mimi nimesoma pcm kibaha , na nimefika marekani, very rarely kuwaona vijana kama hawa, anakosa logic thinking in self explanation, also there is wrong aproach ya uongozi na kijana pia, ilibidi akasome akiendeleza kituo chake, wampatie frequency zake, wamnunulie vifaa vyake ili aendelee, sio kutaka tuu sifa, then nashindwa kuelewa kwanini hawajataka kumpatia logical approach and progressive approach ya huyu kijana
@kimaronemes56892 жыл бұрын
Huyu dogo serikali ingempa scholarship nje ya nchi kama China, Japan au Korea akoseme practical skills mambo ya lugha atajifunza taratibu huko huko nje ila anahitaji elimu ya vitendo zaidi kuliko darasani
@fabianclato31012 жыл бұрын
fact
@alicekatondo59402 жыл бұрын
True bongo bana
@salumothman39942 жыл бұрын
Mungu akujalie afya njema kijana maana uko unajitaidi sana
@othmanabdalla52952 жыл бұрын
Afrika,Afrika nimekuita mara mbili mbona uongozi wako umejawa na chuki na roho mbaya zisizopenda mafanikio?
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Nchi ya Mavi kunuka Tanzania uwezo mdogo wa kufikiri. Hao waliosoma wamegundua nini ....Huyu kijana sio wa kukaa kwenye benchi la shule miaka mitatu na kupata elimu ya kukariri formal education, ilitakiwa kutathimini nini anataka maarifa gani anataka ili kuongeza ubunifu wake. Na upuuzi wa Mavi kunuka wa hao watu Waziri aliowatuma eti aziendeleze hiyo radio , pili kwanza Waziri ilitakiwa aje mwenyewe kumuona huyo kijana na hata Rais mambo haya ya muhimu hawatangazi ila utumbo wanaongea. Nchi ya Mavi kunuka Tanzania 🇹🇿 ya watu million 60 hamna hata innovation centers moja sasa nchi itaendeleaje bila vipaji vya technology na wabunifu kuendelezwa
@donjb31782 жыл бұрын
Huyo dogo dream zake zishakufa tyri, expectations kills people yaani anawaamini TCRA bila hata kushughulisha akili yake kipaji alichonacho hawezi kukikuza shule tena 3 years kukalili vitu visivyo na umuhimu
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Kweli naona washamfelisha lkn sijui ten
@suntzu89592 жыл бұрын
Kwa wataalam wa mambo ya radio, sio ajabu Sana. Hiyo ilikua ni simple transmitter ambayo radio technician anaweza ku assemble. Lakini kupeperusha radio frequency Ina sheria zake ambazo huwezi zijua kama hujasoma. Na Kuna madhara kama wewe unapeperusha kihorera, hujui frequency za raia, za police, za kijeshi. Huyo anatakiwa afundishwe basic electronics ili awe na uwezo wa ku repair na kuinstall communication equipment. Mnachosema amebuni si cha ajabu wengi wamefanya kabla. Inabidi aelewe kuengeneza machine ambazo zinavigezo.
@knowledgeispower11182 жыл бұрын
Naongezea tena ,changamoto kubwa lina ikumba nchi za kiafrika ni kwamba watu wenye akili hawataki kujihusisha na siasa...hivyo wamepewa mamlaka watu wasio na akili wawaongoze watu wenye akili na wasio na akili..matatokeo yake ndio hii
@muddymuzungu43572 жыл бұрын
@@suntzu8959 upo sahihi kaka!
@afratrad72142 жыл бұрын
Kuna tatizo kubwa naliona hapa, Baada ya kumsomesha what next? What does it add on Innovation? We need strategical and not talent killing. Kuna mambo ambayo kama taifa tumekwamisha. Kuna jambo la ziada la kufanya .....
@allyhabib24962 жыл бұрын
Well done milad ayo all the best kijana
@starlonejadamskp82242 жыл бұрын
Daaah aisee,me kwaupande wangu sioni Kama wazo zuri Huyo sio wakukaa benchi saiz ilibid aendelezwe hao waliosomea weeengi tuponao mtaani huku Tz watu tuna felishana saaan
@georgesheto45422 жыл бұрын
Kijana huyu akienda darasani atapotea maana alitokeaga kijana mmoja alitengenezaga helikopta akapelekwa darasani hadi leo sijui yuko wapi
@andrewkandrossy19903 ай бұрын
Bado YUPO shuleni
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Ukiwa na kipaji sio lazima uende ukasome maana elimu ya skuizi ni mashaka tu
@ezeedi8712 жыл бұрын
Hapo nakataa kusoma lazima yaan,lazima usome usiposoma utakutana na changamoto nyingi sana mpaka utataman uende shule walau uongeze maarifa fulan kwanza Kama wewe ni mbunifu ukienda shule hata ukali na uwezo unatanuka.
Asante sana Millard ayo kwa kumtoa kijana mungu awabariki sana na azidi kuwatumia kutangaza vipaji vya vijana mbali mbali
@mdta81612 жыл бұрын
Mungu ni mwema katulize kichwa mdogo wangu
@SalimSalim-ec9jo2 жыл бұрын
Africa yetu siku zote hubaki nyuma kwa ajili Ya fitna na wivu... Huyu kijana Ana kipaji Mungu kamjaalia ila ADUI Ya mwafrika ni mwafrika... Mpeni support huyu mtoto wacheni drama...
@mustaphersamson61742 жыл бұрын
BIG UP DOGO, UBUNIFU WA HALI YA JUU, VYEMA KUTII SHERIA BILA SHURUTI.
@sadamofficialtz2 жыл бұрын
Tunamuombea afanikiwe🔥🔥🔥
@maftahmusa95132 жыл бұрын
watu wa hivi huwa hawaitaji elimu kubwa
@jumakapilima72952 жыл бұрын
Naamini TCRA wamemfungia kijana kiaina, ila sio poa kabisa kuua vipaji vya vijana wetu,,,,,,kwanini abomoe na asiboreshe transmitter yake?
@kimaronemes56892 жыл бұрын
Una akili sana mwamba ,hao TCRA wamempunguza kisomi 🤣🤣🤣
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@kimaronemes5689 yaani huo ndio ukweli Kaka,,,,,ila inauma sana kuona wanamzima kiaina, badala ya kumwambia aboreshe!!!
@mohamedswaleh67782 жыл бұрын
Washamuaribia maisha yake
@nereaigogo44422 жыл бұрын
Ninachojua kurusha matangazo kwa njia ya radio au television inahitaji kibali kwa ajili ya uwajibikaji, maudhui nk Kwahiyo wameona wakimwambia dogo kurasimisha kituo itakuwa mtihani kwenye gharama
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@nereaigogo4442 Tunafahamu hayo yote, suala kubwa hapo ambalo nadhani ni la umuhimu mkubwa ni Kwa namna gani kama nchi tuna wapromote wabunifu wa ndani, Kwa hiyo Kwa maoni yangu si busara kumpunguza kama walivyofanya,,,,maana tumeanzisha vyuo vya VETA ili kupromote ubunifu, sasa ikiwa wabunifu tunawazima basi hakuna umuhimu wa kuanzishwa kwake!!
@prophetsayitv15412 жыл бұрын
,Hongera Sana kijana, zuberi, Lakini pia hongera Sana Mirald Ayo, Kwa kuibua vipaji vilivyopo Underground, Mirald Ayo Mungu akubariki Sana.
@Pettiemedia2 жыл бұрын
Hakuna cha elimu, wanaenda kummaliza😢. ANAENDA NA BASIIII😭😭😭
@elishayohana28962 жыл бұрын
This is Tanzania bro! Kuna mwingine alibuni ndege ,,gari LA kutumia maji kama fuel ila baada ya ukaguzi kwisha yao habari
@abdallahiddy63332 жыл бұрын
Waki mmaliza utanijulisha namimi huku
@edvinwissa79602 жыл бұрын
Apo kachagua sehemu sahihi coz mwanzo walikosea kumsomesha auto electric naamini kwa sasa ujuzi ataupata vema electronic is the best subject GOD bless this guy kaka millard nimesoma basic electronic lakini kwa uyu jamaa🙏🙏🙏🙏🙏 oligin tallented from Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Hiyo miaka mitatu ana soma si ana poteza muda mjue kama mtu ana kipaji suala ni kumpa mtaji ili afungue kampuni yake afanye biashara sio kwenda shule ana poteza mda na ubunifu wake
@m.mmarckus62982 жыл бұрын
Ndohapo wacha tuone itakavyokua
@neutraltv93932 жыл бұрын
duh!..unahsi mtaj pekee unatosha?...elimu muhmu itamfanya ajue zaidi na hata mwenyew analifurahia hilo
@elijahmediaservices4 ай бұрын
Kipaji HALISI ni kama kifaranga ndani ya yai, ukikisaidia Sana UNAKIUA , ILA KIPE MUDA wa Kutosha wa majaribio, na pesa kidooogo baasi. *Kipaji ALISI Hakiongozwi , Kimezaliwa HIVYO KUJIONGOZA UKIKIONGOZA UNAKIPOTEZA, "KIPE MUDA" *KIPAJI KINAHITAJI HARD WORK NA MUDA, NA KUTOKATA TAMAA. *KIPAJI HAKIFUNDISHWI, UTAKIHARIBU, KINAJIFUNZA KINACHOTAKA CHENYEWE. *NJIA KUU YA KIPAJI KUJIFUNZA NI THOUGH PAIN OR MISTAKES. *AKIENDA SHULE AAMINI ALICHO NACHO KUWA NDIO BORA,
@aronatv472 жыл бұрын
Ndio Maana Elon Mask aliamua kujenga Chuo chake afundishe mwenyewe watoto wake maanaa Ameona Hii Elimu yetu yakuukaa kwenye Viti ukariri upewe mtihani Ufaulu alfu unatoka hujui kitu aliona Ni Ushenzi tuu
@neutraltv93932 жыл бұрын
Kama ulimezeshwa ni ww siyo wote
@kimmusic70902 жыл бұрын
Naomba wazari wa wa sheria asimamie huyu kijana hiyo elimu ya bure watanzania wanaweza msainisha mikataba ambayo itaua kipawa cha huyu kijana wakampa mikataba ya ajabu na yeye akasaini sababu hana namna viongozi mlindeni huyu kijana
@zamoyonialexofficial87382 жыл бұрын
I am so disappointed , Yani watu wako wana soma miaka Wana maliza hawaja weza kufaya chochote hata kubuni mbolea , mtu kama huyu alitakiwa kuwekwa kama Nyara ya serikali , hii ni hazina ila sioni initiatives za kumsaidia hii kitu. ila tukipongeze hata hicho chuo kilicho jitolea
@wilsonmichael11562 жыл бұрын
Safi sana hicho chuo. Asee Mungu awabariki sana na awaongezee
@abbyzidane_55442 жыл бұрын
Mungu amzidishie kipaji chake
@ivandangote17432 жыл бұрын
Honger San bro maan toka shule ya msingi ulikuwag vizr kwa ubunifu
@franaelisumari51082 жыл бұрын
HONGERA SANA NDUGU. NDUGU NAOMBA USIENDE KUTULIZA AKILI, ANGALIA HUKO UNAKOENDA LISIWE KABURI LA KUUA ULICHONACHO.
@issamkumba86182 жыл бұрын
Ayo tv mbaki milele nimependa mnawaibuwa watu ambao hata hawakufikili kama watatoka bigup sana
@jerryt6982 жыл бұрын
After 3 years in Dar es Salaam all the creativity will be filled with Luxurious life, he will get a job and that will be the end of the masterpiece invention. SAD
@suntzu89592 жыл бұрын
Which Invention. A Radio transmitter was invented in 1890 by German called "Macconi". I personally isn't my first time seeing children playing with electronic component to make simple radio, I have seen this as far back as 30 years ago. Those electronic components used to make that simple transmitter can only be learnt at school with right measuring and testing equipment. He has a passion yes, but to help him further is to train him. Also making an equipment which transmit radio frequency is guided by the law that's why he was told to Stop by relevant communication authority. Frequencies are managed and regulated, and allocated for various purposes. They are frequencies for domestic radio broadcasting, military, police, aviation, maritime, and many other applications. These can only be leant at school.
@laninatwaha38502 жыл бұрын
There wasn't any invention bro
@jerryt6982 жыл бұрын
@@suntzu8959 Lets not argue on the ''invention'' since it has several meaning; i am not against formal education that he will receive at the college; however the education system will help him to understand the functions of transmitter, capacitors etc but not creativity. I agree with you on the laws and broadcasting regulations guidance.
@suntzu89592 жыл бұрын
@@jerryt698 I get your point now. It is actually a plus for him to get educated
@mawazomolani26772 жыл бұрын
Kazi nzuri sana nawapongeza kwa kuwasaidia
@ewaldambrose61362 жыл бұрын
Achunguzwe vizuri..for security purposes
@frankwarembosaloon53162 жыл бұрын
Africa Africa. Bara linalo pega teke vipaji vyao naku kumbatia vyawazungu. Wakiamini kwamba wazungu ndowana damu. Niujingamtupu. Vipanji Africa nivingi tatizo viongozi waafrica. Awamini vipaji vyao.
@yusuphpaulwaryoba83162 жыл бұрын
Kweli kabisa brother
@perisiverympwenku1392 жыл бұрын
Akili nyeusi azioni
@happinessmtani76212 жыл бұрын
Waoh Mungu ampe upenyo kufanya maziri zaidi
@Best_tz2 жыл бұрын
Mungu akusimamie na ufike mbali ndugu yangu
@daisythetech2 жыл бұрын
Sometime publicity huwaga inaponza na kuua vipaji vya watu......watu weng wa hapa tz walijitokeza kwa idea mara zote serikali ndo inawashusha...sidhani kama huyu dogo angekua ameonekana au kujulikana nafikiri watu wa eneo lake hapo wangeendelea kuburudiaka na idea yake ya kuanzisha redio
@khadijakdj86402 жыл бұрын
Yaani ww kijana si ulishaenda ulifaidika nini Nibora ata wangekupa pesa tu utafute mtu wa kukufundisha English lakini mambo ya kwenda Dar kazi kweli kweli kweli
@danielwilfred26092 жыл бұрын
Uyu dg gifted sana, hamna kukariri apo n ma idea yanawaka tu kichwani
@mtopelamussa77832 жыл бұрын
Asante mungu endelea kumsimamia kijana mwenzangu! Pambana brother, pia nimeshiba ushauri wako tusikate tamaa Inshallah tupambane.
@josengumbi40292 жыл бұрын
Hapo ndoto zake zinazimwa mazina yani, tunaomba feedback ya huyu next three years.
@ammaherman33912 жыл бұрын
Dah!! hii ndo tanzania. Zuberi angalia sana usipotezewe muda ili kipaji chako kipotee.
@mdzainb37222 жыл бұрын
Ila kweli
@sosom142 жыл бұрын
Really
@gamalielistephano85092 жыл бұрын
We subiria kuuliwa kipaji chako tanzania huwezi kutoka mdogo wangu. Tz ukigunduliwa unakipaji kinachofuata nukuliwa tu.
@AbuAsmaa842 жыл бұрын
Karibu chuo bora cha Al Maktoum college of Engineering and Technology
@eliashibundabalinze22172 жыл бұрын
Ajifunze ubunifu upi zaidi ya huo alouonyesha? Vipaji vingine siyo vya kusomea ni vya kutoka moja kwa moja toka kwa Mungu. Tusubirie miaka mitatu iishe halafu turudi hapa muone kama tutamuona tena huyo dogo
@oliversimpliskimariokimari35102 жыл бұрын
Kama ulimsikiliza vizuri yy mwenyewe aliomba kusoma na shauku yake kubwa anataka kujua kingereza
@zainabzain34342 жыл бұрын
Wataua. Ubunifu alonao. Bora wangemwacha
@eliashibundabalinze22172 жыл бұрын
@@oliversimpliskimariokimari3510 kama hajui Kiingereza aliwezaje kuunganisha hiyo mitambo ya radio station
@masatjohnson71132 жыл бұрын
Ndio tujiulize
@eliashibundabalinze22172 жыл бұрын
@@oliversimpliskimariokimari3510 yaani MTU hana elimu ya kiingereza lakini ameunganisha vifaa na akatengeneza mtambo wa radio. Anahitaji elimu ya nini tena? Tuko na vijana wengi wametoka vyuo na wanaongea vingereza Vingi lakin hata kubuni mshumaa au baruti hawawezi. Sitaki kuamini kama elimu inafanya MTU awe mbunifu nooooh Vitu vingine ni automatic toka kwa Mungu.
@mariamjackobo62192 жыл бұрын
Mungu mkubwa sana hongera sana mdogo WANGU mungu akutangulie katika masomo yako.
@msalikemedia2 жыл бұрын
Sasa si wangekiacha kiendelee na yeye huku anasoma daah jaman nimeumia sana yaan😭😭😭
@mbarakatv6332 жыл бұрын
Imeisha io
@mohani73902 жыл бұрын
Yess aendelee
@agyady62602 жыл бұрын
Mungu amuwezeshe ndoto yake isizimike jamani ptuuu nchi ya kuua vipaji Mungu atusaidie tz
@cheiknamouna20582 жыл бұрын
Ngoja ukaanze kufundishwa hesabu za kutafuta X na Y ndo utajua cha mserereko kinaponza ila ukifeli usidhan serekali itakubeba tu niko hapa nakuombea ukangare urudi na ujuzi zai🙏🏽
@mariamramadhani38602 жыл бұрын
Daah amevunja kwa maumivu makali moyoni Mungu yu pamoja nawe ndugu
@charlesmugisha65292 жыл бұрын
Maskini mungu azidi kukuongoza zuber.nampenda Sana uyu dogo na atafika mbari🙏🙏🙏🙏🙏
@hanifaomar74382 жыл бұрын
Mungu nimwema kwakila kitu
@TheBestPhone79182 жыл бұрын
Safi sana Acha akaongeze elimu ila asisahau kuwezesha Kwao
@georginajohn84562 жыл бұрын
Waooo kila la kheri 💪💪💪
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Bro Bora nenda veta, au tafuta vifaaa endelea kufanya maharifa yako , na chukua vitabu vyako soma mwenyewe, elimu zetu hizi za kibongo mhhh hakuna kitu ni utopolo tu..,
Makubwa,pole kijana..husda za waungwana..kha!!!Tanzania,mtihani
@paulromanusy38822 жыл бұрын
Bahati yetu hili Taifa linachaguana kwa matabaka, ila laaah sivyo tungeuwana sana na tungedharaulika! But Mungu atuepushie sana lisitokee!!!😡😡😡😡😡😡😡😡😡
@NdunduTv2 жыл бұрын
Ukifika dar kumbuka kuna kidimbwi
@neemamjengi99132 жыл бұрын
Vipaji ni zawadi pekee Mungu anaompatia mwanadamu,ni vizuri kushika mkono ,huku alichokianzisha kikipewa sapoti,na sio kuua
@godwinmwakibibi2742 жыл бұрын
Magu angekuwepo hawana kazi mzee
@thetrends4722 жыл бұрын
aaaaahhh kudadeki sijui kama wamefanya kwa nia ya kumsaidia hebu tuone
@radhiaomary55912 жыл бұрын
Wasingemvunjia Maan hapo wangemsaidia tu kupanua kituo chake Maan Elim alozaliwa nayo ilikua inamtosha na ingepanuka kupitia huo huo ubunifu, asipoangalia vizur atakiua hicho kipaji chake kabisa, Allah akusimamie
@gabriellyadam94152 жыл бұрын
kijana Mungu akusaidie
@mjahmwajuma13242 жыл бұрын
Mungu amsaidie
@bamizertv18222 жыл бұрын
Dogo anapata ustar ,lakini haangalii.itamsaidiaje kiuchumi. Kiufupi innovation Kwa Tanzania hazilipi ndo mana tunaamua kuwaachia.madogo.
@kassebo2 жыл бұрын
Zuberi. Hiii Elimu uliyo nayo. Haukuisomea. Ni Elimu uliyo zaliwa nayo. Kuwa makini Sana. .unaweza ukapewa nafasi ya kusomea hiyo Elimu lakini usipewe nafasi ya kupata mafanikio kupitia hiyo Elimu. Chamsingi mtangulizeni MUNGU. Maaana wasomi niwengi sikuizi ila hawana ajira
@hizamwaimu39182 жыл бұрын
Mungu amlinde na husuda za walimwengu
@aishaomarry69962 жыл бұрын
Amiina
@r14kgroup682 жыл бұрын
Hongera sana
@ellyitete9382 жыл бұрын
Nilikua tu watatoa hat mm nikitengezenza hiv vitu simple Ila vitisho sasa
@auntdorah91412 жыл бұрын
Ulitakiwa useme muheshimiwa au Waziri Nape, kwa Watanzania tuna kitu kinaitwa kuheshimiana cc kwa cc, kwa wakubwa na wenye mamlaka. Hongera sana Zuberi, Mungu azidi kukutangulia...ndoto yako ni nini? Waambie ndoto yako.
@bobwhite92522 жыл бұрын
Acha uchawa wewe mama wa mkoani
@bobwhite92522 жыл бұрын
Dogo washakupoteza hao.. wenzio wanalipia hzo frequency kwa mamilion.. wameona wee unakula ubwabwa tu.. wamekwambia harib transmiter na uache unachofanya ukasome😁
@marthageorge50432 жыл бұрын
Mungu amtangulie
@biottomollel65272 жыл бұрын
Genius 🤛🏿
@msafirilwihulainternationa24142 жыл бұрын
Contract lazima iwepo kati ya mbunifu na chuo, mara nyingi mambo kama haya yanafanyika kwa miemko , asije akaachwa solemba. kila part lazima iweke bayana nini wanapashwa kufanya na iwe ni legal binded and what is the way forward baada ya kumaliza chuo
@ronaldiko87942 жыл бұрын
kwei
@suntzu89592 жыл бұрын
Hajabuni kitu hapo
@samwelirobert25762 жыл бұрын
Ushindi mwingi 💪
@bongolegacy2 жыл бұрын
MillardAyo tafadhali tutafutieni "Frank Wire" mbunifu wa kitambo kidogo. Alikuwa na mambo mengi zaidi tunaomba tujue yuko wapi na amefikia wapi kwenye ubunifu wake.
@gililwise2 жыл бұрын
Electronic ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajasoma.mngeboresha tu kipaji chake kwa kumsapoti
@vamos8422 жыл бұрын
Ni kwel ila pia anahitajika kuongeza maarifa ila inapaswa aendelee na uvumbuzi ikibidi awapo masomoni☺️
@SadickvicentSimfukwe Жыл бұрын
Sorry Millard Ayo May I get connection to meet with that Guy thanks!!
@msusasandali58332 жыл бұрын
Hii nchi hii daaah ya hovyo Sana wallah
@msafirisaimoni95612 жыл бұрын
Ameshapoteza kila Kitu Pesa N Pesa Na Shule n shule😀😀😀😀😀
@MrflashMobile2 жыл бұрын
Daaaah mchi yakijinga Sana 😁😁😁😁😁😁😁
@dereva02 жыл бұрын
ayo mmekuwa karb na huyu dogo nnaiman bado anajifunza muelekezen jins yaku adress watu wakubwa ww yy nimdogo sana anamuita waziri jina analoutwa na mama yake...NAPE....kama huwezi kumuita muheshmiwa muite hata waziri nape
@noorululaatv89732 жыл бұрын
Hahaha Ni kweli
@kuntakinteomolo28322 жыл бұрын
Yaani kijana zuber unatisha,,wewe ni zaid ya mfugale
@simondogtrainer74982 жыл бұрын
Wangempeleka Korea au China au Japan au marekan au urus hizo ndo nchi zingemwendeleza aje kusaidia watanzania wanampeleka mbezi beach🙆
@ijsound51492 жыл бұрын
Mdogo mdogo ndo mwendo muhimu akifundishwa na Lugha huko kote atafika na changamoto ya lugha ataimudu kwahiy kila kitu kinawezekana Allah akipanga
@salumhafidhally59272 жыл бұрын
Maisha saiv unaweza kutoboa Kwa kipaji tu
@Bari6862 жыл бұрын
Cha msingi dogo tumia kipaji ulichonacho kutengeneza bundki alafu unazikodsha,, Utakuja kunishkru
@fredrickjoseph29072 жыл бұрын
wait we can see kama atakuja tena na hii idea.
@abednego38762 жыл бұрын
Idea gani?/kwan tanzania hamna redio
@jumakapilima72952 жыл бұрын
@@abednego3876 Acha chuki,,,,
@theuniversetv28702 жыл бұрын
He will do something if he will be very strict
@nikky47574 ай бұрын
Kama msaada wa tcra NI kumsomesha hii inaonyesha ni kwa kiasi gani tuna safari ndefu kuendelea vyeti havisaidii MTU kabuni kujiaji nyinyi mnatafutia cheti akaajiriwe
@stukiaally46902 жыл бұрын
Huu ni upuuzi, badala ya kumuwezesha vifaa na kumpa wataalam wamuelekeze matumizi, unamwambia abomoe, aende shule miaka 3
@RobbyDejan12342 жыл бұрын
Jamaa ashaanza kutamba watu wa kigoma kwa tambo siwawezi mmevuka mipaka ya tambo zao.
@frankluhu53222 жыл бұрын
Ohooo wasije haribu kipaji chake wataend kumuajili ubunifu unaisha TZ ya kifala sana
@youtub83202 жыл бұрын
HAPO MDOGO WANGU NDO WAMESHA KUZIMA MAZIMA DU! NCHI HII!! HAO WASOMI WALIO WASOME WAME FIKA WAPI?
@johngasto41542 жыл бұрын
Nimefurai nataman ningekuwa mim hongera dogo
@user-nn5sq8ol4g2 жыл бұрын
Mashallah
@merckmdamu29422 жыл бұрын
Huyondo kaishakabisa Taifa 🇹🇿 lakijinga.mawazo finyu yakufikili ili taifa kupata wabunifu wengi kuachana na kutegemea wazungu. Kaishahuyoss😭😭
@neutraltv93932 жыл бұрын
Mbona una mawazo finyu
@merckmdamu29422 жыл бұрын
@@neutraltv9393 mawazoyako mazuri niyapi?...
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Hiyo scholarship kijana Zuberi asaini pamoja na mwanasheria na isomeke hamna haki juu ya intellectual rights zozote za kijana Zuberi. Kijana ukienda Dar utaenda kuteseka hawa watu sio wa kuwaamini na wabongo sio watu wa kuthamini vipaji kukugharimia kila kitu kwa miaka mitatu inaleta wasiwasi sana
@maujanjatv24h412 жыл бұрын
Akitengeneza kitu akiwa bado yupo chini ya uangalizi wa chuo basi hiyo ni mali ya chuo Hakuna chuo chochote duniani hakina sheria hiyo
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Akili yangu inavyonishauli ninafuuu ungetafuta Daimondi wa kigoma. Mwenzio akuendeleze mfungue REDIO yenu lakini hiyo serikar mhh 🤔ngoja tuone🤣