MKANDARASI ANUSURIKA KICHAPO KWA KUMDANGANYA WAZIRI AWESO, WANANCHI WACHARUKA "HUYU TUACHIE SISI".

  Рет қаралды 91,323

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 303
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 Жыл бұрын
Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii, Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka, Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
@allychapa155
@allychapa155 Жыл бұрын
Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana
@ZawadiMgeni-l6r
@ZawadiMgeni-l6r Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.
@jeromepetrododomatunawapat3654
@jeromepetrododomatunawapat3654 Жыл бұрын
Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.
@timboxlee919
@timboxlee919 Жыл бұрын
Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@asantechota8974
@asantechota8974 Жыл бұрын
Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs Жыл бұрын
Big up,keep it up Aweso!💪
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 18 күн бұрын
Angekuwa Makonda katoa amri hiyo baadhi ya viongozi na wananchi wangesema kadhalilisha viongozi
@allymoshi2053
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister
@pancrasmalamla9799
@pancrasmalamla9799 Жыл бұрын
Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki
@fambemwanga8401
@fambemwanga8401 Жыл бұрын
Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao
@ashelimwamlima602
@ashelimwamlima602 5 ай бұрын
Kuna yule slaa na yuko vzr sana
@thomasmakweta3860
@thomasmakweta3860 Жыл бұрын
Mungu akujalie waziri
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Huyo mwamba mda mrefu sijamsikia aissssseeee yupo vizuri mnooooo
@hamishassan6784
@hamishassan6784 Жыл бұрын
Hawa ndio mawaziri watu kazi bhana safi sana Uweso
@salamanhonya9677
@salamanhonya9677 Жыл бұрын
Hii ndo serikali ya Awamu ya Sita. Mama Samia Nakupenda Sanaa wewe na serikali Yako. !!
@RaymondElisha-pu9dz
@RaymondElisha-pu9dz 5 ай бұрын
Kwa stairi hiyo waziri nimeipenda chapa kazi kaka mungu yu pamoja nawe
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 11 күн бұрын
safi❤❤ waziri
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 Жыл бұрын
Akuuh, 😂😂 mimi sio mkandarasi
@salamanhonya9677
@salamanhonya9677 Жыл бұрын
Hongera sana waziri Tanzania tunataka viongozi kama wewe. Inafurahisha.
@vuaivuai9005
@vuaivuai9005 Жыл бұрын
Hongera muheshimiwa waziri huwa ndo ufanyaji kazi
@sammymdemeka7937
@sammymdemeka7937 Жыл бұрын
Mkandarasi anatembea kama Jonas Savimbi 🤣🤣🤣🤣🤣
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Жыл бұрын
Savimbi
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
😄😄
@issashekh4726
@issashekh4726 Жыл бұрын
😂
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
😂😂😂😂mzee baba,amechoka kudanganywa leo ni mwendo wa jeshi tu😂😂
@salimumpoma8393
@salimumpoma8393 5 ай бұрын
Mama Samia upooo/ooo
@rusanzurubigo1103
@rusanzurubigo1103 Жыл бұрын
Hakika,hiyo ndio maana halisi ya kuwatumikia WANANCHI,unafanya MAKUBWA lakini hujivuni,Asante sana.
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 Жыл бұрын
Naomba kurud Tanzania uku nilipo nakuona kumelala sana
@ericbalige1781
@ericbalige1781 Жыл бұрын
😂😂😂 Mh. umetisha sana. Kutembea umbali wote huo so mchezo!
@revocatusbarnaba1491
@revocatusbarnaba1491 Жыл бұрын
Ee bhana maji hamuna.
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 3 ай бұрын
Safii sana mtoto wa mzee aweso walizaniumelala haahaha
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
KWANI HAWA JAMAA HUWA WANACHUKULIWA ATUA GANI....!?? MBONA HUWA SIPATI FEEDBACK ZAO
@johnfue2387
@johnfue2387 Жыл бұрын
Amefanya Magufurification, anastahili pongezi. Kazi njema sana kwa Waziri Aweso
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын
Huu waziri anafaa kabisa Tanzania 🇹🇿 tungepata 100 kama huyu ujanja ujanja usingekuwepo
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 Жыл бұрын
Hongera Aweso watanzania tunakuona wewe ni jembe katika kazi
@Joseph-tm1ri
@Joseph-tm1ri 3 ай бұрын
Aweso👍
@nuhhumwakanyamale4771
@nuhhumwakanyamale4771 Жыл бұрын
He hapa tupo na mh waziri tumetoka kuangalia maji, "Heeee bwana maji hamna....... Hahahaaa......
@SongilGook-ei2my
@SongilGook-ei2my Жыл бұрын
Na wezi wa fedha za uma wangekuwa wanashughulikiwa hivi daaah yani nchi ingekuwa imenyooka mpk co poa
@AhajHhh
@AhajHhh Жыл бұрын
Nakuaminia bb❤
@jozeeshirima9231
@jozeeshirima9231 7 ай бұрын
safi sana uwesu
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 Жыл бұрын
Safi sana waziri chapa kazi
@g.karathaofficial666
@g.karathaofficial666 Жыл бұрын
Kuna mtawala na kiongozi.Bali wewe ni kiongozi,Mama angepata majembe kama haya daaah Tanzania 🇹🇿 ingekuwa moto mkubwa ambao hauzimiki. God bless U.
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Ndiyoooo baba aweso 😅 Chaos kazi mwanangu
@aminamjema-kf7qr
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Wangefatilia miradi yote na pia kufilusiwa wangejirekebisha na maisha yangebadilika
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Safi sana chapeni,wanatusumbua sn.
@DenisLukomwa-u9v
@DenisLukomwa-u9v Жыл бұрын
Duuuh! AWESSOooo!!😅😅🙌👏👍
@kamalissabig4631
@kamalissabig4631 Жыл бұрын
Huyo Mgambo atae jaribu nishika kwenye mkundu Walah ntamgonga ngumi wataniua iyo siku
@DenisLukomwa-u9v
@DenisLukomwa-u9v Жыл бұрын
Waziri Amechafukaa😅😅 vumbi nyong'o nyong'o 😂😂
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Жыл бұрын
Duh angesema tu ukweli jamani hawa ndowanaharibu nchi sio kidogo
@onesmowilfred7523
@onesmowilfred7523 Жыл бұрын
Kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani bado haijafanikiwa kama waziri anatakaka kufikia lengo ,kazi aliyoianza isiishie hapo
@ronniebertin3563
@ronniebertin3563 Жыл бұрын
Mkandalasi fyekelea mbali. Sukuma ndani
@sekishafii3896
@sekishafii3896 Жыл бұрын
Safi Sana kijana wetu fanyakazi waone mtunda yako yakuzaliwa tanzania
@jambo3751
@jambo3751 Жыл бұрын
Mkandarasi amesahau vituo alivyotengeza 😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​@@jambo3751SIO KASAHAU HAVIJUWI VILIPO 😂😂😂😂😂 TOKA 2020 MIAKA 3 HAJUWI VILIPO 😂😂😂😂
@rezegerezege691
@rezegerezege691 Жыл бұрын
@@jambo3751 😂😂😂🤗🤔inakera sana
@shadrackmohamedi8765
@shadrackmohamedi8765 Жыл бұрын
This is Tanzania. Hongera Mh. Waziri, ila hata wasimamizi ktk hiyo wilaya wafukuzwe.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
duh ! hii nchi ni shida sana .
@isayandolomindolomi1853
@isayandolomindolomi1853 Жыл бұрын
Mmmmm hiyo kali
@ChrisMwambeje
@ChrisMwambeje Жыл бұрын
aweso huna deni na mimi
@komboarts7110
@komboarts7110 Жыл бұрын
Mwijaku amehusika kutuchoma mradi wetu tusishibe 😅😅😅. Natania jamani
@felixsolomon6293
@felixsolomon6293 Жыл бұрын
Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂
@FakihiNapunda
@FakihiNapunda Жыл бұрын
Dah watu hawana huruma! Wanamdanganya hadi Aweso! 😂
@aishachambo8663
@aishachambo8663 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 Жыл бұрын
😹😹😹😹
@yohanasiminzile2096
@yohanasiminzile2096 Жыл бұрын
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
@mohamedkutwambi
@mohamedkutwambi 8 күн бұрын
Tumbo la mkandarasi 😂😂😂
@vansclassic2131
@vansclassic2131 Жыл бұрын
Oya hawa VIP brow
@JohnGyunda
@JohnGyunda Жыл бұрын
Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu
@mohammedamour4930
@mohammedamour4930 Жыл бұрын
Hao ndio wawekezaji wa ndani.tuwape na bandali
@Josh_1194
@Josh_1194 Жыл бұрын
Hii ndo yenyewe
@mathiasmsumeno8516
@mathiasmsumeno8516 Жыл бұрын
Lowasa on those days 👏🏾👏🏾👏🏾
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
I second you
@senseiamani4684
@senseiamani4684 Жыл бұрын
Haaaaahaaaaa daaaah nimecheka
@festohaule9716
@festohaule9716 Жыл бұрын
Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie
@fundiwawilaya8147
@fundiwawilaya8147 Жыл бұрын
wako wawili tu na bashe
@joshmsojo3069
@joshmsojo3069 Жыл бұрын
Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 Жыл бұрын
Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani
@aminamjema-kf7qr
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Big up diwani
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 8 ай бұрын
Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
waha wenzangu wamekomaa dah😂
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 6 ай бұрын
Awesu komesha ya wababaishaji😂
@neemaisrael688
@neemaisrael688 16 күн бұрын
Ofisadi ni tibia mbaya sana.
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 6 ай бұрын
Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi
@lastkinglastking3326
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
That's why rais mama samia anapenda huyu jama Hana uzembe
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN 16 күн бұрын
Hiyo ni kweli uwongozi wapewe Vijana Wanauchungu Na Nchi Yao Nawasifu Wana Lugalo Mbunge nyamoga kijana Diwani Wao mh Mfugwa kijana Mtendaji Mh msigala Kijana Tunashukulu Tunapata Maendeleo mazuli
@victorjames3730
@victorjames3730 Жыл бұрын
Serikalini wapigaji wengi sana
@deoyessaya8689
@deoyessaya8689 Жыл бұрын
Wangemkanda kwanza kidogo.
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 Жыл бұрын
😂😂😂
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Жыл бұрын
Mawaziri mnakaa sana ofisini
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 Жыл бұрын
Waha Sasa 😂
@mnamamnama2732
@mnamamnama2732 Жыл бұрын
Pingu hamna,?
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын
Iyo inaitwa nyayo kwa nyayo
@stellajoseph9334
@stellajoseph9334 Жыл бұрын
😂😂😂 mguu kwa mguu, nyayo kwa nyayo
@athusmateru
@athusmateru Жыл бұрын
Sawa sawa
@frankvianey2438
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida
@samuelmwangu3301
@samuelmwangu3301 Жыл бұрын
Jamaa kachanganyikiwa, 😂alijua waziri hatahairisha ukaguzi
@charesslutandula2459
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Huyo mhandisi alidanganya kutokunywa uwesso hadanganyiki akasemamguukwamguu kukagua chezeaUwesso wewe
@PaulinaOtaigo
@PaulinaOtaigo Жыл бұрын
Alipaniki
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Жыл бұрын
Nimecheka hadi machoz yananitoka
@bernadetamodest6170
@bernadetamodest6170 Жыл бұрын
Na kweli kanusurika kipigo
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 Жыл бұрын
Vijana wanafanya kazi
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Жыл бұрын
Hata aibu halina linamdaanganya waziri jamani hili li baba ndevu tu akili hamna
@daslamonline4665
@daslamonline4665 Жыл бұрын
Jino kwa jino
@NsobiLema
@NsobiLema 11 күн бұрын
Njoooo na mbarali jamni mbona tunateseka maji
@abdallabundala404
@abdallabundala404 Жыл бұрын
Mh Aweso umefanya poa. Iyo ndio falsafa ya uwongozi ni dhamana
@HamadiMageti-ku2hg
@HamadiMageti-ku2hg Жыл бұрын
Muhemishimiwa juma aweso nakupa pongezi Sana pambana nchi hii inamafisadi Sana
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 Жыл бұрын
Mdogo wangu Aweso kz unayooo.
@MeryKusekwa
@MeryKusekwa 24 күн бұрын
Ila kachokaaa hatali
@JaziraMustafa-g9p
@JaziraMustafa-g9p 7 ай бұрын
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WANYUMBA ZA WATU DAR
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 18 күн бұрын
Yani wamemkwida suruali 😂😂😂😂😂😂 hadi atapike
@abdallahnyembo
@abdallahnyembo Жыл бұрын
Safi Sana wazili wa maji
@D.P.O
@D.P.O Жыл бұрын
Waziri siyo wazili
@KanoniKanoni-f5j
@KanoniKanoni-f5j 13 күн бұрын
Bila kupepesa macho aweso apewe uraisi
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 115 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,1 МЛН
MWANAFUNZI MWENYE KIPAJI AMUIGIZA RAIS SAMIA KILA MTU KICHEKO TAZAMA!!!!
7:51
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 16 МЛН