HANANJA HAKUBALIANI NA ZUMARIDI, ASIMULIA ALIVYOWEKWA JELA RWANDA KUCHEZA BOXING NA KUISHI NA MATEJA

  Рет қаралды 137,350

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 262
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Nuru Raymond umenichekesha ulivyomkariri Mch Hananja pamoja na anavyoongea haraka du!
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Жыл бұрын
😁😁😀😀
@prime_215beatz
@prime_215beatz Жыл бұрын
Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Жыл бұрын
Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor
@medeljoram5325
@medeljoram5325 Жыл бұрын
Nakubali s2kizzy
@bawirieto4391
@bawirieto4391 Жыл бұрын
P
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Namwelewa balaa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@MILTONKALYEMBE
@MILTONKALYEMBE Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia
@jayjay4313
@jayjay4313 Жыл бұрын
Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
@erickgulayi2089
@erickgulayi2089 Жыл бұрын
Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza
@juliusmshana7187
@juliusmshana7187 Жыл бұрын
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂
@Bittertruth-u4n
@Bittertruth-u4n Жыл бұрын
Daudi michael
@dottohami
@dottohami Жыл бұрын
Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘
@dankhany3385
@dankhany3385 Жыл бұрын
maisha marefu hannanja
@vickytorry100
@vickytorry100 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
Wewe mzee ni #bilionea wa mari Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa Mzee #ananja nakukubal kinomaa Mzee wangu upo na roho safi sana MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Sichoki kumsikiliza Hananja ❤
@frankmalesa9226
@frankmalesa9226 Жыл бұрын
Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Жыл бұрын
Na ndio tunapaswa kuishi kweli ya Maandiko 🤣
@ezevisionmediastudioezevis7855
@ezevisionmediastudioezevis7855 Жыл бұрын
Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 Жыл бұрын
Umeonaeee
@omaryrashidiboga4651
@omaryrashidiboga4651 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako
@paulnzilo7252
@paulnzilo7252 Жыл бұрын
Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 Жыл бұрын
hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤
@philemongomwa3728
@philemongomwa3728 Жыл бұрын
Mungu anaviumbevyake! Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!
@sabitintaganda9115
@sabitintaganda9115 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Жыл бұрын
Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja
@erastompongo8400
@erastompongo8400 Жыл бұрын
Kuna mungu wa masela Na mchungaji wawashikaji
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 Жыл бұрын
Umeeeleweka mkali😃😃😃👊👊
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 Жыл бұрын
😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana
@Babu.Suwa.Yoshua01
@Babu.Suwa.Yoshua01 Жыл бұрын
😂😂😂 huyu ndo pastor sasa
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Жыл бұрын
Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Жыл бұрын
Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo
@batulii1248
@batulii1248 Жыл бұрын
​@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂
@irinikoipai3936
@irinikoipai3936 Жыл бұрын
Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue
@lodrickkisanga8681
@lodrickkisanga8681 Жыл бұрын
Thanks pastor
@nassobrownog
@nassobrownog Жыл бұрын
Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤
@juliusmadebe9624
@juliusmadebe9624 Жыл бұрын
Asante sana, Nakuelewa sana.
@calvindonalds5373
@calvindonalds5373 Жыл бұрын
Millard should have done this one also, good interview though
@hubbihubbi869
@hubbihubbi869 Жыл бұрын
Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…
@KainLangson-lh5gk
@KainLangson-lh5gk 7 ай бұрын
Hananja thanks for everything you do
@Boaz22
@Boaz22 Жыл бұрын
Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉
@SienaMkolwe-px1nq
@SienaMkolwe-px1nq Жыл бұрын
Huyu pastor yuko vizuri sanaa
@khadijaalimohd1320
@khadijaalimohd1320 Жыл бұрын
SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.
@naomchristopher
@naomchristopher Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@husnajuma6452
@husnajuma6452 Жыл бұрын
😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba
@aisha-zu8vr
@aisha-zu8vr Жыл бұрын
Mashaallah
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 Жыл бұрын
Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣
@rehemabakari4150
@rehemabakari4150 Жыл бұрын
Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu
@clynemorgan9741
@clynemorgan9741 Жыл бұрын
Mchungaji bora sana 🙌
@ahmedkharis9471
@ahmedkharis9471 Жыл бұрын
Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam
@rauhiaomar977
@rauhiaomar977 Жыл бұрын
Mazungumzo mazuri sana
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Жыл бұрын
Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Love you mchungaji
@joanesasalavaleriano9980
@joanesasalavaleriano9980 Жыл бұрын
Nimekua wakwanza butuen Like zangu
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Kusema umekua wa kwanza upewe wa like ni moja ya ushamba..
@fatmahussein6085
@fatmahussein6085 Жыл бұрын
@@victorjames3730 😁😁
@HansBwoi
@HansBwoi Жыл бұрын
We penda kula bata uta batuliwa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Жыл бұрын
@@victorjames3730 hahahahahha😂😂😂😂
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 Жыл бұрын
Like zann toa coment
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 Жыл бұрын
Mawe ndo sisi😅🙋
@pettyzumamhina6583
@pettyzumamhina6583 Жыл бұрын
Sawa Pastor
@musason1680
@musason1680 Жыл бұрын
Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada
@fumotv7914
@fumotv7914 Жыл бұрын
Ashastaafu, yupo cct udsm
@user-fx5re5hu8i
@user-fx5re5hu8i 10 ай бұрын
Amina
@jacksonkimaro3751
@jacksonkimaro3751 Жыл бұрын
Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine
@justfad_026
@justfad_026 Жыл бұрын
Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel
@jehudavid6370
@jehudavid6370 Жыл бұрын
Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣
@salomemhalule5213
@salomemhalule5213 Жыл бұрын
Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.
@allyking9814
@allyking9814 Жыл бұрын
Sima namkubali sana huyu mjuba
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani? bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
@alphabintu1306
@alphabintu1306 8 ай бұрын
Cool 🌹
@glorymafuru6342
@glorymafuru6342 Жыл бұрын
Nimesikia sauti nnzuri iliyotangulia bila shaka ni ya Dulla 🥰 alooh
@mastermaster1627
@mastermaster1627 Жыл бұрын
Genius
@maturanking752
@maturanking752 Жыл бұрын
Mzee kanyooka sana ✋
@DonathaMwoleka-fc4oo
@DonathaMwoleka-fc4oo 7 ай бұрын
Aminaaaaaa baba
@norbatykapinga8756
@norbatykapinga8756 Жыл бұрын
Una msimamo good sana mchungaji.
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 Жыл бұрын
Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili
@mozasalum8742
@mozasalum8742 Жыл бұрын
Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa
@pettyzumamhina6583
@pettyzumamhina6583 Жыл бұрын
🤣🤣🤣afya ya akili!!!
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏
@abdulabdallh9506
@abdulabdallh9506 Жыл бұрын
Iv wanao omba like kwan zina wasaidya nni
@rahmamollely5296
@rahmamollely5296 Жыл бұрын
Nahis wana ajenda ya sir😊
@gracious6317
@gracious6317 Жыл бұрын
Huyu pastor mkweli kabisa
@winfridakaaya2758
@winfridakaaya2758 Жыл бұрын
Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 Жыл бұрын
Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??
@emmanicko1535
@emmanicko1535 Жыл бұрын
Nakukubali sana mwamba
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 Жыл бұрын
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Жыл бұрын
@@itsyourboy1407 Sad 😔
@ashrafchande869
@ashrafchande869 Жыл бұрын
Dah mzee namuwelewag san rich bilionea
@mkenyaog3170
@mkenyaog3170 Жыл бұрын
Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya
@sophiambwiya2164
@sophiambwiya2164 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dealsonmatata9620
@dealsonmatata9620 Жыл бұрын
Ahaaaa mwananyauu
@khayratmhina3735
@khayratmhina3735 Жыл бұрын
Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Жыл бұрын
MashAllah anaongea huyo😅
@TALLUBOY
@TALLUBOY Жыл бұрын
ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON Na siyo kitu kingine
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Жыл бұрын
Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu
@mayambeyu9061
@mayambeyu9061 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 😂
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution Ай бұрын
Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako
@ndossi90
@ndossi90 Жыл бұрын
Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja
@timothykaiza327
@timothykaiza327 Жыл бұрын
Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂
@motivationandhope
@motivationandhope Жыл бұрын
Cisco alipigwa risasi na mapolisi kashafariki miaka mingi sanaa
@belzylucas7275
@belzylucas7275 Жыл бұрын
Nakupenda sana❤
@mwandudickson8156
@mwandudickson8156 Жыл бұрын
Mbinguni au bafun😂😂
@aisha-zu8vr
@aisha-zu8vr Жыл бұрын
🤲🤲🤲🤲
@binbaya923
@binbaya923 Жыл бұрын
😁😁😁🔥🔥🔥👊🏿👊🏿mm naona ni afya ya akili
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Жыл бұрын
😂😂🤝🤛 Asante kwa burudani
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 Жыл бұрын
😂😂
@moganfred6473
@moganfred6473 Жыл бұрын
Huyu mzee wamaana sana
@p.kasongot979
@p.kasongot979 Жыл бұрын
Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HassanShaban-ru2nb
@HassanShaban-ru2nb Жыл бұрын
Mzee namuelewa
@Juke995
@Juke995 Жыл бұрын
Mchungaji wangu nae mkubali akifatiwa na yule wa tabora
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 Жыл бұрын
Hananja
@NicholusMwandambo-mc4ms
@NicholusMwandambo-mc4ms Жыл бұрын
Huyu apewe udocta wa mezani jamani
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН
你们会选择哪一辆呢#short #angel #clown
00:20
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 254 М.
MCHUNGAJI HANANJA AINA NNE ZA MAHUSIANO, AINA NNE ZA MKE
20:39
Tacmen Group
Рет қаралды 568 М.
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 14 МЛН