No video

Miujiza ya kweli na fake. Pastor Timothy

  Рет қаралды 18,441

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

2 жыл бұрын

We do not bare any copyright claim to the audio Nasheed in used in this video.
Intro Nasheed copyright: Salam Network On behalf of: Alwan Al Taif ( / alwanaltaifofficial )
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya Straight Path Da'wah Kwa video mbali mbali za Da'wah.

Пікірлер: 158
@eusterusaji1920
@eusterusaji1920 2 жыл бұрын
Nakumbuka wakati niliposlim nilisoma Qur an kila cku kutoka fatiha hadi annas nilienjoy kila kisomo, nilifika mahali natabasamu mahali pengine nahuzunika pengine nacheka haswa mpaka naskika mahali pengine nalia kulia hakika katika Qur an nilipata kila kitu. Allah hajaacha jombo lolote nnje kila jambo Amelieleza nilijiambia kua Hakuna kitabu kama Qur an dunia mzima hiki ni kitabu cha kipekee
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
Hakika
@marianachriss2444
@marianachriss2444 2 жыл бұрын
YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi na zaidi ya Yeye hapana mwingine, tubuni kabla haujachelewa
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 жыл бұрын
Sasa mnatubu nn na mshasamehewa dhambi ...
@hellendiana625
@hellendiana625 2 жыл бұрын
Naam!!, very good bro Timmothy, inamjibu sambamba na neno
@allymussa4646
@allymussa4646 Жыл бұрын
Sheikh mungu. Azidi kukuongezea elimu inshallah
@achanifumos1093
@achanifumos1093 2 жыл бұрын
MashaAllah...shaikh ramadhan kuria bin kaguo mungu akuzidishia ilmu na hikma na subra na IKHLASW...na ndugu timothia umeonesha uhusiano mzuri na Mungu akuongoze kwenye haki na uione haki na uifuate haki...amiin
@Estherm309
@Estherm309 2 жыл бұрын
Ogera pastor timothy mungu akujaalie ekima na moyo wa ushujaa
@uuubfyfftyvcf4896
@uuubfyfftyvcf4896 2 жыл бұрын
Bure kabisa
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 жыл бұрын
Maskini weee
@suleimanmumani4180
@suleimanmumani4180 2 жыл бұрын
Mashallah, Kazi nzuri Shaikh.
@user-pi1uq2on9b
@user-pi1uq2on9b Жыл бұрын
Allah akulipe kila kheri shehe weru RAMASHANI KURIA
@sallybabz1398
@sallybabz1398 2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah mjadala mzuri umetulia Allah awatuongoze jamii Islam
@ukweliwauislamu9590
@ukweliwauislamu9590 2 жыл бұрын
Masha Allah , JazakAllahu kheyran sheikh Ramadhan Kuria ....
@gladysrael3396
@gladysrael3396 2 жыл бұрын
Wewe kuria unaumwa sana juu ya pastor Ezekiel nautaumwa sana na bdo waislamu wanaogolewa katika jina la yesu kristo
@khalfanikishki2646
@khalfanikishki2646 2 жыл бұрын
Matayo 7:22) waovu wanaolitumia jina la Yesu
@kenyan9739
@kenyan9739 2 жыл бұрын
We were given power by jesus that's why we cursed demon by his names we dont have to crum arabic words
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
Jamani wokovu ni gharama!!
@hassanmpemba5747
@hassanmpemba5747 2 жыл бұрын
Masha Allah Allah akukinge na mabaya sheikh wetu
@khatibuhijja459
@khatibuhijja459 2 жыл бұрын
Maashaa Allah
@ambbabu4122
@ambbabu4122 2 жыл бұрын
Mashaa Allah..hicho kilikuwa chanzo lakini mashaa Allah chanzo kizuri sana nawaomba tu ndugu zangu waislam na wakristo tusiwe na maneno ya kejeli kwa walimu wetu sababu kejeli halitatusaidia na lolote tuwaishim na tuwapende wote na tujifunze kupitia kwao walimu wetu. Shukran na kama ntakuwa nimeongea makosa munisamehe Nawatakia kila la kheir
@achanifumos1093
@achanifumos1093 2 жыл бұрын
Uko sawa ndugu ktk uislam...tupendane kwa ajli ya Allah
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Kabisa pastor ..yah roho mtakatikifu ndani yako ndo atakuelekeza.Faith with Actions.
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Mashallah Shekhe Ramadhani Kurya Allah akuweke.
@makenakendi9014
@makenakendi9014 2 жыл бұрын
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers
@aishawangui6635
@aishawangui6635 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah iingekua kheri kwa sisi sote waislam na wakristo kua na minjadala ya amani kama hawa wapendwa wetu in shaa Allah izidi
@fatimahrashid2356
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
Masha Allah ❤❤❤
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 2 жыл бұрын
Masha Allah
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
MashaAllah.wellcome back sheikh Ramadan kuria
@alibabaunder1816
@alibabaunder1816 2 жыл бұрын
Mashaallah sheikh wetu
@mgenibwanamdogo2826
@mgenibwanamdogo2826 2 жыл бұрын
Mashaallah tabaraka allah sheikh mungu akulipe duniani na kesho akhera inshaallah
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 2 жыл бұрын
Allahuma Ameen
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 жыл бұрын
Masha Allah Ustaz.good Job
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 жыл бұрын
Waalekumsalam warahmatullah wabarakatuh 🥀
@marvelousofzanzibar9556
@marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын
Miujiza ya uongo ipo sana tu
@rooseupojuubuanaaarose3011
@rooseupojuubuanaaarose3011 2 жыл бұрын
Masha Allah tabarak Allah
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 жыл бұрын
Camera iko poa maa shaa allah
@muminaroba9122
@muminaroba9122 2 жыл бұрын
MashaAllah
@nooroman2535
@nooroman2535 2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah
@bnussrahlimsantah3730
@bnussrahlimsantah3730 2 жыл бұрын
Mashallah
@HassanAli-eq8ko
@HassanAli-eq8ko 2 жыл бұрын
Mashaallaah jazakumullah kheir kwa mdala nzr wa amaan kabsa
@moanamohammed1406
@moanamohammed1406 2 жыл бұрын
Allah akuhifadh sheikh Ramadhan Kuria
@saumukayaa3979
@saumukayaa3979 2 жыл бұрын
Mashaa.Allah
@Di-official97
@Di-official97 2 жыл бұрын
Maashaa Allah shekh Ramadhan Allah akulipe kheri kwa bidii zko
@mutomubaya
@mutomubaya 2 жыл бұрын
Hawa watu huwa wamepotoka ila hawajitambui. Kuhusu muumba wao hawamjui. Ukiwatajia Allah tazama utaona hawamjui. Kuhusu Mitume wanadai wanamfuata Yesu. Jina hilo pekee lina dalili kwamba mama yake alipomzaa hakumuita Yesu. Allah amemuita Isa bin Mariam. Lakini tazama wanavyosisitiza. Msikitini watu huponywa kwa kusomewa Qur'an. Akiponeshwa mtu msikitini kwa uwezo wa Allah haitangazwi kwamba kuna Sheikh amefanya muujiza. Kuhusu bidii ya kuleta Ukristo je Mwenyezi Mungu alimtuma Mtume yeyote mkristo?
@ngalahamad3148
@ngalahamad3148 2 жыл бұрын
Ma Sha Allah sheikh Ramadhan
@salimbilali5174
@salimbilali5174 2 жыл бұрын
Laiti mapastor wote wangekuw Kam uyu bwana BC kusingekuw na upinzani anakaa mrahisi Sana WA kuelew dini ya haki ni gani
@datestimony8568
@datestimony8568 2 жыл бұрын
Ile siku huu ijinga wa kuchanganua dini utaachwa na waislamu basi dunia itakua mahali pazuri sana
@aburaasmedia3682
@aburaasmedia3682 2 жыл бұрын
Mashaallah ALLAH BARIIK awe missed for a while
@kingsdaughter2040
@kingsdaughter2040 2 жыл бұрын
Kama mtu anaye amini mungu miujiza zipo tena nyingi sana bali kama unatashishwi mungu hawezi utafeli mtihani ya mungu
@sulimankarusi8345
@sulimankarusi8345 2 жыл бұрын
Walakum salam Mashallah
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 2 жыл бұрын
Sasa ostaz unataka utumie jina la Yesu Kristo msikitini ambapo hamkubaliani na nguvu za Kristo ili uone nguvu za Yesu Kristo lazima umkili Yesu Kristo kuwa Bwana na mwokozi wako.
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Katika Isaya 43 Mwenyezi Mungu anasema hapana mwokozi zaidi yake
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Yesu alisujudu na waislamu wanasujudu ss nyie munakubaliana na nguvu za yesu mbna hamusujudu kanisani kama yesu? Nyie wafuasi wa Paulo sio yesu
@gladysrael3396
@gladysrael3396 2 жыл бұрын
Ndio mwalimu wa kikiristo miujiza siko
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Jadhaakallahu kheri
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
Sheik Ramadani anasumbuka xana na jina la Yesu masihi::
@khalfanikishki2646
@khalfanikishki2646 2 жыл бұрын
Matayo 7:22)
@kenyan9739
@kenyan9739 2 жыл бұрын
Very true hapati Amani
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Yesu yupi?
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Na kila mtu atauchukuaa mzigo wake mwenyewe,na kila mtu atatoa habari zake mwenyewe mbele za Mungu siku Ile inakuja.Jiandaye siku hamna aijuayo...
@shabanirukundo4272
@shabanirukundo4272 2 жыл бұрын
Shukra sheikh wetu kuria kwakitufunza jambo
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
Wacheni waisilamu watafute miujiza kwa ajili za nafsi zao: wengi wanatafuta tiba kwa masheik na masheik wamefeli kufanya tiba kamili:
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Kwani nani kamzuia muisilam kujiombea mwenyewe??? Na masheikh hawakufeli ila kila jambo lazma lipitishwe na Allah na sio sheikh, Pasta, wala Padre! Hata Nabii Issa a.s /Yesu aliyoyafanikisha yote alimuomba Allah na akayapitisha na ndio yakawa. Sasa sheikh ni nani hata afanikishe kila kitu??? Na ukija kwenye masuala ya wakiristo hakuna miujiza wafanyao itokayo kwa Allah/Mungu. Mana wote ni washirikina na wanakwenda kinyume na Allah.
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 жыл бұрын
Maombi kila moja anaweza kujiombea mwenyewe tatizo nyinyi wakristo hamuamini kitu bila wachungaji mm nikipatwa tatizo maombi najifanyia mwenyewe sio lazima shekhe hao wachungaji wenu wenyewe washirikina wengi wao wamekamatwa na wamekiri kutumia nguvu za giza
@apostlesammymutachicfc.3744
@apostlesammymutachicfc.3744 2 жыл бұрын
Nashukuru kwakuwa Mwalimu Ramadhan amesema na kunukuu kuwa Muhammad hakupewa kufanya miujiza, tena eti, Muhammad kafanyaiujiza, kumaanisha Muhammad kaenda kinyume na Qur'an. Ni nini anatuambia?
@nubianqueen6700
@nubianqueen6700 2 жыл бұрын
Asalam walaykum warahmatulahi wabarakatuh sheikh! JazakAllah khair for your efforts may Allah swt reward you abundantly. I enjoy your channel very much. I would like a copy of that book, I live in Chicago Illinois USA. How should I go about it?
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Wa aleyikum salam warahmatullahi wabarakatuh, kindly text me on WhatsApp +254777600777
@achanifumos1093
@achanifumos1093 2 жыл бұрын
Amiin
@apostlesammymutachicfc.3744
@apostlesammymutachicfc.3744 2 жыл бұрын
Kuna dosara nyingi Sana katika haya mafundisho, moja wapo ikiwa, ishara, miujiza na ishara ni vitu viwili tofauti, pili, Muhammad hakupewa kufanya miujiza, yy na waislamu, sio wakristo, katika Kristo ndiko kunamiujiza, Tatu, nifafanulueni miujiza ni nini?
@grdcgv7ufdwdfghh633
@grdcgv7ufdwdfghh633 2 жыл бұрын
Waislamu,wakrsto ifikapo siku ya kiama kila mmoja ataesabiwa matendo yake kwa wakati wake asiyefanya mwiujiza na afanyaye kwa hivo mwiujiza hipo lkn andiko tulipewa buru tutoe bure mwenye hekima na asome maandiko vixuri na ataelewa
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Muisilam atahesabiwa lkn mkiristo na mshirikina wao hawana hesabu, watakwenda motoni moja kwa moja na hawatotoka mana waliabudu kisichofaa kuabudiwa.
@catherineshatuma766
@catherineshatuma766 2 жыл бұрын
You fellow Muslims mnakaribishwa kanisani wakat wowote,njooni msaidike kitambo ustadh akuje akotowe utakuwa umesaidika.
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 2 жыл бұрын
Uisilamu ni dini ya uongo
@tbwoy216
@tbwoy216 2 жыл бұрын
Wamekuja kwa jina LA YESU ... hawajatumwa na YESU...YESU hawajui....
@shindeznur7290
@shindeznur7290 2 жыл бұрын
Assalaam aleykum sheikh
@shabanirukundo4272
@shabanirukundo4272 2 жыл бұрын
Tymoteo nimuelewa Ila hatakitu uislam
@consolatandanu3264
@consolatandanu3264 2 жыл бұрын
Heri huyo atumia muijiza kuliko kuchomeka na moto ,,,Mimi nitaeda katika enzini
@manenoagrey1519
@manenoagrey1519 2 жыл бұрын
Mpaka sasa dunia ipo mfumo kristo hivyo utawala wa Yesu bado hizi ni zama zama za yesu
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
Muujipa wakupaa mbinguni sio muujiz hata wachawi wanapaa mbinguni xana nakurudi makwao::
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 2 жыл бұрын
Wachawi hawapai kwenda mbinguni,wao hupaa kwenda angani siyo mbinguni. Yesu alipaa kwenda mbinguni siyo angani
@casaica2993
@casaica2993 2 жыл бұрын
Mna waganga na wachawi
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Waganga wapo kila pahala. Isitoshe nyinyi mnampaka wachungaji wapumbavu, wasagaji na mabasha.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Hao wachungaji wote wachawi wakubwa kazi kukulisheni maji ya ukeni tu mdumu kumkufuru Allah/Mungu
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Hebu mwambie atusomee kwa ghibu angalau karatasi 20+ kwa mtiririko km kweli bible ni miujiza. Mana Qur-an watu wengi wameihifadhi juzuu 30.
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Huyu mtu Yuko na wivu..mwataka Mungu awasaidie nanyi hamtaki kumtolea shukrani zake Wala sacrifice...hehe hata Abraham alitoa sacrifice woyee...someni bible(Acts 19;11_12)Pastor prayer cloth utapata hapo soma bibilia pia wewe acha ubwagizo
@catherineshatuma766
@catherineshatuma766 2 жыл бұрын
Ni wangapi uenda kwa waganga na mmenyamaza, go to those withdocctors muwafundishe dini kwanza
@marcbanyankirubusa135
@marcbanyankirubusa135 2 жыл бұрын
Ramhadani umepatana na mwalimu si vile ulienda mitaani kusilimisha watu wasiojua maandiko.
@uuubfyfftyvcf4896
@uuubfyfftyvcf4896 2 жыл бұрын
Mwalimu gani Huyu kapotea
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 2 жыл бұрын
Ww una unajua mandiko
@ramadhanjuma610
@ramadhanjuma610 2 жыл бұрын
@@uuubfyfftyvcf4896 🤣alo potea nani
@uuubfyfftyvcf4896
@uuubfyfftyvcf4896 2 жыл бұрын
@@ramadhanjuma610 Alo potea ni pastor
@saidmzee2554
@saidmzee2554 2 жыл бұрын
Kwanza huyu Hana sifa ya ualimu kabsa afundishwe kafiri huyu anodanganya wenziwe
@maureenmasoni1276
@maureenmasoni1276 2 жыл бұрын
Jipeni shughuli muache umbea
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 жыл бұрын
Mbea ni wewe ulie ingilia jambo lisilo kuhusu, fuata wanao kudanganya kwa miujiza wanao taka utajiri kwa mali za watu wanazo itisha wakisema ni sadaka lakini mshirika akitaka kazi ama utajiri anamuombea
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 жыл бұрын
@Mithika Precious Labda anayefaa kujielewa kwanza ni wewe uliyejawa na giza la shetani machoni mwako ndio usielewe kati ya uongo na ukweli
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Kuna shughuli zaidi ya maneno ya mungu? shetani mkubwa ww unaechukia maneno ya mungu
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 жыл бұрын
Kwani unatesekea ukiwa maeneo yapi dada ? Usitufokee
@maureenmasoni1276
@maureenmasoni1276 2 жыл бұрын
@@maherzain615 Shetani ni wewe. No wonder you cant trust what God is doing through his servant. May you not have peace until Jesus Christ comes to your life
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Prayer cloth (Acts 19;11_12)huyu ni pastor wa wapi sasa
@triuneapologeticsevangelis5912
@triuneapologeticsevangelis5912 2 жыл бұрын
Ramadhan,nani alimuona Mohammad akipaa na kurudi,kupasuka kwa mwezi nilikua eclipse tuu...hohoho danganya Toto @Ramadhan bin muongo kaguo
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Na nani alimuona Yesu akienda kujaribiwa?
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 жыл бұрын
Nani alimuona yesu akienda kujaribiwa na shetani?
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 2 жыл бұрын
@UCBZCTLMVI-jmaX2GhlaqAbg Mtume Muhammad Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake aliwaambie maswahaba zake na ndio maana ujumbe ukatufikia sisi. Kwanza yesu arudishe punda alie muiba
@maherzain615
@maherzain615 2 жыл бұрын
Hakuna aliemuona. we ulimuona yesu akisulubiwa?
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692 kwa hiyo wewe mwangi je unatushuhudis kuwa Yesu masihi alikuwa masihi?
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Huyu mbona kama alikuwa muislamu.. hawa ndio watu hatari wapotoshaji
@alexissangali8650
@alexissangali8650 2 жыл бұрын
MIUJIZA NI KWELI NA HAKIKA(kzbin.info/www/bejne/a6KblXSkabx2Zsk)
@jamalathman6219
@jamalathman6219 2 жыл бұрын
Huyo pastor timothy ni muongo kila mtu yualala akiamka mwenyewe huo c miujiza to a miujiza ya kueleweka
@gladysrael3396
@gladysrael3396 2 жыл бұрын
Wacha kudanganya wtu kuria huyo ni mtu wa majini
@gettyjusa3352
@gettyjusa3352 2 жыл бұрын
😁😁😁😁
@joshuagikonyo7247
@joshuagikonyo7247 2 жыл бұрын
Timothy Wacha uongo.kila kitu kina bei.ata mafuta yaliyo OSHA yesu miguu kabla ya kusurubishwa yalikua ya bei.swali.nani shahidi kwa miujiza ya mtume?
@saidmzee2554
@saidmzee2554 2 жыл бұрын
Shekh ramadhan mueleweshe kafiri uyo aki peke yake anaongea ujinga tu
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 2 жыл бұрын
Nimesheka Quran ni miujiza pastor hata ss tunamini bibilia ni miujiza 😂😂
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Qur-an ni miujiza tosha mana tokea ishuke haijabadilika, inahifadhika kwenye nyoyo za waumini na utakapokwenda utakuta Qur-an ni ile ile. Lkn bible hakuna aliyehifadhi hata karatasi 20 kwa mtiririko, na kila siku inabadilika na kila nchi inabible yake.
@casaica2993
@casaica2993 2 жыл бұрын
Kuria umeulizwa miujiza ambayo Mohammad alifanya ww bado unakodoa macho yako kubwa hapo... Wajua Hakuna ata moja Mohammad akafanya
@khalfanikishki2646
@khalfanikishki2646 2 жыл бұрын
Sahihi Bukhari no 3637) Sahihi Muslimu no 2800) miujiza ya Muhammad.
@carendeborah5687
@carendeborah5687 2 жыл бұрын
Sasa yakuhusu nini,acha kila mtu afate nafsi yake.
@bettywataka175
@bettywataka175 2 жыл бұрын
Nauliza mukhamed alifufuka amaa
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 жыл бұрын
Afufuke ili iweje ukifa ushakufa...SS hatumuabudu Muhammad tunamuabudu Mungu
@alibabaunder1816
@alibabaunder1816 2 жыл бұрын
Sheikh ramadhani mm naitwa Ali mkaaji wa mombasa County mtaa wa bombolulu,,,,,nakuomba Sheikh wangu number yako nko na matatizo kidogo
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
0777600777
@samutykuntathebantu8402
@samutykuntathebantu8402 2 жыл бұрын
Sheikh ameuliza hivi mathayo 12:38 kwamba Yesu hakuja kupeana inshara kwa kizazi hiki kwani ishara ya yonah kukaa tumboni mwa samaki siku tatu vilevile Yesu atakavyo kaa chini ya ardhi siku tatu ni ishara thabithi mbona unafikii kunukuu bibliana na hauamini Yesu kafaa siku tatu ardhini. Kafiri kweli waislmu
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 жыл бұрын
Kafiri ni wale wanaoabudu miungu mitatu baba mwana na roho mtakatifu kafiri mkubwa wee
@davidmaithya574
@davidmaithya574 2 жыл бұрын
Ninyi wawili ni mmekuja baada ya nabii issa kwa hivyo ni makristo wa uongo shida yenu ni pastor Ezekiel tena Koran na biblia asiwesi kuendanisha
@dedanngujo8880
@dedanngujo8880 2 жыл бұрын
Msitudanganye hakuna sheik anayefanya tiba bure : ukweli wokovu ni gharama::
@khalfanikishki2646
@khalfanikishki2646 2 жыл бұрын
Wapo.
@shamimnassor6192
@shamimnassor6192 2 жыл бұрын
Kwani nyinyi kanisani mwafanya bure hizo sadaka mnakula zann mbona kondoo wakitoa sadaka ndogo munawafokea?
@faridsaid9180
@faridsaid9180 2 жыл бұрын
Huyu ni yule walikuwa na marhem aliyerudi katika uislam
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
Hapana
@uuubfyfftyvcf4896
@uuubfyfftyvcf4896 2 жыл бұрын
Uwongo
@al_huda_theguidance5034
@al_huda_theguidance5034 2 жыл бұрын
Qu'ran ni muujiza kwa sababu iko kwa lugha yake hasili na inaambatana kwa kila tafsir ya lugha yoyote... Swali ni jee, mbona yesu alizungumza Aramaic na hakuna bibilia ya lugha ya yesu?
@samutykuntathebantu8402
@samutykuntathebantu8402 2 жыл бұрын
We unashida water ni maji neno la Mungu kwa kwa lugha yoyote ni ileile
@al_huda_theguidance5034
@al_huda_theguidance5034 2 жыл бұрын
@@samutykuntathebantu8402 sijakataa, but atleast utaona kumeandikwa water ndio utajua ni maji, Sasa usipoona Hilo Jina water, utajuaje ni maji
@samutykuntathebantu8402
@samutykuntathebantu8402 2 жыл бұрын
@@al_huda_theguidance5034 haujielewi Mungu sio mwarabu.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
@@samutykuntathebantu8402 jina mungu ni sifa hebu Tia Akili hivi nikuulize Uhuru kinyatta jina lake ni Raisi ama ni Uhuru ? Kwahio jina mungu WA dunia mzima ni ALLAH jina lake halibadili utakapo enda ni China ni Ghana ni uzunguni ni Kenya itabaki ALLAH Kwa sababu ya mungu kajiita jina Hilo ni hii kwamba jina la mungu inaitwa watu tafauti na vitu tafauti Leo kuna watu waabudu jua kwahioo wnasema jua mungu ww wasema mwanadamu yesu mungu masanamu wahindi wabaniani waita mungu ngombe wanipal ngombe Kwao mungu wachina wale wnaabudu tattoo waniita mungu BT ALLAH ni mmoja tuu na hakuna hata mmoja anaeitwa ALLAH kwahio hata yesu na Musa walikua wanajua kua ni ALLAH ww mbona wapinga
@andallaathman3856
@andallaathman3856 2 жыл бұрын
@@samutykuntathebantu8402 kwahio Kwa Hilo jina lakiarabu ndio limekutatiza ww tuuu sasa tukufuate ww akili yako kwahio mungu ni mwanaume ,kisha ni muyahudi sio anaongea hebru ama ?
@datestimony8568
@datestimony8568 2 жыл бұрын
Ndugu zangu huu mjadala wa kulinganisha dini tangu uanzishe umerekebisha kipi kikubwa? Mbona msitumie muda kuombea nchi na ulimwengu kwa ujumla Mungu atunusuru na majanga mbali mbali. Hivi ni subscribers watafuta ama ni nini
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 жыл бұрын
sisi tunawazindua watu akili zao sasa wewe tusaidie kuiombea nchi kwa upande wako na pia ukipata hao subscribers uniletee, shukran
@gladysrael3396
@gladysrael3396 2 жыл бұрын
Sasa wewe kuria qorani na blbllia ni gani ya Kwanza tena MUNGU ndie aliongea juu ya lsilaeri wewe na Muhammad wako potesea
@khalfanikishki2646
@khalfanikishki2646 2 жыл бұрын
Bibilia kitabu cha wazungu.
@casaica2993
@casaica2993 2 жыл бұрын
MUISLAMU ANA AKILI ZAKE TIMAMU ATAJUA KWELI UISLAMU NI UONGO😂😂😂 ETI MOHAMMAD ALITEMBEA HIYO NI MUUJIZA...MIMI PIA NATEMBEA HIYO NI MIUJIZA
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Ww ndie huna akili unaeabudu kinachokunya, kula na kulala km ww. Isitoshe umepata kuona wapi Mungu akafa kwa dhambi zako? Si akusamehe tu mpaka afe akuache ww aliyekuumba kwanza???
@yusufebrahim3257
@yusufebrahim3257 2 жыл бұрын
Usilolijua ni kama usiku wa giza
DR. GERISHON AIKOSOA TAFSIRI YA BIBLIA
59:19
Straight Path Dawah
Рет қаралды 4 М.
MASWALI NYETI YALIYOWATATIZA WACHUNGAJI
35:55
Straight Path Dawah
Рет қаралды 11 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 32 МЛН
RAMADHAN KURIA USO KWA USO NA SAID MWAIPOPO
48:01
Straight Path Dawah
Рет қаралды 15 М.
YESU HAKUFA WALA HAKUSULUBIWA MSALABANI NIKATIKA MJADALA MUKURU RUBEN
1:13:12
YUSUF DA-WAA KENYA 0728830597,0736253243Whassapp
Рет қаралды 9 М.
PASTOR NDACHA AKUBALI KUWA YESU SIO MUNGU MKUU. (PART 2 B)
1:00:23
Straight Path Dawah
Рет қаралды 10 М.
Mwalimu Ndacha akula kibano, Ipi dini ya Mitume na Manabii?
1:00:39
Straight Path Dawah
Рет қаралды 63 М.
MWINJILISTI NDACHA ASEMA UTATU NI UPAGANI (PART 2)
59:56
Straight Path Dawah
Рет қаралды 28 М.
WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA
57:21
Straight Path Dawah
Рет қаралды 14 М.
Fortunately, Ultraman protects me  #shorts #ultraman #ultramantiga #liveaction
00:10