Asante Muheshimiwa raisi kwa kutetea wakulima. Wameteseka sana. Including my mom.
@helgaaporinaly28114 жыл бұрын
Asante sana Rais wetu. Ulichomfanyia huyu mama Mungu akubariki sana
@winpaulkijazi8794 жыл бұрын
Mungu akubariki Kamanda wetu kweli huyu ni rais wa wanyonge kwa mengi uliyofanya MUNGU AKUBARIKI SANA BABA
@happynespanga35194 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dady endelea kuongoza uko vzr sana
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Kwakweli Diwani nimekuufagilia sana,uko bzr mno Hongera sana kijana.
@elizachota63614 жыл бұрын
Kwann umesema ivo kaka 🤔
@dottnatt71104 жыл бұрын
Niwani wa umeongea vtu pwenti
@lucykanuti61384 жыл бұрын
Baba Raisi watu Mungu azidi kukupingania pia Diwani uko vizuli sana
@neemamahusho61934 жыл бұрын
hongera sana kwa ulicho kifanya na mungu azidi kukupa maisha malef magufuli raisi Wawa nyonge
@hamedabashir94 жыл бұрын
Nampenda sn huyu baba wa taifa❤️❤️❤️Allah akusimamie inshallah
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
Natamani ungekuwa raisi wetu wa Kenya ,hongera sana mweshimiwa raisi magufuli
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
hata Kenyatta ni mzuri mno...
@malikamtajir89354 жыл бұрын
Mashallah rahisi magufuli wish ungekua w kenya yani wananchi walio free n rahisi.Allah akuzidishie roho hio n akujaalie maisha marefu
@paulkemei66264 жыл бұрын
Nami natamani angekuwa wetu hapa Kenya
@bintysaid71774 жыл бұрын
Kenya balaa ukijitia kiherehere kutaka kumfikia raisi wapigwa risasi ukufilie mbali😆😆😆😆
@mamymdogomamy36704 жыл бұрын
@@bintysaid7177 bwanah juzi tuu jama aliumizwa jicho na sehemu za siri kisa masikini amendika picha za Rais kama zawadi, 🙆♀️🙆♀️Kenya yetu buree sana
@bintysaid71774 жыл бұрын
@@mamymdogomamy3670 ndio apo kwetu raisi ni wa wakubwa tu
@angelmaleshi67624 жыл бұрын
Nakupenda sana rais Wang ,
@ashunebebi95184 жыл бұрын
Well done magufuli mungu akuzidishie
@ethanadam99554 жыл бұрын
Mungu ambariki sana Rais wetu
@hamadizuberi62954 жыл бұрын
Gonga like kama unaamini hiki kiumbe hakijawai tokea Tz baada ya baba WA Taifa Nyerere...
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
✋
@zulfitanzaniya26964 жыл бұрын
@@nusurakajubu8785 ooò
@dottnatt71104 жыл бұрын
🙌🙌
@janethjustin52564 жыл бұрын
Kwakweli hakijawahi kutokea proud to hv a president like Magufuli 👏👏😍
@Jamillahs14 жыл бұрын
Mungu akulinde Mh Magufuli na akupe afya na nguvu uzidi kusaidia wanyonge
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
wewe raisi wewe raisi wewe jamani hakika mungu atakusaidia maisha marefu sana
@yusufhassanfu40124 жыл бұрын
Mwenyezi Ali hifadhi. Rais ma ajabu, mtajua badai. Uyu ni baraka kwenu.
@shammwaki34114 жыл бұрын
Rais uko vizuri
@ليلىفاكي-ش2ش4 жыл бұрын
Uyu rais ana akili kweli mashallah
@jacobmsola44914 жыл бұрын
Sisi wanyonge tutakuonbea kila siku mpk mwisho wa maisha yetu.
@batuliwanjallah54824 жыл бұрын
Am in 🇰🇪 but Magufuli is my President. Namtambua Sana.
@kingjulius82644 жыл бұрын
My president 💪
@rashidsaidi47194 жыл бұрын
J.P Magufuli nakupigia salute
@neemathomas31634 жыл бұрын
Diwani uko vizuriii...Next DC huyooo ameongea kwa kujiamin namuona mbaliiii
@paulkemei66264 жыл бұрын
Kijana jasiri huyu viongosi shupavu hawa
@neemathomas31634 жыл бұрын
@@paulkemei6626 sanaa amejua kuwasemea wananchi wake vizuri bila kutetemaaa huo ndo uongozi
@paulkemei66264 жыл бұрын
@@neemathomas3163 Kabisaa,mbaka natamani kuja kule but very far from Kenya to tz
@franklungu79824 жыл бұрын
Nime mis maneno yako Kama nakuona vile
@paulkemei66264 жыл бұрын
Hujambo
@ليلىفاكي-ش2ش4 жыл бұрын
Hongera rais Wa Tanzania upo vzr
@yahayamapato3004 жыл бұрын
Najiskia vizur kuwa narais maguful
@mbonijabut14054 жыл бұрын
Safiiiiiiiii
@farajisureman99254 жыл бұрын
Diwani huyu nae kwakweli hoja zake amezileta vizuri sana. Basi sina Mamlaka lakini ningekuwa nayo basi ningekutaftia sehemu nzuri sana za kuwasilisha kero ili zitatuliwe.Jipigie makofi Mh. Diwani wao
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaa
@mkumbokibona57664 жыл бұрын
Hongeraunaweza
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
safi Faraji
@ahdahmed83834 жыл бұрын
Maagufuri oyeeee nakupenda mpaka naumwa mungu akulinde
@mzeemombasa.34564 жыл бұрын
Ama kweli kiswahili ni lugha yawastaarabu. Tanzania kiongozi munae nazipenda hekima zake kweli kweli.
@stevengracphord9534 жыл бұрын
Rais nakupenda sana
@japhetmombia4 жыл бұрын
Mh.Diwani inaonyesha yuko vzr
@raymondamedeus13984 жыл бұрын
...oya kwa rais huyu lazma tutoboeeee gonga like mtu asikupangie bei kwan alikusaidia kulimaaaaa.....
@deogratiusgideon86734 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba Magufuli🙏🙏
@ZainabZainab-tv9ir4 жыл бұрын
Allah akbaru ongerasan kwakauliyak nzuri muheshimiwa wakupigiwa magoti nimungu kbs 🇧🇮
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Genius, Raisi wa wanyonge
@mussamussa91744 жыл бұрын
Halafu kuna wasenge wanamponda raisi wetu Magufuli. Hebu tuachen na kiongoz wetu
@aminanoor56374 жыл бұрын
mussa mussa waambie
@jovovichmedia94244 жыл бұрын
Tumia lugha nzuri kaka
@aminahassan5614 жыл бұрын
Kabisaa mussa
@irenemwanaa81604 жыл бұрын
Atabaki kua jembe Rais wetu!
@nusurakajubu87854 жыл бұрын
Ndug hiyo mpaka iwepo watu wamemponda Allah na mtume wake sembuse yy watu wanakataa kusujudia Allah sembuse binadamu na binadamu wengi neno shukuran ni mtihan kwao kabisa ila uncle magu mm namkubali
@evanstweve77204 жыл бұрын
hakika ni Raisi wa pekee kwenye historia ya viongozi wa taifa letu, hongera sana mh Dr JPM
@samwelbajuta34224 жыл бұрын
Jmn kweli nimemkubali magufuli hongera San rais wetu wa jamhuri wa muungano wa tanzania kuanzia Leo mm in ccm no chadema
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@cecygeorge44434 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
mungu akuzidishie rais wa wanyonge unamoyo wa pekee sana
@joycekessy86354 жыл бұрын
nakupongeza Rais
@furahakonde62594 жыл бұрын
I love you magufuli
@barakajulius71474 жыл бұрын
Napenda mkuu wetu anavotuamasisha wananch kulima nakufanya kazi kwa bidii,
@allyfutto87634 жыл бұрын
Amakweli Magufuli ni Amirijeshi anayehitajika kulinusuru Taifa la Tanzania na Afrika kwa ujumla Mungu amuongoze vyema Amin.
@naomikatharinaandrewmnkai67604 жыл бұрын
Your blessed my president!
@hassankurran68304 жыл бұрын
Congratulation President Magufuli.Your are very funy.Amakula mahindi mengi.Best president in Africa.Umeleta Heshima kwa watu wa chini.Usalama umeboreka vibaka wamepungua.Hakuna alokuwa above the law.Tumbua Baba ulete heshima.
@RomwardWM4 жыл бұрын
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂Mil.1 daaah kazi nzuri Magufuli
@kevinokutoyi2034 жыл бұрын
Uhuru should learn from Magufuli
@regimentish4 жыл бұрын
Uhuru has nothing to offer....
@gedionelius554 жыл бұрын
magufuli,, MUNGU Akubariki Sana Kwa Ujumbe Mzuri Wa Mwisho Kwa Mama,,,,,,,
@zabronsimfukwe4 жыл бұрын
Gonga like kama umeona gwanda kwa mwamba wa Tz na Africa🙌🙌🙌
@bobwillz66514 жыл бұрын
Magu raisi wa kusema na kutenda nakupenda bure magu
@damaclineratemo13543 жыл бұрын
Magufuli 😭😭😭😭😭😭 mtetezi wa wanyonge
@justermutayoba25214 жыл бұрын
Yahani kula yangu niliyompigia raisi magufuri haikwenda bure
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Asantee baba
@chunanachu25294 жыл бұрын
Magufuli babalao
@husnamanase39434 жыл бұрын
Eshimayoko baba nakuomba uje anauku unguja wilaya ya kusini michamvi tupo wananchiwako tunaambiwa wakuja tunanunu maeneo kihaki tunanyimwa. Kisa niwakuja
@jonathanmchami40584 жыл бұрын
Pamoja sana baba wawanyonge
@sarahlydia26354 жыл бұрын
True
@janethmbogela97244 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana baba.
@rizickyyona62294 жыл бұрын
Tuache chuki kwel rais anajitaidi hata kama anadoa ila anajitaidi.ninani anapoteza mda kusikiliza watu ingekuwa mwingine angeka ikulu kula ic tu
@blandinamwarabu50254 жыл бұрын
Watu unafikiri wana chuki basi sio hivyo bali wana ubinafsi, ukabila na uroho wa madaraka. Anayoyafanya Mgufuli mwenye akili timamu asiye na uroho wa madaraka hawezi kupinga. Hawamtaki kwa kuwa kawazibia riski ili watu wanufaike wote. Watu wana ubinafsi.
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
riziki yona kabisa ndugu yangu watu tuache chuki hakika huyu mzee ni waaina yake
@hellengerald81064 жыл бұрын
Aje na Kigoma jamani tunaonewa sana.
@magrethjohn85764 жыл бұрын
riziki yona ,Hakuna mkamilifu chini ya jua hakuna.
@omarykinyaga14074 жыл бұрын
Aruhusu watu wengine wafanye siasa mtamuona hana lolote. Anajua watu wa upinzania wana akili kuliko yeye. Magufuli huwezi mfananisha na Mbatia hata siku moja. Hana lolote huyu.
@aminasalum19544 жыл бұрын
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh
@fatmaabdallah34344 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie
@farajisureman99254 жыл бұрын
Mh.Rais unafaa kwa maamuzi kwakweli. Kituo cha Afya hapo hapo. Safi sana. Kazi kwa Mh. Jaffo na Mh. Ummy (Kumradhi kama majina nitakuwa nimeyakosea) Watu wapate huduma.
@Kipistatu4 жыл бұрын
Raisi huyu hajawah tokea hii ni mara ya mwanzo bhn dah raha sana huyu akae miaka 15 ya urais jmn mashallah ,,.😅😅nampenda sn anaongea point ..
@farajalaizer46694 жыл бұрын
Hata 50 akiweza atawale tu
@emmanuelmussa83314 жыл бұрын
Huku Zanzibar mchanga umezuiwa tangu mwaka jana!!! Wananchi hawana pa kusemea utafikiri zanzibar hakuna uongozi!! Smh 🤦♂️
@Haleem_074 жыл бұрын
Afanye aje maguuuu
@zulfamohamed45494 жыл бұрын
zanzibar sikuna kiongoz pia kwanini asisimame imara kutetea wanamchi
@salmadzame34654 жыл бұрын
Mungu akubariki maghufuli
@samuelahebwa11283 жыл бұрын
gone too early !! rest with God Sir !!! thanks for the inspiration !!
@aminasalum19544 жыл бұрын
Huyu diwan jmn anaakili
@antoinebakevya89114 жыл бұрын
Rais wote wangekuwa Dr John POMBE MAGUFULI kweli kweli tungepumzika hata kidogo
@boniphacetv7394 жыл бұрын
hata nyerere hakufanya haya japo alitukomboa kwa wakoloni
@barakajulius71474 жыл бұрын
Kweli nakuunga mkono,
@frankkiondo42274 жыл бұрын
Hapana nyerere ametuwekea misingi imara kwa Kila kabira liweze kutawala
@sarahlydia26354 жыл бұрын
You the best
@mr.yahzadochuno79144 жыл бұрын
Magufuli my love 😍
@ridhiwanimikidadi5844 жыл бұрын
Magufuli
@ifakhamis2554 жыл бұрын
Mheshimiwa rais, mungu akulinde
@sarahloveyouolivermtukidzi67044 жыл бұрын
Ww kweli rais wa wanyonge sna
@meshackminaji55094 жыл бұрын
Nanukuu:''Kachimbeni mkaweke ndani mgalegale na mshikaji wako''hahahaha Raisi tumepata jamani.
@agneslwila94784 жыл бұрын
Hahaha kwa kweli
@farajanaftali89414 жыл бұрын
Meshack Minaji Magufu babalao
@rabiamakame66384 жыл бұрын
yaan mm namkubali rais had machozi yananitok uish miaka mia
@raphaelmugho94664 жыл бұрын
Huyu magufuli ako na roho nzuri sana...
@saltrecyjohn76964 жыл бұрын
Nani kasikia we n diwani wa chama gani gonga like
@merveileprah84904 жыл бұрын
😭😭😭😭😭iyi inanitowa machozi iwish drc congo tuwe Na raisi Kama uyu mzee Tanzania Mungu anawapendeleye Sana
@mamanbinwashadrack22574 жыл бұрын
😭😭😭😢😢, huruma kweli Congo
@abuuhudhaify51954 жыл бұрын
duh poln
@esterjema24844 жыл бұрын
Poleni sana
@esterjema24844 жыл бұрын
Poleni sana
@nuruabraham37694 жыл бұрын
Hongera sana mwenye nchi
@johnmatete37264 жыл бұрын
D-1 uko vzr sn !!!!! Keem it up bro.
@cadzabibu98714 жыл бұрын
Hhjebebwqh I'm jeje1 ml
@tttgghj22804 жыл бұрын
Laiti Burundi tungekua na raisi kama ww ingependeza sana 😶
@kanezasheikha64264 жыл бұрын
Hatasis. Wakwen nidum.binadam.tu.ndo wabay
@hussenalisa72114 жыл бұрын
Kweli kbs
@stahimilmassawe85404 жыл бұрын
Rais wanguu
@masungakibinza13124 жыл бұрын
Jembe la Watanzania JPM mtambo Mkubwa
@amirysaimon94884 жыл бұрын
Masunga Kibinza babaaaaaa
@mcdaido67754 жыл бұрын
Huku kenya twamuitaji rais kama jpm
@pendomwenda61904 жыл бұрын
Rais wetu Mungu akubariki, wewe sio raisi wa ikulu wewe ni mtu wa ajabu sijapata kuona
@jackleenmandary26324 жыл бұрын
Diwani Yuko vzr
@shylamulama92714 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭I Kent stop crying
@irinemacha29514 жыл бұрын
Ha ha ha ha. ET unalia vzr.
@mangapmanga15394 жыл бұрын
Duuuh nimefurah sana, nimesoma hapo sekondari.
@emmymgotta88304 жыл бұрын
DIWANI YUKO VIZURI KWELIKWELI.UKO VIZURI
@kenyanniggar3574 жыл бұрын
amiri jeshi mkuu
@williamkwigema41694 жыл бұрын
Magufuli ni Rais wa watanzania na Africa. Asiemtakia mema mchawi mkubwa.
@nesomtandi9264 жыл бұрын
Magu ninoma
@yusuphtwaha83864 жыл бұрын
Kama umesikia kaweke ndan ukagaregare na mshikaji wako nipe like
@kinotiwilfred5904 жыл бұрын
Nkiwa Kenya Magufuli hoyeeeeeeeeee
@zenamadhan25174 жыл бұрын
Magufuli babalaoooo
@barakajulius71474 жыл бұрын
Huyu ni Rais wa dunia,,
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Diwani Dumila yupo! Msikosee awe hiyo huyo anafaa Sanaa Anajua kujieleza vzr
@RomwardWM4 жыл бұрын
Huyu mama kangarooo kwa kuongea 😂😂 daaah Magufuli una kazi sana hivi vilio vyote ni njaa 😂 CCM usifikiri hakuna mafisadi ... Mhe.huyo mama anataka pesa tu 😂😂😂
@franklungu79824 жыл бұрын
Nimekusoma
@magefrancis864 жыл бұрын
Lia na wewe upewe pesa kama rahisi kihivyo.
@ndeletwaswai35304 жыл бұрын
Mama manka we ni nomaaa
@maselemaseleboy23664 жыл бұрын
Huyo diwani yuko vizuri Na tumpongeze Sana magu lazim tutoboe hakuna kukupangia bei
@naomikatharinaandrewmnkai67604 жыл бұрын
Hahahaha mapenzi bwana wanaweza wakarudiana! Hahahahaha Rais wangu bwana. Nakupendaa
@joycewafula9354 жыл бұрын
Huyo kijana anafaa kuwa mbunge hapo
@paulinebosibori33434 жыл бұрын
Magufuli napenda unavyoiendesha nchi yako ingawa m NM Kenya mola akunehemee
@fatumaseleman15794 жыл бұрын
Pole mwanamke mwenzangu
@georgeigogo92594 жыл бұрын
Pole yann nawakati umesikia nimmachame
@mohamedrashid73234 жыл бұрын
Mimi natokea Kenya walai raisi wakenya hajwahi fanya kama hvi kusimama kuskiliza wananchi wake aki Tanzania muna rais na nusu mungu ambariki Sana
@susanruo80874 жыл бұрын
Aki wamebarikiwa sana... Yaani Kenya ni aibu tu
@mwambietv76144 жыл бұрын
Mohamed Rashid Acha kumtaja Mungu ovyoo ovyoo punguani ww
@ahmedmahmudu10464 жыл бұрын
MWAMBIE TV wewe ndo mpuuzi kakosea wapi?
@faustinedeogratias43374 жыл бұрын
@@mwambietv7614 kwaiyo we ulomtaja kwa nidham umebalikiwa kumzid mwenzio? ....