Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii, Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka, Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
@allychapa155 Жыл бұрын
Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana
@ZawadiMgeni-l6r Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.
@jeromepetrododomatunawapat3654 Жыл бұрын
Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.
@timboxlee919 Жыл бұрын
Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@asantechota8974 Жыл бұрын
Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.
@LeylatVlogs Жыл бұрын
Big up,keep it up Aweso!💪
@AlHamra-k4u18 күн бұрын
Angekuwa Makonda katoa amri hiyo baadhi ya viongozi na wananchi wangesema kadhalilisha viongozi
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister
@pancrasmalamla9799 Жыл бұрын
Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki
@fambemwanga8401 Жыл бұрын
Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao
Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂
@FakihiNapunda Жыл бұрын
Dah watu hawana huruma! Wanamdanganya hadi Aweso! 😂
@aishachambo8663 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@priscamrekoni3451 Жыл бұрын
😹😹😹😹
@yohanasiminzile2096 Жыл бұрын
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
@mohamedkutwambi8 күн бұрын
Tumbo la mkandarasi 😂😂😂
@vansclassic2131 Жыл бұрын
Oya hawa VIP brow
@JohnGyunda Жыл бұрын
Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu
@mohammedamour4930 Жыл бұрын
Hao ndio wawekezaji wa ndani.tuwape na bandali
@Josh_1194 Жыл бұрын
Hii ndo yenyewe
@mathiasmsumeno8516 Жыл бұрын
Lowasa on those days 👏🏾👏🏾👏🏾
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
I second you
@senseiamani4684 Жыл бұрын
Haaaaahaaaaa daaaah nimecheka
@festohaule9716 Жыл бұрын
Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie
@fundiwawilaya8147 Жыл бұрын
wako wawili tu na bashe
@joshmsojo3069 Жыл бұрын
Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye
@fatumatandika6220 Жыл бұрын
Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Big up diwani
@kassimmuktarymurji42428 ай бұрын
Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
waha wenzangu wamekomaa dah😂
@elispiuselias13396 ай бұрын
Awesu komesha ya wababaishaji😂
@neemaisrael68816 күн бұрын
Ofisadi ni tibia mbaya sana.
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂
@japhethcharles57916 ай бұрын
Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
That's why rais mama samia anapenda huyu jama Hana uzembe
@JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN16 күн бұрын
Hiyo ni kweli uwongozi wapewe Vijana Wanauchungu Na Nchi Yao Nawasifu Wana Lugalo Mbunge nyamoga kijana Diwani Wao mh Mfugwa kijana Mtendaji Mh msigala Kijana Tunashukulu Tunapata Maendeleo mazuli
@victorjames3730 Жыл бұрын
Serikalini wapigaji wengi sana
@deoyessaya8689 Жыл бұрын
Wangemkanda kwanza kidogo.
@kamanapomo7029 Жыл бұрын
😂😂😂
@Esterkomba-ef7eb Жыл бұрын
Mawaziri mnakaa sana ofisini
@elvisoscar9912 Жыл бұрын
Waha Sasa 😂
@mnamamnama2732 Жыл бұрын
Pingu hamna,?
@mwinukafundibombanjombe Жыл бұрын
Iyo inaitwa nyayo kwa nyayo
@stellajoseph9334 Жыл бұрын
😂😂😂 mguu kwa mguu, nyayo kwa nyayo
@athusmateru Жыл бұрын
Sawa sawa
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida