JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'

  Рет қаралды 346,062

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Wote Mchangie Msikiti'
Wakati Rais JPM akiendelea na ziara yake ya Kikazi mkoani mbeya ameamua kuwachangisha fedha mawaziri, viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo na Mchungaji wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri mkoani mbeya mchango wa ujenzi wa msikiti ambao umebomolewa ili kupisha ujenzi wa barabara, ikiwa ni baada ya kuongozi wa msikiti huo kumuomba Rais JPM Msaada wa mchango kwaaajili ya ujenzi huo.
#ZIARAYAMAGUFULI
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS:

Пікірлер: 186
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Yaani nabaki naumia nakulia kila wakati nakukuombea dua kiongozi wetu MWENYEZI MUNGU akuondoshee adhabu yakabri akuweke mahali panapostahiki kwa REHMA zake nshaaĺlah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mathayodundo5433
@mathayodundo5433 3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele john pombe magufuli
@saadyusuph6554
@saadyusuph6554 3 жыл бұрын
Ameen m/mungu amuleemu rais wetu
@user-cq5dx1vr2p
@user-cq5dx1vr2p 7 ай бұрын
Kaburi lako liwe ni miongoni mwa makaburi yenye nuru 😢..Allah azid kukurehemu Aamiin
@DottRoBroc
@DottRoBroc 3 жыл бұрын
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
@user-gy3xi7fw5j
@user-gy3xi7fw5j 7 ай бұрын
Pengo lako halito zibika nitakukumbuka daima baba yete mungu akukumbuke uliko🤦
@user-dq3rv9mz3f
@user-dq3rv9mz3f 5 ай бұрын
😅😅
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 5 ай бұрын
What's funny?​@@user-dq3rv9mz3f
@Axvagjkqoqnsh
@Axvagjkqoqnsh 4 ай бұрын
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭wallah mimi nashindwa hatakusema Neno kilanikiiona sura Yahuyubaba moyounakataa kuamini .kilichotokea kizuri hakidumu kwakweli
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 5 ай бұрын
Kaulize Samia kwamba wali mfanyiya Nini JPM
@zainabtanzanian7141
@zainabtanzanian7141 3 жыл бұрын
Alhamdulillah Allah Kareem amfanyie wepesi rais wetu JPM.
@alakhyissa1469
@alakhyissa1469 4 ай бұрын
Innalillahi wainna ilaihi rajiun... Allah akujaalie kauli thabiti na akumulike ktk kiza, akusamehe kwenye mapungufu yako, akuangazie nuru kwenye kaburi lako. Hakuna mkamilifu ndani ya hii Dunia, ila matendo yako yalidhihirisha imani yako. Allahu ya alam..😢😢😢
@Worldunite
@Worldunite 3 жыл бұрын
Huyu kweli alikuwa mtumishi wa Mungu, RIP mpendwa JPM
@explorelondon3695
@explorelondon3695 5 ай бұрын
❤❤
@ramadhanichalachala549
@ramadhanichalachala549 3 жыл бұрын
Allah atakuripa Magufuri kwa mazuri uliyowatndea mazuri Watanzania tutakumbuka daima JPM
@jinaabdullah4107
@jinaabdullah4107 3 жыл бұрын
Hatutakusahau milele kwa wema wako Mungu ndiye muhukumu wa nyote na sisi tuko nyuma yako
@Roobkii_Gaalkacyo
@Roobkii_Gaalkacyo 3 жыл бұрын
Hakuna mtu kama magufuli
@USDisdoomed
@USDisdoomed 3 жыл бұрын
Sasa huu ndo wanaita udikteta kweli wazungu hawapendi maendeleo ya Afrika ila viongozi wetu wa Afrika tunajipendekeza Sana kwako Sky. JPM alikua shujaa wa Afrika Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@Worldunite
@Worldunite 3 жыл бұрын
Yaani hadi machozi yananitoka😭, hakuna Tena km JPM, Mungu akujaalie mahala pema peponi
@Roobkii_Gaalkacyo
@Roobkii_Gaalkacyo 3 жыл бұрын
Ameen
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 5 ай бұрын
Kaulizeni Samia kwamba wali mfanyiya Nini JPM
@shaniaking7525
@shaniaking7525 3 жыл бұрын
Ni maumivu makubwa sana kwa Tanzania yetu kupoteza mtu muhimu asiie na ubaguzi alie kua na upendo kwa watu aina zote,kweli vizuri havidumu😭 mungu amsamehe dhambi zake ampe pepo mwanga na raha ya milele tuseme amina kwa tunaomtakia rehma 🙏
@saidiomar3322
@saidiomar3322 3 жыл бұрын
Ameen
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Amina
@Roobkii_Gaalkacyo
@Roobkii_Gaalkacyo 3 жыл бұрын
Ameen
@mfandaboytz2293
@mfandaboytz2293 3 жыл бұрын
Amin
@miminawewe937
@miminawewe937 8 ай бұрын
@@zainabumbondei8635 so
@leylahbillah4876
@leylahbillah4876 3 жыл бұрын
Daah hatutakuja kupata kiongozi kama huyu jmn yaan inaumiza sana wallah 😭😭😭😭😭
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Kabisa my acha watu bado twaendelea kumlilia magufuli 😭😭😭
@j.bjacobbasubi2187
@j.bjacobbasubi2187 5 ай бұрын
Ka muulize Samia kwamba wali mfanyiya Nini JPM
@Jaytrentoxil
@Jaytrentoxil 3 жыл бұрын
May Allah bless JPM with janatul firdhouse inshallah,Allah wabarik TZ na raise wa mfano wake
@aisharamdan8358
@aisharamdan8358 6 ай бұрын
Aikuwa hachagui uislam wala ukiristo mungu akuweke
@dullahsharif6739
@dullahsharif6739 3 жыл бұрын
Pum, ika kwa Aman baba din n Iman ila kwa Imani uloionesha Allah atakulipa uko ulipo amina😭😭
@sitellamatni6878
@sitellamatni6878 3 жыл бұрын
Duuuu mm sinahata lakisema zaidi yakukuombea mungu Ailaze roho yako mahalipema peponi 🙏🙏🙏🙏
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 жыл бұрын
Kusema kweli ni raisi nizaidi ya mzuri sana lakini suala ya pesa hizo la mkristu au kanisa kutoka pesa kuienga msikiti lazima kuuliza mashekhe kwa jambo hilo NA pia kuingia peponi bila ya kutamka shada NA kuamini mtume mohamed maana dini yetu enaktaa kua mungu anaye mtoto
@shaggybubinza7715
@shaggybubinza7715 3 жыл бұрын
@@alialamoudi9729 wewe una ubaguzi wa kidini.
@williamkeita1519
@williamkeita1519 5 жыл бұрын
Daah nimecheka sana JPM alivyo tuchangisha tusio sali kubalance mahusiano na kupunguza udin au umimi
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb Ай бұрын
Masha Allah mzee barakat magufuli Allah amrehemu ampe the highest janah paradiso
@khamissalum9285
@khamissalum9285 3 жыл бұрын
Jamani sizani kma atatokea kiongozi shupavu kma huyu hii ilikua nishani pekee ilitokea kwamungu
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 жыл бұрын
Hakika yani da 😭😭
@AfricanusBruno
@AfricanusBruno Ай бұрын
hakika nikiziangalia hizi taarifu huwa naishia kuumia tu ila kazi yake Mungu haina makosa bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe amen
@bosheabdiproductionmediace3653
@bosheabdiproductionmediace3653 5 жыл бұрын
I Love You guyz watu ya tanzania mko na uthu ya watu wallahi love you from Nairobi kenya
@salimatakkis7706
@salimatakkis7706 3 жыл бұрын
MX Y s vu nm
@erickossen6378
@erickossen6378 3 жыл бұрын
we love you too our neighbours
@kharashbabar7393
@kharashbabar7393 3 жыл бұрын
Allah...akulaze mahalipema...peponi...Mh.Magu
@masamakisea7135
@masamakisea7135 3 жыл бұрын
kuondoka kwako umeniachia mojonzi mengi moyoni mwangu mungu akulaze pema peponi
@neemakaluwa2146
@neemakaluwa2146 3 жыл бұрын
🙏
@bosheabdiproductionmediace3653
@bosheabdiproductionmediace3653 5 жыл бұрын
Ma sha Allah mtu ya watu may God bless you
@rukiahussein7690
@rukiahussein7690 3 жыл бұрын
Mungu atakulipa kwa mazuri yako uliyofanya enzi za uhai wako.
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Mungu akumumuzish Kwa amani
@batromeombogo7131
@batromeombogo7131 5 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii, NAKUPENDA SANA RAISI WANGU
@ErastoMwailumbe
@ErastoMwailumbe Ай бұрын
Daah mjomba mungu huyu jamani kwann usingechukua majizi yanayotuumiza saiz jamani daah mungu alitoa namungu katwaa jina lake bwana yesu kristo limidiwe
@agustinoezekiel367
@agustinoezekiel367 3 жыл бұрын
Baada ya kulia sasa nacheka kwa kua umemaliza kazi yako ya utumishi kwa watanzania
@user-zw4tf5os8b
@user-zw4tf5os8b 8 ай бұрын
Mi ni muislamu lkn huo moyo mi sina wa kuchangia kanisa, lkn magufur daah! Allah amlipe
@MosiMindawa
@MosiMindawa 2 ай бұрын
Alla akufanyie wepesi kwenye kaburi lako nshaaallh
@hadijaabdul8765
@hadijaabdul8765 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭sina cha kusema jamani eee mungu
@shebbynammurun4049
@shebbynammurun4049 3 жыл бұрын
Alikuwa na mazuri yake, Sishindwi kusifia panapobidi kutoa sifa,...
@softtlipssTv
@softtlipssTv 7 ай бұрын
📺📺📺📺📺📍 from KENYA 🤴🇰🇪
@hassanhussen2571
@hassanhussen2571 3 жыл бұрын
KWA ninavyo hisi rais wetu alikuwa anaelekea kusilimu huyu dah;!
@issaabdi9129
@issaabdi9129 3 жыл бұрын
Mashaaaala
@user-sm5ij4zm7s
@user-sm5ij4zm7s 6 ай бұрын
Masha Allah
@PeterMagoye
@PeterMagoye 3 ай бұрын
Kama ilitokea mkono wa binadam kumuondoa Magufuli hapa Duniani hakika laana ya watanzania haitawaacha salama na vizazi vyenu
@nasibumajala8891
@nasibumajala8891 5 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu
@masamakisea7135
@masamakisea7135 3 жыл бұрын
ameen
@badruyahaya5337
@badruyahaya5337 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika kaburi laki kwa sadaka hii
@dicksonnoel3216
@dicksonnoel3216 3 жыл бұрын
Hakika huu ndio uzalendo na ndio tunu ya taifa letu la tanzania tulililelewa kwa upendo na tunaishi kwa upendo bila kujali makabila yetu na dini zetu hii ndio tanzania ambayo mababa zetu waliiishi na kuijenga na kuipigani mungu ibariki tanzania mungu ibariki africa
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 8 ай бұрын
Nikweri ni mahari pakimbirio sote
@ericooh
@ericooh 4 ай бұрын
Hii ingekuwa nchi Fulani ni tingatinga asubuhi ,may God bless Magufuli
@halidjaphary3048
@halidjaphary3048 3 жыл бұрын
Kweli rais we2 uyu alikuwa chuma chuma offcouse Tanzania nzima hamana rais kama huyu wote walopita hamna kama rais huyu mungu amuhifaz mahali pema peponi jembe jembe umeondoka chuma bado likuwa twakuhitaji lakin mungu kakupenda
@salumabdallah9445
@salumabdallah9445 3 жыл бұрын
Yuko wap Rais kma huyu mungu akupe kila la heri na akupe aman cku ya kiama
@khadijaothman990
@khadijaothman990 3 жыл бұрын
Mashaallah
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 3 жыл бұрын
Mungu aipokee roho yako shujaa
@AshaMsonde-os6jb
@AshaMsonde-os6jb 2 ай бұрын
Kaburi lako liwe riyadha li jaanat siku ya hukumu
@frankarchie3354
@frankarchie3354 3 жыл бұрын
Duh nimeipenda hii
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 3 жыл бұрын
Magufuli kweli ataingia PEPONI bila kupingwa
@maryamdunga3896
@maryamdunga3896 3 жыл бұрын
🤣🤣baba ulibarikiwa wallah Allah akuhifadhi
@luismchayano4796
@luismchayano4796 8 ай бұрын
Bado upo Moyoni mwangu nitaku kumbuka daima. Pumzika kwa amani baba yetu mpendwa. Bado tunakupenda sana. Hakika kivuli chako kitadumu milele
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 жыл бұрын
Daah siwez kumlaum mungu lakin tumeondokewa na shujaaa wa kweli.. Mungu tunaomba uwasahe marehem wote walio tangulia kuja Kwako na utusamehe na sisi pia
@allymkangara5695
@allymkangara5695 3 жыл бұрын
mungu akulipe kila jema inshaallah
@user-zt6re1dr5f
@user-zt6re1dr5f 8 ай бұрын
Amali yako utaikuta kwa Allah baba,Insha Allah
@aloycesamba998
@aloycesamba998 4 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi 🙏
@mageroahmed3358
@mageroahmed3358 7 ай бұрын
Kanisa lina changia msikiti hi ni Africa. Magufuli
@JAMESMETHOD-rd2bu
@JAMESMETHOD-rd2bu 3 ай бұрын
Baba Jon mbombe magunfu mgu akuagazie nulu namwaga wamilele😢😢
@philipo7929
@philipo7929 7 ай бұрын
DAH HADI RAHA BAS NDO IVO BANA
@user-eq8kv2mu8w
@user-eq8kv2mu8w 7 ай бұрын
Afrika imepoteza siyo wa tanzania pekeee mimi ni mkongomani drc 2023 niko mzaliwa wa mtaa wa BENI. Kwa sasa ni naishi sasa kwa jimbo la ituri bunia ville
@martinmutie3941
@martinmutie3941 3 ай бұрын
This was a leader really God grant you peaceful rest
@jumamakamba2212
@jumamakamba2212 7 ай бұрын
Dah
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 3 жыл бұрын
Huyu alikuwa kiongozi kweli wa watu.
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 3 ай бұрын
Kiufupi msikiti ushamaliza ❤
@salmaabduli700
@salmaabduli700 3 жыл бұрын
Nikion hii arafu ndoumitutokaa 😭🙆‍♀️💔
@mashamasha2854
@mashamasha2854 3 жыл бұрын
wαllαh mungu αmѕαmєhє tu
@shaniaking7525
@shaniaking7525 3 жыл бұрын
Ampe pepo ya milele.
@AsaniOmari-xp5qs
@AsaniOmari-xp5qs 8 ай бұрын
Mungu mrehemu makufuli
@williamboniphace5887
@williamboniphace5887 4 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu apumzike kwa amani😥😥
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 8 ай бұрын
HATUKO NAWE JPM KIMWILI,ILA KIROHO TUKO PAMOJA.HUWEZI KUONDOKA KWENYE MIOYO YA WANANCHI WANYONGE.😭😭😭😭.
@NgaboLee
@NgaboLee 6 ай бұрын
Niko Rwanda alakini mweshimiwa Raisi Magufuri arikua mtakatufu duniani.RIP😭😭
@jumahamad117
@jumahamad117 3 жыл бұрын
Magufuli hujafa kwasababu kilasiku huwa tunakuona nakukusikiliza uyasemayo
@lupamwakyusa1582
@lupamwakyusa1582 8 ай бұрын
Rest in easy 😢😢😢
@user-gy3xi7fw5j
@user-gy3xi7fw5j 7 ай бұрын
Dar pumzkatu baba,Saiv alidhi inapolwa namajizi wanawo jifanya niviongoz na niwazalendo kumbe nimajambaz
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
mzee wa kumwaga fedha na kuwajali watu wake
@khasimgange4213
@khasimgange4213 3 жыл бұрын
Mola akubariki
@khasimgange4213
@khasimgange4213 3 жыл бұрын
Nimelia sana na mimi ni mkenya
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 8 ай бұрын
😭😭
@richardkiricha3915
@richardkiricha3915 7 ай бұрын
@Roobkii_Gaalkacyo
@Roobkii_Gaalkacyo 3 жыл бұрын
Watanzania mungo awabariki Hakuna mtu kama magufuli
@halidiyasin7485
@halidiyasin7485 5 жыл бұрын
Jpm , ongoza mpka kifa bb
@zamzamhassan4159
@zamzamhassan4159 3 жыл бұрын
Ndio ameshakufa Sasa😭😭
@mfandaboytz2293
@mfandaboytz2293 3 жыл бұрын
😭😭😭😭
@patrickmbogo7805
@patrickmbogo7805 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani jemedari wetu
@sapricatermaregeri6571
@sapricatermaregeri6571 8 ай бұрын
Kiukweli wa Christo wanaupendo.Bali watu hawana shukrani.Hakuwa na ubaguzi,
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 3 жыл бұрын
TUMEPOTEZA feza yenye thamani kuu daah Jina la bwana lihimidiwe
@masumbukoclement4582
@masumbukoclement4582 9 ай бұрын
Mungu Yupo tu 😭😭
@user-np5rp2fi5t
@user-np5rp2fi5t 5 ай бұрын
Mungu azidi kukupa pumnziko la milele
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 8 ай бұрын
Allah amsamehe makosa yake
@masumbukoclement4582
@masumbukoclement4582 9 ай бұрын
Sinakitu Cakusema Mweshimiwa Nimipango Yamungu 🙏🇹🇿❤😭😭😭😭
@CLIANPASCHAL
@CLIANPASCHAL 2 ай бұрын
😂mungu ailaze roho ya magufuli mahala pema
@amirlehao8945
@amirlehao8945 3 ай бұрын
Saii ndo tunaona umuhimu wake huyu mwamba
@mihinganoalex8555
@mihinganoalex8555 3 жыл бұрын
🤙
@MarieHeleneEtienne-bf9ub
@MarieHeleneEtienne-bf9ub 2 ай бұрын
mzee wa maneno mzee wa vitendo. sio wale mbumbumbu
@salehmohammedsaleh7015
@salehmohammedsaleh7015 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima hakuna mfano wake dunia hee
@sengendotwaha9333
@sengendotwaha9333 3 жыл бұрын
Mungu -rip magufuli
@georgemtambo7578
@georgemtambo7578 9 ай бұрын
Ni kuwa alipokuwepo tuliona Kama kawaida tu,na Ni haki yetu,lkn hayupo Ni maumivu ,Mungu akupe pumziko la milele baba yangu,na rais wangu 😭😭😭😭
@jokhagadafy2144
@jokhagadafy2144 3 жыл бұрын
Baba magu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭daaaaaaaa
@rizikially2091
@rizikially2091 3 жыл бұрын
Makini xan
@user-qv9pf3ti7y
@user-qv9pf3ti7y 5 ай бұрын
Rip magufuli hakuna alie kamilika ila Allah akupunguzie azabu ya kaburi na upumuzike kwa amani
@andreamassay7950
@andreamassay7950 8 ай бұрын
Dahhhh ila kazi ya mungu haina makosa Ila inauma sana jaman
@estheroscar6520
@estheroscar6520 8 ай бұрын
Magufuri safi
@emmanuelkhisa8453
@emmanuelkhisa8453 7 ай бұрын
Pitia frm 254🔥🔥
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n Ай бұрын
hakuna ku escape mnabanwa hapo hapo
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 8 ай бұрын
Rais wangu bora wa muda wote JPM
@shukurukihwelo3084
@shukurukihwelo3084 8 ай бұрын
Ivii kweri hatuji yaona haya tena eeh mwenyezi mungu utujarie tuone tena ha kama robo ya matendo kama haya
Mwanafunzi ‘AMKUNA’ MAGUFULI, ATOA MILL 5, Ampandisha Kwenye GARI!
13:43
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 47 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 48 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 57 МЛН
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
President John Pombe Magufuli's speech during his inauguration
19:01
KBC Channel 1 TV Shows
Рет қаралды 14 М.
Rais Magufuli alivyokata tiketi na kupanda Pantoni leo
4:05
Millard Ayo
Рет қаралды 823 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
JPM ALIVYOWAKA KUHUSU MAKONTENA KUCHELEWA
8:38
Millard Ayo
Рет қаралды 350 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН