BAMBO. Favorite wangu tangu enzi zile, kina Mtanga, Kingwendu, Yani OG's wote na support kazi zao always. Old is Gold.
@lvanyDaniel_pw7kk4 ай бұрын
Juzi nime muona Mbagala kirungule ana tembea mchana jua kali sema jamaa anaishi maisha yake halisi hafeki life 💪🏻
@AgustinoMinga-s5r4 ай бұрын
Uyu mwamba hatariii ni fire
@LovelyOmbreSky-pu4jt4 ай бұрын
Aisee namkubali sana Mr bamboo
@ChenchiKing4 ай бұрын
Bamboo Noma Xana Namkubali Legend Wangu
@idanysedrc12004 ай бұрын
Bambooo hazeek aisee mie nakua namuona kwenye matangazo ya SAbun ya Omo hiyo kabla ya itV😀😀😀 walikuwa na Mzee small ❤
@Boskarii4 ай бұрын
WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI #BAMBO ❤ Asante kwa kutuheshimiwa watu wa SONGEA
@Baba_Ben.4 ай бұрын
Sound Engineer jitahidi kumaintain sound pitch maana inashuka sana na kupanda ghafla.
@SuleimanAbdalla-cn5ne4 ай бұрын
Bamboo home boy
@herielmao39004 ай бұрын
Mwigizaji konki kabsa huyu, ukimweka mtanga pembeni ndio noma kabsa
@segeospatialtechnology74824 ай бұрын
Saiz Tid ameshayeyushwa na Bamboo 😂😂
@michaelmisana6504 ай бұрын
Huyu jamaa namukubalii sana
@Nobengaphotographer4 ай бұрын
Huyu mzee na 2003 yake kila kituu mwaka huo huoo au ameanza kusahau miaka
@BarnaBoy-uo2ht4 ай бұрын
toka najitambua namuona hivi hivi aisee
@ZeProDJay4 ай бұрын
Hii interview mmezingua sana kuna wakati sauti inashuka sana kusikia inakua shida afu imepoa sana wakati bamboo tunamjua ni mchangamfu... The way mnamhoji presenter na mhojiwaji ni kama wote mnaumwa.
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur4 ай бұрын
Huyo ndio bambo,sema jamaa nitajiri kamsoma mtangazaji anamjibu kisaikolojia na mautani mengi ili asichimbwe sanaaa...nimeipenda iyo
@matugarecords4 ай бұрын
Mkongwe kwenye game 🔥🔥🔥
@JohnsonBagambi4 ай бұрын
Jamaa anajua
@danrappergangamaa11904 ай бұрын
Anaongea kama hataki ila ndio anaenda hivooo😂😂😂😂😂ila bambooo
@BANJO_MOULDING_DECORATION4 ай бұрын
Legend never die 🫡
@harrsmgaya81414 ай бұрын
Usipo toa hela ana nuno
@erickmbilinyi20564 ай бұрын
😂😂😂 noma kama utoi hela mtu ananuna tu
@octaviantito4 ай бұрын
Akapela bila beat...haupati kitu 😄
@EnzamaMohamed4 ай бұрын
Millladayo ni family ❤
@davidpaschal7784 ай бұрын
Uyu jmaa mpaka Leo sjaelew kwann anatrend anae jua anidokeze jamn
@erickmbilinyi20564 ай бұрын
Click zake zilizofanya vizuri kwenye kazi zake za zaman nizimeanza kurudishwa recycling (nacheka laki naogopa), (mtanga mambo yakuniongezeu bili shit)
@rasvegas89914 ай бұрын
Alf afyaa sio poaa
@nyamisimbaonlinetv97574 ай бұрын
2003 na mimi nilikua nimetoka nyumbani nilikua naisha na baba mdogo nili kidato 3
@adammayogho3004 ай бұрын
Ufanye featuring
@mbavucomedy4 ай бұрын
Ety decimal ngap 😂😂😂😂
@muniraahmed6243 ай бұрын
Karud kweny game😊😊😊
@superhemed75904 ай бұрын
Goma linaanza yy yanga ww simba😂😂😂
@samwelsengati13693 ай бұрын
Huyu jamaa nmempenda sana hadanganyi yan anasema ukweli kabisa
@user-yz1is3fi9h4 ай бұрын
Minywele sehem zisizo julikana
@King_Of_Everything4 ай бұрын
👊👍✌️.
@TausAbasi-jf2xx4 ай бұрын
Disiko umeenda kwa sira ya pombe 😅😅😅
@kavisheonline24184 ай бұрын
Unaraisisha mambo... mambo yasiwe mengi😅
@erickmbilinyi20564 ай бұрын
Bamba kwakwenda mbele
@SamsonSony-yc3iz4 ай бұрын
Una mshifti😂😂
@erickmbilinyi20564 ай бұрын
Savco shakamshubebe 😂😂😂
@yasiniselemani86724 ай бұрын
.😅😅😅😅unamshifti
@abelhilonga10953 ай бұрын
Mbuluu mpooo
@danrappergangamaa11904 ай бұрын
😂😂😂heeeee ananisikia
@johnngollo4 ай бұрын
ONA NGUMI ZILIVYOPIGWA BUNGENI LINK HAPO CHINI
@personpeter22214 ай бұрын
Ukiona ww inatosha🤣
@suleimanrashid93934 ай бұрын
Miaka ya elfu mbili then anasema alikuwa ana miaka 18🤔🤔🤔
@lakasid38604 ай бұрын
Simiaka ya uigizaji au ni umri wake?
@aishajuma78134 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@henrickmhule88954 ай бұрын
😂😂😂😂😂Ila huyu jamaaa kuna vitu anaongea kama masihara ila ni vya muhimu sana kwenye maisha.. "mbona ukiwahi hakuna kinachoendelea" 😂😂😂😂😂😂
@samwelsengati13693 ай бұрын
Usimfoso mchumbi
@elymollel4 ай бұрын
Kwenye umri kama vile katupiga na kitu kizito, namkumbuka vzr toka nikiwa dogo.
@Lodrickmwambene4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-uf6oe3qi6v4 ай бұрын
Umri namba tu wanini
@selemanmaganga-le4zg4 ай бұрын
Mtangazaji kama ujui kibisa basi we ni wa 2000 sisi wa 88 tunajua, henzi ya ngongoti na kijeba.
@vidovidox26324 ай бұрын
Sio wa 2000 lakini Sijui yote wewe unayejua yote Hongera