Kijana wa Kigoma atengeneza Pikipiki kubwa, ametengeneza Radio Station amebomoa

  Рет қаралды 244,709

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 157
@aboubakarmassooud6908
@aboubakarmassooud6908 5 жыл бұрын
Kigoma Mashaallah Mumebarikiw vipaji vingi tu Mziki mnavyo, mpira mnavyo na wabunifu mnao Hongeren Wazawa wa Kigoma
@ludovickludonya984
@ludovickludonya984 5 жыл бұрын
aksnte kwa niaba
@niceone9392
@niceone9392 5 жыл бұрын
Aboubakar Massooud Safi mwanangu... #kigoma Sana bless
@radhinibolakulikamalizuber7316
@radhinibolakulikamalizuber7316 5 жыл бұрын
Leka tutigite najivunia nakumis kigoma
@saimoni-hx1me
@saimoni-hx1me 4 жыл бұрын
Nikweli
@Lemalali85
@Lemalali85 4 жыл бұрын
Hongera sana dogo Mungu atakusaidia upate wafadhili ujiendeleze.
@khalidahmed8774
@khalidahmed8774 5 жыл бұрын
kijana Fanya jambo kwa kujiamini usiogope MTU muogope mungu tu.Hongera sana hiyo redio iendeleze.Mungu akubariki.
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 4 жыл бұрын
Mashaallah,huyu anatakiwa aendelezwe serikali/wadhamin lazma imuagalie,,,isije wakamchukuwa watu was nje, wakasema wamemfundisha wao kumbe kipaji chake asilia
@markmichael2938
@markmichael2938 5 жыл бұрын
Ilitakiwa uendelee kutengeneza hiyo radio ili wakija kukukamata ndio watagundua namna ya kuendeleza kipaji chako
@niceone9392
@niceone9392 5 жыл бұрын
Kama unaamini kigoma Kuna vipaji vingi tofaut..gonga like
@shabanishabani2453
@shabanishabani2453 5 жыл бұрын
Dah dogo ana tisha. Mungu amtangulie.
@dechardavid2555
@dechardavid2555 5 жыл бұрын
Chalii yuko vzr angepata veta angekua injinia mzr..sema ndio ivo mi mwenyewe sielew ningemtoa
@hamisishabani8864
@hamisishabani8864 2 жыл бұрын
Hongera sana ndugu yangu kwa kipaji kizuri ulichonacho
@gggjjahhhh9419
@gggjjahhhh9419 5 жыл бұрын
Hiyo ndo Kigoma mkoa ulojaaa vipaji alhamdulillah
@hussenidd5092
@hussenidd5092 5 жыл бұрын
Umejuaje
@gggjjahhhh9419
@gggjjahhhh9419 5 жыл бұрын
Husein Idd nimetokea mkoa wakigoma ujiji posta darajani kama unapajua,,,,navipaji nivingi havielezeki natumai nawe unafaham
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa. Kigoma kuna vipaji vya kutosha.
@majiminze4135
@majiminze4135 5 жыл бұрын
Watanzania tulio wengi ni wajinga, tunafurahia upumbavu wa akina dudu baya tunaacha mambo ya msingi kama haya. Sio ya kupuuza
@williamkibassa616
@williamkibassa616 4 жыл бұрын
Kimeniuma,Hv serikali inaacha vipaji kama hv,hii ni azina ya Taifa,
@fredyjohn5087
@fredyjohn5087 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@asheryissa6100
@asheryissa6100 5 жыл бұрын
Hongera sn Alla akufungulie njia ufike mbali
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 жыл бұрын
Nyi nyi watanzania bado amujsjua uyu siyo wakusomeshwa veta no uyu lijitolee taifa likamuombee nafas FEKON how! SANLG .nk hawe MTU mkubwa zaid kisha akisomeshwa halud bongo aje kutengeneza hapa hapa hm akayasomee madin chuma Uhundwaji wake na nk. Kisha Halud hm
@SarafinaJMapas
@SarafinaJMapas 5 жыл бұрын
Avata star255 kwel kabisa
@fredyjohn5087
@fredyjohn5087 3 жыл бұрын
Kweli kabc
@joelndaliche8626
@joelndaliche8626 5 жыл бұрын
unahitaji kusoma, hapo una cheza na toys , ukipewa shule utajua kuunda real objects that can transform your knowledge into money chain..!nice work kid
@thepointofculture5392
@thepointofculture5392 5 жыл бұрын
Kazi iko safi sana na serikali igeuke na kuwaangalia vijana wenye vpaji na kuangalia namna ya kuwasaidia ili mwisho wa siku na sisi tuwe tunazalisha bidhaa zetu wenyewe.
@raphaelkasagula977
@raphaelkasagula977 4 жыл бұрын
Dgo hongera sana uko vizuri. Ni vile tu sina uwezo but ningekupa support mdg wangu. Ila mungu yu pamoja na ww bhn.
@wazalendocom6660
@wazalendocom6660 5 жыл бұрын
Napenda Sana Kuwashukuru Mild Ayo Tv Kwa kuendelea Kumtangaza Kijana Wetu Ombi Langu ni Moja Waziri Alimuita kijana ila hatujasikia chochote Naomb Basi Nyie Mchukue Jukum la Kumuendeleza
@shabanishabani2453
@shabanishabani2453 5 жыл бұрын
Tengeneza radio iyo ili ikupe kiki na uta sikika mbaali zaid na kwa uwezo wa mungu mambo yatakua poa tu charii.
@maigajohn5828
@maigajohn5828 2 жыл бұрын
Hongera sana dogo upo vizuri sana
@timotheojoram8714
@timotheojoram8714 5 жыл бұрын
Kigoma acha tutigite,, hongera brother
@pheniasleonard9583
@pheniasleonard9583 5 жыл бұрын
Timotheo Joram mwenye maona hafi nilazima yatimie
@rehemaabudararehemaabudara4897
@rehemaabudararehemaabudara4897 5 жыл бұрын
Hongera sana
@debosstv43
@debosstv43 5 жыл бұрын
Kama umeskia umbunifu mpya , gonga LIKE yako hapa 😀😀😀😀
@hassanjumbe1368
@hassanjumbe1368 5 жыл бұрын
Noma sana
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 4 жыл бұрын
😁😁😁
@eliusandrew3762
@eliusandrew3762 4 жыл бұрын
Dogo Muombe Mungu tu utakufundisha sio hayo MAVETA YA BONGO Walimu wenyewe hamna kitu
@ibrahtv5592
@ibrahtv5592 5 жыл бұрын
aisee serikali haimuoni huyu kijana ??mbona akiwezeshwa anakua bonge la mbunifu na kuitangaza Tanzania kwa kua anatengeneza vitu halisi kwa kutumia vifaa vyake mwenyewe na sio kununua
@d.a.t3383
@d.a.t3383 5 жыл бұрын
Etiiiiiiii
@mohamedmwenyeinda
@mohamedmwenyeinda 5 жыл бұрын
kuhusu redio kawaida sana hata runzewe kuna kijana tena ni mlevu wa miguu anautwa kopa hedi....alitengeneza na mpaka me nikawa mtangazaji hapo tena....kweli alikamatwa et zinaingiliana na redio kwizera ya ngara
@glorynguma3593
@glorynguma3593 5 жыл бұрын
Mohamed Mwenyeinda eti kawaida wa tz kumkubali mtu inakuwa n shida fanya basi ww kama ni rahisi tukuone
@hermankoba4970
@hermankoba4970 5 жыл бұрын
Dogo talent sana jmn mwenye uwezo amsaidie
@mudyklg6238
@mudyklg6238 5 жыл бұрын
Very talented
@georgemandevu2134
@georgemandevu2134 5 жыл бұрын
Interview inayofuata utakuwa unamuoji huku mnaendesha,yn kubwa kuliko>
@bongodigital35
@bongodigital35 2 жыл бұрын
Ila waha ni wabishi jamani kila swali analoulizwa dogo anabisha Kwanza alafu ndio anajibu we kama unabisha msikilize utasiki "Aaaa" katika kila swali. 🤣🤣🤣Jocks, Ongera Sana mtanzania mwenzangu
@teddykassinde4608
@teddykassinde4608 5 жыл бұрын
Ingekuwa nchi nyingine wangemsapot ila tz mh watamtafutia skendo akaozee jela
@rashidynyamguma8996
@rashidynyamguma8996 5 жыл бұрын
Wa Tz tujalib kukuza vipaj vyetu tuxipende kuxhabikia vit vya nchi nyingne wakt hata xx tunaweza
@khamisomary3431
@khamisomary3431 5 жыл бұрын
Kabisaaa
@amosm487
@amosm487 4 жыл бұрын
Pamoja sana dogo nmekusoma
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 жыл бұрын
Masha Allah zubeir❤❤
@hamisiabdallah4217
@hamisiabdallah4217 3 жыл бұрын
Mung akujalie mway
@na0m1fes51
@na0m1fes51 5 жыл бұрын
jmn tengenezaa radio yako utafikaaa mbali
@bonifasirameckkingstoni5045
@bonifasirameckkingstoni5045 4 жыл бұрын
Kigoma oyeeee jamani muna koswa katika Africa yetu Tanzania watu kama hawo
@famitoissanawanda7011
@famitoissanawanda7011 5 жыл бұрын
Yupo vizuri dogo
@yellooh
@yellooh 4 жыл бұрын
Make a KZbin channel doing things like this. There is a demand for it.
@dennischarles8524
@dennischarles8524 5 жыл бұрын
Tz tunasapoti vitu vya starehe, tech kama hizi tunapuuza, konki liq ametoboa kabla yake
@ernestbatta597
@ernestbatta597 5 жыл бұрын
Serikali imwangalie kwa kwa jicho la tatu anawezaaa
@abdulrahmanmussalonka4935
@abdulrahmanmussalonka4935 5 жыл бұрын
Dah dogo yuko vizuri Allah akuwekee wepesi katika hili, lakini pia tafuta na akhera yako, ukitoka katika shughuli zako unamtafuta mwalimu anakuwa anakufundisha masomo ya dini ili umfaham mola wako, rengo ili ufanye ibada zako kwa usahihi.
@lamaachipanga7810
@lamaachipanga7810 5 жыл бұрын
Abdulrahman mussa Lonka k..,
@aishaomar4012
@aishaomar4012 5 жыл бұрын
Kabisa
@nasracebu7072
@nasracebu7072 5 жыл бұрын
Ndiyo kawaida ya kigoma Kukatishana ramaa
@michaelgamba6698
@michaelgamba6698 5 жыл бұрын
Tanzania mkowapi wakuu wa nchi china pia ilianza ivi saivi wanatuuzia vitu wakati tukikuza vipaji vyetu tunatengeneza wenyew
@michaelplacidius2199
@michaelplacidius2199 5 жыл бұрын
Tunatafuta sana vijana wabunifu kama hawa big up kijana
@bahatibaraka3719
@bahatibaraka3719 5 жыл бұрын
Bro mchukue huyo hapo
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 2 жыл бұрын
Mashallah 🥰 piki piki mpyaaa
@sumahmvellah7476
@sumahmvellah7476 5 жыл бұрын
Dogo uko vizuri bonge talent , serikali ikusapot
@haldinkiope985
@haldinkiope985 5 жыл бұрын
So kwa mwaka huu
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Mungu aibark Kaz ya mikono yako kijana
@niceone9392
@niceone9392 5 жыл бұрын
Alaf nimeambiw ety wazir mkuu alikuja akamchukua Ni kweli jaman😁
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Daahh kaz yote iyo elfu hamsini
@youngnelly6272
@youngnelly6272 5 жыл бұрын
Home boy duuuh nomaaa k town
@ibrahimahmady1971
@ibrahimahmady1971 5 жыл бұрын
sana dg
@danielmotta5703
@danielmotta5703 2 жыл бұрын
Ndoto zake zimetimia naona radio ashaitengeneza
@robertfabian3030
@robertfabian3030 5 жыл бұрын
Duh..kipaji sana
@nellywizzy7034
@nellywizzy7034 5 жыл бұрын
Uzur dogo anajitambua so hatokwama
@maigajohn5828
@maigajohn5828 2 жыл бұрын
Endelea kukaza msuli dogo M Mungu ni mwema
@pastormoseschami9167
@pastormoseschami9167 5 жыл бұрын
Hongera sana nyota ndogo huonekana asubuhi, unakipaji cha ajabu sana ila kinahitaji kulelewa zaidi, ila zaidi ya yote mtafute Yesu kwanza
@aishaomar4012
@aishaomar4012 5 жыл бұрын
Amtaftie wapi?
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Akamtafute wap.huyo yesu toka alipoahdi ataludi jiiiiii mbaka leo
@henrykamoko49
@henrykamoko49 5 жыл бұрын
@@aishaomar4012 hahahaha😆😆😆😆
@haldinkiope985
@haldinkiope985 5 жыл бұрын
Bongo bado labda china
@coulibalysiaka6162
@coulibalysiaka6162 5 жыл бұрын
2. Mmawa umenewo, ine ndinali ndekha ndikusinkhasinkha za moyo wanga wakale komanso momwe angelo adadza kwa ine mu 1993. Ine ndinali kukankha wilibara, ine ndimaperekera simenti pa malo omanga kuti ndipeze chinachake ndidye. Nyumba ya banja lathu linali ndi nyali yamphepo imodzi yokha basi ndipo pamene ife tinalibe mafuta, mayi anga ankatulutsa chingwe cha nsalu ndikuchiviika mu mphika wa mafuta a kanjedza ndikuchiyatsa ngati nyali. Nyumba yathu inalibe khomo ndipo usiku, timipando tinaikidwa kuti nyama ndi njoka zisalowe m'nyumba. 3. Koma Mulungu Wamphamvuyonse anandiveka ine chofunda Chake cha chisomo ndipo kunanenedwa kuti panthawi yoikika, ine ndikanati ndikalalikire zinsinsi zomwe ine sindinadziwe kotero kuti kwa aliyense wokhulupirira mwa ine akhale nawo moyo wosatha ndi kuti amuna onse a mafuko ndi mitundu ndi chinenedwe adzabwera kwa ine kuti akhale ndi moyo wosatha. Zinthu izi zakwaniritsidwa ndipo pemphero langa limafika pa mpando wachifumu wa chisomo cha Mulungu. Nditawona zithunzi za Mkazi wa Reza Ponce, ine ndinalira ndipo ine ndinatumizira kwa iwo kuchita kwa ulosi womwe anawuchita pa mawondo pake ndipo chiwanda cha khunyu chinamuchokera pompo. 46. Mu 1993, ine ndinaona paradaiso wa Mulungu ndi aneneri ake ataphimbidwa ndi mtambo woyera koma maparadaiso a zipembedzo sapezeka kulikonse. Ndipo chipulumutso sichingapezedwe kudzera mu zitsutso kapena zokambirana kapena kupyolera mu chipembedzo chachikale cha makolo anu koma chipulumutso ndicho kuzindikira mneneri wamoyo wa nthawi yanu ndipo ndi mneneri uyu amene adzakuuzani zomwe inu muyenera kuchita kuti inu mupulumutsidwe, monga pambuyo panu, anthu onga inu adalandira aneneri mu nthawi yawo ndipo anapulumutsidwa. Ndipo mutatha kuwerenga kapena kumvetsera ine, inu muli ndi zisankho ziwiri: kapena mumwalira mu Chisilamu, Chihindu, Chibuddha, Chikhristu kapena Chiyuda ndikupita ku gehena, kapena inu mumatsata mneneri wamoyo wa nthawi yanu kupita kumwamba ndipo ine ndine mneneri uyu, Ine amene ndikuyankhula nanu. 36. Simoni Petro anati kwa mbuye wake Yesu Khristu: "Inu Rabbi, Inu ndinu Khristu, mwana wa Mulungu wamoyo" ndipo Ambuye anati kwa iye: "Iwe ndiwe Petro ndipo pathanthwe ili la vumbulutso, Ine ndidzamanga Mpingo wanga". Ilo linali thanthwe ndi malo apamwamba pa vumbulutso lonse mu nthawi ya Ambuye Yesu. Thanthwe la vumbulutso mu 1415 linali kunena kuti: "Iwe, John Huss, kwa nthawi yathu ino, iwe ndiwe Khristu, mwana wobadwa yekha wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso mu 1545 linali kukhoza kunena: "Iwe Martin Luther, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso pakati pa 1933 ndi 1965 linali kunena kuti: "Iwe, William Branham, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Thanthwe la vumbulutso kuyambira pa April 24, 1993, likhoza kunena kuti: "Iwe, Kacou Philippe, iwe ndiwe Khristu, mwana wa Mulungu wa amoyo". Kuzindikira Mulungu mwa munthu m'nthawi ya moyo wanu liri thanthwe komanso maziko apamwamba a chikhulupiriro cha moyo wosatha. www.philippekacou.org
@fatumanasoro5057
@fatumanasoro5057 2 жыл бұрын
Tatizo la afrika hatusamini vipaji sirikali zetu hazikuelewi asaa
@levocatusiisaka225
@levocatusiisaka225 5 жыл бұрын
Naipenda Tanzania
@zakiamaungazakia720
@zakiamaungazakia720 5 жыл бұрын
Unakipaji dogo ila Tz yetu unaweza kusahulika
@salmayussuf6711
@salmayussuf6711 4 жыл бұрын
kigoma big up kwenu
@nelsonkihwele7856
@nelsonkihwele7856 5 жыл бұрын
Hongera kwa kaz nzur kijana
@nasrasaid6854
@nasrasaid6854 5 жыл бұрын
hongera unajitahidi
@feresimon5325
@feresimon5325 5 жыл бұрын
dogo kajitaidi kinoma
@umojatunzwetv
@umojatunzwetv 4 жыл бұрын
Mimi nime zaliwa kigoma maisha duni kigoma. Hali hio naelewa. Nitafute kwanamba hii on WhatsApp +1204 615 4043 ningefulahi ukienda shule.
@prosperndelwa4560
@prosperndelwa4560 2 жыл бұрын
Kigoma stand up
@beatricekamengekamenge5543
@beatricekamengekamenge5543 5 жыл бұрын
Huyu dogo wampe saport jaman vip serikali yetu dogo anakipaji huyu jamani
@jamalybashiru9680
@jamalybashiru9680 5 жыл бұрын
Talented boy..God bless you👊
@godsonimma1753
@godsonimma1753 5 жыл бұрын
Beatrice Kamenge kamenge it's true
@severinraymond6972
@severinraymond6972 5 жыл бұрын
kiyambe
@albertkadyanji9722
@albertkadyanji9722 5 жыл бұрын
Beatrice Kamenge mzima jamani
@brunomombe2801
@brunomombe2801 5 жыл бұрын
Hyo namba mloweka feki au
@Alikibainblood1994
@Alikibainblood1994 5 жыл бұрын
veta ndio utaenda kuariabu kipaji kipaji trust me
@fredyjohn5087
@fredyjohn5087 3 жыл бұрын
King msaport basi
@na0m1fes51
@na0m1fes51 5 жыл бұрын
jmn try ur best utengenezeee radio sababu kunaaa mafrikaa kutokaaa west africa alitengenzaaa radio station yakee alikujaa kufikaaa mbali saaanaa aliendaa hadi MIT (marekani) soo pambanaaa utafikaaa mbali.
@florabaruti8032
@florabaruti8032 5 жыл бұрын
unaumua
@beera.g5302
@beera.g5302 3 жыл бұрын
Ongeraa
@khalidahmed8774
@khalidahmed8774 5 жыл бұрын
endeleza kipaji chako na uku ukitafuta soko.
@chikoperotvtv2236
@chikoperotvtv2236 4 жыл бұрын
Nomaa
@dennisngulwa3185
@dennisngulwa3185 4 жыл бұрын
Dah anaweza kwakweli
@bonychange3304
@bonychange3304 3 жыл бұрын
Good
@jovieejohn9443
@jovieejohn9443 5 жыл бұрын
hpn chezea kigoma
@jaffarymohammed6043
@jaffarymohammed6043 5 жыл бұрын
SI KWAMBA WADHAMIN HAMNA ILA VETA YA VIPAJI KAMA HIV TZ HAMNA
@mistere6601
@mistere6601 5 жыл бұрын
nikweli ukimpeleka veta hata hawaez kumwendeleza huyu atakuwa mwalim wao😂
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 2 жыл бұрын
Huyo hatakiwai darasani tena yeye tayali ana ujuz.i huyo apewe mtaji ili apanue akili yake
@johnwalker9996
@johnwalker9996 5 жыл бұрын
hiyo ndio kigoma yetu
@adinanikarata3115
@adinanikarata3115 5 жыл бұрын
Endelea kuumua kubwa zaidi ya hiyo ipakie mshikaki 😂
@beera.g5302
@beera.g5302 3 жыл бұрын
😅😅🙆🤭
@patrickjakson1164
@patrickjakson1164 5 жыл бұрын
Huyu jamaa kama ni China anatisha Sana'a kipaji cha hali ya juu
@musason1680
@musason1680 2 жыл бұрын
Sema mshikaji anafrahisha zaid anavoongea
@romakibasa7057
@romakibasa7057 4 жыл бұрын
Nice
@cdcd4153
@cdcd4153 4 жыл бұрын
Achana nao hao ni wasenge2 Pambana
@alfasonkikoti2150
@alfasonkikoti2150 4 жыл бұрын
sitengeneze vidogo atengeneze itakayo kuwa zinatumika piya
@stanleykagoa6190
@stanleykagoa6190 5 жыл бұрын
Hii ni kipaji sema pamoja kipaji huyu jamaa kakosa vitu vyake vya msingi kutoa kipaji chake kutoka hapa 1. Elimu 2. Fedha itachukua muda ama kupoteza muda wake kwa maana hamna anayemthamini ,sisi tulio wengi tunaitaji faida kuliko kutoa kitu cha kumsimamisha mmoja .
@bonifacemollel4401
@bonifacemollel4401 5 жыл бұрын
Minaulizaje watu wa kigoma hua mnakula samaki gani hata sisi tukule ndio tuzae watoto wenye akili kama hawa kigoma zamani najua kigoma utagoma zaidi kumbe duuu akilitupu
@severinmmassy7627
@severinmmassy7627 5 жыл бұрын
Vizur
@munnawwaryaqoob3414
@munnawwaryaqoob3414 5 жыл бұрын
Sialienda dar huyu ilikuaje huko?
@shiruclever1679
@shiruclever1679 5 жыл бұрын
kigoma
@rajabuhassani1105
@rajabuhassani1105 4 жыл бұрын
iki nikipaji
@boazsamwel6111
@boazsamwel6111 5 жыл бұрын
Duh noma sana
@rafaelduushayo7868
@rafaelduushayo7868 5 жыл бұрын
Good sana
@ashurasss1044
@ashurasss1044 3 жыл бұрын
Eti nimesha iuwa saizi haipotena duniani🤣
@florenctuza6638
@florenctuza6638 4 жыл бұрын
hongelasanadogo kigomahapatokifala naminikonyuma nakuja
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 жыл бұрын
ahaaaa dah
@saidjuma8616
@saidjuma8616 4 жыл бұрын
Dogo upo vizuri
@rashidimuhibu6832
@rashidimuhibu6832 5 жыл бұрын
Wazee wa kuumua
@schoolboy1614
@schoolboy1614 5 жыл бұрын
Wale waha gonga like zenu kwa dogo
@aminafadhili4284
@aminafadhili4284 5 жыл бұрын
💃💃💃kigoma juuuuu
@omaar5693
@omaar5693 4 жыл бұрын
Ah, dogo anatisha. Iko siku atamiliki kiwanda huyu. Acheni kuzuiya hata akifkiria kubuni mtu.
@rehemamohamed3732
@rehemamohamed3732 5 жыл бұрын
50000
@daudimelau9283
@daudimelau9283 5 жыл бұрын
Masai
@josephleomashauri5107
@josephleomashauri5107 5 жыл бұрын
Kaka yako bomu
@happinessshilie4019
@happinessshilie4019 4 жыл бұрын
Kigoma tunavipaji hatali
@chrisspinusmgambah7381
@chrisspinusmgambah7381 5 жыл бұрын
agreeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@ommarysaid7391
@ommarysaid7391 4 жыл бұрын
Chrisspinus Mgambah ◐.̃◐
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,2 МЛН
KIRIKUUUU
7:11
Joti TV
Рет қаралды 1,2 МЛН
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 12 М.
Hero Animals That Saved Human Lives| Best moment of 2023!
31:32
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН