BIBI MWENYE WATOTO 50 ASHINDWA KUONGEA ALIA, KERO YA ARDHI, MAKONDA AMBANANISHA AFISA ARDHI KUJIBU

  Рет қаралды 92,914

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 108
@user-sn2bg9mq7d
@user-sn2bg9mq7d 3 ай бұрын
Mashallah namuona mzee magufuli kwa makonda Allah akulinde makonda na mama yetu samiha Aameen
@mussakilo4916
@mussakilo4916 7 ай бұрын
Makonda mungu akubariki na kukulinda endelea kusimamia haki
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 7 ай бұрын
asante sana Makonda. Natamani pia Mama ampatie kitengo Mh Sabaya kusaidia migogoro hiii pia. ni kiioingozi mzuri kama Makonda
@HOOFCLANMEDIA
@HOOFCLANMEDIA 7 ай бұрын
Even Sabaya himself is are leader with ambition support u
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 7 ай бұрын
@@HOOFCLANMEDIA true. it is in-born. he is very good. leave alone whatever weaknesses he has but my brother this Sabaya is very good.
@futureyouthfoundation5801
@futureyouthfoundation5801 6 ай бұрын
Sabaya anastaili mungu amuinue
@josephminja7953
@josephminja7953 3 ай бұрын
😢😢
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
am a lady lol thanks😄
@yasinthaprosper4226
@yasinthaprosper4226 6 ай бұрын
Amen Mungu amemrudisha kwa sababu kaka yetu Makonda. Tulijiuliza nani atamrithi R.I.P Magufuli lakini naona ni Mh. Makonda vile abarikiwe mno .
@prospermbowe9075
@prospermbowe9075 7 ай бұрын
Mh,Makonda mimi ni chadema ila uwezo wako ni mkubwa unakipaji kikubwa mungu azidi kukubariki mkuu
@josephminja7953
@josephminja7953 3 ай бұрын
🤝🤝🤝 uwezo anao 💐
@songeza
@songeza 7 ай бұрын
Pole makonda mwenezi pambana usisahau maombi nami nakuombea hunijui ni mtu mdogo sana.
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 7 ай бұрын
Makonda aongezwe muda wa kazi angalau kila mkoa akae wiki
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 7 ай бұрын
Kwa kweli😅😅😅
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 7 ай бұрын
Kabisa
@user-wf7oh9jr7v
@user-wf7oh9jr7v 2 ай бұрын
One day, Makonda will be president of Tanzania.
@user-uk1io7mk3n
@user-uk1io7mk3n 7 ай бұрын
Ccm oyeeeeee mama samia oyeeeeee makonda oyeeeeee kidumu chama cha mapinduzi 🙏🙏
@highvoltages4169
@highvoltages4169 7 ай бұрын
Kidumu chama tawala
@gililwise
@gililwise 7 ай бұрын
kweli mimi ni ccm ila viongozi waliopewa madaraka wanatuangushaaa.chama kinaonekana ni C=chukua.C=chako.M=mapema
@ClementinaHabineza
@ClementinaHabineza 7 ай бұрын
Kwakweri mubarikiwe
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 7 ай бұрын
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 7 ай бұрын
Noma sana.. Hitakuwa anachoka sana.. Sio kazi rahisi kabisa.. Jamaa linapiga kazi
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 6 ай бұрын
NASEMA,MHESH MAKONDA KUWA, ROHO YA MAGUFULI IMO NDANI YAKO.NJOO PIA TANDAHIMBA...
@JasminiAlly-pu6gf
@JasminiAlly-pu6gf 2 ай бұрын
Wakipatikana vingozi kumi kama makonda nchi itakiwa sawa makonda mungu akuhifadhi na akukinge na Shari zamaadui
@user-tk6zk6gc1h
@user-tk6zk6gc1h 3 ай бұрын
makonda jamani amerudi mangufuli amerudi Tena mungu akuride popote ulipo
@user-up3kx4ju7m
@user-up3kx4ju7m 7 ай бұрын
Makonda aongezewe posho
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 7 ай бұрын
Kwa nini watu wanawapenda Wanasiasa na sio Watumishi wa Umma Serikalini -; Hii ni alama kwamba Waajiriwa Wetu Kwenye Sekta za Umma Wana tatizo la kutowajibika ipasavyo Dhidi ya Shida za wananchi wetu Mifumo yetu ya utoaji haki Ina changamoto Pia ni vigumu kwa Wananchi wa kipato Cha kawaida (kina sisi ) kupata suluhulusho la kudumu katika Kutatua Migogoro yaani ni shida , tabu , changamoto Kila Mkoa daaahhh Eee MUNGU Ulie Mbinguni tusaidie Mh Makonda Mungu Akubariki sana
@mgonasipapune1383
@mgonasipapune1383 7 ай бұрын
Umenena vema
@RoseMhando-dg6yp
@RoseMhando-dg6yp 7 ай бұрын
Weee
@RoseMhando-dg6yp
@RoseMhando-dg6yp 7 ай бұрын
🎉🎉🎉😂❤
@richardchawenda5938
@richardchawenda5938 6 ай бұрын
Watumishi wa umma hawafatili ndo maana wanaichi wana angaika tu
@kiri5807
@kiri5807 6 ай бұрын
Wananchi hawapewi elimu . Wao wanajua umpate kura ndio mwenye wajibu wakukusikiliza .
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 7 ай бұрын
Watu mnadhambi sana jamani yaani mnapata utajiri kwa mali za wenzenu
@mamitomamita6284
@mamitomamita6284 3 ай бұрын
MAKUFULI NO 2
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 7 ай бұрын
Mimi naona Aya matatatizo wakuu wa wilaya na mikoani shida sana mikoani awafanyi kazi kusaidia wananchi Bali kunyanyasa wananchi mshahara wanapata marupurupu gari nzuri shida Nini watatnzania inauma sana acheni dhuruma
@laylayl5166
@laylayl5166 7 ай бұрын
Hilo ndio neno lakini wajuwe IPO siku mwenyezi mungu atawahukum juu ya hii dhulma
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d 7 ай бұрын
Kiukweli apo ulipo makonda alipo jamani akuna viongozii embu naomba mama wetu awatumbue tu awa watu wlioko madarakani
@estachengula3902
@estachengula3902 6 ай бұрын
Nakuomba makonda ujasiri wako alio kupa mungu endelea kutetea wanyonge mungu akupandishe viwango Hadi viwango
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 3 ай бұрын
Umati huu unamkubali makonda je akigombea nafasi yoyote hapa nchin hakunawagomshinda makonda
@NeemaKamugisha
@NeemaKamugisha 7 ай бұрын
Mungu akulinde makonda Yesu azidi kukuinua
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 7 ай бұрын
Kesi za ardhi ni ngumu huwezi kumaliza jukwaani. Wengi wanauza wakimaliza hela wanashikwa tamaa wanarudi tena
@masamakijames7837
@masamakijames7837 7 ай бұрын
Wewe nakuombea Mungu akulinde sana,maana kazi ufanyayo ni takatifu kabisa
@muna1165
@muna1165 7 ай бұрын
NINA WAOMBA MUMFUKUZE KAZI SHILIMA
@MatthewSimonKanyanzulu
@MatthewSimonKanyanzulu 7 ай бұрын
Makonda ni mahakama inayotembee haisee piga kazi mwambaaaa
@user-on4qu8yj3t
@user-on4qu8yj3t 3 ай бұрын
Mh makonda mungu akubariki uwe waziri waaridhi miaka Kumi tu
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 7 ай бұрын
Nimeipenda hiyo Eeehe Eeehe
@OmanOman-hz1qm
@OmanOman-hz1qm 3 ай бұрын
Makonda wetu tunakupenda sana endelea piga kazi
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Watoto 50 wa kwake pekeake au wakujuu humohumo na vitukuu?my Lord I wonder 😂😂😂
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 3 ай бұрын
Pole
@chingaboy1149
@chingaboy1149 7 ай бұрын
Shilima amechill kama sio yeye😂😂😂😂😂😂 huyu kazi hana atafute tu ajira nyingine
@user-nc4ou6uy1j
@user-nc4ou6uy1j 6 ай бұрын
Makonda amejitowa Kwa akili ya wanyonge,mungu amulinde zidi ya wanaokula haku za watu maana duh pekeake hatoweza yuko wapi magufuli ,emungu mulindi makonda kadili uwezavyo
@MatthewSimonKanyanzulu
@MatthewSimonKanyanzulu 7 ай бұрын
Piga kazi mzee
@bonifacedanielmwakisunga9638
@bonifacedanielmwakisunga9638 7 ай бұрын
Aya ni matatizo ya viongizi mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mikoa yupo Sasa hii migogoro kwanini wanashindwa kutatua shida za wananchi mpaka mtu atoke makao makuu Ili kutatua matatizo jamani watumishi wa umma mwogopeni mungu mtaukumiwa na mungu dhuruma sio nzuri
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 6 ай бұрын
Makonda maashaqllqh❤❤❤
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 6 ай бұрын
Masikini maisha haya yanejaa mtihani mkubwa
@J4UPro
@J4UPro 7 ай бұрын
Hawa watu Mungu awaona
@DannyWiston
@DannyWiston 5 ай бұрын
Sabaya na makonda wawe pamoja
@DorahMchome
@DorahMchome 3 ай бұрын
Mungu akulinde mnooo mkuu
@janethmitema1807
@janethmitema1807 3 ай бұрын
@martinabayyo9982
@martinabayyo9982 6 ай бұрын
Mungu naomba makonda aje huku kwetu manyara tunateswa sana
@user-qz5yh1dl1n
@user-qz5yh1dl1n 7 ай бұрын
Nilisema huyu jamaa shilima ni mpigaji saaana afungwe
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 6 ай бұрын
Hapo mmetudanganya watoto 50 alizaaje mmmm uongo mwingine
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 6 ай бұрын
Ni watoo 50 kwa wake 6 ndugu yangu hata mimi mama yangu mmoja ana watoto 12 mke wa pili watoto 8 wake 2 watoto 20 ukiongeza wake watatu wakazaa hivohivo unapata wangapi?
@mtamimuMgidange-cd4hi
@mtamimuMgidange-cd4hi 6 ай бұрын
Yani kusoma hujui ata picha huoni, sadik kakufafanulia kuwa walikuwa 6 wengne walifarik kabaki mama yao pekee bado tu hujaelewa mhmmmm was Tz mnatuaibisha bhana Yani miaka 7 shule ulifanya nn class✍️✍️
@kuhaniPetroCn
@kuhaniPetroCn 6 ай бұрын
Huyo shirima kwanza anaonekana nidhamu yake ndogo sana anaongea kaegemea chuma kama vile yanayosemwa ayamtishi kitu daaaah 😢
@SimonLukumay-cw4bd
@SimonLukumay-cw4bd 6 ай бұрын
Samia amuweke lengai sabaya washirikiane na makonda watumbue majipu
@user-dd8ud2gk4l
@user-dd8ud2gk4l 7 ай бұрын
Kwan sianafaa2 kuwa mkuu kwenye taifa hili Uongoz nikipawa ambacho munhu Huwa anampatia mtu makonda anaweza jamani!!
@jonathansehaba7441
@jonathansehaba7441 3 ай бұрын
Iv unayoyaona makonda hao viongoz wlkua hawaon iv nchi ndo inaanza sasa kw makonda na ninyi wnachi mnachagua viongoz wbovu
@samsonsengi7574
@samsonsengi7574 3 ай бұрын
NCHI IMEOZA NA KILA MTANGANYIKA ANATESEKA KIVYAKE NA SERIKALI HAIONI WALA HAISIKII, HAPO NI ARUSHA TU, JE MIKOA YOTE TANGANYIKA HALI IKOJE? KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE, MCCM MNATAKIWA KUJITAFAKARI SANA.
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 7 ай бұрын
Makonda mtoto WA magufuri ulie funzwa ukafunzika ulie lelewa akaleleka magufuri amekuachia muguu mzuri huluma upendo upolole ukalimi mtoto mdogo lakini unafanya KAZI ngumu sana ongera sana mungu Azidi kukuongoza tunakupenda watanzania
@SheikhIssaAbnau
@SheikhIssaAbnau 7 ай бұрын
Hee hichi kiswahi nacho au ligha nyengine 😂😂😂 usinune utni tu huu
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 7 ай бұрын
Huyu Shirima kwa nini hajawekwa kizuizini?
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 7 ай бұрын
Huyo shirima anyongwe
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Unachimbaje kifusi kiwanja cha mtu....?
@laylayl5166
@laylayl5166 7 ай бұрын
Kwakweli iringa inaongoza kwa dhulma ya ardhi
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 6 ай бұрын
Sana ndiomana mm niliwachia mashamba yangu ya urithi mara wanakuroga
@user-nc4ou6uy1j
@user-nc4ou6uy1j 6 ай бұрын
Tatizo la wasomi wakisha ajiliwa hawana shida na kutetea haku za watu ivo hawafai kuigwa na jamii
@jmastertz161
@jmastertz161 7 ай бұрын
watu wanamaumivu sana 😢
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 7 ай бұрын
Mnoooo
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 7 ай бұрын
KUMBE KUNA BAADHI YA RAIA WANAJUA MAKOMDA NDIYE RAIS.HIKI NDICHO WATU WALICHOACHIWA NA JPM
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 4 ай бұрын
Mvi ni matatizo 😅😅
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 7 ай бұрын
Nchi inakuwa kama haina viongozi saiv kiongoz amekuwa makonda tu aise
@danieltsaxara9199
@danieltsaxara9199 7 ай бұрын
sabaya arudishwe kazini nchi ikae sawa
@alhabibsudi7997
@alhabibsudi7997 7 ай бұрын
Kuishi Tanzania ni laaana kubwa
@user-th6ev1qq2r
@user-th6ev1qq2r 7 ай бұрын
Kunahajagani yakua nawakuu wa wilaya namikoa?
@jumaally4263
@jumaally4263 7 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@jmastertz161
@jmastertz161 7 ай бұрын
watu hawajui haya yoote maumivu ya wananchi ni yanafanyika na hao walioteuliwa na chama cha kiwafukuze wote kiweke wapya
@user-tg7vq3ty8p
@user-tg7vq3ty8p 7 ай бұрын
Why this Shirima is not in detention now?
@jessym8341
@jessym8341 7 ай бұрын
Because he is a hardworker...
@johasaeed391
@johasaeed391 6 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@user-zu8kt4yn4n
@user-zu8kt4yn4n 7 ай бұрын
Yaani makonda ww utakua waziri mkuu kwamana sio poa
@tinamhimba307
@tinamhimba307 7 ай бұрын
ngoja uchaguzi upite ndo mtaelewa maana ya siasa
@user-pi5rz5hp2t
@user-pi5rz5hp2t 7 ай бұрын
😂😂😂umeona eee mh yetu nachoo walahi
@user-rx7tk2fb8w
@user-rx7tk2fb8w 6 ай бұрын
unafaa kuwa rais ase
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 7 ай бұрын
Waandishi kibao wa matatizo nimengi watanzani wateseka lakini wote wanakimbilia kuchambua michezo nakuisifia yanga .
@user-ss2he5et9m
@user-ss2he5et9m 7 ай бұрын
Danganyweni na ccm tu mtaipenda
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 7 ай бұрын
Huyu jamaa ameeleza Maelezo meengi mpaka simuelewi
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 7 ай бұрын
Anaeleweka,ni uchungu likikukuta utaelewa
@user-xs8to8fu6d
@user-xs8to8fu6d 7 ай бұрын
Bila maombi hii nchi hsitakuwa salama
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 7 ай бұрын
Kabisaaaa
@happyhayola6672
@happyhayola6672 7 ай бұрын
MUNGU akutuze makonda
@SurprisedAtom-vp5qe
@SurprisedAtom-vp5qe 7 ай бұрын
😂😂😂😂shirima hahahaaas
@frankpeter-of8xp
@frankpeter-of8xp 7 ай бұрын
Makonda hawasaidii kitu uchaguzi ukishapita hamtamwona.
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 7 ай бұрын
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 24 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 11 МЛН