Mwendazake kweli ulibadilisha hii nchi kwa muda mfupi sana, sijui nisemeje umetuachia ukiwa nchi haieleweki kabisaa. Pumzika kwa Amani
@Kim19onlinetv5 күн бұрын
Je mama hana mchango kweli? Au mnasahau kwa makusudi?
@KudraWanguvu-em1xw5 күн бұрын
anao sana tena sana
@deniccgabriel61535 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xwanamchango wakukabidhi bandari kwa waarabu siombaya😊😊😊
@Aida-qh3jq4 күн бұрын
Tumuombe maisha bora akhera na huyu mama mwenyez mungu amsimamie kwa uwezo wake mungu maana bila mungu hatuwezi kitu jamani na kila hali mja njia ni moja tu
@user-gv8yn9lg1i4 күн бұрын
Jp Makufuli 😅😅😅
@modestwenceslaus94 күн бұрын
Barabara unganishi za Daraja ziwe na urefu kilometa nyingi na upana wa kutosha ilikulipa thamani ya gharama iliyotumika kulijenga siyo mjenge vibarabara kama vya huku uswahilini kuliunganisha Daraja hilo.
@zobakazizi76375 күн бұрын
Tanzania inanyanyuka.. .
@Worldunite3 күн бұрын
Mbona mnaleta mfarakano? Hili jambo liko wazi kwamba hayati JPM aliona umuhimu wa kujenga hili daraja na akaanza kulijenga, halikuwa jambo rahisi, na baada ya kifo chake mama ndo analimalizia, sasa, tunachoshindania hapa ni lipi?
@sylvestercameo62635 күн бұрын
Huyu msimulizi ni mgeni kutoka nchi jirani? Pili, anapotosha kudai ya kwamba kuvuka kwa ferry kutoka Busisi hadi Kigongo ferry unatumia saa mbili. Hata kwa kupiga kasia huwezi kutumia zaidi ya saa moja!