Pole sana mchungaji naamin kuanzia sasa kanisa lako litajaa waumini kwakua imani yako imekuponya japo umepitia changamoto kama hiyo ilo ni jaribu lako na umeshinda mtihani hao wananchi wote walioamini lambalamba watakua waumini wako wapya jina la yesu libarikiwe!! Amina
@whiteangelhomedecorations22307 ай бұрын
Sifa heshima na utukufu ni kwa Kristo Yesu Bwana, ikiwa serekali ya dunia huwaweka watu katika nafasi fulani, na kumlinda ili alifanikishe kusudi fulani la kiserekali, basi ni wazi kuwa serekali ya ufalme wa Mungu hutenda zaidi, katika kuwalinda watumishi wake na kuwaokoa dhidi ya hila za yule mwovu, Mungu awalinde na kuwathibitisha watumishi wake kwa ajili ya utukufu wa jina lake.
@aksamsemula35257 ай бұрын
Pole sana mchungaji ,wewe ni mwamba imara umeipigania Iman, mungu ashughulike nao
@sparamcuthbert45307 ай бұрын
Bwana Yesu Kristo yeye mwenyewe atalilipa hili Roho ya uhalibifu itawaingia wao na familia zao. YESU mtie nguvu Mtumishi wako.
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Mchungaji usiofu kwa lolote Mungu mkuu atashulika nao hao. Uko kigoma kuna nini hadi Watumishi wa MUNGU MKUU wanavamiwa ?. Ninyi ninyi haya Mungu amewaona na atashulika nanyi. Amen. Ungeomba Rehema ya kutiwa upofu hao wahuni mbona mamlaka mnayo. Poleni sana Mtumishi. Mungu mkuu awatetee. Amen.
@Shalom20187 ай бұрын
Mungu yu mwema,pole mchungaji na wenzio wote damu ya Yesu Kristo izidi kuwalinda na kuwapigania
@DorcusEmmanuel7 ай бұрын
Amin Mung akuzidishie iman zaid n nguvu ya kusimama zaid n neno la kristoooo
@jeckobass75027 ай бұрын
Daaaaah pole sana pastor MUNGU anakupenda sana
@paulinewangila-cs6ys7 ай бұрын
Kwani haya mambo yanatokea Tanzania kweli nilijuwa ni nchi ya amani na watu wakarimu
@lumulyimage48266 ай бұрын
Amen. Mungu ni mwema sana.
@NeemaKipande-hr9rz7 ай бұрын
Pole Sana mtumishi MUNGU akuponye na hongera Sana kwakusimamia Imani hatimae wananchi waona uongo wakamchape
@Kidaga7 ай бұрын
Imani yetu ni nguvu yetu Yesu kristo akiwa mbeleyetu tutashinda na zaidi ya kushida. hongera baba kwa kuilinda Imani.. Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki. Amen
@alicemonyo57176 ай бұрын
Watu wanguwanaangamia kwa kukosa maarifa😅the funny thing ni apo wanajufanya wamefunguka lakin ukishakuwa n mtu wa kuamini iman za kishirikina n ngumu sana kushauriwa usikie 🤷🤷May God continue to strengthen you servant of God
@kabonakabona81217 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu pole sanaa mchungaji asante mungu kakuachia uzima
@benjaminsanare-ug6ge7 ай бұрын
Daah!Mungu alituma malaika zake waje wakuokoe.ahsante sana Yah
@ahmadamohamed19077 ай бұрын
Uliwaona?
@janethmwihumbo12897 ай бұрын
Mbona wenzao wenye ngome ya shetani wako wengi kwanini wasiwape hela za kuzimu huko,,ila kweli wewe ni mchungaji wa kweli Ashukuriwe Mungu aliye kulinda
@hamisimkoma73807 ай бұрын
Wenzao akinan ??
@janethmwihumbo12897 ай бұрын
@@hamisimkoma7380 hao wavamizi wanamtandao mkubwa walazimishe kanisa lichange iyo ela ,kwann??
@ZachariaMichael-tl5rs7 ай бұрын
Mmojawapo ni wewe mwenyewe unaye uliza swali
@mwanyongamama44077 ай бұрын
Safi Kiongozi tunawaombea Sana Ubarikiwe kufungua shetami ameshindwa kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai
@gesha47597 ай бұрын
Mungu akupe neema ya kwenda viwango vingine
@gililwise7 ай бұрын
nimelia sana hakuna mtu ambaye amefanya huu unyama atapona yupo Mungu asiyelala wala kusinzia.
@annamussa1857 ай бұрын
Wote wana kijiji wakamatwe walipishwe faini nyumba kwa nyumba,walipe kila kitu wali choharibu
@kyannickk2be7 ай бұрын
kosa la kuchoma majengo au vitu sio la faini, adhabu ni kubwa sana miaka nadani si chini ya 20
@HussainMaula-d1g7 ай бұрын
Pole sana pastor waganga wanaeneza chuki katika Jamii wakati familia zao haziko shwari zina matatizo kibao.
@MoabuYohana7 ай бұрын
Pole sana baba hivi ni vita vya imani yaani huu wakati (kipindi cha utawala wa shetani ) simama na Mungu:
@mwanduelizabeth22827 ай бұрын
Duuuu 😭😭pole Sana mchungaji Ktk kitabu Cha Yoh 1:4-5 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima nao uzima ulikuwa Nuru ya watu nayo Nuru yang'aa gizani Wala Giza halikuiweza.Hakika Giza na Nuru haviambatani.
@nathalieswedy36537 ай бұрын
Ndo raha ya kumtumikia MUNGU kwa uaminifu
@jameskasimba20847 ай бұрын
Polen sana mtumishi wa Mungu, hakika katika hilo Mungu anataka kusema jambo na hao wananchi,,Mungu atengeneze njia kwa upya
@MagayaneMisheli7 ай бұрын
Ivi izi Mambo za kamchape serikali imeshindwa kuzibiti tumechoka aiseee from KIbirizi
@geofreysadok48237 ай бұрын
Una mzigo ndani?? 😅
@demicratia40717 ай бұрын
Serekali iko bussy. HATA panya road wako bussy matapeli wako bussy wezi VIBAKA ni ubussy tuuuu hakuna msaada
@alexvenas26997 ай бұрын
Sasa kamchape unataka serikali ifanye Nini? Iende kwa mganga? Nendeni Ibaadani acheni ushamba.
@رقيهالخصيبي7 ай бұрын
😂😂😂😂@@geofreysadok4823
@Kalengashoppingcenter-y1o7 ай бұрын
Serikali haijashindwa tatzo wananchi Walio wajinga ndio chanzo
@romainehabamungu85477 ай бұрын
Pole sana mucungaji , Mungu wetu ni muzima pia mwenye gufu sana.
@Madsan-q7i6 ай бұрын
Imani yako ni kubwa Mungu akuzidishiee
@esromkanubo8157 ай бұрын
Pole sana mchungaji Eliudi Mungu akulinde
@HellenaMky7 ай бұрын
Pole sana askari. Hawana ushirikiano wowote. Wakirsto. Tusimame imara yesu atatutetea yupo nasi. Aliahidi hatatuacha.
@albertLemau-v2x7 ай бұрын
Pole sana Pastor Serikali iwasake wote wakaozee ndan
@trophywilson72117 ай бұрын
huku ndiyo inawatuma Wakachape
@charlesmwambinga43557 ай бұрын
Kaneno kakifala sana eti....KAMCHAMPE!!!! Pole Sana Mtumishi wa Mungu.
Nimkakati wa shetani kuya dhoofisha makanisa hata mwamgongo wanamtishia mchungaji leonidas kumuua kiss kawakataa kamchape
@hawakiza60677 ай бұрын
Wewe ni mtu wa Mwamgongo?
@hawakiza60677 ай бұрын
Nimesomea mwamgongo
@NeemaheriLainzar7 ай бұрын
Pole.sana.mchungaji.mungu.akusaidie.
@festinamwakipale39197 ай бұрын
Sehemu kama hizo zinahitajika.karama za miujiza ya kudhibiti uchawi.hivi hivi.watu hawawezi kuamini.kanisa kunamchungaji Tukuyu mbeya alikuwa anashea uwanja mmoja na ngoma za asili nao wanategemea sana uchawi mchungaji kaalika mkutano.ngoma wakaalika mchungaji akawaomba wakakataa mchungaji akawashitakia kwA Mungu siku zote walizopanga kucheza ngoma mvua ilikuwa inanyesha palepale uwanjan vitu vyao vikaharibika vyote mpaka leo ngoma ilikufa.limebaki kanisa na uanja jAmani Mungu atusaidie sehemu zlizokaliwa na ushirikina Mungu atupage karama za miujiza
@aliabdallah84567 ай бұрын
Poleni sana mchungaji hao ni sawa na mjambazi sheria ichukue mkondo wake bila kuogopa
@alexmwalingo50207 ай бұрын
Mungu mwema mchungaji umetetewa jina la bwana litukuzwe, pole sana hao watu wakamatwe wote kamati yao yote walipe vitu vyote walivyohalibu pamoja na waliochanga hela wote wawekwe ndani ili iwe fundisho na kwa wengine
@amedeusfredrick16147 ай бұрын
Waha mnapenda sana uchawi
@charlesolomi95147 ай бұрын
Siku hizi kabla hujafanya tukio la ovyo ogopa media kuliko polisi😂😂
@fidelfidel-jz4iw7 ай бұрын
Pole sana mchungaji kuna vitu vingine sio kupigana navyo hata yesu mungu animwambia yesu kimbia unatafutwa kuuwawa tunaishi na mijitu inayotembea ni mashetani barabarani
@giftyjackson24617 ай бұрын
Pole sana mchungaji mungu akulinde
@jailosibrahim887 ай бұрын
Ukionyesha iman kwa Mungu nae Mungu hujionyesha kwako
@philipokusekwa73956 ай бұрын
Jamani jamani shetani yupo kazini asante sana mchungaji
@evanestharold50797 ай бұрын
Barikiwa baba Mungu akutie nguvu.
@janifajani88757 ай бұрын
Asikar wachukuliee hatuwa polisi niwazembee sana
@JacoboStanley7 ай бұрын
Mungu azidi kuku imarisha uwe jiwe juu ya mawe mchungaji
@BethaKIBONA6 ай бұрын
Pole mtumishi wa YESU KRISTO ALIE HAI yeye ni mwaminifu
@mwanyongamama44077 ай бұрын
Bwana Atajitukuza hii ni Vita ya kumtangaza YESU KRISTO Aliyehai Atajitukuza kitaeleweka kuwa kuokoka Ni lazima Wakati umefika Sasa Tinaongeza Maombi Zaidi poleni Sana
@Mamatonny20657 ай бұрын
Serikali iwachukulie hatua kali za kisheria kwa hawa wahalifu. Tanzania isivumilie vitendo hivi viendelee.Mungu ibariki Tanzania. 🙏🙏
@alicemlelwa19817 ай бұрын
Pole sana mchungaji. Mungu atawashighulikia
@agnessvincent17367 ай бұрын
Acha Mungu azidi kujitukuza mwenyewe ..mataifa na makabila yote yapate kumkili yeye aliye juu ya miungu yote. Na madhabahu zote
@pillyogola64997 ай бұрын
Poleni sana watu wa Mungu 😢Mchungaji pamoja na wazee wakanisa Mungu aendelee kuwalinda.Hizi Imani zingine ni za kishetani kabisa
@VumiDavid-lo1cl7 ай бұрын
Mchungaji majalibu ni mtaji hakika umepata mtaji mkubwa sana mbele za mungu, mungu azidi kukupipigania
@desderymakoi65957 ай бұрын
Ni nchi gani hiyo😢 Enzi ya Mwalimu huu upuuzi haukuwepo Hata Enzi ya Pombe Hii ilikua haikubali
@ApolinaStella7 ай бұрын
Mungu tupo siku zote endelleaje kumtumukiya kwa uaminifu mchungaji😊
@HanifaOman-oo4pl7 ай бұрын
Subuhanallah. Hivi kipindi wanaendakumfanyiamtu unyamahu. Wanafikilia kweri. .kama baadaekitatokea nini. ,
@mariamusaulo44297 ай бұрын
Mungu yupo nawe pastor
@ESTERMADIRISHA6 ай бұрын
Pole sana ndugu mchungaji,ila nimeumia sana jamani
@festinamwakipale39197 ай бұрын
Watu wampe yesu maisha ila kamchape kanisani hawausiki kabisa giza na nuru havichangamani waumini wanapenda uganga hawajatofautisha ndo wanaowasababishia mabaya wachungaji kama wacha Mungu wote mna msimamo wanarogana wao kwA wao kama mtume paulo alivosema watadanganyana wao kwA wao
@eliasmeshack72377 ай бұрын
Nilshasema kwamba hao kamchape ni waongo sana pia ni wachonganishi je ni kwanini serikali inawavumilia watu hao?je Kwani serikali yetu imeshindwa
@RehemaMatowonambarikisanamungu7 ай бұрын
Polenisana.mchungaji.Munguakutie.nguvu
@chany99507 ай бұрын
Mungu ni mwema jmn🙏🏾🙏🏾🙏🏾 pore baba yetu
@KinangaMakoye7 ай бұрын
Mungu hamuachi mtumishi wake aangamie kabla ya wakati wa Mungu kufika
@ErastoMwantepele6 ай бұрын
Neema ya Mungu ikupe amani
@nancyatandi-s6y7 ай бұрын
Amina roho mtakatifu nimwamifu ndo maana kakuficha kumtumikia mungu awezi kuku acha
@EsterBakary7 ай бұрын
Pole Sana mchungaj mungu Yuko pamoj na wewe usimuache mngu wako😢😢😢
@ESTERMADIRISHA6 ай бұрын
Tanzania 😢😢😢 nchi yangu, tunaelekea wapi 😭😭😭😭
@gama_liely7 ай бұрын
Kwa jina la Yesu nuru yako imekuzukia una kwenda kua mtu mkuu sana
@MsanjilaTena7 ай бұрын
Hapa ndio nimemkumbuka Magufuli Akh wangejua hawajui
@Aida-qh3jq7 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu
@emmanuelfari89247 ай бұрын
+MUNGU+ ni MWEMA MILELE ISAYA 54:10🙏🙌🙌
@pillykinabo87227 ай бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Na hatimae Mungu kaamua kuwadhihirishia wananchi. Nini kinachofanywa na hao matapeli
@AnaniaBulaya-rc3jv7 ай бұрын
Hapo wakamatwe Kijiji kizima wajenge hiyo nyumba.
@FintanMkeshaАй бұрын
Mm natoka nyumbingwa ila kiukwel kigoma hasa wakaz wa rungwe mmekosea sana yaan hao kamchape wakija wauwen wanawatapel
@hamujames82007 ай бұрын
Pole sana Mchungaji
@mwanyongamama44077 ай бұрын
Umefanya vema kufungua Mtumishi kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai Tumeshidaaaaaa
@daudic.mpinga46064 ай бұрын
Mchungaji wew wala usijali mshukulu MUNGU ,,maana naamini MUNGU ndye atakaye shughurika nao
@gloryleonard15636 ай бұрын
Mungu muumba wa.mbingu na nchi mlinde huyu mtumwa wako wote waliohusika nyoosha mkono wako kwao maana wewe unaweza.
@elbaricktv16327 ай бұрын
Ni kweli huwezi kumtoa shetan kwa shetan mwenzake yesu ni njia pekee ya kuepukana na ushirikina
@deogratiussaru30747 ай бұрын
Pole sana mchungaji wangu
@christianchando70417 ай бұрын
Mtu wa kwanza kukamatwa hapo anapaswa kuwa mwenyekiti wa kijiji na mtendaji, kwanini aliwaruhusu?
@pastoreliwkimaroni83327 ай бұрын
Pole Sana Ila wavhukuliwe hatua ya kisheria maana wanajulikana
@m.m.tvmbebamaono7 ай бұрын
Ila jamani kigoma uamsho unahitajika Kigoma
@mchangweje7 ай бұрын
E pole sana mchungaji
@faustineedward24257 ай бұрын
Nakumbuka Kuna siku mheshimiwa makonda alisema wananchi amukeni mnapigwa wajikuta wajuaji, Sasa wapelekea madhala kwa mchungaj
@rerisamba7 ай бұрын
Waa pole sana hio hasara jamani
@magrethedward56357 ай бұрын
Amen Amen......! Hallelujah
@EmmanuelNyinyigwa7 ай бұрын
Serikali inahuska kuwalinda na kuwatetea hao kamchape. Polis hua wana subili watu wapoteane kwanza ndo wafike
@FatmasaidhamesaHamesa7 ай бұрын
Mungu atawalipia
@robertmasha1737 ай бұрын
Daàaah millard ayoo inatakiwa upewe ukuu wa mkoa wa kigomaa ukawasaidieee
@RachelMethod-rt1qx7 ай бұрын
Ndyo maana kigoma hakuna maendeleo
@stellajerome-kw4rg7 ай бұрын
Kweli
@RachelLaizer-n2p7 ай бұрын
Kigoma mnahitaji maombi mko pagumu kwa ajili ya uchawi
@alfrednyamnini73527 ай бұрын
Hivi ni kweli hawa kamchape kigoma serikali imewashindwa Mkuu wa mkoa yupo kamanda Mkuu wa wilaya yupo na makamanda wa police mkoa na wilaya wapo mapolice wapo Raia wanateseka kwa kuibiwa pesa zao. Na kunyanyaswa . Mama samia ingilia kati hali ya kigoma si shwari Hali hii haikubariki
@shadrackkassale29687 ай бұрын
Kinachoniuma nikwamba hii laana itaenda had Kwa watoto na vizazi vyao hata visivyo na hatia😥😥 Mungu tunaomba rehema zako
@barakamanga55027 ай бұрын
Hatari saana
@tomasokaniki52537 ай бұрын
Wahusika wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho kwa wengine.
@alfrednyamnini73527 ай бұрын
Kiukweli hali hii inasikitisha sana hali hii imeenea kigoma yote hasa vijiji hasa wilaya ya kasulu vijiji vya kalela munzenze kigogwe na maeneo mengine Watu wa kigoma ujinga wa imani za kishirikina umetapakaa sana Kigoma inahitaji kukombolewa .