KUBWA HII MUME NA MKEWE WABISHANA MBELE YA MAGUFULI, MAMA AMWAGA MACHOZI "NANYANYASHWA"

  Рет қаралды 300,306

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 345
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Nakupenda sana Rais wangu. Wee ni gentleman!!
@rehemammari3626
@rehemammari3626 4 жыл бұрын
Asante Muheshimiwa raisi kwa kutetea wakulima. Wameteseka sana. Including my mom.
@helgaaporinaly2811
@helgaaporinaly2811 4 жыл бұрын
Asante sana Rais wetu. Ulichomfanyia huyu mama Mungu akubariki sana
@winpaulkijazi879
@winpaulkijazi879 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Kamanda wetu kweli huyu ni rais wa wanyonge kwa mengi uliyofanya MUNGU AKUBARIKI SANA BABA
@happynespanga3519
@happynespanga3519 4 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dady endelea kuongoza uko vzr sana
@ashamwandu3781
@ashamwandu3781 4 жыл бұрын
Kwakweli Diwani nimekuufagilia sana,uko bzr mno Hongera sana kijana.
@elizachota6361
@elizachota6361 4 жыл бұрын
Kwann umesema ivo kaka 🤔
@dottnatt7110
@dottnatt7110 4 жыл бұрын
Niwani wa umeongea vtu pwenti
@lucykanuti6138
@lucykanuti6138 4 жыл бұрын
Baba Raisi watu Mungu azidi kukupingania pia Diwani uko vizuli sana
@neemamahusho6193
@neemamahusho6193 4 жыл бұрын
hongera sana kwa ulicho kifanya na mungu azidi kukupa maisha malef magufuli raisi Wawa nyonge
@hamedabashir9
@hamedabashir9 4 жыл бұрын
Nampenda sn huyu baba wa taifa❤️❤️❤️Allah akusimamie inshallah
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Natamani ungekuwa raisi wetu wa Kenya ,hongera sana mweshimiwa raisi magufuli
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
hata Kenyatta ni mzuri mno...
@malikamtajir8935
@malikamtajir8935 4 жыл бұрын
Mashallah rahisi magufuli wish ungekua w kenya yani wananchi walio free n rahisi.Allah akuzidishie roho hio n akujaalie maisha marefu
@paulkemei6626
@paulkemei6626 4 жыл бұрын
Nami natamani angekuwa wetu hapa Kenya
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 жыл бұрын
Kenya balaa ukijitia kiherehere kutaka kumfikia raisi wapigwa risasi ukufilie mbali😆😆😆😆
@mamymdogomamy3670
@mamymdogomamy3670 4 жыл бұрын
@@bintysaid7177 bwanah juzi tuu jama aliumizwa jicho na sehemu za siri kisa masikini amendika picha za Rais kama zawadi, 🙆‍♀️🙆‍♀️Kenya yetu buree sana
@bintysaid7177
@bintysaid7177 4 жыл бұрын
@@mamymdogomamy3670 ndio apo kwetu raisi ni wa wakubwa tu
@angelmaleshi6762
@angelmaleshi6762 4 жыл бұрын
Nakupenda sana rais Wang ,
@ashunebebi9518
@ashunebebi9518 4 жыл бұрын
Well done magufuli mungu akuzidishie
@ethanadam9955
@ethanadam9955 4 жыл бұрын
Mungu ambariki sana Rais wetu
@hamadizuberi6295
@hamadizuberi6295 4 жыл бұрын
Gonga like kama unaamini hiki kiumbe hakijawai tokea Tz baada ya baba WA Taifa Nyerere...
@nusurakajubu8785
@nusurakajubu8785 4 жыл бұрын
@zulfitanzaniya2696
@zulfitanzaniya2696 4 жыл бұрын
@@nusurakajubu8785 ooò
@dottnatt7110
@dottnatt7110 4 жыл бұрын
🙌🙌
@janethjustin5256
@janethjustin5256 4 жыл бұрын
Kwakweli hakijawahi kutokea proud to hv a president like Magufuli 👏👏😍
@Jamillahs1
@Jamillahs1 4 жыл бұрын
Mungu akulinde Mh Magufuli na akupe afya na nguvu uzidi kusaidia wanyonge
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
wewe raisi wewe raisi wewe jamani hakika mungu atakusaidia maisha marefu sana
@yusufhassanfu4012
@yusufhassanfu4012 4 жыл бұрын
Mwenyezi Ali hifadhi. Rais ma ajabu, mtajua badai. Uyu ni baraka kwenu.
@shammwaki3411
@shammwaki3411 4 жыл бұрын
Rais uko vizuri
@ليلىفاكي-ش2ش
@ليلىفاكي-ش2ش 4 жыл бұрын
Uyu rais ana akili kweli mashallah
@jacobmsola4491
@jacobmsola4491 4 жыл бұрын
Sisi wanyonge tutakuonbea kila siku mpk mwisho wa maisha yetu.
@batuliwanjallah5482
@batuliwanjallah5482 4 жыл бұрын
Am in 🇰🇪 but Magufuli is my President. Namtambua Sana.
@kingjulius8264
@kingjulius8264 4 жыл бұрын
My president 💪
@rashidsaidi4719
@rashidsaidi4719 4 жыл бұрын
J.P Magufuli nakupigia salute
@neemathomas3163
@neemathomas3163 4 жыл бұрын
Diwani uko vizuriii...Next DC huyooo ameongea kwa kujiamin namuona mbaliiii
@paulkemei6626
@paulkemei6626 4 жыл бұрын
Kijana jasiri huyu viongosi shupavu hawa
@neemathomas3163
@neemathomas3163 4 жыл бұрын
@@paulkemei6626 sanaa amejua kuwasemea wananchi wake vizuri bila kutetemaaa huo ndo uongozi
@paulkemei6626
@paulkemei6626 4 жыл бұрын
@@neemathomas3163 Kabisaa,mbaka natamani kuja kule but very far from Kenya to tz
@franklungu7982
@franklungu7982 4 жыл бұрын
Nime mis maneno yako Kama nakuona vile
@paulkemei6626
@paulkemei6626 4 жыл бұрын
Hujambo
@ليلىفاكي-ش2ش
@ليلىفاكي-ش2ش 4 жыл бұрын
Hongera rais Wa Tanzania upo vzr
@yahayamapato300
@yahayamapato300 4 жыл бұрын
Najiskia vizur kuwa narais maguful
@mbonijabut1405
@mbonijabut1405 4 жыл бұрын
Safiiiiiiiii
@farajisureman9925
@farajisureman9925 4 жыл бұрын
Diwani huyu nae kwakweli hoja zake amezileta vizuri sana. Basi sina Mamlaka lakini ningekuwa nayo basi ningekutaftia sehemu nzuri sana za kuwasilisha kero ili zitatuliwe.Jipigie makofi Mh. Diwani wao
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Sanaaaaaaaaa
@mkumbokibona5766
@mkumbokibona5766 4 жыл бұрын
Hongeraunaweza
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
safi Faraji
@ahdahmed8383
@ahdahmed8383 4 жыл бұрын
Maagufuri oyeeee nakupenda mpaka naumwa mungu akulinde
@mzeemombasa.3456
@mzeemombasa.3456 4 жыл бұрын
Ama kweli kiswahili ni lugha yawastaarabu. Tanzania kiongozi munae nazipenda hekima zake kweli kweli.
@stevengracphord953
@stevengracphord953 4 жыл бұрын
Rais nakupenda sana
@japhetmombia
@japhetmombia 4 жыл бұрын
Mh.Diwani inaonyesha yuko vzr
@raymondamedeus1398
@raymondamedeus1398 4 жыл бұрын
...oya kwa rais huyu lazma tutoboeeee gonga like mtu asikupangie bei kwan alikusaidia kulimaaaaa.....
@deogratiusgideon8673
@deogratiusgideon8673 4 жыл бұрын
Mungu akubariki Baba Magufuli🙏🙏
@ZainabZainab-tv9ir
@ZainabZainab-tv9ir 4 жыл бұрын
Allah akbaru ongerasan kwakauliyak nzuri muheshimiwa wakupigiwa magoti nimungu kbs 🇧🇮
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 жыл бұрын
Genius, Raisi wa wanyonge
@mussamussa9174
@mussamussa9174 4 жыл бұрын
Halafu kuna wasenge wanamponda raisi wetu Magufuli. Hebu tuachen na kiongoz wetu
@aminanoor5637
@aminanoor5637 4 жыл бұрын
mussa mussa waambie
@jovovichmedia9424
@jovovichmedia9424 4 жыл бұрын
Tumia lugha nzuri kaka
@aminahassan561
@aminahassan561 4 жыл бұрын
Kabisaa mussa
@irenemwanaa8160
@irenemwanaa8160 4 жыл бұрын
Atabaki kua jembe Rais wetu!
@nusurakajubu8785
@nusurakajubu8785 4 жыл бұрын
Ndug hiyo mpaka iwepo watu wamemponda Allah na mtume wake sembuse yy watu wanakataa kusujudia Allah sembuse binadamu na binadamu wengi neno shukuran ni mtihan kwao kabisa ila uncle magu mm namkubali
@evanstweve7720
@evanstweve7720 4 жыл бұрын
hakika ni Raisi wa pekee kwenye historia ya viongozi wa taifa letu, hongera sana mh Dr JPM
@samwelbajuta3422
@samwelbajuta3422 4 жыл бұрын
Jmn kweli nimemkubali magufuli hongera San rais wetu wa jamhuri wa muungano wa tanzania kuanzia Leo mm in ccm no chadema
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 4 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 4 жыл бұрын
Mungu akulinde sana raisi
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 4 жыл бұрын
mungu akuzidishie rais wa wanyonge unamoyo wa pekee sana
@joycekessy8635
@joycekessy8635 4 жыл бұрын
nakupongeza Rais
@furahakonde6259
@furahakonde6259 4 жыл бұрын
I love you magufuli
@barakajulius7147
@barakajulius7147 4 жыл бұрын
Napenda mkuu wetu anavotuamasisha wananch kulima nakufanya kazi kwa bidii,
@allyfutto8763
@allyfutto8763 4 жыл бұрын
Amakweli Magufuli ni Amirijeshi anayehitajika kulinusuru Taifa la Tanzania na Afrika kwa ujumla Mungu amuongoze vyema Amin.
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 4 жыл бұрын
Your blessed my president!
@hassankurran6830
@hassankurran6830 4 жыл бұрын
Congratulation President Magufuli.Your are very funy.Amakula mahindi mengi.Best president in Africa.Umeleta Heshima kwa watu wa chini.Usalama umeboreka vibaka wamepungua.Hakuna alokuwa above the law.Tumbua Baba ulete heshima.
@RomwardWM
@RomwardWM 4 жыл бұрын
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂Mil.1 daaah kazi nzuri Magufuli
@kevinokutoyi203
@kevinokutoyi203 4 жыл бұрын
Uhuru should learn from Magufuli
@regimentish
@regimentish 4 жыл бұрын
Uhuru has nothing to offer....
@gedionelius55
@gedionelius55 4 жыл бұрын
magufuli,, MUNGU Akubariki Sana Kwa Ujumbe Mzuri Wa Mwisho Kwa Mama,,,,,,,
@zabronsimfukwe
@zabronsimfukwe 4 жыл бұрын
Gonga like kama umeona gwanda kwa mwamba wa Tz na Africa🙌🙌🙌
@bobwillz6651
@bobwillz6651 4 жыл бұрын
Magu raisi wa kusema na kutenda nakupenda bure magu
@damaclineratemo1354
@damaclineratemo1354 3 жыл бұрын
Magufuli 😭😭😭😭😭😭 mtetezi wa wanyonge
@justermutayoba2521
@justermutayoba2521 4 жыл бұрын
Yahani kula yangu niliyompigia raisi magufuri haikwenda bure
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 3 жыл бұрын
Asantee baba
@chunanachu2529
@chunanachu2529 4 жыл бұрын
Magufuli babalao
@husnamanase3943
@husnamanase3943 4 жыл бұрын
Eshimayoko baba nakuomba uje anauku unguja wilaya ya kusini michamvi tupo wananchiwako tunaambiwa wakuja tunanunu maeneo kihaki tunanyimwa. Kisa niwakuja
@jonathanmchami4058
@jonathanmchami4058 4 жыл бұрын
Pamoja sana baba wawanyonge
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
True
@janethmbogela9724
@janethmbogela9724 4 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana baba.
@rizickyyona6229
@rizickyyona6229 4 жыл бұрын
Tuache chuki kwel rais anajitaidi hata kama anadoa ila anajitaidi.ninani anapoteza mda kusikiliza watu ingekuwa mwingine angeka ikulu kula ic tu
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Watu unafikiri wana chuki basi sio hivyo bali wana ubinafsi, ukabila na uroho wa madaraka. Anayoyafanya Mgufuli mwenye akili timamu asiye na uroho wa madaraka hawezi kupinga. Hawamtaki kwa kuwa kawazibia riski ili watu wanufaike wote. Watu wana ubinafsi.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
riziki yona kabisa ndugu yangu watu tuache chuki hakika huyu mzee ni waaina yake
@hellengerald8106
@hellengerald8106 4 жыл бұрын
Aje na Kigoma jamani tunaonewa sana.
@magrethjohn8576
@magrethjohn8576 4 жыл бұрын
riziki yona ,Hakuna mkamilifu chini ya jua hakuna.
@omarykinyaga1407
@omarykinyaga1407 4 жыл бұрын
Aruhusu watu wengine wafanye siasa mtamuona hana lolote. Anajua watu wa upinzania wana akili kuliko yeye. Magufuli huwezi mfananisha na Mbatia hata siku moja. Hana lolote huyu.
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Walaykum salam warahmatullah wabarakatuh
@fatmaabdallah3434
@fatmaabdallah3434 4 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie
@farajisureman9925
@farajisureman9925 4 жыл бұрын
Mh.Rais unafaa kwa maamuzi kwakweli. Kituo cha Afya hapo hapo. Safi sana. Kazi kwa Mh. Jaffo na Mh. Ummy (Kumradhi kama majina nitakuwa nimeyakosea) Watu wapate huduma.
@Kipistatu
@Kipistatu 4 жыл бұрын
Raisi huyu hajawah tokea hii ni mara ya mwanzo bhn dah raha sana huyu akae miaka 15 ya urais jmn mashallah ,,.😅😅nampenda sn anaongea point ..
@farajalaizer4669
@farajalaizer4669 4 жыл бұрын
Hata 50 akiweza atawale tu
@emmanuelmussa8331
@emmanuelmussa8331 4 жыл бұрын
Huku Zanzibar mchanga umezuiwa tangu mwaka jana!!! Wananchi hawana pa kusemea utafikiri zanzibar hakuna uongozi!! Smh 🤦‍♂️
@Haleem_07
@Haleem_07 4 жыл бұрын
Afanye aje maguuuu
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 4 жыл бұрын
zanzibar sikuna kiongoz pia kwanini asisimame imara kutetea wanamchi
@salmadzame3465
@salmadzame3465 4 жыл бұрын
Mungu akubariki maghufuli
@samuelahebwa1128
@samuelahebwa1128 3 жыл бұрын
gone too early !! rest with God Sir !!! thanks for the inspiration !!
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Huyu diwan jmn anaakili
@antoinebakevya8911
@antoinebakevya8911 4 жыл бұрын
Rais wote wangekuwa Dr John POMBE MAGUFULI kweli kweli tungepumzika hata kidogo
@boniphacetv739
@boniphacetv739 4 жыл бұрын
hata nyerere hakufanya haya japo alitukomboa kwa wakoloni
@barakajulius7147
@barakajulius7147 4 жыл бұрын
Kweli nakuunga mkono,
@frankkiondo4227
@frankkiondo4227 4 жыл бұрын
Hapana nyerere ametuwekea misingi imara kwa Kila kabira liweze kutawala
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
You the best
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 4 жыл бұрын
Magufuli my love 😍
@ridhiwanimikidadi584
@ridhiwanimikidadi584 4 жыл бұрын
Magufuli
@ifakhamis255
@ifakhamis255 4 жыл бұрын
Mheshimiwa rais, mungu akulinde
@sarahloveyouolivermtukidzi6704
@sarahloveyouolivermtukidzi6704 4 жыл бұрын
Ww kweli rais wa wanyonge sna
@meshackminaji5509
@meshackminaji5509 4 жыл бұрын
Nanukuu:''Kachimbeni mkaweke ndani mgalegale na mshikaji wako''hahahaha Raisi tumepata jamani.
@agneslwila9478
@agneslwila9478 4 жыл бұрын
Hahaha kwa kweli
@farajanaftali8941
@farajanaftali8941 4 жыл бұрын
Meshack Minaji Magufu babalao
@rabiamakame6638
@rabiamakame6638 4 жыл бұрын
yaan mm namkubali rais had machozi yananitok uish miaka mia
@raphaelmugho9466
@raphaelmugho9466 4 жыл бұрын
Huyu magufuli ako na roho nzuri sana...
@saltrecyjohn7696
@saltrecyjohn7696 4 жыл бұрын
Nani kasikia we n diwani wa chama gani gonga like
@merveileprah8490
@merveileprah8490 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭iyi inanitowa machozi iwish drc congo tuwe Na raisi Kama uyu mzee Tanzania Mungu anawapendeleye Sana
@mamanbinwashadrack2257
@mamanbinwashadrack2257 4 жыл бұрын
😭😭😭😢😢, huruma kweli Congo
@abuuhudhaify5195
@abuuhudhaify5195 4 жыл бұрын
duh poln
@esterjema2484
@esterjema2484 4 жыл бұрын
Poleni sana
@esterjema2484
@esterjema2484 4 жыл бұрын
Poleni sana
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 4 жыл бұрын
Hongera sana mwenye nchi
@johnmatete3726
@johnmatete3726 4 жыл бұрын
D-1 uko vzr sn !!!!! Keem it up bro.
@cadzabibu9871
@cadzabibu9871 4 жыл бұрын
Hhjebebwqh I'm jeje1 ml
@tttgghj2280
@tttgghj2280 4 жыл бұрын
Laiti Burundi tungekua na raisi kama ww ingependeza sana 😶
@kanezasheikha6426
@kanezasheikha6426 4 жыл бұрын
Hatasis. Wakwen nidum.binadam.tu.ndo wabay
@hussenalisa7211
@hussenalisa7211 4 жыл бұрын
Kweli kbs
@stahimilmassawe8540
@stahimilmassawe8540 4 жыл бұрын
Rais wanguu
@masungakibinza1312
@masungakibinza1312 4 жыл бұрын
Jembe la Watanzania JPM mtambo Mkubwa
@amirysaimon9488
@amirysaimon9488 4 жыл бұрын
Masunga Kibinza babaaaaaa
@mcdaido6775
@mcdaido6775 4 жыл бұрын
Huku kenya twamuitaji rais kama jpm
@pendomwenda6190
@pendomwenda6190 4 жыл бұрын
Rais wetu Mungu akubariki, wewe sio raisi wa ikulu wewe ni mtu wa ajabu sijapata kuona
@jackleenmandary2632
@jackleenmandary2632 4 жыл бұрын
Diwani Yuko vzr
@shylamulama9271
@shylamulama9271 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭I Kent stop crying
@irinemacha2951
@irinemacha2951 4 жыл бұрын
Ha ha ha ha. ET unalia vzr.
@mangapmanga1539
@mangapmanga1539 4 жыл бұрын
Duuuh nimefurah sana, nimesoma hapo sekondari.
@emmymgotta8830
@emmymgotta8830 4 жыл бұрын
DIWANI YUKO VIZURI KWELIKWELI.UKO VIZURI
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 4 жыл бұрын
amiri jeshi mkuu
@williamkwigema4169
@williamkwigema4169 4 жыл бұрын
Magufuli ni Rais wa watanzania na Africa. Asiemtakia mema mchawi mkubwa.
@nesomtandi926
@nesomtandi926 4 жыл бұрын
Magu ninoma
@yusuphtwaha8386
@yusuphtwaha8386 4 жыл бұрын
Kama umesikia kaweke ndan ukagaregare na mshikaji wako nipe like
@kinotiwilfred590
@kinotiwilfred590 4 жыл бұрын
Nkiwa Kenya Magufuli hoyeeeeeeeeee
@zenamadhan2517
@zenamadhan2517 4 жыл бұрын
Magufuli babalaoooo
@barakajulius7147
@barakajulius7147 4 жыл бұрын
Huyu ni Rais wa dunia,,
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 жыл бұрын
Diwani Dumila yupo! Msikosee awe hiyo huyo anafaa Sanaa Anajua kujieleza vzr
@RomwardWM
@RomwardWM 4 жыл бұрын
Huyu mama kangarooo kwa kuongea 😂😂 daaah Magufuli una kazi sana hivi vilio vyote ni njaa 😂 CCM usifikiri hakuna mafisadi ... Mhe.huyo mama anataka pesa tu 😂😂😂
@franklungu7982
@franklungu7982 4 жыл бұрын
Nimekusoma
@magefrancis86
@magefrancis86 4 жыл бұрын
Lia na wewe upewe pesa kama rahisi kihivyo.
@ndeletwaswai3530
@ndeletwaswai3530 4 жыл бұрын
Mama manka we ni nomaaa
@maselemaseleboy2366
@maselemaseleboy2366 4 жыл бұрын
Huyo diwani yuko vizuri Na tumpongeze Sana magu lazim tutoboe hakuna kukupangia bei
@naomikatharinaandrewmnkai6760
@naomikatharinaandrewmnkai6760 4 жыл бұрын
Hahahaha mapenzi bwana wanaweza wakarudiana! Hahahahaha Rais wangu bwana. Nakupendaa
@joycewafula935
@joycewafula935 4 жыл бұрын
Huyo kijana anafaa kuwa mbunge hapo
@paulinebosibori3343
@paulinebosibori3343 4 жыл бұрын
Magufuli napenda unavyoiendesha nchi yako ingawa m NM Kenya mola akunehemee
@fatumaseleman1579
@fatumaseleman1579 4 жыл бұрын
Pole mwanamke mwenzangu
@georgeigogo9259
@georgeigogo9259 4 жыл бұрын
Pole yann nawakati umesikia nimmachame
@mohamedrashid7323
@mohamedrashid7323 4 жыл бұрын
Mimi natokea Kenya walai raisi wakenya hajwahi fanya kama hvi kusimama kuskiliza wananchi wake aki Tanzania muna rais na nusu mungu ambariki Sana
@susanruo8087
@susanruo8087 4 жыл бұрын
Aki wamebarikiwa sana... Yaani Kenya ni aibu tu
@mwambietv7614
@mwambietv7614 4 жыл бұрын
Mohamed Rashid Acha kumtaja Mungu ovyoo ovyoo punguani ww
@ahmedmahmudu1046
@ahmedmahmudu1046 4 жыл бұрын
MWAMBIE TV wewe ndo mpuuzi kakosea wapi?
@faustinedeogratias4337
@faustinedeogratias4337 4 жыл бұрын
@@mwambietv7614 kwaiyo we ulomtaja kwa nidham umebalikiwa kumzid mwenzio? ....
@richardgirgis4302
@richardgirgis4302 4 жыл бұрын
@@faustinedeogratias4337 siyo umebalikiwa sema umebarikiwa
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,4 МЛН
MAGUFULI Akutana na MFUNGWA Aliyemuua MKEWE, Amwaga MACHOZI "Niachieni"
3:26
MAKONDA AAMURU OCD BUGURUNI APANGIWE KAZI NYINGINE, WANANCHI WASHANGILIA
11:59
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52