Hakuna mtihani unaozeoeleka Imani ndio ngunzo ya maisha kumwamini Allah na kumtegemea yeye ndo funguo ya maisha... usijutie kuzaliwa bali jivunie kuzaliwa no matter how your , sema Asante Mungu kwa kila jambo .
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Daaah Mr dunia hii kwa hakika tumche mungu
@christaoman88902 жыл бұрын
Pole sana baba Mungu akutie nguvu
@eliaichraymond12152 жыл бұрын
Siku ukipata matatizo ndiyo utajua rafiki wa kweli!!! Marafiki wengi tulionao ni Feki!!!mtu anakupenda pale unapokuwa na msaada kwake!!!
@sharonenson2 жыл бұрын
Kweli kabisa 💔
@casto_iq96322 жыл бұрын
Kweli kabisa....urafiki wa kinafiki
@dalalivyumbatz2 жыл бұрын
Fact
@aminaally84752 жыл бұрын
🤝chukua hyo
@eliaspeter40174 ай бұрын
Ni kwl aisee, huwezi amini mpaka yakukute
@halimaamani88372 жыл бұрын
Jamani irene uwoya muoneni msanii mwenzenu anateseka sana kwa nn mnaenda kutupa pesa kwny starehe sizizo na faida mwenzenu anateseka msaidieni jamani mungu atawalipia na dhawabu mtazipata Kesho akhera kuliko starehe zisizo na faida
@severinakigura58282 жыл бұрын
Pole sana baba yangu mungu yupo atakuponya, nanukuu msemo wa hayati Reginald mengi alisema hivi Kama umepoteza kiungo kimoja Cha mwili usililie like kilichopotea Bali jiulize hiki kilichobaki nitakifanyia Nini,? . hivyo Anza kufikirja namna ya kufanya kazi na huo mguu mmoja ulicbaki.mungu ni mwaninifu sana atakusaidia.
@salmashabani53862 жыл бұрын
Pole Mzee wangu,,Mwenyezi Mungu akutie nguvu
@deborahrehema58192 жыл бұрын
Oooh what sad ☹️ kweli Yesu pekee ndo njia ya haki na Kweli pole sana 😭😭😭
@sturbbornvideoz85472 жыл бұрын
Mungu au yesu?
@husseinchea55242 жыл бұрын
@@sturbbornvideoz8547 vyovyote vile ni sawa
@g.karathaofficial6662 жыл бұрын
Hii ndio kazi ya media hongereni sana Wana wa Ayo kwamajukumu haya kuyafikisha kwa wananchi.
@faithjonathan38452 жыл бұрын
Mungu yupo nawe. Napenda sana mtu anayepata matatizo akasema hana wa kumlaumu. Kuliko mtu anaanza kurusha lawama kwa kila mtu..Maisha yetu ni wajibu wetu nimependa sana ulivopokea matokeo bila kurusha lawama kwa ndugu ama marafiki😍
Usijali Baba Mungu wetu ni mwaminifu sana....utakuwa sawa tu...Endelea kumtumainia Mungu...Yeye ndiye msaada tele wakati wa Mateso 🥰...Akupe Amani ya Moyo...umtumainie yeye pekeake....Itia Damu ya Yesu ikasafishe mfumo wako wa damu na kuua vimelea vyote vinavyochochea Kisukari
@sophiarubambimpala54822 жыл бұрын
Mwezi wa pili jaman tulikuwa na safari tukashuka Geita kula sehemu tulokwenda kula kwa nje mlangoni alikaa huyu baba na vijana wawili, dada angu akasema oneni baba yao Banana Zoro tukasema sio mwenyewe ila kama huyu mtu sio mgeni tulikaa pale mda mrefu mana gari lilikuwa limeharibika pia kwahyo tukawa tumesubiri badae nikashangaa kuona anavuka barabara na kijana mmja huku anamguu mmoja tulisikitika ila hatukuwa na namna et leo ndo najua alikuwa ni Bambucha jamani Eeh Mwenyezi Mungu msaidie aweze pata msaada na umponye awe na matumaini tena, tusihukumu hatuijui kesho yetu, Nmeumia sana hasa nnapoona comment za watu, hamuwezi jua ni namna gani amepambana had kufika hapo kutokuwa na mke ya ngoswe mwachie ngoswe hujafa hujaumbika.
@abelharry_tz2 жыл бұрын
Kuna namba yake ya MPESA inapita hapo chini. Ya video Ukiguswa Tenda Kwa wema nawe Mungu atakubariki
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Amen
@knowledgetv55942 жыл бұрын
Kama unaangalia hii video na bado hujamkiri Bwana Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako basi jifunze kupitia haya kwa Mr Bambucha, na ukimbilie sehemu salama kwa Kristo Yesu. Pia uweze kupokea ulinzi zaidi. Ni rahisi na niandikie chini hapo ili nikuongoze sala ya toba!
@zenacharles81412 жыл бұрын
😆😆😂
@davianofficial69722 жыл бұрын
Amen ndugu
@nelithamimwani45162 жыл бұрын
Amen
@husseinchea55242 жыл бұрын
Amen
@enockkawemba8609 Жыл бұрын
Tabola
@beyayomakoja65652 жыл бұрын
Mungu amsaidiee kwayote yaliyotokea amen
@johnnonyarungwa2552 жыл бұрын
SASA TUMEAMUA ILE PESA TULIKUWA TUMCHANGIE DADA WEMA ANUNUE GARI TUIELEKEZE KWA BABUCHA.
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Ewaaaaaa
@aishaabdullah41722 жыл бұрын
Ni kweli wabongo mlichangia ile ili mtu apate gari tu 😢😭🤣 Allaah anisamehe lkn watu wenye matatizo kama hivi ndio wa kuwasaidia starehe ni baadae sana
@omaryayoub28382 жыл бұрын
Hao Bongo Movie ndiyo wamekugeuka, maana hata kama unamguu mmoja, unaweza kuwepo kwenye filamu yoyote ile. Maana vipengele ni vingi sana kwenye filamu.
@Rehema-h6t2 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu akutie nguvu kaka Mungu nimuaminifu kila Jambo lina kusudiwa na mwenyezi Mungu 🙏🏼🙏🏼😓
@mussambwilo25362 жыл бұрын
Pole sana mzee bambucha mungu akusaidie na usiache kusali😥
@sknapoleonshoo31452 жыл бұрын
Duh Mwenyenzi Mungu akufanyie uwepesi na akulinde kwenye maisha yako .
@michaelmaziku9912 жыл бұрын
Hakika hujafa hujaumbika hii ni safar yetu sote hapa dunian
@mercypeter1622 жыл бұрын
Pole sana BABA ujafa ujaumbika mshkuru MUNGU kwa kila jambo. Atakufanyia upenyo mwingine
@raiszongo15802 жыл бұрын
Pole saan mzee wangu 😥😥 Eh MUNGU tunaomba utunusuru sisi waja wako na majaribu ya hii dunia .... anaitaji msaada bambucha
@mdl64632 жыл бұрын
Daaah pole Sana Uzuri moyo uko salama hakuna shida utaendelea kuishi tu
@aishaissa25122 жыл бұрын
Utapona baba Allah akusaidie🤲🤲😭
@rogersiddy89752 жыл бұрын
Pole sana mzee wangu Mungu akusimamie na kukupigania mzee wangu🙏🤲
@jimmypaschal92912 жыл бұрын
Neema ni kitu cha thamani sana. Binadamu tupunguze kulalamika kwa Mungu, watu wana mitihani mikubwa sana.
@fatmaally72522 жыл бұрын
Daaaaaaah 😭😭😭😭 Alhamdulilah moyo umekosa nguvu ya kuvumilia mwenyezi mungu atakuafu alafu nachukia sana selikali ivi wanafanya nn jamani nachoka sana aseee
@rikekikonyo22652 жыл бұрын
Serikali ina husika nini Sasa? Serikali inakujengea miundombinu ili huduma zipatikane kirahisi, Serikali imeleta bima ili kupunguza gharama pale mtu anapougua!! Ukilaumu Serikali kila kitu hata ukiwa na njaa utalaumu Serikali
@fatmaally72522 жыл бұрын
@@rikekikonyo2265 ivi unajua maana ya msani ni nini
@fetychina32732 жыл бұрын
Bingo move wamemchangia wema gari wanancha wenye matatizo
@mrssalum60572 жыл бұрын
Mtihn kwakwl
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
Wema kapewa gari kumbe
@fetychina32732 жыл бұрын
@@faudhiasalum7279 keshapewa my
@faudhiasalum72792 жыл бұрын
@@fetychina3273 www acha hbn duh ata cjui my wangu duh kweli wema kipenz za taif
@khalisalim83702 жыл бұрын
Nakumbusha tu: ukiwa na Afya basi tekeleza zilizoamrisha Allah Mwenyezi nakujitahidi kuyaepuka alizokataza Ili ufaulu. Nas alullaaha salaama.
@ukhtyrayyan78842 жыл бұрын
Naam hakika nduguyangu maneno yako sadakta binadamu hasa hawa wasanii wanajisahau
@lucymkongwa42382 жыл бұрын
Mungu akutunze baba, inauma Sana ila jipe moyo mkuu.
@irenemwakalinga43502 жыл бұрын
Dah so sad Mungu wetu ni mwaminifu utapona baba polee sanaaaaa
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Pole Sana mungu ukusaidie
@gadielpaulo89252 жыл бұрын
Pole Sana mzee kwa umri huo inabidi upate msaidizi wa kukupa uangalizi wa karibu
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Mungu,wangu.tutetee.tusamehe.nakuombea Mungu akuponye,akutie nguvu na akufariji
@babudeemapete66802 жыл бұрын
MUNGU ndio Mueza WA yote Na nakuombea nikiwa Kenya Mombasa akupe njia na uwezo zaidi na maisha marefu na kila kitu kirudi Sawa amina
@marrymaganga85852 жыл бұрын
Mungu wetu muaminifu azidi kukuimarisha baba yetu
@janembalinga70742 жыл бұрын
Anahitaji saikolojist kwmba haupo peke yako na lazma maisha yasonge mbele baba polee sana badilisha mfumo wa kula kula vyakula ambavyo vitakujenga mwili poa
@edinaclement77142 жыл бұрын
Pole sana mzee, mtumainie Bwana Yesu ndiye mfariji.
@merrymassawe43292 жыл бұрын
Wasani jamani kueni na roho ya utu msaidieni mfungulieni ata duka kubwa awezi kujikimu na vitu vidogovidogo
@rahilsaleh2462 жыл бұрын
Pole bambucha na ukae uswali kma kuna mambo ulikuwa unayafanya ambayo Allah hayapendi na ww ni muislamu uyaache umuombe Allah akufanyie wepes kwa kila jmbo
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Amyn
@mussamsabah51632 жыл бұрын
Nina mengi sana ya kusema kuhusiana na Mr Omar Babu (Bambucha) dhidi ya makosa yake kwani mungu anamuhukumu tena amuombe sana Mungu amsamehe, Omar Bambucha (BABU) unamkumbuka marehemu Nassir? Nikutakie siku njema na iwe pole kwako but muelekee mungu sana na ufanye istighfara.
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
@@mussamsabah5163 subuhanallah
@Zuwomar3532 жыл бұрын
Amin thumma Amin
@nyotaasende92252 жыл бұрын
Pole sana baba
@sturbbornvideoz85472 жыл бұрын
Inaskitisha 😭 Allah akufanyie wepesi bambucha, kila apangalo Mungu hakuna binadamu anaeweza kulipangua, mitihani tuliumbiwa sisi binadamu cha muhimu ni kushkuru Mungu, asante milarda ayo kwa kutuletea habari hii bambucha 🇩🇴🇩🇴
@asanteh52692 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mzee wetu
@lirastanley3902 жыл бұрын
Pole sana mzee wetu,kabla hatujafa,,hatujaumbika. MUNGU yupo pamoja nasi kila mahali na Lila kukicha
@matswelomphela9722 жыл бұрын
Pole dear pole sana
@noorissa60362 жыл бұрын
Pole sana Allah akufanyie wepesi
@doricemwakasengo92222 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu bambucha
@rassimbaengswahili61912 жыл бұрын
Kumbe Charles Magari hayupo tena nchin? Kumbe Yuko America! Laaa pole sana Mzee wng Mungu akupe nafuu
@aishaamwalimu28872 жыл бұрын
Pole Sana.
@rassimbaengswahili61912 жыл бұрын
Badala ya #kununuagari ya #wemasepetu plz badilisheni iwe #okoamaishayabambucha na #Mungu atawabariki wote..
@viva33172 жыл бұрын
Pole sn Bab mung yupo nae
@sadratsaid6762 жыл бұрын
pole lkn kwny movie 300 hpo duuh hilo chaka sasa
@RamadhanLugweАй бұрын
Pole mungu akupe wepes
@kishaishengoma67242 жыл бұрын
Pole sana Bambucha.Mwenyezi Mungu Akawe Mtetezi Wako.AMINA.
@masaludutta4532 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@hagarbills40232 жыл бұрын
Mungu akusimamie baba pole sana
@aysherkitoi65472 жыл бұрын
Huyu anaomba msaada hawampi lkn profesa Jay mpk serikali inalipia sasa kwa nini na huyu adisaidiwe tena hana mguu na alikatwa mguu lkn kasema kaomba msaada wasanii kibao lkn hta cm hawapokei wala hawamsaidii sasa na huyu mumpost na mumchangie apate mguu wa bandia acheni kubagua
@salumumakombo91362 жыл бұрын
mganga na msaidizi wa sisi masikini ni Mungu mwenyezi....alienacho huongezewa kingine...na masikini hunyang`anywa hata kidogo alicho nacho na kuachwa mtupu
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Yaani acha tu
@treshazgodfather92192 жыл бұрын
💝🙏
@venanciavenant28912 жыл бұрын
Na huyo Mganga mkuu wa Nyasho amefariki juzi heri we uko hai,,pole sana
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Pole kazi ya mungu haina makosa pole sana
@robertempire95422 жыл бұрын
Pole Sana father
@aysherkitoi65472 жыл бұрын
Hujafa hujaumbika 😭😭
@abuuqatadah69032 жыл бұрын
Nawausia ndg zng tumche Allah ... Allah anamajeshi mengi muda wwt hali yk inaweza ikabadilika ukaikumbuka fursa uloichezea ilhali umeshachelewa.
@ibrahimaussy36902 жыл бұрын
Pole sana uncle sema Mungu ni mwema na mm nakuombea kwake akufanyie wepesi katika huo mtihan uliokupata ndugu yang
@elishakayagwa93712 жыл бұрын
Mpe Yesu maisha ili usife kibudu. Dunia mi tamu ila ukiindekeza inakupoteza
@philbertmtalo21562 жыл бұрын
Ww unamjua yesu au unasema tu
@yohananyabu55562 жыл бұрын
Pole sana 🙏
@aishaimam14422 жыл бұрын
Daaaaah maskin pole sana ..huruma
@Zuwomar3532 жыл бұрын
Nimeshindwa kujizuiya 😭😭😭inasikitisha sana ila Allah atakupa shifa atakupuguzia maumivu kakaangu tunakuombea sana zidisha subra ibadakwawigi adhkar zakila aina nimtihani mzito sana
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Uswari Sasa umuombe Mola wako kwakilajambo saana kuomba mwishomwema kilammoja wetu. Inshallah Allah atusamee kwayoote
@munababy13852 жыл бұрын
Sema AIhamdulillah baba 🙏🙏
@hamisirashidi28952 жыл бұрын
Daaah pole sana mzee wetu
@beautyibrahim84282 жыл бұрын
Vip kwan hana mke na watoto
@irenemwakalinga43502 жыл бұрын
Polee sana baba
@fredichaki34972 жыл бұрын
Duuu.....!!!Get well soon bambucha god is great will heal you
Pole Sana mzee wngu.. Mwenyezimungu azid kukupa uvumilivu juu ya maumiv unayopitia..
@mwakahassan76852 жыл бұрын
Pole sanaa umenikumbusha marehem baba angu alikatwa mkono wote Allah amrehem ila wasanii mkiwa na hela mnakula bata sanaa mpk kujisahau Allah atupe mwisho mwema sina maana mbaya Allah atakusaidia
@sharontulliy93322 жыл бұрын
Pole sana mpendwa
@danrevelian2 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mzee wangu...!!
@dayanamatola25572 жыл бұрын
Pole San Bab,, mungu yu mwema yupo upande wako
@AwadhiAlfani-bd5pj4 ай бұрын
polesana mzeee wetu
@auntdorah91412 жыл бұрын
Tuiombe serikali yetu itusaidie ktk hili gonjwa la kisukari, matibabu yangekua bure kama ilivyo kwa HIV.. Hili nalo dawa ni kila cku na kula kwa masharti, kama mtu hana uwezo ki uchumi ni shida sana
@ukhtyrayyan78842 жыл бұрын
Sukara au maradhi yeyoere hayandeshwi nadawa tu nimazoezi nakula vizuri kiafya nakuacha ulevi masigara binafsi mie ninasukari ila nafanya mazoezi nakula vitu visokua namafuta basi sometime hata dawa na kua sili nakua vizuri muhimu kuacha sukari namazoezi nimuhimu
@raiszongo15802 жыл бұрын
@@ukhtyrayyan7884 kweli kabisa
@chumbulajames98952 жыл бұрын
Pole sana
@evodiadominicpaul50062 жыл бұрын
Asante kwa taarifa kemkem
@mlawatvonline37202 жыл бұрын
Mungu atakuafu inshaallah
@ernestlameck55232 жыл бұрын
Mungu akusimamie
@ARMY-m4g9j2 жыл бұрын
Anything is possible, naamini Bambucha unaweza kufanya sanaa na mguu moja !! Nina imani unaweza kufanya sanaa.
@ginahsamwel23082 жыл бұрын
Poleee saaana Mwenyenzi Mungu akupe ustahimilivu
@kimzymamy65942 жыл бұрын
Pole sna Baba mungu yuko nawe utapona bas mungetoa NUM mwenye uwezo ata Mia ampatie😢🙏
@getrudathomas5352 жыл бұрын
Pole sana mwenyezi Mungu atakuinulia watu wakukusaidia duh inauma sana
@adnanqareem40242 жыл бұрын
Pole mzee Wangu mungu atakusaidia
@vinnie_peku33692 жыл бұрын
Mungu amnusuru bambucha
@neemianaemanuel75472 жыл бұрын
Pole sana kaka Mungu azidi kukutunza zaidi katika kipindi hiki kigumu kwako
@missmwayway47042 жыл бұрын
Daaaahhh aiseee Pole xana Baba Allah azidi kukutia nguvu 🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@sharmelasaif472 жыл бұрын
Pole sana kakaanguu
@faridadondo21032 жыл бұрын
Subhanallah ama kweli hujafa hujaumbika pole saan babaangu
@jovinathobias7163 Жыл бұрын
Mungu akutunze
@shaniaibrahim85702 жыл бұрын
Pole Sana. Mungu ata kusaidia kwa kila Jambo
@edgarnandonde482 жыл бұрын
duuh aisee pole sana
@salhaomary20402 жыл бұрын
Pole Sana mzee wetu allah Akupe shufaa
@jasminemalekela27842 жыл бұрын
Mungu akusaidie, Mungu ni mwema atakupigania ,tunakuombea sana