No video

HII NDIO SIRI YA KUJENGA DARAJA LA JPM KIGONGO NA BUSISI, RAIS MAGUFULI AWEKA WAZI

  Рет қаралды 351,752

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Dec 28, 2020 Rais Magufuli akiwa njiani kuelekea nyumabni kwake Chato amekagua maendeleo ya Daraja la JPM Kigongo - Busisi ambalo litakuwa na urefu wa kilometa 3.2 na ndilo Daraja refu Afrika Mashariki na Kati

Пікірлер: 418
@mamukassim4075
@mamukassim4075 3 жыл бұрын
Mnaotaka magufuli. Asiondoke madarakani like ili tujuane
@pci_tanzania
@pci_tanzania 3 жыл бұрын
🤣
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 3 жыл бұрын
Nakupenda sana mkuu kwa maongezi yako napia kwa uthubutu wako,hakika tunakoenda panaonekana mkuu hii nchi yetu.Hudumu milele milele mkuu wangu Mhe Rais wetu /wetu John Pombe Joseph Magufuli
@user-wc9zg6hk5s
@user-wc9zg6hk5s 3 жыл бұрын
Usssitajeee chamaaa mkuuu semaa watanzania
@sunyareh
@sunyareh 3 жыл бұрын
Hakuna vyama vingi CCM yatosha. Vyama vingine vyote ni wabinafsi na pia wanatumiwa na wazungu wasio penda kuona maendeleo ya mwana wa afrika. Mugufuli ndio mkombozi wa bara la afrika nzima. Mungu akulinde Mh Raisi wa watu.
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu na afya njema Mtukufu Rais wetu
@florashauri9228
@florashauri9228 3 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu mpendwa Dr.JPM .MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUIPIGANIA NCHI YAKO, MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU YENYE HERI,AFYA NJEMA NA BARAKA
@simonmuhoja149
@simonmuhoja149 3 жыл бұрын
Hongera Sana Mh. Rais tunaomba Mungu akupe maisha Marefu wewe nichaguo la Mungu.
@josephatmwambega2874
@josephatmwambega2874 3 жыл бұрын
Hongera mkuu holo ni letu wote niliwahi kupita hapo mars mbili Tunashukuru kwa maono yako Mungu akubariki sana
@maryammohammed5309
@maryammohammed5309 3 жыл бұрын
Mungu akubariki mzee inshaallah tupo pamoja tunakupa mkono ntalipa kodi mara mbili kujenga Tanzania
@rugendorunene545
@rugendorunene545 3 жыл бұрын
A Successful Tanzania🇹🇿🇹🇿 is Success to East Africa and Africa as a whole... 🇰🇪 🇰🇪.
@maikobruno6815
@maikobruno6815 3 жыл бұрын
Big YESSS
@jonathanmaengo4281
@jonathanmaengo4281 3 жыл бұрын
Umesema vyema sana jirani yangu wa Kenya na ndugu zetu 👍
@makaveliomari7211
@makaveliomari7211 3 жыл бұрын
Mimi uwa namuita mfalme wa chato anaefanya tanzania ya watanzania kuwa bora mungu ibariki tanzania mungu ibariki Zanzibar mungu tubariki wote
@um_185
@um_185 3 жыл бұрын
Tanzania is truly thriving. Keep it up Mr president. May God Bless Tanzania and all Tanzanians.
@marianapatrick5993
@marianapatrick5993 3 жыл бұрын
Amen
@j_gh812
@j_gh812 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukubariki na kulinda raisi wetu kamanda wetu mkombozi wetu....
@marianmartin7483
@marianmartin7483 3 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akubariki sana raisi wetu. Hongera sana kwa kutupigania sisi watanzani. Viongozi wa afrika tuige mfano huu wa uzalendo anaouonyesha mh. JPM. Kiukweli, hapa kazi tu.
@wisemanking001
@wisemanking001 3 жыл бұрын
Hadi natamani niombe uraia niwe mtanzania...JPM sio wa kawaida aisee! Mungu akuongoze rais wangu wa Afrika! Mimi mKenya 🇰🇪
@bojopa7
@bojopa7 3 жыл бұрын
Tuko pa1 sana ndugu yetu cc watanzania tunakupenda sana
@jumachilundajr4853
@jumachilundajr4853 3 жыл бұрын
@@bojopa7 omba tu uraiya hamna shida fata vigezo tu mwamba
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 3 жыл бұрын
Ahsante sana uaweza kuomba kwa kigezo hicho karibu tZ
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 жыл бұрын
Kwa mkenya kupata uraia Tanzania ni rais sana karibu Sana ndugu yetu
@lukandotv8101
@lukandotv8101 3 жыл бұрын
Ingekuwa inawezekana tungebadilisha
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana raisi wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuri kwa maono yako kwa watanzania
@mariamjackson7156
@mariamjackson7156 3 жыл бұрын
Safi of job highs UK 6
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Naumia sana nikimsikiliza hyu baba
@allystideforever6594
@allystideforever6594 3 жыл бұрын
Asanteee muheshimiwa nilpita juz tar 25 /12 aisee Mungu awe nawe
@bchikop
@bchikop 3 жыл бұрын
My presider💪💪 Gonga kazi baba💪💪🤝
@petermanda4241
@petermanda4241 3 жыл бұрын
Pole sana mh!! Rais kwa yote hayo Mungu akutangulie katika harakati zako
@zenj1986
@zenj1986 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu ili ushuhudie Tanzania mpya. .
@liliansamson674
@liliansamson674 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu anamakusudi na wewe rais wetu.
@hermanshingisha8471
@hermanshingisha8471 3 жыл бұрын
MUNGU AZIDI KUKUBARIKI NA KUKULINDA RAIS WETU MPENDA MAENDELEO. HONGERA SANA KIONGOZI WETU MAKINI
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
@@hermanshingisha8471 hakika Huyu.ndio kiongozi nasiyo kidokozi
@elishamkasu5191
@elishamkasu5191 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba(Mweshimiwa Rais Wangu)
@mrigojohn7326
@mrigojohn7326 3 жыл бұрын
Mzalendo wa kweli no hypocrisy in you our president.
@shimmymayeye3282
@shimmymayeye3282 3 жыл бұрын
Mmmh ulisomea wap Mr Daudi
@peterandrew2795
@peterandrew2795 3 жыл бұрын
Nakupa mfano wa yesu....umekufa kwa ajili yetu baba
@ipyanaamos5105
@ipyanaamos5105 3 жыл бұрын
Maisha Marefu Muheshimiwa RAIS 🙏🏿
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
😭😭😭
@peterokalo9632
@peterokalo9632 3 жыл бұрын
Congratulations 👏🏽 Tanzania 🇹🇿 of People’s and have love 💗 of his owns people’s citizens populations country ❤️
@dominicikuja7392
@dominicikuja7392 3 жыл бұрын
Hongera sana mhe rais kwa uzalendo huu ulionao
@hoseakavubu2844
@hoseakavubu2844 3 жыл бұрын
Sina shaka na uongozi wa Raisi JPM. Mungu akulinde Watanzania tunakuhitaji.
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@johnsalyungu1570
@johnsalyungu1570 3 жыл бұрын
Babababababa we !!
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 3 жыл бұрын
THIS MAN IS MAKING US PROUD..... JPM MAKE TANZANIA GREAT AGAIN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔
@alicejames893
@alicejames893 3 жыл бұрын
@Darron Cherpak hhdd
@alicejames893
@alicejames893 3 жыл бұрын
@Darron Cherpak l
@alicejames893
@alicejames893 3 жыл бұрын
@Darron Cherpak h
@alicejames893
@alicejames893 3 жыл бұрын
@Darron Cherpak hhhgg
@alicejames893
@alicejames893 3 жыл бұрын
@Darron Cherpak nnn
@ashaimohammedi6754
@ashaimohammedi6754 3 жыл бұрын
Mungu akubariki raisi wetu akulinde inshaallah
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 жыл бұрын
Mungu ame kuepusha na kifo miaka hiyo kweli Mungu ni mwema
@faraolion6822
@faraolion6822 3 жыл бұрын
Hongera rais wetu
@gloriakiria6096
@gloriakiria6096 3 жыл бұрын
Pongez sana mh rais mungu akupe nguvu na afya tele
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 3 жыл бұрын
Asante sana Rais wetu JPM na Mungu akubariki kwa mawazo mema na akulinde ukamilishe kusudi la utumishi wako kwa Taifa letu Tanzania.❤🇹🇿🙏
@shibilitimedia3312
@shibilitimedia3312 3 жыл бұрын
Yani nilipoona Lissu anajigamba kuwa kwa vyovyote atangazwe yeye kama Rais alinitia hasira kabisa nikaamua kufunga biashara yangu kwenda kupiga tu kura ya Rais, maana hii nchi ingeuzwa kwa mabeberu, Magufuri Mungu akulinde wewe ni Baba wa Taifa hili, ungefuatia wewe baada ya Nyerere hii nchi tungekuwa mbali
@jacobmakono6983
@jacobmakono6983 3 жыл бұрын
Hahahaahaha!
@bojopa7
@bojopa7 3 жыл бұрын
Hongera sana mi niliwakuta kijiweni nikawauliza mmepiga kura wakasema hapana nikasema yess atapitaje
@bojopa7
@bojopa7 3 жыл бұрын
Atapitaje huyu Tundu wenu na hamkupiga kura
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 3 жыл бұрын
Aliyepashwa kufuatia baada ya Nyerere walimuua wahujumu uchumi lakini nawao wanateseka kwa sasa Sokoine
@peterokalo9632
@peterokalo9632 3 жыл бұрын
Congratulations president John Magufuli 👋🏽👍🏽🪐🌍🌏❤️💗🎉🥳💐🌹🥂👏🏽🙏🏽
@brazilrianto7948
@brazilrianto7948 3 жыл бұрын
Magufuli
@enockoward2656
@enockoward2656 3 жыл бұрын
Nasemaga huyu jamaa aongezewe Muda aiseee Kama na wewe unawaza kama mm gonga like
@mushtaqdada9804
@mushtaqdada9804 3 жыл бұрын
Tanzania first magufuli beloved President
@mussajohn8182
@mussajohn8182 3 жыл бұрын
Heshima kwako mtani wangu magufuli mungu akuongoze kazi zako zoooooote ilatu na sisi apo Dodoma mpunguzi tulete maendeleo hata uwanja za ndege weka mahala pazuli sana
@eischerschwederm7876
@eischerschwederm7876 3 жыл бұрын
Tujenge na ZANZIBAR rais wetu..daraja
@happyjohn5882
@happyjohn5882 3 жыл бұрын
Nadhani atajenga la underground mpka Zanzibar kama la Uk
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 3 жыл бұрын
Zanzibar akawajengea Rais wenu huko na sisi huku bara atatujengea MAGUFULI
@omarymasalu5072
@omarymasalu5072 3 жыл бұрын
Raisi wetu mpendwa❤
@jarsaduba2626
@jarsaduba2626 3 жыл бұрын
Serikali ya mwendo Kazi duo maana ya hapa Kazi tu JPM hoyee
@ramadhaniharuna8110
@ramadhaniharuna8110 3 жыл бұрын
Chuma kazini🔥🔥🔥🔥🔥
@charleskaozya9924
@charleskaozya9924 3 жыл бұрын
Kiki toka chuma kinakuja chuma after magu I wish aje majaliwa Kassimu weweeeee Kama ulaya kazikazi safi Sana JPM
@marthaleonard2444
@marthaleonard2444 3 жыл бұрын
Wewe nakupenda bure !Mungu akubariki sana !Na tumbo lilokuzaa libarikiwe mno !!Nakemea kila mpango ovu juu yako !Malaika wafanye kituo kukulinda!Umenigusa moyo wangu ,naahidi kukuombea !
@brysonmalongoza5422
@brysonmalongoza5422 3 жыл бұрын
Mungu wetu mkuu amlinde!
@batatukatotolabikay5296
@batatukatotolabikay5296 3 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde, kiongozi kama wewe afrika ajawayi tokeya hata mmoja. May Allah protect you all the time our hero.
@thomastemu3332
@thomastemu3332 3 жыл бұрын
Raisi hongera Sana unapiga kazi tunaona
@simonjoseph1775
@simonjoseph1775 3 жыл бұрын
Sawa kabisa rais mzalendo tunaweza sisi ni matajiri ila ufisadi ulituchelewesha, tawala miaka mingi mpaka roho za kifisadi ziishe.
@josephramsonmtukufu3149
@josephramsonmtukufu3149 3 жыл бұрын
I'm proud of you mr president
@hashimabdallah673
@hashimabdallah673 3 жыл бұрын
Our president not yours alone
@matukionavichekesho4678
@matukionavichekesho4678 3 жыл бұрын
Dah mungu akulinde mzee
@gwajiboiboi8664
@gwajiboiboi8664 3 жыл бұрын
Sithani Kama Atakujaga Kutokea Raisi Mwenye Maono Makubwa Kama wew Mzee Wangu Upendo wangu kwako Mungu ndio anajua
@chuwafamily496
@chuwafamily496 3 жыл бұрын
Walio kuwa wanasubiri mkoa wao utajwe lakini haijatajwa naombeni like zenu😅😅😅
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 3 жыл бұрын
Alisema Watanzania wote wamechangia. Kwahiyo ni mikoa yote.
@raymondanthony6207
@raymondanthony6207 3 жыл бұрын
Kweli ulikuwa ni mpango wa Mungu
@AliMohamed-kd1uc
@AliMohamed-kd1uc 3 жыл бұрын
Nakupendaga sana, nakuombea sana na Mungu akupe nguvu na hekima utuongoze
@fatmamatola393
@fatmamatola393 3 жыл бұрын
Safi baba yetu Mungu akulinde sana na akuongoze zaidi na zaidi na atawale miaka 20
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 3 жыл бұрын
Asante sana mheshimiwa
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 3 жыл бұрын
Mbeba maono hafiiiiii,.
@adammwita3150
@adammwita3150 3 жыл бұрын
MUNGU akupe maisha marefu, 🇹🇿🙌
@jacksonpeter3840
@jacksonpeter3840 3 жыл бұрын
We subiri siku moja atakuja na wazo la daraja kuunga Zanzibar na bara hii ni type nyingine kama mnategemea mipango ipangwe ulaya hapo mushafeli tunamaliza show wenyewe
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
Aaah mzee huyu hashindwi.
@stevenfabian2208
@stevenfabian2208 3 жыл бұрын
Hilo wazo lipo aliwahi kulisema bado maamuzi tuu ck akiamkaa amepanga kumaliza utata tutaona mengne
@mohammedally2289
@mohammedally2289 3 жыл бұрын
Kiukweli jemma yuko serious kikazi honestly anamaanisha yale asemayo mungu amuongoze Amin
@bojopa7
@bojopa7 3 жыл бұрын
Kabisa bro tuko pa1
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
@@mohammedally2289 na lazima watakuja kulijenga tu hilo daraja
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Mh Rais 🙏
@dicksoncario3365
@dicksoncario3365 3 жыл бұрын
indeed Tanzanians u av the very best prezo ever in the whole world hata natamani awe mkenya wetu lakini tuombeeni tupate kiongozi mwenye kuhudumia wakenya bila tamaa
@methuselayusto9708
@methuselayusto9708 3 жыл бұрын
Mungu akulinde rais wetu
@jastinekanjost8073
@jastinekanjost8073 3 жыл бұрын
Dream became true 🙏
@deusrobert1343
@deusrobert1343 3 жыл бұрын
Asante sana rais wetu kutuongoza kuelekea nchi ya asali na maziwa🇹🇿🦒
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Mzee baba na pikipiki ushagonga uko sawa
@exaudvahaye8873
@exaudvahaye8873 3 жыл бұрын
Tunakushukuru MUNGU kwa ajili ya Rais huyu Magufuli we love u
@kenicemkaka2824
@kenicemkaka2824 3 жыл бұрын
Dah jamani mungu atupe nini ndotumshukuru, watanzania ebu tumshukuru mungu kwakutupa kiongozi mwenye maona makubwa kama haya, mwenye udhubutu mkibwa kama huyu,aa huyu mtu cyo wakawaida inawezekana duniani hawez kutokea miaka mingi ijayo. binafisi natamani hata uongoze miaka mia aisee tubadishe katiba tusikubali watanzania kumpoteza joni asitafu tutampata nani kama yeye?
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 жыл бұрын
"Tanzania ni tajiri" Watanzania tunaweza bila msaada kutoka kokote,isipokuwa kwa Mungu pekee. Salaam kwako Jpm.
@kakaziller
@kakaziller 3 жыл бұрын
nakubali
@zaharaniiddy5572
@zaharaniiddy5572 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana raisi wetu mpendwa JPM
@angelqwaray9174
@angelqwaray9174 3 жыл бұрын
Nakupenda sana mh rais wetu Mungu akupe maisha marefu baba nasisi tutaenda one day kutalii huko
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
🔥🇹🇿😜❤️ Mungu akupe maisha maref mkuu
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 3 жыл бұрын
Hakika ni kazi kubwa sana unayofanya mh.raisi.asiyekubali ni mfu.
@simonntibaziyaremye5607
@simonntibaziyaremye5607 3 жыл бұрын
Wewe Rais Magufuli Mungu akulinde tu sina mengine .wenzako majilani kuliko kutekeleza wanainchi wawo wanawawuwa tu eti sio wanachama au wanapinga chama.Hivyo wenzako kila siku hewani safali kwenda kwa Mabelelo !!!!!
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Pamoja Ako Magu. Tunakuombea
@jacksonpeter3840
@jacksonpeter3840 3 жыл бұрын
Na ukileta mchezo unaliwa kichwa kama mkurugenzi wa igunga
@emmanuelbuganga7325
@emmanuelbuganga7325 3 жыл бұрын
Ila we mzee uko karibu sana na mungu, Apo uliponea chupu chupu, na kwenye kupewa sumu, mungu, akusimamie. Maana una nia njema na nchi yako.
@rogatiusscarion726
@rogatiusscarion726 3 жыл бұрын
Man of the people ✊
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 жыл бұрын
Nimependa sana hii hongera mzee
@eliufoowiliam8882
@eliufoowiliam8882 3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na akulinde.
@jpintrospection1315
@jpintrospection1315 3 жыл бұрын
Mungu ibark Tz kw kupta kiongz mweny maon Kam huy
@daslamonline4665
@daslamonline4665 3 жыл бұрын
Mzee baba oyee
@cephasalphaxard304
@cephasalphaxard304 3 жыл бұрын
Kazi zako zitaishi Baba pumzika kwa amani JPM the champion.
@gladynicolaus956
@gladynicolaus956 3 жыл бұрын
Mungu akubariki na akulinde raisi wetu
@julianacharles6014
@julianacharles6014 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu 😢
@dominicponsian4360
@dominicponsian4360 3 жыл бұрын
Oooh Rest In Peace Dr Magufuli💔💔🇹🇿✨
@williamlucas238
@williamlucas238 3 жыл бұрын
",DR. JPM ,RAIS WA WATANZANIA HONGERA SANA KWA MOYO WA UZALENDO"
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 3 жыл бұрын
Mungu airehemu roho yake hayati Rais John Pombe Magufuli Kwa maono mema Kwa wananchi wa Tanzania.
@margarethorgenes4874
@margarethorgenes4874 3 жыл бұрын
Hakika Rais Magufuli Ni mtu mwenye maono ya Hali ya juu Sana. Vyote hufanya kwa hisi za maono ya MUNGU. Ninakuombea kila siku Mungu akupe uhai mrefu.
@eliamsigwa1533
@eliamsigwa1533 3 жыл бұрын
Make Tanzania great viva JPM
@zakariaalfred3167
@zakariaalfred3167 3 жыл бұрын
Mfalme namuona kwenye ubora wake
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 3 жыл бұрын
Ni Rais siyo mfalme. Elewa tofauti ya Rais na mfalme.
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 3 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu
@prochesnorbert8720
@prochesnorbert8720 3 жыл бұрын
Hatuponaye tena Mungu ameshamchukua. R.I.p Jpm
@dullasalim8603
@dullasalim8603 3 жыл бұрын
Mzee magu wewe nishida sijui kama tutakuja kumpata mtu kama wewe
@stanleyrocky2278
@stanleyrocky2278 3 жыл бұрын
Hkn tena kaka
@mohamedindalo2663
@mohamedindalo2663 3 жыл бұрын
TANZANIA RAHA SANA
@Directorjax55
@Directorjax55 3 жыл бұрын
Mwenyezi MUNGU akusimamie utuongoze vyema mzee wetu
@rubenisaitoti3612
@rubenisaitoti3612 3 жыл бұрын
Hongera san mungu akulinde
@filbertodilo8035
@filbertodilo8035 3 жыл бұрын
😢😢😢 ingekua ridhaa yangu ungeendelea hadi kifo
@salvatorsalvation1455
@salvatorsalvation1455 3 жыл бұрын
Goooooooooood
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 3 жыл бұрын
Duu magu oyeeeeee
@missmwayway4704
@missmwayway4704 3 жыл бұрын
🙏🏼🙏🏼
@michaelmedard5709
@michaelmedard5709 3 жыл бұрын
God bless our president abundantly
@herbertluoga5160
@herbertluoga5160 3 жыл бұрын
We mheshimiwa mungu akulinde
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,7 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 23 МЛН
КАКУЮ ДВЕРЬ ВЫБРАТЬ? 😂 #Shorts
00:45
НУБАСТЕР
Рет қаралды 3,5 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 47 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 355 М.
"HUYU NDIYE MKUU WA USALAMA TANZANIA, WALA SIMFICHI" - JPM
4:07
Global TV Online
Рет қаралды 411 М.
MAGUFULI ATUMBUA JIPU MBELE YA WANANCHI
5:27
MLIMANI TV UDSM
Рет қаралды 2,8 МЛН
Captain Aliyetoroka na NDEGE Kenya Apewa Mamilioni na JPM!
5:25
Global TV Online
Рет қаралды 502 М.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,7 МЛН