Mungu akubariki rais wetu najua Mungu atakuwa pamoja nawe baba kwa kazi unazozifanya I love u my President good sanaaaa
@omariswafuru93994 жыл бұрын
No comment,Tanzania ,Mwenyezi Mungu ameiibariki kweli kupata Raïs muzuri sana JPM. Furaha sana kumuona na kumusikiliza .Vive JPM.
@doricegabriel26104 жыл бұрын
Nilivyo kuwa nadhiki ee Mungu siku nakutana na Baba Magufuri ety eleza shida yako kudadadeki sitopoteza bahati,nitamwambia baba nipate mtaji ata Wa laki 5 tu
@frankmosha58544 жыл бұрын
Uyu ndie tuliepewa na mungu ni jambo LA kumshukuru mungu
@lightmbasha64044 жыл бұрын
Mtoto kamwokoa mamake. Kura yangu haikuaribika 👍👍 rais wetu oyeee
@andreashayo62664 жыл бұрын
Respect rais wetu hakika ww ni mtu wa watu
@dianafyondi32654 жыл бұрын
Raisi nimpendaye JPM viva viva viva JPM. 2020 kura zote chukua.🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏
@isackndaki30594 жыл бұрын
Boya unaulizwa shinda yako et mimi salange
@ziadasalim14594 жыл бұрын
Hahaha
@thadeiminja18554 жыл бұрын
Ukijichanganya kwa Rais. Imekula kwko
@AsiaMkusa4 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa jeshi lenye nidhamu afrika nzima na utendaji uliotukuka anawakilisha kwa mavazi ya jeshi lake Zuri, Gonga like yako kama unalikubali jeshi letu
@salimmwanyae98944 жыл бұрын
Hata Kenya tunamtambua magu
@ibrahimuhamzab.71294 жыл бұрын
Ni Bahati Saana kumpata Raisi Ambaye anasikiliza Wananchi wake kama hivi. Mungu ibariki Tanzania , Mmungu mbariki Mh, Raisi John Pombe Magufuli
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Raisi W angu nakupenda sana tena sana mungu akulinde kwauwezo weke amina
@dominikishilali1944 жыл бұрын
Nakubali sana Mzee wangu ajezi zako izo mabeberu mavi yana gonga chupi mkuu pika kazi baba ni malaisi wachee sana wanao vaa gwanda za kazi
@joycehagman56224 жыл бұрын
Na shukuru mungu aibariki Tanzania na raisi wetu
@giftnyakipande12534 жыл бұрын
Mungu akutunze rais wangu akuzidishie hekima mara elf moja barikiwa ssna baba
@abbasally62884 жыл бұрын
Ma Rais wote waliopita wangefanya kazi kama ww saizi tanzania ingekua kama uraya naomba rais wetu pambana na cc tupo nyuma yako mungu akubalikie sana god job magu
@monicamonica45974 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂eti ukiona maindi Bei kalime yako 😂😂kweli aisee kulima vyauchungu jua Kali Safi Sana mkuu
@oscarkasalile93674 жыл бұрын
Mzee kwa ukweli Wewe ni m kweli sana. Mungu akubariki Mheshimiwa Rais.
@kenicemkaka28244 жыл бұрын
Yani mheshimiwa mimi binafisi kama ingewezekana ungepewa nchi nahisi tanzania ingekuwa ya heshima sana
@emmakelvinmeinyi14394 жыл бұрын
Amiri jeshi mkuu wa tz nani hakubali swali
@walikidali5964 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wa Tz endelea ongoza kwa haki Mungu hupenda haki
@rahmakatotok34894 жыл бұрын
Nakukubali sana rais wangu mungu akujaliee upite tenaa
@suleimanpandu89554 жыл бұрын
Huyu mzuri hajawahi kutokea Tanzania ila chama chake tu ndio sikipendi hata kukiona
@thegreatsource29533 жыл бұрын
Watanzania wenzangu, Please tumchague tena John Pombe Joseph Magufuli aendelee kuiongoza tanzania mpaka 2025. Tusifanye makosa tafadhalini sana. JPM2020💪
@jackleenmandary26324 жыл бұрын
Jamaa mshenzi huyu unaulizwa una shida gani unajibu utumbo loh dah kweli Kama umeandikiwa umasikini tu mpk mwisho
@AmiHaji-r4h21 сағат бұрын
Tuta kukumbuka milele rais jpm❤❤,
@akwillahsegwa69404 жыл бұрын
Uyu baba mungu akampe maisha marefu sanaa na amlinde pia
@deusdeditswebe89304 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais
@banazoone27444 жыл бұрын
Polepole wanainchi mtamwaga ugali wa Dc
@bonifacepontian13914 жыл бұрын
Duh uyo mama anajua..kuforce mazingira so poah
@aminasalum19544 жыл бұрын
Hii karne mpy kwa watz jmn hizi mambo zakupewa pewa hazikuwepo asante Mungu
@seifmohamedseif94674 жыл бұрын
🤣🤣🤣 km umeona rais kaweka mic sikioni na sim pia gonga like
@Mkemia..Kirigiti4 жыл бұрын
Hhhahhhah nmecheka xana
@salomejohnson3464 жыл бұрын
@@Mkemia..Kirigiti Haaaaaaa nimecheka sana
@lulually67223 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆mic sikioni kajisahau
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Mungu atusaidie katika kufanya maamzi.
@dicksonhenricko91303 жыл бұрын
Ama kweli we ndio jembe mungu akulinde jpm
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Madebe yakiisha atapiga sufuria mheshimiwa haraf jamaa boya huyu uliitwa hapo ili upewe hela we unaulizwa shida yako nin unaanza ooh nilikosea kusema me salange we vip😠
Kiukweli mpaka mtu unaeza tamani kukua mtanzania..... Ghai Tanzania you so lucky to have such a great president.. i love you magu... Millard Ayo magufuli sna tu...
@ramadhanindevu60064 жыл бұрын
Amenichekesha magufuli alipoweka simu sikioni na maiki nayo masikioni amenichekesha sana
@stantz17984 жыл бұрын
Alitaka watu wasikie kutoka kwenye cm
@merryjulius40984 жыл бұрын
Haaha,alisahau jamani.
@saidinhomarwa55754 жыл бұрын
Jamaa kweli salange bubu anaulizwa shida nini anasema yeye salange du bora akalime tu.
@mwanaisha5224 жыл бұрын
Kaweka hiyooo ili watu waliopo hp wasikilie live
@ommylamam14634 жыл бұрын
@@mwanaisha522 mmmnh maiki kushoto cm kulia magu noma
@alikhamisog34224 жыл бұрын
Jaman tanzania si tunaambiwa n moja sasa kwann huku Zanzibar haakuna chochote jaman
@tanzaniteinzanzibar66554 жыл бұрын
ALI KHAMIS, nyie mnajitamba watanzania bara tunakuja Zanzibar kutoa ushamba, eti mna kila kitu... Leo wewe unasema hamna chochote...
@alikhamisog34224 жыл бұрын
@@tanzaniteinzanzibar6655 asanta kwa mawazo yako lakin isome tena huo ujumbe wangu utanielewa nn nilimaanisha
@nawihadj66744 жыл бұрын
Unataka chochote kip weye
@josephmsuya81244 жыл бұрын
Fafanua alii hakua nn
@raymondysadick6083 жыл бұрын
Huyu rais ndo maana nampenda bure.
@victormushi66414 жыл бұрын
SALANGE UMENIANGUSHA, UJUI HATA SHIDA YAKO NI NINI?
Ukiweka simu na mic kwenye masikio unapata vitamini zote
@neemamayco32384 жыл бұрын
Yaan ww unautan mbayaaa shida yake c wananchi wawasikie
@lulually67223 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@magdalinangussa86434 жыл бұрын
Baba jeska anahuruma sana wasukuma ndivyo tulivyo na huruma nampenda sana
@husnamohamed92454 жыл бұрын
Nakupenda sana makufili oyeeeee
@hansimwakyoma30424 жыл бұрын
Awa nida mh. Raisi awafai kabisa uku rungwe nimejiandikisha mwezi sita adi leo sijapata kitambulisho ndani ya wiki nzima wanafanya kazi siku mbili tu wananchi wa rungwe tunapata shida tunaomba msahada wako mh. Raisi
@aminasalum19544 жыл бұрын
Khaa kijana wembona km umelewa tuu acha bangi wew kalime
@daudirajabu67984 жыл бұрын
Badala yakuomba mtaji kwa mh raisi unasema sarange boya kweli ww
@seifzongo3204 жыл бұрын
😀😀😀
@nemricesoka81894 жыл бұрын
Hahahha ulikia mawazon mwangu alivyoitwa pale mbele alikua apewe mtaji akazingua na usarange hahahhaa
@lukasochola5764 жыл бұрын
@@nemricesoka8189 Mtaji ni nini?
@beatricedickson6054 жыл бұрын
😂😂😂jamn simba mtoto
@neemamayco32384 жыл бұрын
Mwenye bahat habahatiki
@hamisjahar7564 жыл бұрын
Ni kweli were ni rais WA wanyonge,lakini kuna kitu nakiona ni stofahamu haswa kwa mikoa ya kusini hasa wilaya ya masasi.nadhani kunavitu ambavyo wanakudanganya,naona mmi mmja ya wanaichi wako tunaefatilia utendaji wko mzuri,nafyatilia SNA ziata zko ili nijue nni baba kasema Leo,ila kwnye ziara zko za huko aulizagi nani anashi au kma kna kero!kwakwli masasi kna stofahamu nyingi watendaji wna haribu sana
@salumnakauka53554 жыл бұрын
Merci monsieur président.Dieu vous protage.
@evancegerald62814 жыл бұрын
Dictetor 1 africa
@julessebintu65254 жыл бұрын
salum nakauka on dit Que Dieu te protège non pas te protage
Hata dodoma raisi nida ni shida baba tusaidie.tuna namba tu vitambulisho hakuna
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
Kamata masalange wote sukuma ndani pumbavu wamenifanya mm nimeanda gari la ajabu kweli ambalo mm sikupanga.
@judithmichael51554 жыл бұрын
Mimi mwenyewe wananiuzi wanakusindikiza mpaka kwenye ngalangala na bei unapigwa vile vile
@beatricedickson6054 жыл бұрын
😁
@singirankabofabien46404 жыл бұрын
😹
@africa74794 жыл бұрын
Raisi mimi ninashida jamani ya kukuona live tuake pekeyetu dakika mbili tu.
@alyhamadi80334 жыл бұрын
Uyu jamaa mjinga mkuu wa nchi anakuuriza usaidiwe ww unaaza kusema oooh mm sio mzurulaji
@grfgt19304 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@GloriousRestorationTV4 жыл бұрын
Huyu kweli ni salange, yaani unaulizwa una shida gani Unashindwa hata kusema sina mtaji? Salange oyeeeeee
@pendomkumbo82624 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂loh
@ratifamzima12554 жыл бұрын
Yaani roho imeniume San jamani ningekuwa mimi
@ibrasound49434 жыл бұрын
Njoo na kilosa Mh Rais wetu
@lindahwazir72094 жыл бұрын
Karibu mikoa mingi tunapewa namba tuu.
@harunimfaume62804 жыл бұрын
Sasahivi maind yako juu sio kwa mkulima bei juu iko kwa waranguzi ambao walinunua bei rahisiiiii leo wanakula faida mala dufuu mkulima hana maZao tena
@wannaproducts4 жыл бұрын
Umenena uhalisia kabisa, Rais hajui hilo nadhani wasaidizi wake wanapaswa kumueleza kuwa mazao wakati huu yko kwa walanguzi sio wakulima
@allysalum71584 жыл бұрын
nyie mlikua wapi kwenda kuyalangua maisha ni hesabu
@wannaproducts4 жыл бұрын
@@allysalum7158 Aisee
@festosanga17934 жыл бұрын
Sasa we ulitaka iweje???! rais apange bei??
@uswizinyanginywa24984 жыл бұрын
Hahaaaa Sarangeee hoyeeeee
@henrykishiwa67554 жыл бұрын
Jamaa kaikosa milioni moja nje nje matako kweli we unaulizwa shida yako unaanza kuongea utumbo utakufa masikini K wewe
@magdalinangussa86434 жыл бұрын
Baba hataki mchezo huyu napenda atawale miaka yote
@aminasalum19544 жыл бұрын
Msanvu oyeeee nimepamis
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
MIMI naomba Magufuli awe Rais maisha yake yote
@jamesmosha6664 жыл бұрын
MH
@geoegedonard85484 жыл бұрын
Utakua senge co bure aisee
@evcloudjuma97904 жыл бұрын
@@geoegedonard8548 #hahah hapana usenge nimeacha Ila huyu jamaa amefanya maisha yamekuwa mazur Sana
@jonaslaiser62734 жыл бұрын
Hatamimi
@charleshaule40084 жыл бұрын
Ninamiaka zaidi ya 40 lakini nimetokwa na machozi baada ya Rais kumwita mtoto mwanangu na kumpa hela. Huyu Rais wa pekee sana mm binafsi sijawahi kuona katika maisha yangu. Mungu akubariki sana Rais Magufuli tunakupenda sana aysee.
Chuo cha ualimu morogoro, Mheshimiwa uje utembelee maana...🤐🤐🤐
@aminasalum19544 жыл бұрын
Siungeenda ukaongee wenae sasa hapa atakusaidia nani unakwama wapi
@abdillahkhamisally48184 жыл бұрын
poa nakuja
@rajmatola86114 жыл бұрын
Magu raisi wa wanyonge piga kazi babaangu 2ko nyumayako
@aminahussein54184 жыл бұрын
Jamani uyu rais asitoke madalakani jamani mbaka mungu atakapo mchukua kwamapendekezo yamungu
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
Jamani uhuru si uchukuwe mfano japo wakiya tuu🙆♀️🙆♀️🙆♀️wa Tanzania mungu awalindie Rais wenu 🙏🙏
@mwajumakweli79314 жыл бұрын
Mamy mdogo Mamy lnisha Allah
@mambosasatv97174 жыл бұрын
Salange anamatatizo ya kisaikologia hivyo ndio maan ameshindwa kujua namna ya kujibu alipoulizwa anashida GN? Yeye akaelewa anatatizo gn linalomfanya ashindwe kubadilika na kuludi kuwa mpiga debe na istoshe katika gerezan HIV punde?
The big Problem is Mr. Magufuli is working like an undercover Boss. You can't be in a wrong place, at a wrong time, everytime!! You have Ministers, judges, Managers, Teachers, doctors etc, but the president want to hier and solve all the problems on his own. Which is not possible!! What is going on Tansanian?
@allynuhumuina59214 жыл бұрын
Angesema nnashida na mtaj il nfanje biashara rais Hana bahat acha apg debe kwanz
@tabumasumbuko72134 жыл бұрын
MUNGU akurinde RAIS wetuuu
@jeradkanyuru57454 жыл бұрын
Kweli atutambata kama wew
@japhetisraelsmafie9974 жыл бұрын
Hao wasaidiz wa raisi mnashindwa kumwekea laudi speaker
@BontamLee4 жыл бұрын
Pole kwa safari kwa miungu watu,kama ninyi,huyo rais mchapa kazi mwambie ongera kwa safari.
@mcmlandali4414 жыл бұрын
2nakukubali Jpm
@maxwellwilliam16634 жыл бұрын
Yaan kuna watu wamezaliwa na nuksi😂😂😂😂 huyo SARANGE alitaka kupewa pesa anaulizwa shida anasema simba mtoto aiseee nmecheka saaaanaa, hyo fursa kama ningeipata mm million tano zngeniangukia chap
@salummuhija44354 жыл бұрын
Aloo hata mi nimeshangaa badala aombe hata mtaji hats wa Mahindi aachane na usarange yeye anarudisha mkanda nyuma tena!!
@giftnyakipande12534 жыл бұрын
Yani ajielewi amenikera kha rais alikua na nia yakumsaidia ila ajaonesha ushirikiano dah
@aminasalum19544 жыл бұрын
Hahahahahaaaaaa
@ndikumanaally49524 жыл бұрын
Natowa jambo mimi ni murundi wabujumbura napenda sana kuona video za Raisi watanzania pamoja na mapilice wake namna banafanya kazi yani nawapongezi kwabigerere sana Mungu Awajariye asanteni
@ndikumanaally49524 жыл бұрын
Yani Siwezi nikarara bira kutizama Rais watanzania namukubari sana
@davidmartin51974 жыл бұрын
Badala aseme shida yake anasema habar za Simba mtoto
@hopesefue15624 жыл бұрын
Yaani ameniudhi amepata nafasi adimu aeleze shida zake Anasema Mimi ni Sarange yaani
@amiryhassan71434 жыл бұрын
David Martin sijaona fala kama huyo aliyezungumza mambo ya sarange na Simba mtoto
@nawihadj66744 жыл бұрын
Anasev video arafu unaingariaaa offline ,ngonge like
@ndamayapejr77254 жыл бұрын
Hapo hakuna vyocha ya kuunga unga unga ni full bando
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Hivi kupiga debe ni kazi? Huwa kuna mwananchi asiyejua ni gari gani atakalopanda limpeleke atakako? Wapiga debe niwazururaji, wezi na wavivu tu. Sukuma wote ndani.
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Mashehe wetu walimu wetu wa Muamsho wapo Gerezani wafiraji Babu Sanya na wanawe wapo huru kwa amri ya magu wakati tayari mahkama ilisha towa hukmu huu ni uwendawazimu uliopitiliza. Tatizo Taasisivya kiislam Bakwata ni tawi la ccm wameufyata kwa unafiq wao wanashindwa kuwatetea waislam weziwao.
@blandnamasala85134 жыл бұрын
ndio mambo tunayopenda wana nchi kama hayo rais
@madegeommy37794 жыл бұрын
Mbona hao warisha katazwa kupiga debe wana lala mika nini
@aminasalum19544 жыл бұрын
Kam umemsikia jamaa anasema et hasikii vzr gongalike twende zetu dodom