HUZUNI: NDUGU WAWILI WAPOTEA, WALICHUKULIWA NA GARI MBILI “ALIJIFANYA USALAMA KUMBE MGANGA”

  Рет қаралды 31,181

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 194
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu .... uka ndugu mtangazaji fanya mazoezi umekuwa kibongo mzee baba
@SophiaKamgunda
@SophiaKamgunda 2 ай бұрын
Pole sana Mwanangu M/Mungu awalinde nakuwakinga kila aina yaUbaya
@FatmaAlabri-lz2cw
@FatmaAlabri-lz2cw 2 ай бұрын
Tunamuomba M'Mungu awalinde na awarudishe wakiwa hai na salama
@shabaniiddy5465
@shabaniiddy5465 2 ай бұрын
Eeeh mungu wangu tulinde na uwasaidie walio potea😢😢😢😢😢
@latwibujuma
@latwibujuma 2 ай бұрын
Kama hawatutaki ni bora zaidi watuuwe wote kwa pamoja wabaki peke yao kuliko uchukue ndugu mmoja uache maumivu na majonzi kwenye familia za watu hii damu inayo mwagika haitawaacha salama wallah naapa Mungu atawalipia kwa yote mnayo tenda harafu mtu anasema haya matukio ni yauongo sio kweli, Mungu atahukumu kwa yeyote anaye husika kwenye hili jambo linaloendelea Tanzania 😭😭😭
@happinessmchome9101
@happinessmchome9101 2 ай бұрын
Mwakani uchaguzi kaka, viungo
@happinessmchome9101
@happinessmchome9101 2 ай бұрын
Mungu atusaidie sana jamaniii!!! Inatisha sana
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
NamieSikumojaNiliwazaHivyo.wabaki.pekeYaoNa.wanyama.akiwemoSimba
@missmoona4497
@missmoona4497 2 ай бұрын
Lkn pia mkumbuke kuna wafanya biashara wauza figo na main na bandama
@AishaHussein-en3wf
@AishaHussein-en3wf 2 ай бұрын
Jamani tujifunzeni kitu,tukiona hali kama hizi,tusishangae tu,tuchukue namba za gar ,maana hali inatisha
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 Ай бұрын
Bado tu hawajapatikana mpk hii Septemba 5:18 sbb tukio hili lina mda
@maryombella2409
@maryombella2409 Ай бұрын
Mungu simamaa sisi wenyew hatuwezi onyesha ukuu wako Mungu ili watu wajue kuwa ww upo
@haskao77
@haskao77 2 ай бұрын
Nimeipenda familia yao. Wote wanashirikiana japo ni watoto wa mama tofauti. Journalist is very compassionate, wengine wakihoji kama wanamsuta wanaemuhoji.
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 2 ай бұрын
Hii nchi 😢sijui tunaelekea wapi
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 2 ай бұрын
Dah😢
@AishaHussein-en3wf
@AishaHussein-en3wf 2 ай бұрын
Yani watu tumekuwa wanyama sana
@zamBakar-y3j
@zamBakar-y3j 2 ай бұрын
Eeh! Mwenyezi Mungu tulinde na hivi vitendo vya kikatili
@khamushamad8857
@khamushamad8857 2 ай бұрын
Poleni Sana Mungu mkubwa atahukumu apa apa
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar Ай бұрын
Ee MUNGU Wangu tusaidie yarabbi
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 2 ай бұрын
Ewe mola wetu tunaomba tulindie ndugu hawa waliopotea subhanallah haya majanga yanazidi sijui shida ni wapi😢😢😢😢
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 2 ай бұрын
Hizi Ni siku za Mwisho Usalama wetu nikwa YESU tu ,Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu unekaribia
@IbniAbbas-yz3kt
@IbniAbbas-yz3kt 2 ай бұрын
Unaandika vitu visivyo endana na maudhui!hovyo kabisa
@adellaishengoma5301
@adellaishengoma5301 2 ай бұрын
Kabisa aisee😓😓😓😓😓
@StelaJohn-nj5yf
@StelaJohn-nj5yf 2 ай бұрын
Hallelujah🙏
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc 2 ай бұрын
​@@IbniAbbas-yz3kt Ila wewe si ungenyamaza tu jamani kama hujapenda alicho comment😂😂
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 2 ай бұрын
Uharibifu au Kutekwa ,Umwagaji wa Damu unaotokea Ni Dhambi kuzidi duniani Wewe Kama hutaki kutubu waache wenzio watubu Maana kila mtu atabeba Msalaba wake ,Mungu skusaidie Ujue nyakati tulizopo
@neemareuben311
@neemareuben311 2 ай бұрын
Huyo shem anajua ukweli wa kila kituuuu wallah kuwen makin
@renatuswilson1577
@renatuswilson1577 2 ай бұрын
Polisi wanafanya kazigani? Nchi za wenzetu, Raia mmoja Taifa Zima linasimama mpka apatikane. Huku kwetu nikawaida. So sawa aibu kwa Taifa na viongozi maana hakuna Kauli yeyote.
@frolencejovenary667
@frolencejovenary667 2 ай бұрын
I like this journalist, he knows how to interrogate very well. Au huyu jamaa ni wakofia. Anajua kuoji vizuri yaani. You capture the story inside out
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
Sjui kwann tunaogopa jmn yan ASKARI WAMEKUA NDO WAKUOGOPWA JMN SAS RAIA WATAKIMBILIA WAP JAMANI 😢😢😢
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 2 ай бұрын
MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANANA MAMLAKA! ILA YUPO ALIYE NA MAMLAKA KULIKO WAO, MUNGU NDIYE MKUU! ATAWASHUGULIKIA TU HAO MAHARAMIA...WAASI WA NCHI...
@latifamubba100
@latifamubba100 2 ай бұрын
Wakenya wan wez sijui tuka wakodi waje kutusaidia
@ukhtyrehemaabdy2830
@ukhtyrehemaabdy2830 2 ай бұрын
Hii nchi sijui inashida gan wajomba zangu wametekwa toka tar 28/12/2023 Yaan had Leo hawajaonekana Wala hakuna dalili sijui tunaelekea wapi dah😢
@KhadijaMasoud-m6u
@KhadijaMasoud-m6u 2 ай бұрын
Toa taarifa bc ht ktk vyombo hivyo vya habari pia
@neemareuben311
@neemareuben311 2 ай бұрын
Mmmmmh nyie nyie nyie nyie mbona mambo mazito nyie aiseee serikal serikal yangu naomba sanaaa angalien haya majanga ni mengi sanaaa jaman
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 2 ай бұрын
Hao serikali ndo wanaefanya haya. Yote
@MaryNdondole
@MaryNdondole 2 ай бұрын
Ila huyo mwandishi anapandia panda sana Maneno..mhusika anashindwa kujielezea vizuri...mpe nafasi
@SudyMpanda
@SudyMpanda 2 ай бұрын
Yaani mi mpaka nimezima data
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 2 ай бұрын
Dogo anauchungu sana pole sana
@JosephAgustino-f9z
@JosephAgustino-f9z 2 ай бұрын
Huyohyo shemeji ndio muhusika wa yote
@HamisiMatola-fs2gn
@HamisiMatola-fs2gn 2 ай бұрын
Pole sana
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 2 ай бұрын
Hata mm nina kakangu tuna jina moja baba mmoja mama tofauti.
@khadijamansoor7415
@khadijamansoor7415 2 ай бұрын
Poleni sana
@neemareuben311
@neemareuben311 2 ай бұрын
Kwa nn msitrak iyo namba aiseeeee😢😢😢
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 ай бұрын
Kuna wale Wengine wanne nao wauza cm walipotea kitambo sijui ni mwaka Jana hadi Leo hawakupatikana na gari Yao ikatelekezwa barabaran😢😢
@EvangelistJsolomonMkwata
@EvangelistJsolomonMkwata Ай бұрын
Nini tena hawanduguzetu Mimi nawafahamu kabisa kwani kitu gani kimeikumva tz
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 Ай бұрын
Hawa bado hawajapatikana hadi hii Septemba 2024 yaani nimewakumbuka tegeta wenzangu
@abdallahashajuma1281
@abdallahashajuma1281 2 ай бұрын
Dunia sasa inatisha sana anapojuja tu akadainyeye ni polisi usikubali kuwafuata mpaka uwaonebwajumbe wa eneo lako
@sauda4505
@sauda4505 2 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu dah dunia hii 😢😢
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Hichihi. Tz ni hatari sana amani ishatoekwa kwa binaadam vitaya kimyakimya. MUNGU. tutetee wajawako
@ChainesBoufee
@ChainesBoufee 2 ай бұрын
Chiyumba unafanya kazi kubwa sana m/mung akulinde na akupe afya njema.
@EmanuelMbandi
@EmanuelMbandi 2 ай бұрын
Tz hakuna police hapo hao wamezoea lushwa bila hongo hawataweza kukusaidia dh
@MaallymAbdallah44
@MaallymAbdallah44 Ай бұрын
Pole
@dottokulwa7075
@dottokulwa7075 2 ай бұрын
Hv mbona kwasasa kumekua namatukio sana serekali ikowapi jaman hii nchi inakwenda wapi jamani kilakukicha natukio niombe viongozi waselekalini jaman sie niwatu wachin sana selekali mtusaidie jamani tunaishi naisha gani kama tupo parestina jamani duuh?
@RahmaShona
@RahmaShona Ай бұрын
Minaomba mungu kira siku aturinde waje mana akuna wakuturinda apa duniani zaidi yako naomba mungu ushushe paraa zito kwa wote wanefanya aya mambo yamauwaji na utekaji na ubakaji pia awashushie baraa zito nawao waone jee inanoga
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 2 ай бұрын
Uyoo. Shemeji ni tapeli
@maimukanabora8751
@maimukanabora8751 2 ай бұрын
Mungu awasimamie
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 2 ай бұрын
Na kweli. Mganga wa kienyeji atapatia wapi pinguu
@TheSalma1999
@TheSalma1999 2 ай бұрын
Wameuliwa hao na oluşu wow
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 2 ай бұрын
Familia ya watoto 16 wanazungukwa na shemeji yao hakuna hata mmoja anatoa wazo la kwenda police kweli??? Subhanallah yarrabi😢😢😢😢 Watu tubadilike
@hafsasaif8004
@hafsasaif8004 2 ай бұрын
Kazi iendelee Samia Anaupiga mwingi watanganyika Uwa Awajawai kujielewa Acha Wawamalize😂 CCM
@rukiamziwanda7458
@rukiamziwanda7458 Ай бұрын
Shemeji ana husika
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Ай бұрын
Ila huyu mkaka anatumia hakir nyingi San,pia pole sana
@snipershort6988
@snipershort6988 2 ай бұрын
Upelelezi uanzie ku track izo namba zao zilipoitia mara ya mwisho
@totonata5384
@totonata5384 2 ай бұрын
Mwandishi unafaa na una jua jinsi ya kuhoji. Watanzania wanatakiwa wajifunze ku record pale wanapoona watu wanachukuliwa.
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 2 ай бұрын
Shemeji abanwe tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 2 ай бұрын
Huyo shemeji yake ndo muhusika mkuu 😊
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 ай бұрын
Mbona matukio haya yalikua yameishaisha? Kwanni yamerudi tena halafu kwaharaka sana jamani!! Mama Samia simama nahili kiukweli nimaumivu makali sana.
@AnnaMarko-k9t
@AnnaMarko-k9t 2 ай бұрын
Uchaguzi jamani
@firdausqutty2067
@firdausqutty2067 2 ай бұрын
@@AnnaMarko-k9t tutaogopa hta kutoka sasa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Kweli mganga wa kienyeji anachukua watoto wa mtu jamani Mungu tusaidie kuna kitu gani hiki mbona wanadamu hatuna hofu ya Mungu
@ElizaYanga
@ElizaYanga 2 ай бұрын
Mungu tunaomba utuhurumie waja wako
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
Aamina
@AnithaThadeo-n2i
@AnithaThadeo-n2i 2 ай бұрын
Kwahyo saiz wanatuteka mpaka sisi watu wazma,sitaki lift zenu tena mm ntatembea2 🚶🚶🚶
@sophsoph4740
@sophsoph4740 2 ай бұрын
😂kimbia mwenzangu
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu 2 ай бұрын
Upo kama mim😂😂😂
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 ай бұрын
Kamata huyo shemeji na huyo usalama wa taifa wanajuana wakibinywa vzuri wataongea
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 ай бұрын
Huyu shemeji yenu anahusika Kwa asilimia 99 inabidi abanwe atasema
@hajramakwiro2830
@hajramakwiro2830 2 ай бұрын
Ukute hawakuwa hata polisi hao😢😢😢
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 2 ай бұрын
Pole kijana unawapambania ngdzako.
@davidpaschal778
@davidpaschal778 2 ай бұрын
Mnatoaje pessa kishamba ivyo
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 2 ай бұрын
Nchi ngumu hii tumuombe MUNGU sana
@NeemaUrasa-u4y
@NeemaUrasa-u4y Ай бұрын
Namba za simu zifatiliwe hakuna namba iliyosajiliwa bila vielelezo vya nida kuwakamata watekaji anaotumia simu ni rahisi tu
@neykombe8831
@neykombe8831 Ай бұрын
Alafu bunge linasema akuna utekaji Yani ukwel ni kwamba mapolice ndiyo wanachukua watu je wanawapeleka wapi na jela zimewekwa za nn km wanachukua Sheria mkononi na sio mtu mmoja serekali nayo inakaa kimya me nashemej yng hvy hvy mpk tushahisi wamekufa
@VincentGasper
@VincentGasper 2 ай бұрын
Huyo shemigiii uyooo wakuishiii naeee atiweee stick atasema
@PendoMatemba
@PendoMatemba 2 ай бұрын
Auwawe
@esterhezron6143
@esterhezron6143 2 ай бұрын
😂😂😂 unafanya tucheke kwenye matatizo
@celinamosha9420
@celinamosha9420 2 ай бұрын
Shemeji yangu amechukuliwa na hao hao polisi toka 4/1 mpk hivi vituo vyote hayupo Tanzania Tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@joycemlay5762
@joycemlay5762 2 ай бұрын
Najitemegea mwenyewe naofisi yangu
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id 2 ай бұрын
Aiseeeeee 😂😂😂acha.bhasiiii
@ggfffhii4706
@ggfffhii4706 2 ай бұрын
Wafanye msiba tu Si tushafanya mafundi Simu msinunue Simu za kuletewa
@KassimAli-l8k
@KassimAli-l8k 2 ай бұрын
Uyoo shemeg yakooo anajuwa haow2. Walipoo shemeg ykoo nitapeliii
@DativaMbowe
@DativaMbowe 2 ай бұрын
😭😭😭😭💔💔💔
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 2 ай бұрын
Hii nchi inaenda wapi Tanzania 🇹🇿🇹🇿 mungu wangu
@KhadijaMasoud-m6u
@KhadijaMasoud-m6u 2 ай бұрын
Pole cn mungu tu awalinde ss hivi nchi yetu Tanzania haina tena Amani wala Usalama roho mkononi cjui tunaishi vp km wenyewe pesa wana ulinzi ss wahali ya chini tulindwe tu na mungu matukio kl cku
@janengowi-lt9gu
@janengowi-lt9gu 2 ай бұрын
Mtangazaji vp unaingilia maongezi sana
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 2 ай бұрын
Hata mie ananikera kweli
@MaryNdondole
@MaryNdondole 2 ай бұрын
Anakera sana
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 ай бұрын
Tanzania ya samia
@KhadijaMasoud-m6u
@KhadijaMasoud-m6u 2 ай бұрын
Huyo shemegi yenu anahusika atiwe hatiyani
@hafsasaif8004
@hafsasaif8004 2 ай бұрын
Wanauliwa wanaenda kuzikwa mapolin vijana Mnauliwa bado naipenda CCM
@theoriginals3240
@theoriginals3240 2 ай бұрын
Mimi enyewe nitakae mkamata na simu yangu atapotea hivyo hivyo
@abdallahashajuma1281
@abdallahashajuma1281 2 ай бұрын
Yaaraby wasimamie waja wako hawa uwaokoe huko walipo kwani wewe ndie muweza wa kila jambo
@DeogratiusMwizarubi
@DeogratiusMwizarubi 2 ай бұрын
Daah!
@MonicaKaskaz
@MonicaKaskaz 2 ай бұрын
Ni shemeji kahusika
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 2 ай бұрын
Shemeji ndie Muhusika ila kwa hapa Tz Sijui
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Ай бұрын
Sasaivi htusomibtaarifa zamaendeleo yatanzania,miradi mingapi imefunguliwa,Bali tunona utekaji uwaaji,waganga wakienyeji kuuwa watu watoto,viungo kutolewa,jmn kama nchi tunaenda wapi,viongozi wtu wenye dhamani yausalama wananchi wenu mko wapi jmn.waziri wtu masauni sema kitu nawatanzania ,miyoyo inavija damu inalia .Uzazi unauma jmn.
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 ай бұрын
Mbna kesi imeisha,shemeji anajua kila kitu
@Ajijji12
@Ajijji12 2 ай бұрын
Hii nchi imezidi
@PendoMatemba
@PendoMatemba 2 ай бұрын
Huyo shemeji ni tatizo
@RajabuMkonje
@RajabuMkonje 2 ай бұрын
Jamani kakaangu makonda yupo wapi? tumemmiss arusha
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow 2 ай бұрын
Mnasemaga ccm ni nzuri haya mmejionea wenyewe
@MashaMbwana
@MashaMbwana 2 ай бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow haya ccm imekujaje apo watu wanazungumza mambo ya msingi unazungumza pumba tu
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 2 ай бұрын
.ndo chama tawala chenye kuunda serekali yenye ubazazi wa kuteka watu hovyo ila mtatafunana tu wapi makonda
@AliphonceMartina
@AliphonceMartina 2 ай бұрын
Wewe ndiyo unaongea pumba ndugu yangu hujui kama CCM Ndiyo katiba ya inchi tatizo letu watz tumekuwa Wanachama wa viama badala ya kudili na kuangalia viongozi bola hii CCM ck ikituachia inchi yetu ndiyo ck watu tutakuwa hulu​@@MashaMbwana
@ZuinaAidi
@ZuinaAidi 2 ай бұрын
KK inatakiwa ashikwe yule mwanamke anajua kila kitu
@hidayahidaya-vd3ze
@hidayahidaya-vd3ze Ай бұрын
Watu wajiange ikionekana gari limekuja hkuchukuwa MTU bassi hiyo gari watu wafatiliye na watu wasiondoke mpaka mupigesimu polisi kisha ndiyo wawachukuwe
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 Ай бұрын
Hicho kikosi kazi kwa sasa kinatumika viɓaya
@OG_20
@OG_20 Ай бұрын
haya ni madhara ya polisi kubeba watu kiholela yanasababisha hata raia kujichukulia sheria mikononi...sasa hapa tuna uhakika gani ni polisi wamewachukua...pengine ni raia tu wamejichukulia sheria kama vyombo husika
@JOSEPHMwakibinga
@JOSEPHMwakibinga 2 ай бұрын
Kwa kweli ole wenu ninyi mnaoteka watu. Sijui ninyi mtakaukia duniani. Hivi mnaowafanyia binadam wenzenu. Ueni sana watu. Sijui ninyi mtaenda wapi! Pingu wanamiliki polisi raia wanarusiwa kumiliki? Wahusika ni polisi.
@saidalhinai1131
@saidalhinai1131 2 ай бұрын
Mfanye matanga hao wameuwawa ni serikali na polisi wanajua yote hayo lkn hawataki kusema ukweli lkn mungu ataleta hukumu kwa wao madhalimu
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 2 ай бұрын
Kwann haukuuliwa wewe ?
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 2 ай бұрын
Mungu yupo atawshulikia hao mahalamia! Hakuna aliye na nguvu wala mamlaka kuliko Mungu.
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Ай бұрын
Joman huyu mwandishi hapana sijamuelewa kabisa kaaa hayo maswali
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 2 ай бұрын
Duh
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 ай бұрын
Hiyo imeisha tandikeni kilio tumesha elewa nilicho jili
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 2 ай бұрын
Ee MUNGU ionekanie Tanzania 🇹🇿 Bwana naomba utupiganie
@Sophia-w5k4i
@Sophia-w5k4i 2 ай бұрын
Akamatwe uyo mwanamke anajuwa kila kitu
@khamushamad8857
@khamushamad8857 2 ай бұрын
Huko Dar kunatisha
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 Ай бұрын
Ujaiona ya Yule alotekwa huko Mwanza? Tena stand ya bodaboda?
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 2 ай бұрын
Yan hii kesi yenu bana yani mmeshindwa kujuwa nani anahusika huyo shemeji yenu 😢
@latifamubba100
@latifamubba100 2 ай бұрын
Asaiv mpk unaogop kutembea kando ukiona gari lazima ukimbie
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 ай бұрын
ila awam hi umekula sana watu hadi kuisha watu watabaki 10 tu
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 2 ай бұрын
Bila Ya Serekali kupinga kuwepo kwa Waganga wa Kienyeji hapa Nchini bc hayamatukio ya watu kupotea hayataisha
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 2 ай бұрын
Hiv unahisi hawa ni wagaga wakienyeji ndo sababu!? 😅
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 104 М.
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 325 М.
小蚂蚁会选到什么呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:47
火影忍者一家
Рет қаралды 111 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 10 М.
OBINNA SHOW LIVE: HAUNTED BY THE DEAD - Magwanja Osufuche
49:24
Obinna TV
Рет қаралды 322 М.
MUDA scam, Modi in USA, Trump vs Harris | Hafta 504 FULL EPISODE
2:06:21
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН