EXCLUSIVE: Mtanzania aliepambana na Chui mpaka akamuua

  Рет қаралды 661,648

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 500
@esthersimon4427
@esthersimon4427 6 жыл бұрын
kama unamkubari huyu kaka alie ua chui gonga like
@AhmadSaid-st5ym
@AhmadSaid-st5ym 6 жыл бұрын
sema asante mungu gonga leki hapa
@maftaahmajengo9763
@maftaahmajengo9763 6 жыл бұрын
Esther Simon ding umetisha sana
@hanuniselemani2274
@hanuniselemani2274 6 жыл бұрын
Kaka endelea kumshukuru mungu, na muombe sana akulinde wewe na familia yako
@barrysulty1756
@barrysulty1756 6 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi tena na popote na lolote kk hongera
@dannygroening3547
@dannygroening3547 6 жыл бұрын
Sawa
@abdallasaleh2303
@abdallasaleh2303 3 жыл бұрын
Huyu jamaa nime mkubali sana tofauti na wanaume wa Dar kazi kukata viuno na kufugwa na wanawake za watu basi rasi big up Mungu akulinde broo
@magdalenamatiko9995
@magdalenamatiko9995 6 жыл бұрын
We ni shujaa,lakini hongera kwa kumtanguliza Mungu.
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
KBS
@aminamrope9785
@aminamrope9785 6 жыл бұрын
Mashaallah mwanaume wa kusini huyo. Haya wale wakusini wote msipite bila kuacha like zenu hapa Kwa mwanakusini mwenzenu mie. A. Mrope😊😊☝️
@credokashinga1918
@credokashinga1918 6 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@elieneaezekiel5102
@elieneaezekiel5102 6 жыл бұрын
Huyo wa dar tuuu
@aminamrope9785
@aminamrope9785 6 жыл бұрын
@@elieneaezekiel5102 asubuutu wa dar angeshaliwa zamani😃😃
@credokashinga1918
@credokashinga1918 6 жыл бұрын
@@elieneaezekiel5102 umeona tuko vizur
@nolascomwinuka8080
@nolascomwinuka8080 6 жыл бұрын
Noma sana
@zuhurarajabu3790
@zuhurarajabu3790 6 жыл бұрын
Gonga like kama unaamini mungu ndio Amemsaidia huyu jamaa ncyo nguvu zake
@mbwetanyama1490
@mbwetanyama1490 6 жыл бұрын
Sasa nguvu nani au zako
@fedrickhaule6452
@fedrickhaule6452 6 жыл бұрын
Mmmmmh Mungu yu mwema
@shebbywanammurun9612
@shebbywanammurun9612 6 жыл бұрын
Zuhura Rajabu Naam
@latifamkulazi8378
@latifamkulazi8378 5 жыл бұрын
Allah aqbar
@rajabmachum2137
@rajabmachum2137 5 жыл бұрын
Full confidence
@ShabaniKwambiana
@ShabaniKwambiana Жыл бұрын
Congratulations 👍 man mungu ndo kilakitu
@tulisamwel41
@tulisamwel41 2 жыл бұрын
Nimefurahi kusikia ulimwomba Mungu. Mungu alikujibu maombi yako.Pole na hongera sana. MUNGU ndiye jibu.
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m Ай бұрын
Mungu amemuezesha kwa kupambana
@sanurahaji5194
@sanurahaji5194 5 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awafanyie wepesi amiyn b jibidishe kufanya ibada
@leotena8456
@leotena8456 6 жыл бұрын
Kama unaamini angekua mwanaume wa dar angeshazikwa asaiv honga like
@simbawateranga7020
@simbawateranga7020 6 жыл бұрын
So honga. Gonga like!
@jacklindaudi9038
@jacklindaudi9038 6 жыл бұрын
Mm nasoma comments nacheka tu wanaume wa Dar
@benedictmoses4535
@benedictmoses4535 6 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaaaah😂😂😂😂 nooomaaa sanaa
@cellyjoseph9478
@cellyjoseph9478 6 жыл бұрын
Wala kiepe yai nguvu watazitoa wapi 😂😂😂😂😂angekufa mapemaaa kabla hata chui hajamsogelea
@mayahhajih2636
@mayahhajih2636 6 жыл бұрын
😂😂😂💪💪👍
@barracklang8724
@barracklang8724 6 жыл бұрын
Ningekua Mimi sasa Ungesikia jamàa Mmoja akimbia mbio na kumshinda chui😂😂😂
@shehaabdallah5176
@shehaabdallah5176 6 жыл бұрын
Hahahaha
@zahararajabu4169
@zahararajabu4169 6 жыл бұрын
😂😂😂😂
@rehma0maly992
@rehma0maly992 6 жыл бұрын
Hahaha ww
@petermwantole616
@petermwantole616 6 жыл бұрын
ha ha ha haaaaa,, na mbio nazo silaha eti...
@cathelinenikwelikabisayuko750
@cathelinenikwelikabisayuko750 6 жыл бұрын
Peter Mwantole hahahahaaa noma sana
@valentinamussa4212
@valentinamussa4212 6 жыл бұрын
yani tuseme ni Mungu tu ndo kamuepusha na kifo
@tuphujekumuhkunonyiile3739
@tuphujekumuhkunonyiile3739 6 жыл бұрын
Aswaa
@gracerenady9425
@gracerenady9425 6 жыл бұрын
Pamoja na hayo pia kapambana
@timothmkude3029
@timothmkude3029 6 жыл бұрын
Kbisa
@rosesaimon5273
@rosesaimon5273 6 жыл бұрын
Kaka pole sana pia wewe ni mwanaume
@zuhuramniwasa1063
@zuhuramniwasa1063 6 жыл бұрын
Ndiyo maana alianza na kuomba mungu
@GADITV
@GADITV 6 жыл бұрын
Kaka angu Millard nikupongeze sana kwa hii update ipo vizuri sana. Kumbuka mdogo wako nipo nyuma yako usikose kunishauri nakuja kwa kasi kubwa mno. Nimeanza na kanda ya kaskazini,mungu akipenda kuanzia january nitashuka mikoani. #GADITV GADI TV
@loveofficial74
@loveofficial74 6 жыл бұрын
GADI TV Vp kaka naomba nitafute waxap +255657071747
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 жыл бұрын
All the best ndugu. Unaonekana una roho nzuri na kutakia wengine mema, nakuhakikishia Mungu hatokuacha
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 6 жыл бұрын
GADI TV ushajisajiri TCRA usije ukafungwa au kupata misukosuko kama AKINA SOUD BROWN
@dorahnnko6857
@dorahnnko6857 6 жыл бұрын
GADI TV nomasana
@nolanraphael8502
@nolanraphael8502 6 жыл бұрын
GADI TV pambana kijan Mungu atakujalia
@humphreymahenge7455
@humphreymahenge7455 6 жыл бұрын
Samson wa pili..hongera bro pia usiache kumtukuza Mungu..
@robbykabara3203
@robbykabara3203 6 жыл бұрын
Samson wa tz
@piarajaneth6030
@piarajaneth6030 6 жыл бұрын
Kabisa yani
@tematema3101
@tematema3101 6 жыл бұрын
Mungu kakuepusha kwani.we tegemezi la hao bibi 3 Mungu ananjia.zake uhimidiwe milele.mwokoz.wetu
@rhodaevance8761
@rhodaevance8761 6 жыл бұрын
ongera sana kwa kumshinda mnyama huyu kwasababu ni mungu tu amaekusaidia ila si kwa nguvu zako ila mshukuru mola amekupa nguvu za kupambana maana bila mungu ungekufa
@WAKRISTOKANISALAMUNGU
@WAKRISTOKANISALAMUNGU 5 жыл бұрын
Umeandika mambo
@winniealuoch7539
@winniealuoch7539 6 жыл бұрын
You are a HERO man!Congratulations and may you recover soon.
@lilbmusic7482
@lilbmusic7482 6 жыл бұрын
Uyu nae ni konk konk konk master😂😂😂
@elvinnyanchama5262
@elvinnyanchama5262 6 жыл бұрын
Hahhahhahahhaa
@kimjey0012
@kimjey0012 6 жыл бұрын
He he he huyu tutamuita konki king Kong
@sonnymjeshi
@sonnymjeshi 6 жыл бұрын
😁😁😁
@prisilakabyemela4597
@prisilakabyemela4597 6 жыл бұрын
Konk kink konk wapili jamani
@maryammaram2612
@maryammaram2612 6 жыл бұрын
😂😂😂
@jrawwtz
@jrawwtz 6 жыл бұрын
Gonga like kama unamkubali millardayo
@jrawwtz
@jrawwtz 6 жыл бұрын
Hatari sana
@silvanusmaungo9076
@silvanusmaungo9076 6 жыл бұрын
hotnews Tz jhv
@lusungugatemile1046
@lusungugatemile1046 6 жыл бұрын
hongera umeonyesha ushujaa
@barracklang8724
@barracklang8724 6 жыл бұрын
Sina hofu kbs na Wanaume Wa mikoani, ingekuwa kwa boys wa dar ungesikia chui kaua 19 na kujeruhi wengne 12, wa4 wako mahututi 😂😂😂 kwa kuanza jifunzen kuuwa mende baadae kidogo mwanze kuchinja kuku 😂😂😂
@engineerbaraka16
@engineerbaraka16 6 жыл бұрын
Acheni Dharau zenu,,, ungekuwa wew ungeweza kupambana?????
@omanioman8952
@omanioman8952 6 жыл бұрын
😁😁😁😁😁
@agnessjohn8404
@agnessjohn8404 6 жыл бұрын
barrack Lang 😀😁😀😁😀uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii konki konki
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 жыл бұрын
Mbavu zangu mie 😃😃😃😃 wanaume wa dar acha mapovu, ndio ukweli😀😀😀😀😀😁😁😁
@HASASON
@HASASON 6 жыл бұрын
😂😂😂😂 Na kweli sasa kama wanaume wazima wanaingia chini ya meza na wake na watoto wao kisa kuna viboys vinaitwa panyaroad vimeamua tu kufanya yao
@dharesfadhil2236
@dharesfadhil2236 6 жыл бұрын
Subhannah llah.kaka toa sadaka umenusurika pakubwa.ALHMDULILLAH
@MayasaMangochi
@MayasaMangochi 10 ай бұрын
We ndo mwanaume unaetakiwa apa nchini sio wale wengine
@dianarenard5853
@dianarenard5853 6 жыл бұрын
Duh wapo wanaume kweli, na sio wanaume jina 😂😂
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 6 жыл бұрын
Sio wanaume wa Dar
@alexmazengo1049
@alexmazengo1049 6 жыл бұрын
Mambo
@noahmdeka5783
@noahmdeka5783 6 жыл бұрын
Waseme tu wanaume wa dar
@dianarenard5853
@dianarenard5853 6 жыл бұрын
@@noahmdeka5783 😂😂😂 sitak kesi
@dianarenard5853
@dianarenard5853 6 жыл бұрын
@@alexmazengo1049 pw
@eddyderrickmail66
@eddyderrickmail66 3 ай бұрын
Pole sna mungu akupe nguvu zaid na akupe maisha marefu uwasaidie watto wetu ndugu zetu na wengne asante shujaa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
Hawa sasa ndio wanaume wenye nguvu za kiume 😃. Mungu ni mwema umepambana kaka hongera sana wanaume wa Dar kazi yao kuwa Mario sio wote jamani🏃🏃🏃🏃
@engineerbaraka16
@engineerbaraka16 6 жыл бұрын
Acheni kuwaza waza Mapenzi,,, fanyeni kazi za kuleta maendeleo
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
engineer Baraka nilijua tu utawaza ngono ndio tabia za wabongo kama wewe niliposema nguvu za kiume nilimaanisha maana halisi ya nguvu alizonazo na sio ulizowaza wewe inaonyesha wewe ni mwanaume wa Dar huna wazo lingine pole sana
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
Millennium TV 😄 mimi nina mume pia yeye ameshaoa sikuwa na maana ya nguvu za kiume unazofikiria wewe nilimaanisha mshipa wa kiume maana nguvu alizonazo ndio zinazostahili mwanaume kuwa nazo ndio maana hata mwanamke akipambana akaweza anaambia ana mshipa wa kiume msinichukulie vibaya sikuwa na maana mbaya
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 6 жыл бұрын
Dah
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 6 жыл бұрын
Daniel Markgodson sorry sikuwa na maana mbaya
@yerickonelson8317
@yerickonelson8317 6 жыл бұрын
huyu ndo anafaa kuitwa Konki master sasa maana kapitia vikwazo vigumu 😂😂
@hawadhamini4644
@hawadhamini4644 6 жыл бұрын
Yericko Nelson Allah kareem
@namnyackndaserwa1366
@namnyackndaserwa1366 6 жыл бұрын
Konki konki master mamba kama unamkubali like apa
@diamondplatnumz7400
@diamondplatnumz7400 6 жыл бұрын
Yericko Nelson 😁😁😁
@georgemakariuslipumbanichi7312
@georgemakariuslipumbanichi7312 6 жыл бұрын
Kwelii
@yerickonelson8317
@yerickonelson8317 6 жыл бұрын
CHEKO Tv Konki master oil chafu
@belindagiliard8977
@belindagiliard8977 6 жыл бұрын
Hongera Millard. Ungechelewa tu, huyo jamaa angegeuzwa mkenya, maana wana hila hawa.
@metrolinklimonetwork9579
@metrolinklimonetwork9579 6 жыл бұрын
Mbona ukawachukia WaKenya hivyo Dada Belinda?? Walikokosea nini?? Not nice. Sisi tunawaheshimu jirani zetu wa TZ. Kwetu sisi pia twawapenda hata tukaoa dada wengi toka TZ na pia binti wetu wengi wameoleka TZ.
@chembevuko7046
@chembevuko7046 6 жыл бұрын
Come on man why hate kenyans that much
@saadakiyungi7155
@saadakiyungi7155 6 жыл бұрын
Kweli ksbisa
@tylerhood5353
@tylerhood5353 5 жыл бұрын
Belinda Giliard 😂😂😂😂
@mdyoung5163
@mdyoung5163 3 жыл бұрын
😅😅😅😅harmonize ni mkenya
@abdullasalim9266
@abdullasalim9266 6 жыл бұрын
Hongera sana ..Mwenyezi Mungu amekuokoa kama alivyo niokowa mimi Alhamdulillah .. unanikumbusha mkasa kama huo ambao ulinikuta mwaka 1995 katika pori la Mavuji Mkoa Wa lindi ambapo nilinusurika kuuliwa na tembo na kupata majeraha na baadae mita chache nika nusurika tena kushambuiwa na chui baada ya kukoswa na tembo .. hongera sana kwa ujasiri wako...
@reaganmakallo6824
@reaganmakallo6824 6 жыл бұрын
hizo rasta zinaonesha ananyota ya simba...
@jamilaamani1758
@jamilaamani1758 6 жыл бұрын
Ahahaha kwer umenena
@patrickmunisi44
@patrickmunisi44 6 жыл бұрын
huyu ana nyota ya Yanga sio simba
@mropeamadeus5445
@mropeamadeus5445 6 жыл бұрын
reagan makallo yes Man
@reaganmakallo6824
@reaganmakallo6824 6 жыл бұрын
huyu huyu yanga nichokonoe??😀😀😀😀
@AngelAfrica-w5x
@AngelAfrica-w5x 6 жыл бұрын
ha haa sure
@worldrapamako3960
@worldrapamako3960 6 жыл бұрын
hyo mbegu kama siyo yakwetu musoma nibahati mura kama mnatukubali wanaume wa mara musoma tanzania gonga like hapa
@JamviOnlineTV
@JamviOnlineTV 6 жыл бұрын
Mungu ni Mwema sana
@wamoroboy8963
@wamoroboy8963 3 жыл бұрын
Kbs🙏
@WilsonEmmanuel-bs6op
@WilsonEmmanuel-bs6op Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@HassanHassan-ud8rx
@HassanHassan-ud8rx 6 жыл бұрын
Kaka mtaratibu sana kwa kweli mungu amuhifadhi na familia yake awaongoze katika Kheri
@steevclassicvevo5000
@steevclassicvevo5000 6 жыл бұрын
Mmmmh! Kwel Jamaa Anastair Taji La Ushujaa..
@shammoha5297
@shammoha5297 6 жыл бұрын
Yaa Raab! Duh! Pole kakaangu ,hongera vilevile. Tumshukuru Mola. Mungu akupe nafuu. Akubariki ktk maisha yako. Ameen
@janetwandeharris3934
@janetwandeharris3934 6 жыл бұрын
Wow he deserves a medal and World Guinness Record
@mohdsein747
@mohdsein747 4 жыл бұрын
Muongo huyo watanzania mpaka mashamba boys wanatafuta kiki😂😂😂
@chapmanalexander5196
@chapmanalexander5196 6 жыл бұрын
Mke wake ana mume kweli.
@restypeter1141
@restypeter1141 4 жыл бұрын
Kwakweli
@faifidelis3041
@faifidelis3041 3 жыл бұрын
kabisa
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 6 жыл бұрын
Dah! Pole sana bro kaka.Allah Akujalie upone upesi ili uendelee na shughuli zako za kila siku za ujenzi wa taifa na uangalizi wa familia yako-Amiin...!!!
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 6 жыл бұрын
Samson wa pili huyu
@masikamukiraniaesther780
@masikamukiraniaesther780 6 жыл бұрын
Huo ndio ukweli kabiisaaaa
@cipladapretty8617
@cipladapretty8617 6 жыл бұрын
Kwakwel hahahahah
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Nika aza kufikilia ile Movie ilivo na nguo zao 😂😂😂na wanavyoongea
@annikhaoya470
@annikhaoya470 6 жыл бұрын
Very good you need to rewarded
@princessfairy4146
@princessfairy4146 6 жыл бұрын
😂😂😂😂
@fatmahchambo2037
@fatmahchambo2037 6 жыл бұрын
Mungu ni mwema...kama siku yako bado, basi chochote cha kutaka kukuangamiza kikikukaribia Mungu anakuponya nacho. Pole kaka na hongera.
@vampire9464
@vampire9464 3 жыл бұрын
Mashallah fatma mzuri
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 6 жыл бұрын
Sbuhana llah pole sana kaka mungu ni mwema
@mwanaishahussein2635
@mwanaishahussein2635 5 жыл бұрын
Pole sana kaka, MUNGU alikuokoa hapo, akuokoe zaidi ya hapo mana wewe ndio jicho la familia😭😭😭
@r-jay7404
@r-jay7404 6 жыл бұрын
Mimi Ninamlaumu Sana Bwana Chui.. Kama Angetafakari Uzito Wa Lite Gogo Alilotaka Kulibeba Mr Abdallah.. Asingethubutu Kumsogelea.. Kifo Cha Kujitakia Hakina Pole..
@mercyauma3676
@mercyauma3676 6 жыл бұрын
r-jay mungu atukuzwe
@silvanussteven813
@silvanussteven813 6 жыл бұрын
r-jay alaa
@nurudovino288
@nurudovino288 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shabansabaga2919
@shabansabaga2919 6 жыл бұрын
duuh! huyu jamaa ni zaidi ya konk master, hongera sana broo....
@bahatimatiku4294
@bahatimatiku4294 6 жыл бұрын
Una roho yakikurya roho ya ujasili we ni kdume mana umepambania maisha yafamilia yako
@jamesngimbusi6404
@jamesngimbusi6404 6 жыл бұрын
Hongera sana kwa vita hiyo ya ushindi.Mungu hakutaka wewe uangamie
@christinajonas374
@christinajonas374 6 жыл бұрын
Dah! Wewe kweli mwanamme wa mkoani sio mwanamme wa dar ongera sana kwako unanguvu kama zote tu, kwani uyo anae jiita konk konk konk ana uwezo wa kuuwa chui mdomo tu umemjaa Na kuchambana na watu so big up kwako Rasta man 💪💪💪👏🏻👏🏻👏🏻wewe umefanya live sio movie wewe ni shujaa number 1 and razima nikupe zawadi kwa hili
@rosekagonya4939
@rosekagonya4939 6 жыл бұрын
pole sana Mungu ni mwema siku yako haikuwa imefka ya kufa, katoe sadaka kanisani
@chainsinternational
@chainsinternational 3 жыл бұрын
Gonga like kama unaamini huyu ni shujaa na Mungu ni mwema☺
@faridahhamza8704
@faridahhamza8704 6 жыл бұрын
Pole kaka mungu mkubwa,
@mustafamagila5087
@mustafamagila5087 5 жыл бұрын
Duuh kazi nzuri kaka
@mwanashaabdallah5479
@mwanashaabdallah5479 6 жыл бұрын
Pole kakangu alipangalo mola ndo huwa ila biina hailiwi God is good everytime
@patsonessau9386
@patsonessau9386 6 жыл бұрын
Pole sana brother na tumshukuru Mungu kwa kukunusuru maisha yako na milad ayo hongera kwa kutupenyezea habar za pori na town bila vikwazo
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 6 жыл бұрын
Kweli mungu mkubwa jmn walay mungu akupe maisha malefu
@starboy-bw3uz
@starboy-bw3uz 6 жыл бұрын
Anae kubaliana namm kuwa uyu jamaa ni konkii konkii konkii master oil chafu agonge like yake apa
@JabaarVLOGS
@JabaarVLOGS 5 жыл бұрын
I wish I can help this man even a little can make a different
@aishaabdallah2693
@aishaabdallah2693 6 жыл бұрын
Kama unaamini huyu ni shujaa gonga Like hapa
@sofiayusufu579
@sofiayusufu579 6 жыл бұрын
Mungu akulinde
@bonifacembogo5675
@bonifacembogo5675 6 жыл бұрын
Bro Abadallah naomba niwe meneja wako.nikupeleke studio ufanye ngoma.moja Kali sana..Kiki tayari unayo
@february2866
@february2866 6 жыл бұрын
Hao ndiyo wanaume wa mkoa,Ruvuma huko! Ukiwashobokea vitasa tu!
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 6 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 6 жыл бұрын
Chui alishoboka au sio
@muhbrayan3265
@muhbrayan3265 6 жыл бұрын
Hatunaga huruma na mtoto wa mtu
@emmanuelayubu4587
@emmanuelayubu4587 6 жыл бұрын
February 28
@sospeterlufasinza7945
@sospeterlufasinza7945 6 жыл бұрын
Mwanaume huyo
@dashuusaalim8882
@dashuusaalim8882 6 жыл бұрын
Mashallaah ka dula na mm ni pia ni mkali kwa kuua nge na tandu naamn uo ni mwanzo mzury tuu... Na wngn mcogope mende mnaturudixha nyuma😎😎
@shownewsdiamond1942
@shownewsdiamond1942 6 жыл бұрын
Millard tupe na taarifa za ruge safiri mpk alipo basi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 жыл бұрын
Unamtuma wapi mwenzio? Mbaya hiyo
@josemourinho8781
@josemourinho8781 5 жыл бұрын
Hahahaha umeongea point kk
@hawamgalla1436
@hawamgalla1436 5 жыл бұрын
Ruge!!
@subiraegied5647
@subiraegied5647 6 жыл бұрын
ebukunywa maj makubwa ntalipa.... Mwee 😊Mungu ni MKUU.... Sana Barikiwa kumtanguliza mungu
@goldmansun5859
@goldmansun5859 6 жыл бұрын
hawa wanyama wanaitwa leopard, kibongo chui ,hawa jamaa wakikukuta popote,mziki wake ufe wewe au yeye ,they never gv up wakiwa na njaa,na ndio the best hunters in d world
@j_gh812
@j_gh812 6 жыл бұрын
Nguvu ya mnyama ni kubwa sana kulinganisha na binaadamu....na kasi yao huwezi kuimudu hata chembe...usalama ni uwe na silaha angalau lakini sio huyu jamaa eti amepigana nae mikono mikavu..huyo hui lazma atakua amekula sumu na kuishiwa nguvu au alitegwa kwa mda akishiwa nguvu....huwezi kupambana na chui mikino mikavu
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 6 жыл бұрын
@@j_gh812 Sio kweli ni ushujaa tu wa mtu, ukiwa una afya njema na ukaondoa uoga unaweza ukakabiliana nae na ukamshinda, matukio haya huwa yanatokea. Wamasai na makabila mengine yanayoishi ktk maeneo yenye wanyama wakali kama hawa inapotokea wanataka kuleta madhara au wameshaleta madhara hukabiliana nao na kuwauwa. Miaka ya nyuma wilayani Rufiji mkoa wa Pwani kuna mwanamke alimuuwa simba, ilikuwa majira ya usiku mumewe alitoka nje kujisaidia, akavamiwa na simba, yule mwanamke alitoka na mchi wa kutwangia nafaka, akamkuta mumewe yupo chini simba yupo juu yake. Akamshindilia nao wa kichwa akamuacha wakaanza kukabiliana, kila simba alivyojaribu kusogea alikula mchini, kipigo kilivyokuwa kikali yule simba alitenguka na yule mwanamke alizidi kumtandika mpaka akafa. Kwa hiyo kikubwa ni kumtanguluza Mungu mbele, na kujenga ujasiri utakabiliana nae utamshinda, tatizo watu wengi wanapokutana na wanyama kama hawa hapo hapo huishiwa na nguvu hata kufikiria namna ya kujiokoa wanashindwa na hali hii inawarahisishia wanyama hawa kuwadhuru haraka na kuwapotezea maisha. Ukiwa muoga na siku zako zikiwa zimefika kweli utageuzwa kitoweo. Tumuombe Mungu atunusuru na mabalaa kama haya.
@haliimomar1692
@haliimomar1692 6 жыл бұрын
Huyu Jamaaa Naongopa
@j_gh812
@j_gh812 6 жыл бұрын
@@rayisadesigns2646 hapa dada yangu si ushaona mwenyewe kua kilitumika kifaa cha mche???tena simba amevamia na mtu wa pili ndio akamshambulia kwa kifaa...na masai wanapambana kwa silaha....chui ni mnyama mkali sana na hatari na ana kasi kubwa sana....sijasema binaadamu huwezi kupambana nae..bali haiwezekani kwa mikono mikavu...tena anavosimulia huyo jamaa eti amemrukia akalala chini..mara ya pili akaruka juu chui akapita chini.....hii ni movie tu dada.....sasa unamshika chui mikono alafu na mdomo je unaufunga ama???au huyo chui alikua anapigana kick boxing tu hangati????eti akamlaza chini akambana mikono...chui amelala tu hangati wala hatumii miguu????dada hii story haingii akilini hata robo...
@haliimomar1692
@haliimomar1692 6 жыл бұрын
Hana Hata Maaaalama Ya Majerahaa ya Kukwaruzaa kwaruza
@alialesry5131
@alialesry5131 6 жыл бұрын
Mwenyezi mungu kasema jisaidieni na mimi tawasaidia....sasa hapo bila yeye kijisaidia ...singekuwa mambo mengine......pole sana kaka nguu...mwenyezi mungu yupo na wanao subiri
@wemamanikana9791
@wemamanikana9791 6 жыл бұрын
Dah!! Mungu mkubwa, usimuache SAMSONI wa pili
@bernahmponzi3857
@bernahmponzi3857 5 жыл бұрын
Wema Manikana hakika
@mhinatitus5843
@mhinatitus5843 6 жыл бұрын
Inahitajika kuonyesha juhudi ndipo Mungu aweke nguvu zake so hongera sana broo kwa uamuzi wa kupambana na ukashinda.
@saadsalum3253
@saadsalum3253 6 жыл бұрын
Huyu ndiye mwanaume Wa dar sio wanaume wakubustiwa hahahah konk konk konk muster
@leticiachunga9118
@leticiachunga9118 6 жыл бұрын
Huyo sio mwanaume wa Dar tena muombe radhi! Huyo chips, pizza, badger's, sandwiches yeye haja wahi tumia, ugali anao kula huyo mbwa haruki mzee na mboga za majani+maharagwe
@zamzamhamisi7332
@zamzamhamisi7332 6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 umeonaeeee
@aishaelias3867
@aishaelias3867 6 жыл бұрын
Konki konki konki master 🤣🤣🤣
@mrbee8971
@mrbee8971 5 жыл бұрын
Achukuliwe Hatua Kali Za Kisheria Mbona Anaua Wanyama Pori
@leonardmbito6488
@leonardmbito6488 6 жыл бұрын
ilo eneo sio zuri tena kuishi aisee!!!!
@aibonkinya2817
@aibonkinya2817 6 жыл бұрын
Huyo chui aliitaja akulwe,atayeyey nyama yake ionjwe na wanadamu hongera sana bro mungu akupe maisha marefu
@abukheru4153
@abukheru4153 6 жыл бұрын
Wanaume wa Dar mpoa pamoja na ss wa mikoanii😂😂😂
@silvanussteven813
@silvanussteven813 6 жыл бұрын
Abu Kheru unadhani wanajitokeza wamejificha wakat huwa wanatuita wa mikoan washamba sasa cheki kidume mla dona halisi hatar
@mwahamedychilungu8981
@mwahamedychilungu8981 3 жыл бұрын
Acha usenge wewe jana nimekuona kinondoni kwenye banda la chips wewe
@myself4128
@myself4128 6 жыл бұрын
Mwanaume wa Dar angekimbia vibaya mno😂😂😂😂!!! Halafu anangeenda kupost instagram au facebook kuwa alipambana na chui! Nimempenda sana huyu jamaa sababu mnyenyekevu sana..kwanza alipomuona chui alisali ina maana hakutegemea nguvuzake mwenyewe na kila ukimsikiliza anampa Mungu utukufu sana!!! Shujaa!!! Shujaaa🙌🙌🙌🙌mchangieni
@majaliwawangdagangdullanga700
@majaliwawangdagangdullanga700 6 жыл бұрын
Pole sana kaka, hongera
@plus254ke8
@plus254ke8 6 жыл бұрын
Hongera sana Kaka. Ungekuwa na M-pesa ningekutumia hera angalao
@georgekimboka9821
@georgekimboka9821 6 жыл бұрын
Kwanza Mshukuru Mwenyenzi Mungu Mkuu sana Wanyama wakali sana Duniani amabao ukikutana nao kupona ni kwa kudra za Mwenyenzi Mungu Mkuu 1.chupi...Leopard 2.tiger
@Maalim_Samatta
@Maalim_Samatta 3 жыл бұрын
Hahahahaaaa eti CHUPI ni ktk wanyama wakali. Teh teh teh the tih tih
@gladyskibugi8737
@gladyskibugi8737 6 жыл бұрын
Mungu yupo. Mungu anasaidia. I will praise his Name always. Naamini Mungu amemsadia huyu Kaka.
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 6 жыл бұрын
una imani sn ktk Mungu,katoe sadaka ya shukurani make hapo ni Mungu ndo amekuepusha na kifo.
@geofreysolomon8532
@geofreysolomon8532 6 жыл бұрын
Akitokea chui usali halafu ulale 😂😂😂
@hopechidera
@hopechidera 6 жыл бұрын
Hongera ndugu kwa kumuua huyo chui,ni Mungu ndo kakupigania na kukushindia.
@moringelangas7276
@moringelangas7276 6 жыл бұрын
Kaka Millard watu kama hao wapo wengi ila sio waote wanajulikana kutokana na kuwa mbali na media,kwenye kijiji cha lulenge kata ya ubena zomozi mkoani pwani kuna kijana pia alimuua chui hadi akachukuliwa mwanajeshi mmoja wa ngerengere kwa ajili ya matibabu,alipambana nae haswa hadi akamuua ila majeraha anayo ya kutosha.
@princesceline9970
@princesceline9970 6 жыл бұрын
Hahaha! Ukiwa na imani na mung hakuna kinacho xhndkana ktka hii acnge mtangulza mung chui angepata kitoweo na angetafuna had nguo
@sharmelasaif47
@sharmelasaif47 3 жыл бұрын
Alhamdulilah rablaalamin mwenyezi Mungu bado anahitaji uwepo duniani
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 6 жыл бұрын
Duuu poke kaka, mungu kakunusulu pole sana tena hongera kwa kupambana na munyama kama chui.
@khadjamhozya
@khadjamhozya 17 күн бұрын
Nimependa kuwa umemtanguliza MUNGU, pia una bahati maana chuyi anakawaida ya kumtowa mutu jicho au macho kutumia kucha zake,🙏🏻 nakama nyumba yako ilichomwa moto na huo chuyi atakuwa ni wakutumwa sio wakawaida uko ndani ya mthihani pole sana
@paulomgan2064
@paulomgan2064 6 жыл бұрын
Aingizwe kwenye lekod
@americanbelgium9639
@americanbelgium9639 3 жыл бұрын
Congratulations brother and God will protect you, Ameen.
@respichiusvedasto9036
@respichiusvedasto9036 6 жыл бұрын
Angelikuwa mwanaume wa dar sasa😀😀😀😀😂
@tatalyzer382
@tatalyzer382 5 жыл бұрын
Aliegundua kua Mzee baba alimtisha chui kwa rasta zake kama simba agonge like
@motherland2279
@motherland2279 6 жыл бұрын
ongera sana kaka mungu azidi kukupa nguvu
@happydede5191
@happydede5191 6 жыл бұрын
Duh! Hongera sana kaka na pole kwa mitihani Mungu atakusimamia
@cedratjaivu8905
@cedratjaivu8905 6 жыл бұрын
Nasubiri aitwe na pombe, apate tuzo ya ushujaa 🙌
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 6 жыл бұрын
Subhannallah, hongera sana kakaang kwa ushujaa wako, Allah yuko pamoja nawe.
@petermwenda5179
@petermwenda5179 6 жыл бұрын
konky konk koky wa ukweli sio hawa mashoga original zote
@silvanussteven813
@silvanussteven813 6 жыл бұрын
Peter Mwenda hahahahahahahaaaa original
@musajacob3362
@musajacob3362 5 жыл бұрын
Dah!!!brother we Samson hata hizo nywele zinaonyesha
@emmanuelmogela5871
@emmanuelmogela5871 6 жыл бұрын
Nakufanananisha na samsoni
@fathiyaalimtumwa6846
@fathiyaalimtumwa6846 6 жыл бұрын
Pole can kka kwanza umshukuru mungu wtu kwa kukpa ujasir alokupa mungu zako ndo zpo pole cna
@rosewafula9100
@rosewafula9100 6 жыл бұрын
Pole Sana mungu atakusaidia
@l.fnaturalfoods7232
@l.fnaturalfoods7232 6 жыл бұрын
Hawa ndio wanaume wa mkoa💪💪💪💪🙌🙌🙌
@erickhaule8680
@erickhaule8680 6 жыл бұрын
Tanzania mnatafuta mtu wa kuigiza movie ya Samson na Delila mana Delila ashapatikana ambae ni wema haya Samson huyu hapa jamani
@tillerseth7778
@tillerseth7778 6 жыл бұрын
Erick Haule 😂😂😂😂😂😂😂😂
@juliepotami659
@juliepotami659 6 жыл бұрын
Ahahahahaha
@silvanussteven813
@silvanussteven813 6 жыл бұрын
Erick Haule hahahaaaa hujakosea kwa delilah
@abdisamedahmed3638
@abdisamedahmed3638 6 жыл бұрын
Kama umekublo huyubni bravean gonga like hppa
@lyndermassawe9618
@lyndermassawe9618 6 жыл бұрын
Huyu sio mwanaume wa dar
@Tusare-e5p
@Tusare-e5p 6 жыл бұрын
wow thanks brother Mungu azidi kukulinda kabisa
@AngelAfrica-w5x
@AngelAfrica-w5x 6 жыл бұрын
Awwww like Samson lol
@idrisamponda1622
@idrisamponda1622 5 жыл бұрын
Gonga like kama huyu abdallah ck zke z kufa bad
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
coco在求救? #小丑 #天使 #shorts
00:29
好人小丑
Рет қаралды 120 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
MTANZANIA ANAELIPWA KWA KUCHOMA MAITI ZA WACHINA TANZANIA
15:04
Millard Ayo
Рет қаралды 299 М.
Mhafamu CLEOPATRA, Malkia mrembo aliyeitikisa MISRI
19:33
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 211 М.
Kutana na Mama Mariam Nabatanzi  mwenye watoto 44
5:40
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 9 МЛН
DADA CRISTAR MBUNIFU WA JUICE TIBA MKOANI KIGOMA
12:27
Baraka Macuptz
Рет қаралды 63
BIBI ALIETUMIA 'MAAJABU' KUZUIA BASI ARUSHA AHOJIWA
10:53
Millard Ayo
Рет қаралды 773 М.