za 48vdc na converter zina convert to 230vac. Sioni ubunifu wowote hapo zaidi naona promo 2 ya hiyo system ambayo ipo miaka yote ila haijawafikia wengi sababu hawana matumizi nayo
@josephkaale6472
@josephkaale6472 2 жыл бұрын
Asante kwa ushauri inaonekana wewe ni fundi mzuri sana. Hio 40Kva ina uwezo wa kuendesha mashine ngapi za umwagiliaji na kwa masaa mangapi? Je hio 40Kva ni raw power kutoka kwenye solar panel kuenda kwenye inverter na baadae kwenye mashine au ni Stored power kutoka kwenye battery. Hio 48VDC ni charging voltage au discharging voltage? Anaposema 3Phase au 3 ∆~ ni 415VAC au hio 230VAC? 40Kva ni sawa na kWh ngapi mkuu? Naomba unieleweshe kidogo fundi wangu
@johnohando2390
@johnohando2390 5 жыл бұрын
Nothing so special about it but Tanesco should encourage more small scale solar energy investors and put the energy to the national grid.then tutasahau story ya power blackout tuwekama ulaya.
@shukurumeena6101
@shukurumeena6101 5 жыл бұрын
Bado sana mashirika ya serikali kutoa support kwa wawekezaji wazalendo kama hao.. Mawazo ya watendaji ni kuwa watu huru kama hao wana-compete nao katika biashara bila kutambua wanawapunguzia kazi. TANESCO fanyeni kazi, hapo kwa jamaa sio mbali pa nyie kushindwa kufika na kushauri kwa muda wote aliofanya kazi..HONGERA MZALENDO WA KWA-SADALA.
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 жыл бұрын
good job
@eaglecrown3872
@eaglecrown3872 5 жыл бұрын
kweli mchaga ni mchaga 2. fulsa aliyoiona MUNGU aifikishe mbali.
@user-lg1ji8hi3d
@user-lg1ji8hi3d 2 ай бұрын
Hakuna ushaur hapo Yana wivu sana Aya ayawez kukubar mpaka ingekua ngozi nyeupe
@swah555suhayl8
@swah555suhayl8 Жыл бұрын
Ayooo huyu jamaa Jambo lake lilifikia wap n miaka mi 3 sasa
@tesinaelectronics8228
@tesinaelectronics8228 5 жыл бұрын
Jamani mimi nakupongeza sana fundi, watu wanajitahidi kufanya miradi lakini watanzania wenzetu tunaoneana gere, naomba tumuunge mkono mtanzania mwenzetu aweze kusonga mbele. nanyi tanesco hiyo ndiyo miongoni mwa uchumi wa viwanda, msaidieni huyu jamaa kama mlivyosema na sio kumkatisha tamaa, na kumpa majibu baada ya miaka sabini atasahau idea zake. pamoja tujenge Taifa letu tufikie uchumi wa kati.
@methodismail3906
@methodismail3906 5 жыл бұрын
Ukiangalia hawa viongozi wa serikali ni wakwamishaji wala hawampi moyo kwa kile alichokifanya, wengi wanavunja moyo sana. wao hawana hata betri moja lakini wanasema betri hazitoshi. Ukimsikiliza huyo aliyewekeza yupo positive sana na professional ila hao wageni wanaanza na proposal sijui nini ule ule urasimu unaanza hapo hapo. Hatusogei kwa kweli kwa mpango huo.
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 5 ай бұрын
Tanesco wako kama rais dikitekta . Umeme uwe biashara uria tu. Watu watengeneze umeme wa upepo. Umeme wa solar na umeme wa maji. Ili kupunguza zigo ambalo tanesco wanalemewa nalo .
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 2 жыл бұрын
Wapi nyinyi wazinguaji2 . Mnavyochukia soler eti zinawakosesha fedha . Hapo ni unafki2 tanesco mnaongea ni vile2 soler zimegunduliwa nje hamna uwezo wa kusitisha utengenezaj
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 3 жыл бұрын
Hapo ni figisu tuu
@danmsafi2383
@danmsafi2383 3 жыл бұрын
Mi nilijuwa kagundua mitambo yake ya kuzalisha umeme,kumbe umeme wa sola
@johnhobo9460
@johnhobo9460 5 жыл бұрын
Yuko_gud_big_up_kwake
@saadsalum3253
@saadsalum3253 5 жыл бұрын
Magufuli ataka viwanda sihicho apewe kibali auze umeme tu huko kijijini
@francomwacha2262
@francomwacha2262 5 жыл бұрын
binafsi nimetamani kujua zaidi aisee.. kama interview imekua fupi vile.. ingefaa mtu wa nguvu ukaifuatilia hii habari kiundani maana ni ubunifu mkubwa sana..
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Kweli
@omaryh.mohamed4480
@omaryh.mohamed4480 5 жыл бұрын
Innovation
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 5 жыл бұрын
Hongera
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 жыл бұрын
@magufuli RAISI WETU msaidie huyu kijana apate kuwekeza katika umeme please mr president
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 жыл бұрын
Huu ndo ujinga!! Tunahitaji mifumo inayotambua na kuthamini vipaji vya watu!! Si kumtegemea Rais! Ujinga mtupu!! Rais atawaona watu wangapi??
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 жыл бұрын
@@raphaelsamwel2640 tatizo la Tanzania huwezi saidiwa hadi raisi aseme tulio chini kazi yetu roho mbaya tuu
@vaghoghontweki9827
@vaghoghontweki9827 3 жыл бұрын
@@raphaelsamwel2640 Watu kama ww wachache sana,,,,,saiv hata choo cha shule kuna someone anatajwa asaidie😥
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 5 жыл бұрын
Mkaka mhandsome 😍 wewe
@fredymahenge3063
@fredymahenge3063 5 жыл бұрын
Hao masela wa tanesco dawa yao waitwe na Magu ikulu pamoja na mwenye mitambo ,patanogaje
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 5 жыл бұрын
Hili ndio Tatizo latanzania Yanimtu km HUYU badala yakuungwa mkono anapigwa stop
@sonymusa5333
@sonymusa5333 5 жыл бұрын
Asili ya Mtanzania ni Unafiki. Hamna anaetaka mwenzie afanikiwe. Hawajawahi kubuni hata betrii ya cm alafu wanakosoa
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
Mbona ninyi wenyewe TANESCO mnashindwa kutukidhi ,inakuwaje muulize anawezaje kukidhi wateja wake .
@elymollel
@elymollel 5 жыл бұрын
Blablablabla ...sasa kama shirika mmefikaje site bila Kuwa na jopo la wataalam?
@thegreat.9869
@thegreat.9869 3 жыл бұрын
Tanesco bana.
@bigdreamer8857
@bigdreamer8857 3 жыл бұрын
Serikali itafute kitengo maalum Cha kukagua, kushauri na kusajiri wabunifu wa nishati ila hiyo tanesco sidhani maana kumfaulisha mtihani mshindani wako sidhani.. malekani mbona Kuna Tesla jamani yule mtata wa sola panel na mabetri
@musapaul2830
@musapaul2830 5 жыл бұрын
Tanesco msiwe wakatishaji Tamaa kwa watu kama hawa, isipokuwa muwaunge mkono si kwa maneno Bali kwa vitendo . ukumbuke wajenzi wa nyumba moja hawagombanii fito.
@mdomani2404
@mdomani2404 5 жыл бұрын
Bora ungepiga kimya tu😅
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 3 жыл бұрын
Kweli wewe unawazo kama langu,Wtz wabinafsi sana ukishatangaza hivo ujue kabisa kuna mamlaka zitakuja kukuzuia hapo ilitakiwa ukijazuiliwa na gharama zako zimekwisharudi.
@pjelectrcian8391
@pjelectrcian8391 5 жыл бұрын
Bro hongera sana umejitahid but ningeomb kuwajuza kitu wapendwa, ukweli ni kwamba ukitaka kuzalisha umeme wa uhakika kitu pekee unachotakiwa kuwa nacho ama kukitafuta ni MOTION ENDELEVU kuna vyanzo ving vya umeme mf maji, jua, upepo, n.k katika vyanzo vyoote hivyo unatakiwa kupata kimojawapo ambacho ni endelevu wakat wote usiku na mchana, mfano ukitumia Motion ya upepo, hauvumi mara zote unazuka na kupotoe pia speed ya upepo haipo normal inazid na kupungua finally hupat umeme wa kutosha, vip ukitumia motion ya jua, jua sio Motion endelevu coz usiku haliwaki na kwavile haliwaki usiku itakugharimu kuuhidhi na pia tunaelewa cha kuhifadhiwa hua hakidumu, kwa mantiki hiyo kwa kua jua haliwakag mfululizo umeme wake sio wa uhakikaki Kivile, kwa kumalizia topic naweza kusema kwa heruf kubwa kwamba umeme wa kuzalishwa kwa kutumia Maji ndio weny uhakika wa 100% coz maji yana Motion endelevu usiku na mchana yanatiririka Na endapo yatapungu wakat wa kiangaz gharama ya kuyahifadhi ni ndogo tu. Amen
@charlesmushi2305
@charlesmushi2305 5 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako... nothing is impossible under the sun
@esthermadauda3012
@esthermadauda3012 5 жыл бұрын
Tanesco mnazingua,sasa kama kuna tatizo si mumsaidie kwa pesa zenu sasa???ili auze umeme arudishe gharama,mkurugenzi angalia,kijiwe chako hapo Tanesco kitaota majani akifika kwa Rais magufuli,yeye ameanza mumpe support sasa sio ya maneno ni ya kifedha sasa sio ya maneno,huo ni ushauri wangu utajuta meneja ohoooo
@davidmacha9215
@davidmacha9215 5 жыл бұрын
sijui ila kwa 40 kv sidhan cz apo angekuwa na step down distribution, sijui lakin
@davidmacha9215
@davidmacha9215 5 жыл бұрын
40 kv utumie kweny pum,volt 400 three phase sawa ila 40 kw
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Ilibidi umeme uwe ktk soko huria kama makampuni ya simu ili gharama zipungue. Maana wengi huzuiwa kufanya hiyo miradi.
@happymrema6728
@happymrema6728 3 жыл бұрын
Yani wanavyoongea kamm hawajapenda
@nellywizz9631
@nellywizz9631 5 жыл бұрын
Tanesco wanaongea pumb kwanza sio wataalam ila ni wafany kaz wa tanesco wangekua na wataalam kidgo wangenishawishi
@winnesakara6957
@winnesakara6957 5 жыл бұрын
Asante
@mannabu9333
@mannabu9333 5 жыл бұрын
Tanesco wezi tu kwanza huo mrad wa luck wanan wanaiba ela nying sana za wananchi Pumbavuu
@magdalenaswai1972
@magdalenaswai1972 5 жыл бұрын
Hongera sn kaka
@stevepaintertz7252
@stevepaintertz7252 5 жыл бұрын
Tanzania, ndio maana hata bunduki znatoka nje tu, maana ole wako ushikwe unafanya ubunifu wa kutengeneza bunduki ndio utajuwa maharage ni mboga nzuri sana, badala ya kutoa watu wawil nje wenye technology hizo waendelee kutengeneza na wabunifu Tanzania et mtu unafungwa, MBEEeee.....
@ramafrica9016
@ramafrica9016 5 жыл бұрын
Ifike wakati tupende maendeleo ya watu wetu wa ndani na kuwapa nafasi ya kufika mbali.Taifa lijali maslai yake tuu
@raynelson4231
@raynelson4231 5 жыл бұрын
Bongo bhana andiko andiko ...wakati wanaoweka maandiko ndio wametufikisha hapa.huyu nisapoti
@isakajunior4873
@isakajunior4873 5 жыл бұрын
Wazee wa madesa hao lakn hata kuunga nyaya tu kwenye main switch hawawezi
@happymrema6728
@happymrema6728 3 жыл бұрын
Yani huyu tanesco wanatakiwa wamchukur
@elishamkora4317
@elishamkora4317 3 жыл бұрын
Tatizo maneno
@nurujuma5959
@nurujuma5959 2 жыл бұрын
Sasa si ndy muwasupport Yani Kama vile unakatushwa tamaa wakt mtu amehitaji ushauri
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 5 жыл бұрын
Tanzania na "ANDIKO" Huyu amezalisha KVA40 Unaanza mambo ya andiko, wewe mpe ushauri wa kitaalamu na nyie ndio muwafuate hao EWURA kwani huyu amewafanyia kazi yenu. Ndio maana Magu anawatukana PUMBAVU
@romanambelle6356
@romanambelle6356 5 жыл бұрын
Nashangaa na mm andiko la nn umefika umeona tanesco ndo waandike hilo andiko kwa kushirikiana na eura yeye kafanya kazi apewe ushauri nn aongeze. Wanataka hela tu wameshaanza. Kwanza siku zote kabla ya Mhe kuwaita walikuwa wapi kumtembelea wehu kabisa.
@ernestjophreymalaba3374
@ernestjophreymalaba3374 3 жыл бұрын
Yaani mimi siwaelewi hawa viongozi wa Tanesco hata kidogo, eti betri hazitoshi? kuna tatizo gani wakiwaruhusu wauze Umeme kwa majirani,hao majirani ndiyo watumiaji ndiyo watakaosema ubora wa Umeme husika
@thomasponera6018
@thomasponera6018 3 жыл бұрын
Mambo hayaendi kihuni namna hiyo
@sonymusa5333
@sonymusa5333 5 жыл бұрын
Tanesco baada ya kuambiwa na raisi ndo wamepata akili
@rodsconehenry4249
@rodsconehenry4249 3 жыл бұрын
Tanesco bwana eti Ku back up
@praisesamson8298
@praisesamson8298 3 жыл бұрын
Yaani TANESCO Wakuruhusu wewe pole hii ni Tanzagiza?
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 5 жыл бұрын
Mh raisi alisema watu kamaao mtawasaidia vp Changa moto zao
@fatmarashid2384
@fatmarashid2384 5 жыл бұрын
WAKIPATIKANA WATU KAMA HAWA WAKIWA 50 BASI HATUTANYANYASIKA KUHUSU UMEME MANA TANESCO NISHIDA SANA KUTWA KAZI YAO KUZIMA UMEME WANATULINGIA SANA
@gemkachar
@gemkachar 5 жыл бұрын
MILLIONI MIA TATU. WAAH.
@yonahbajile8704
@yonahbajile8704 3 жыл бұрын
TANESCO mchukulieni Ndugu Huyu kama partner alipopungua ninyi mkamilishe ili mambo yaende acheni urasimu na wivu
@sarahreuben7078
@sarahreuben7078 5 жыл бұрын
1
@shabankawambwa4397
@shabankawambwa4397 5 жыл бұрын
Hii nchi sijui wa nataka tufanyeje
@pastor.frank.tmwaisemba7401
@pastor.frank.tmwaisemba7401 5 жыл бұрын
Ila huyu jamaa anafaa kupongezwa sana
@ramalowson
@ramalowson 3 жыл бұрын
Wape wamasaii na watu wa vijijini Acheni Usenge.
BREAKING: ALLY KAMWE ATANGAZA KUJIUZULU YANGA SC
2:01
Millard Ayo
Рет қаралды 20 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 14 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 12 МЛН
MJENGO wa Bei MBAYA,Usiotumia UMEME wa TANESCO hata UNIT 1
12:43
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Umeme | SIO HABARI
10:38
Idris Sultan
Рет қаралды 18 М.
GOOD NEWS!  HIZI HAPA PAMPU ZA KISASA ZA SOLA ZINAZOFANYA KAZI POPOTE
13:38
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 14 МЛН