Рет қаралды 578,809
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango Dr Philip Mpango kutoa majibu sahihi kwa wananchi kuhusu zilipo Trilion 1.5 ambazo hazieleweki zilipo katika ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)