Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss
@mydiary395 жыл бұрын
Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv
@antybabybintrashid23334 жыл бұрын
I love Jesus same to me
@jeffersonsimon4774 жыл бұрын
R.I.P kibonde we miss u broh
@agoroanduru6233Ай бұрын
Rest in peace my brother KIBONDE
@fazeelshomary87435 жыл бұрын
Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace
@gracethomas6835 жыл бұрын
Fazeel Shomary pia Sajuki
@embedodo1112 жыл бұрын
kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!
@sadimiko13875 жыл бұрын
salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde
@user-hi8le2vb7z4 ай бұрын
KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI
@badmanno.16505 жыл бұрын
Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
@neycoleclassic44266 жыл бұрын
hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti
@angelntandu46485 жыл бұрын
Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa
@mohamedalaraimi68135 жыл бұрын
Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un
@emmanuelimaxxaka7545 жыл бұрын
R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈
@hadijaangura65725 жыл бұрын
RIP KAKA
@TheSalma19996 жыл бұрын
very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba
@saidangel89585 жыл бұрын
Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma
@patrickmsuguri5 жыл бұрын
Rip Kibonde ulikuwa smart..
@rashidisaidi85354 ай бұрын
Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤
@sandekanyamala24565 жыл бұрын
dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti
@alfanshonde24385 жыл бұрын
Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman
@hurumaevarest16905 жыл бұрын
Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde
@doramwanyika58265 жыл бұрын
Rip kibonde😭😭
@queenyahaya31475 жыл бұрын
R.i.P kibonde 😭😭😭
@nickalreadyknows5 жыл бұрын
Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah
@leaherasto9295 жыл бұрын
Rest In Peace Kibonde
@a.8565 жыл бұрын
Salama rudisha mkasi dada
@zuhurajuma6445 жыл бұрын
Kwann
@mariyaal53665 жыл бұрын
Rip kibonde
@tanzaniamycountry93085 жыл бұрын
R.I.P BROO
@yama_virginhairthequeen10654 ай бұрын
😢 SHAME SO much memories
@janekapela19675 жыл бұрын
Daaaaah 😢😭
@hamzambasha85773 жыл бұрын
R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now
@user-ik3ey9cs9e5 жыл бұрын
INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.
@motanzanya67235 жыл бұрын
Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE
@emanuel41485 жыл бұрын
Daah jamaa katutoka RIP
@josephgomalo4111 жыл бұрын
Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.
@suzanpatrick83815 жыл бұрын
r.I.p baba
@TheDinhoDesign12 жыл бұрын
Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!
@nakukanyatena306011 жыл бұрын
jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna
@antoniageorge53695 жыл бұрын
nakukanya tena una hadabu
@zumbaabiyah31845 жыл бұрын
Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.
@evelynmon64915 жыл бұрын
Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa
@salmarajab87075 жыл бұрын
K
@jeremiahmujinja4451 Жыл бұрын
R. I. P Kibonde
@masoudrashid83815 жыл бұрын
Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi
@lutemelele96195 жыл бұрын
r.i.p kibonde
@ahmedkapera69895 жыл бұрын
Nakumbuka ndungu yangu
@sultankaburutajr74225 жыл бұрын
Pumzika kibonde r. i . p
@bahatymsungu27795 жыл бұрын
Rip baba
@pikipiki_market5 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@marymathew65295 жыл бұрын
R.I.P Kaka Kibonde
@hamisreegan37385 жыл бұрын
Pumzka Kwa amani kibonde
@sistersade90395 жыл бұрын
salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.
Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka
@princehamad42255 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@shedrackmaluli13735 жыл бұрын
RIP Kibondee
@rajabk111 жыл бұрын
Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate
@a.8565 жыл бұрын
Rip baba poleni wte
@mihayoonline15736 ай бұрын
Endelea kupumnzika
@askaounga64565 жыл бұрын
Vipi mrembo ana sagg
@kevinbona766910 жыл бұрын
hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa
@jandaboytztz63145 жыл бұрын
RipKibonde
@angelmacha61365 жыл бұрын
R i p kibonde
@festomlowegypsum82145 жыл бұрын
Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe
@rehemahassan47796 жыл бұрын
Pole my bro
@magrethmoses7025 жыл бұрын
Rlp
@Frankvanmuniko11 жыл бұрын
KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz
@AbouDalgubay11 жыл бұрын
Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??
@josephgomalo4111 жыл бұрын
Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?
@narrob4teentebeconnexion5 жыл бұрын
Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........
Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.
@masoudmanya748810 жыл бұрын
Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini
@ramadhanihayeshi581210 жыл бұрын
Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.
@ombenisomi22109 жыл бұрын
Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years
@ramadhanihayeshi58129 жыл бұрын
Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu
@ombenisomi22109 жыл бұрын
You are very right Brother!
@ElizabethHosea12 жыл бұрын
Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)
@gervasmkini63414 жыл бұрын
unanyoa MTU hana nywele
@mamachris68115 жыл бұрын
Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!
@gracethomas6835 жыл бұрын
Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.
Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!
@mohamedothman97695 жыл бұрын
Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.
@paulmpazi53585 жыл бұрын
Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.
@mohamedothman97695 жыл бұрын
@@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro
@mariaedward69465 жыл бұрын
Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand
@djsantah94295 жыл бұрын
r. I. p kibonde
@lucasdismas43143 жыл бұрын
kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)