No video

MALORI ZAIDI YA 200 YAKWAMA NJOMBE KISA MFUMO WA VIBALI, RC MTAKA ATOA MAAGIZO MAZITO

  Рет қаралды 23,416

Millard Ayo

Millard Ayo

10 ай бұрын

Пікірлер: 41
@johmyinga691
@johmyinga691 10 ай бұрын
Hongera mkuu kwa utendaji kazi Mzuri ,njombe yetu
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 10 ай бұрын
👏👏👏Safi sana mkuu wa mkoa, mko wa Njombe Check point zimezidi kuwa nyingi hadi kero
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 10 ай бұрын
Mkuu wa mkoa nakuelewa sana.hongera Sana ..hii nchi wapigaji kila kono.suala la mbao mgambo wamo polisi wamo nk...umetoa mwongozo mzr sana
@hemedchuma9-cq4nh
@hemedchuma9-cq4nh 10 ай бұрын
Hongera no 1 lkn malalamiko meng
@laurenciakamata
@laurenciakamata 10 ай бұрын
Mungu awasaidie
@jumakisailo8496
@jumakisailo8496 10 ай бұрын
Utendaji wa kukurupuka, mpaka wazinduliwe,, Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
@user-pb4oh1rw2w
@user-pb4oh1rw2w 10 ай бұрын
Safi mkuu umeongea kilicho sahihi usumbufu wote huu ni mazingira ya rushwa
@user-fy9lo9bw7p
@user-fy9lo9bw7p 10 ай бұрын
Hivi hapo suala so hela kwa nn wasichukue hela tu nchii hii one side ikigoma hawana plan b
@user-fw9vk3lo1s
@user-fw9vk3lo1s 10 ай бұрын
Yanimageti utafikili sister majambazi ivihayo mamaliasili ungeyawekandani yakome
@ObligeeNdoni-pb4vs
@ObligeeNdoni-pb4vs 10 ай бұрын
Bi mkubwa nchi ishamushinda!
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 10 ай бұрын
Hiyo ni Njombe Hapa mafinga ndo balaa
@husseinmahenge3176
@husseinmahenge3176 10 ай бұрын
😂 bongo ni hatari Kwa kweli
@vincosmeticsmarvin
@vincosmeticsmarvin 10 ай бұрын
Tanzania nchi yangu😂 kila kitu magumash 😂😂
@saimonseleka8792
@saimonseleka8792 10 ай бұрын
Serikali yetu ina watumishi wa ajabu mno
@victorjames3730
@victorjames3730 10 ай бұрын
Huu ni uhovyo na kukwamishana kibiashara
@user-zg4yz7je8d
@user-zg4yz7je8d 10 ай бұрын
Tangu uyu mama ameingia madarakani yangu nchi ina matatizo makubwa mno kila sehemu, tani wanachelewesha mfumo ni rushwa tu
@wozanawewoz979
@wozanawewoz979 10 ай бұрын
Yaani nchi yetu jamani
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 10 ай бұрын
Kwani mtu siakate reseni yauhalali
@user-ye8bl4tz6w
@user-ye8bl4tz6w 10 ай бұрын
Safisana muheahimiwa akili nyingisana mkuu nakuelewa sana mkuu
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 10 ай бұрын
Kkuu wa mkoa aliona hili hata JPM aliwahi liongelea kila mtu Mkubwa hata mgambo anasumbuka si AJABU anakupiga risasi
@user-xx8jx6tb7d
@user-xx8jx6tb7d 10 ай бұрын
Hayo ndio maneno baba sio kufanya kaz ilimrad tu
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 10 ай бұрын
Hapo wanavuruga mifumo wanataka kutoka kwenye mfumo warudi manual ili wapige.
@user-or8ow5vr7m
@user-or8ow5vr7m 10 ай бұрын
Kama kuna maroli yanaenda Zambia tunaomba serikari yetu nayo iwakwamishe kama wanavotusumbua sisi uku kwao
@francisgituti2494
@francisgituti2494 10 ай бұрын
Huyo unakuwa ni unyambilisi a. K mfumo duni. Weld one mkuu mtaka Elimu hiyo imewangia vema
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 10 ай бұрын
Njombe imepata kiongozi chini sasa
@RoanCorporation
@RoanCorporation 10 ай бұрын
Maliasili ny kama Lantra , awako rafiki kwa wafanyabishara
@nth3512
@nth3512 10 ай бұрын
Mfumo kusumbua sio sababu ya kushindwa kufanya kazi, TZ bado nchi changa upande wa technology ndo maana mifumbo inasumbua. Lengo la vibari ni kukusanya mapato km serikali, pokeeni pesa kwa utaratibu wa kawaida hata cash af baadae mtaweka taarifa hizo kwenye mfumo. Yani viongoz wenyewe hawana ufaham na technologia, vitu vidogo vya kufanya maamuzi kwa akili za kawaida ila mnakuza mambo tu. Yani sababu ni nyingi, kila kitu hadi muambiwe.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 10 ай бұрын
Iringa ukitoka geti la kihesa mpaka migori walau hapa kidogo panaumbali.Njombe yetu mageti utitiri .Kibena ,Lulanzi,Ilunda, Lyamkena,Mizani makambako.Yaani njombe makambako mageti 6 halafu wengine wanazima taa maksudi kwenye vibanda vyao ili ukipita tu wanapiga simu mbele kisha wanakwambia faini milion
@johnchungwa-ei7xj
@johnchungwa-ei7xj 10 ай бұрын
Inchi niyetu mageti yotehayo yanini moja tu linatosha mkulima wamiti anakufa kabisa
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 10 ай бұрын
Mkuu wa mkoa umeongea jambo la maana yaani unagongesha mihuri mpaka kero.Kila baada ya kilo mita tano kumi geti.
@timetravellor5367
@timetravellor5367 10 ай бұрын
Muwalipe faini uwo ni ujinga wenu
@ayubusanga4997
@ayubusanga4997 10 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 10 ай бұрын
Rushwa hizo nyie 🤣🤣🤣
@SAHILSHAABAN
@SAHILSHAABAN 10 ай бұрын
Hamna lolo te ni wizi mtupu hapo
@onesmombele2571
@onesmombele2571 10 ай бұрын
Mkuu wa mkoa njombe wewe unastahili kuwa waziri wa maliasili, Maana ulivyochambua utendaji wa haya majeshi yetu. Tunaona kula siku muingiliano ni mkubwa,
@user-fw9vk3lo1s
@user-fw9vk3lo1s 10 ай бұрын
Ninakushukulu mkuuwetu wamkoa nimependa majibu hayo yameonyesha kuawewe nimzalendo watnzania yet mngu ukupe uzima
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 10 ай бұрын
MAGETI YANINI MTUKALI JAMANI UPIGAJI TU
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 10 ай бұрын
MAGU MAGU BABA UPIGAJI TU
@jameskivelege8630
@jameskivelege8630 10 ай бұрын
Huyu ndiye mkuu wa mkoa wa kisasa, congratulations Mr Mtaka. Saidia wafanyabiashara ili kuongeza tija.
@epafraditopajenga4650
@epafraditopajenga4650 10 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/oaDWooern7yLqposi=BmAIXyBV2W2Tw_Df Hii Ni Shida Kutokana Na ?
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 7 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 17 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 126 МЛН
KWETU NJOMBE  BY KIBEKINGA GROUP 0762946594
5:47
MC_JACKSON MGENI
Рет қаралды 70 М.
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 7 МЛН