Eeh nasari Upo vizuri mdogo wangu hongera sana Wabunge wa upinzani kiukweli mna changamoto kubwa Sana
@justinemgomi95617 жыл бұрын
lukuvi na Nassary hoja nzuri sana na majibu safi sana wengine ugeni kwa hawa
@batulemwamwaja65245 жыл бұрын
akili kubwa kuliko walipo kwenye wizara ya ardhi, respect Mh Joshua Nassari
@WilliamLLloyd-qx9tc8 жыл бұрын
tunahitaji vijana wenye fikra pevu kama Nassari, kuongea kwa facts sio tu kwa mihemko isio na maana.. safi sana kiongoz.. na mheshimiwa Lukuvi tunakutegemea sana.. ahsante kwa maana tunaamin hutotuangusha maana hujawah tuangusha
@neybenson78814 жыл бұрын
Lukuvi na nassari safiii
@barakalema43582 жыл бұрын
Joshua kabla hajavuta bangi
@amanam27357 жыл бұрын
Asante Nassari.Huu ni utumishi uliotukuka.
@daudimkwela8 жыл бұрын
Very very constructive conversation, Lukuvi upo vizuri sana. Nasari a.k.a Dogo Janja upo Vizuri sana. Vijana tushike hatamu aisee.
@joelthiago30593 жыл бұрын
Instablaster...
@lidyakyambo10308 жыл бұрын
Jamani Naombeni bunge lionyeshwe live km zamani
@donaldjetha68746 жыл бұрын
Kwa kweli wizara ya ardhi mbovu sana
@tracyjustice16007 жыл бұрын
bravo Nassari
@maxwelljulius25416 жыл бұрын
Mmmh tunawaitaji wabunge kama nassar na wazir lukuv katika taifa hili
@rehemaradhid57165 жыл бұрын
yupo vizuri sana
@emmanuelwilson91696 жыл бұрын
nassari nouma
@britonngale66445 жыл бұрын
Nyie wameru Mjifikirie tena kuungana na wabaua kumng'oa Nassari
@eliapallangyo6991 Жыл бұрын
aliyemtoa in nani???? sii serikali yenu ilimtoa
@deusywikes6105 жыл бұрын
Duuu tz noma
@kimmauston10595 жыл бұрын
Hii ndio kazi mwakilishi wa watu
@hudsson758 жыл бұрын
hizi ndio hoja na majibu yanayotakiwa bungeni na c matusi na mipasho isiyokuwa na tija kwa wapiga kura.Asante Nassari Asante Lukuvi
@marcodominico95036 жыл бұрын
hudsson75 Wewe jamaa una macho ya rohoni, safi sana. Mipasho na matusi havitusaidii, tunataka HOJA. Serikali ikiona jambo limetoka kwa wapinzani na lina mashiko walifanyie kazi. Na wapinzani nao wasikae kuamini tu kuwa kila kinachofanywa na Serikali ni kibaya.
@daudshaza12215 жыл бұрын
Watamkumbuka
@hamzaadrin83048 жыл бұрын
we Jamaa Noma 😅😅😅😅 Una Wasuta baba zako
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Amewasuta baba zake na sasa amewaomba msamaha na kuwafuata walipo au hujui sasa hv ni ccm?
nashukuru sana kaka angu na headboy wangu wa shule ya msingi mulala nashukuru sanaa kwa kuongea kwa fact na kiongozi wa mfano katika jmbo lake kwel mheshimiwa nassary utukufu wa pili ni mkubwa kuliko ule wa kwanza
@mwanahawamohamed81897 жыл бұрын
Ahimidiwe malack c
@alfanrajabukisuda60058 жыл бұрын
Ni kitu gan kimeshindikana mpaka mtu banie bhana
@paulomwashinga28305 жыл бұрын
mludishieni ubunge wake nassari jamani
@sarahclemence41805 жыл бұрын
jamani nasari arudishwe
@abubakarimchani1148 жыл бұрын
Asallaam alley kum Watanzania tunakatwa kodi kila kitu tunacho nunua saa tuomba SERIKALI yetu irudishe utaratibu wa kuonyesha vikao vya Bungeni moja kwa moja?
@hilarygodfrey43767 жыл бұрын
bungelime geuka uwanja wamabishano
@josephsamwel81458 жыл бұрын
duh nasari kafunguka simchezo....
@yohanamwamlima29996 жыл бұрын
Haposafi dogo nimekubali
@alfanrajabukisuda60058 жыл бұрын
Inakuwaje mnatubania tusiangalie binge la jamuhur ya muungan