Mkasi - SO2E13 with Kibonde

  Рет қаралды 139,707

MkasiTV

MkasiTV

Күн бұрын

Пікірлер: 115
@MwanamkuuMumbe
@MwanamkuuMumbe 3 ай бұрын
❤ tulimpenda Ila mungu amempenda zaidi
@darlinmamawatatu6411
@darlinmamawatatu6411 5 жыл бұрын
Plz salama bring back mkasi
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 жыл бұрын
Salama una kipindi gani kwa sasa? You know I miss your work jamaniii. Bring back mkasi or tunaomba something new jmn fans tunakumiss
@mydiary39
@mydiary39 5 жыл бұрын
Ana kipindi kinaitwa Shabiki On Saturday kila Jumamosi saa 5 asubuhi Eatv
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 жыл бұрын
I love Jesus same to me
@jeffersonsimon477
@jeffersonsimon477 4 жыл бұрын
R.I.P kibonde we miss u broh
@agoroanduru6233
@agoroanduru6233 Ай бұрын
Rest in peace my brother KIBONDE
@fazeelshomary8743
@fazeelshomary8743 5 жыл бұрын
Kanumba, Ruge, Kibonde, King Majuto, wote hawa Salama alipata bahati ya kuwahoji kipindi cha uhai wao katika kipindi cha Mkasi. May there souls rest in peace
@gracethomas683
@gracethomas683 5 жыл бұрын
Fazeel Shomary pia Sajuki
@embedodo11
@embedodo11 12 жыл бұрын
kibonde this interview umeiweza..bigup salama!!
@sadimiko1387
@sadimiko1387 5 жыл бұрын
salama rudisha hichi kipindi tafadhali r.i.p kaka kibonde
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 4 ай бұрын
KIBONDE UMKUTE ANAFANYA TANGAZO LA VIDEO,,,😊,,,UYO MZEE NUKSI
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 жыл бұрын
Walotangulia mbele za haki na waliowahi kuhojiwa katika mkasi, Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
@neycoleclassic4426
@neycoleclassic4426 6 жыл бұрын
hawa watangazaji wote, nilikua nawapenda na nitawapenda. maana wana utofauti
@angelntandu4648
@angelntandu4648 5 жыл бұрын
Salama rudisha hiki kipindi hewani umefanyia watu mahojiano mazuri sana yanaonekana mapya kila siku.hapa ndio watu wanaelewa hawa watu waliongea nini kabla ya kufa
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 5 жыл бұрын
Kibonde katutoka jamani Inna lilah waina ileihi Raj un
@emmanuelimaxxaka754
@emmanuelimaxxaka754 5 жыл бұрын
R.l.p kibonde good Ailaze Roho yako mahali pema pepon Amen🕯🕯🕯🙏🙏🙈
@hadijaangura6572
@hadijaangura6572 5 жыл бұрын
RIP KAKA
@TheSalma1999
@TheSalma1999 6 жыл бұрын
very professional nimempenda mno huyu kaka pole na msiba
@saidangel8958
@saidangel8958 5 жыл бұрын
Hapa ulimpa yy pole leo na yy kaenda aisee inauma
@patrickmsuguri
@patrickmsuguri 5 жыл бұрын
Rip Kibonde ulikuwa smart..
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 4 ай бұрын
Gadna na kibonde daah tutawakumbuka sanaaa❤
@sandekanyamala2456
@sandekanyamala2456 5 жыл бұрын
dah!!... Nilianza kukufuatilia toka kipind hiki kirushwe,Ni wanaume wachache wenye uelewa kama wako,Pumzika kibonde,kila nafsi itaonja mauti
@alfanshonde2438
@alfanshonde2438 5 жыл бұрын
Daaa kibonde jaman pumnzika kwa aman
@hurumaevarest1690
@hurumaevarest1690 5 жыл бұрын
Salama huwa nakukubali sana ila mwanzo nilikua sikuelewi elewi lakini nakuelewa sasa uko vizuri sana hiki kipindi hebu kiendeleze tena nakukiboresha zaidi. Tunapata elimu kwanjia moja au nyingine. By the way R.I.P Kibonde
@doramwanyika5826
@doramwanyika5826 5 жыл бұрын
Rip kibonde😭😭
@queenyahaya3147
@queenyahaya3147 5 жыл бұрын
R.i.P kibonde 😭😭😭
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 5 жыл бұрын
Asee hichi kipindi kirudishwe Jaman dah
@leaherasto929
@leaherasto929 5 жыл бұрын
Rest In Peace Kibonde
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
Salama rudisha mkasi dada
@zuhurajuma644
@zuhurajuma644 5 жыл бұрын
Kwann
@mariyaal5366
@mariyaal5366 5 жыл бұрын
Rip kibonde
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 5 жыл бұрын
R.I.P BROO
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 4 ай бұрын
😢 SHAME SO much memories
@janekapela1967
@janekapela1967 5 жыл бұрын
Daaaaah 😢😭
@hamzambasha8577
@hamzambasha8577 3 жыл бұрын
R.i.p kibonde jahazi kumepoa Sana now
@user-ik3ey9cs9e
@user-ik3ey9cs9e 5 жыл бұрын
INALILAH WAINAILAYH RAJIUNI.
@motanzanya6723
@motanzanya6723 5 жыл бұрын
Daaah umauti hauna urafiki ,,,,,,,punzika kwa aman KIBONDE
@emanuel4148
@emanuel4148 5 жыл бұрын
Daah jamaa katutoka RIP
@josephgomalo41
@josephgomalo41 11 жыл бұрын
Yemeni ni nchi maskini sana uarabuni; hivyo hawana nguvu ya kijeshi au kiuchumi kuweza kurudisha influence yao kwenye makoloni ya awali hasa inapohusisha kuwepo kwa malighafi kama mafuta; Wangekuwa na nguvu kijeshi wa kupingana na marekani na wababe wangweza kurudi zanzibar wakafanya uchimbaji wa mafuta yaliyogunduliwa katika bahari pale; Lakini ubavu hawana.
@suzanpatrick8381
@suzanpatrick8381 5 жыл бұрын
r.I.p baba
@TheDinhoDesign
@TheDinhoDesign 12 жыл бұрын
Salama hivi kuhusu BLOCKING, ulikuwa una uhakika kama FACEBOOK hakuna kitu kama hicho?...FACEBOOK ndio rahisi kushinda TWITTER basi kama hujui nakuabalisha...kuweni makini mnatazamwa na watu wengi so mkiwa vitu vidogo kama hivyo hamu vifahamu inakuwa inatia udhuni,,,maana naona bora nije mimi hapo nisikilizwe!...pamoja sana!
@nakukanyatena3060
@nakukanyatena3060 11 жыл бұрын
jameel871 wewe ni sawa na nguruwe, maneno unayo sema ni kama kula mavi yako nafikili ha muonekano wako utakuwa kama nguruwe, hata mkeo unaishi nae kwa maneno ya kijiweni kwa akili huna
@antoniageorge5369
@antoniageorge5369 5 жыл бұрын
nakukanya tena una hadabu
@zumbaabiyah3184
@zumbaabiyah3184 5 жыл бұрын
Huyo jamaa asamehewe bure, kuna haja kbs SERIKALI HII SIKIVU,IMTAFUTE NDIPO AKILI YAKE ITAKAA SAWA,ana ujasiri gani, wakuongea huo utumbo? KI UKWELI, BNAFSI NIMEUMIA SANA, KUMTUKANA BABA WA TAIFA?!! 😷😱😇😤❗️TCRA, Polisi, tafuta hii Jamaa. 😱😱❗️ili aadabishwe ili liwe fundisho.
@evelynmon6491
@evelynmon6491 5 жыл бұрын
Afadhali salama mwenzetu ulikuwa unamwambia mtu ukweli kama unampenda unampa sifa zake kabla ajafa
@salmarajab8707
@salmarajab8707 5 жыл бұрын
K
@jeremiahmujinja4451
@jeremiahmujinja4451 Жыл бұрын
R. I. P Kibonde
@masoudrashid8381
@masoudrashid8381 5 жыл бұрын
Kaka tumekupenda ila mungu kakupenda zaidi
@lutemelele9619
@lutemelele9619 5 жыл бұрын
r.i.p kibonde
@ahmedkapera6989
@ahmedkapera6989 5 жыл бұрын
Nakumbuka ndungu yangu
@sultankaburutajr7422
@sultankaburutajr7422 5 жыл бұрын
Pumzika kibonde r. i . p
@bahatymsungu2779
@bahatymsungu2779 5 жыл бұрын
Rip baba
@pikipiki_market
@pikipiki_market 5 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@marymathew6529
@marymathew6529 5 жыл бұрын
R.I.P Kaka Kibonde
@hamisreegan3738
@hamisreegan3738 5 жыл бұрын
Pumzka Kwa amani kibonde
@sistersade9039
@sistersade9039 5 жыл бұрын
salama, hivo ulivokua umekaa si ustaarabu wala maendeleo mbele ya mkubwa wako unaemfanyia interview. tizama leo tumempoteza Kibonde, utaweza vipi kurudi myuma. na yeye bila ya shaka alikua pia anaona hivo.
@IshiKistaa
@IshiKistaa 5 жыл бұрын
TEMBELEA UKURASA WETU KUFAHAMU NYOTA YAKO kzbin.info/door/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQvideos?view_as=subscriber
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Pumzika kwa amani kaka...sote tulikuja na tutaondoka
@princehamad4225
@princehamad4225 5 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima
@shedrackmaluli1373
@shedrackmaluli1373 5 жыл бұрын
RIP Kibondee
@rajabk1
@rajabk1 11 жыл бұрын
Salama ana tendency ya kukatisha maswali yake na kulazimisha yake. its her say kwanza the wengine wafuate
@a.856
@a.856 5 жыл бұрын
Rip baba poleni wte
@mihayoonline1573
@mihayoonline1573 6 ай бұрын
Endelea kupumnzika
@askaounga6456
@askaounga6456 5 жыл бұрын
Vipi mrembo ana sagg
@kevinbona7669
@kevinbona7669 10 жыл бұрын
hehehehhehehe eti huwezi blck mtu facbk haya bhana ila sio kosa lako ni kujua ti hop now utakua umeshaelewa
@jandaboytztz6314
@jandaboytztz6314 5 жыл бұрын
RipKibonde
@angelmacha6136
@angelmacha6136 5 жыл бұрын
R i p kibonde
@festomlowegypsum8214
@festomlowegypsum8214 5 жыл бұрын
Pumzika kwaamani blo mseimie boss RUGe
@rehemahassan4779
@rehemahassan4779 6 жыл бұрын
Pole my bro
@magrethmoses702
@magrethmoses702 5 жыл бұрын
Rlp
@Frankvanmuniko
@Frankvanmuniko 11 жыл бұрын
KIBOBOBOBOBOBOBO a.k.a KIBzzzzz
@AbouDalgubay
@AbouDalgubay 11 жыл бұрын
Ni kipindi chake sasa unategemea nini? kama unataka useme wewe zaidi then uanzishe chacko ama sivyo??
@josephgomalo41
@josephgomalo41 11 жыл бұрын
Seminari zinafundisha dini na elimu ya kawaida. Automatically wakristo watakuwa na wasomi wengi hivyo kuwa wengi serikalini; Huweezi soma madras pekee halafu uweze kujiunga na CHUO! au uwe waziri wa fedha!. Nyerere alibadili Pugu, Kwiro na seminaries nyingine kuwa public schools na wasomi wengi waislamu kama Lipumba walisoma kwa juhudi hiyo. Jiulize waislamu wangekubali shule za kiislamu zibadilishwe kuwa shule za wote?
@narrob4teentebeconnexion
@narrob4teentebeconnexion 5 жыл бұрын
Hao wakristo waliweka maseminari yao kwa lengo la kutunyonya tuu sio wakupe elimu kwa maslahi yako. Ndio maana mpk leo makanisa yamekuwa ni bihashara kama magenge ya mbogamboga. Mkasi, kibonde wapi na wapi na uislam. Waislam ndio walipigania uhuru wa nchi wakiiwa na nyerere kama kijana msomi wakamwachia madaraka, wakristo wangeweza kupambania uhuru zen waache waislam waongoze? Uislam haupo kama akili zako zinavyokutuma........
@erickemmanuel9511
@erickemmanuel9511 5 жыл бұрын
May your soul rest in eternal peace brother
@ramadhanimagomba7395
@ramadhanimagomba7395 6 жыл бұрын
Mtaalam na mkongwe wa #Jahazi
@TheDinhoDesign
@TheDinhoDesign 12 жыл бұрын
nywere zimekwisha kichwani mbona unaendelea kunyoa?...una nyoa nini hapo?
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 5 жыл бұрын
Salama hio mikao angejamba hahahahah r.i.p kibonde
@antoniageorge5369
@antoniageorge5369 5 жыл бұрын
Hadija Abdallah eshima iwepo
@jandaboytztz6314
@jandaboytztz6314 5 жыл бұрын
#RipKibonde
@levinamlingi864
@levinamlingi864 5 жыл бұрын
Yani
@fredyqmaa4680
@fredyqmaa4680 7 жыл бұрын
Haya
@ramadhanihayeshi5812
@ramadhanihayeshi5812 10 жыл бұрын
Kila nisomapo maoni ya baadhi ya Watanzania wenzangu hususan juu ya masuala ya imani na dini, napata hisia kuwa tunakoelekea ni kule kule kama walipo Jamhuri ya Afrika ya Kati.
@masoudmanya7488
@masoudmanya7488 10 жыл бұрын
Kwa kuwa hutujui shida ya kujuana kiimani ndo mana hizi Choko choki zinakuwepo,serious we need kukemea ujinga wa kutetea ujinga wa udini
@ramadhanihayeshi5812
@ramadhanihayeshi5812 10 жыл бұрын
Masoud Manya Ni hatari sana bro, inatia hofu na kama ulivyosema yatupasa kukemea huu ujinga kwa nguvu zote, halafu kinachonishangaza, ukimuuliza Mtanzania yoyote yule kuhusu mafungamano yake na mtu au watu wa imani tofauti na yake lazima utakuta nao mpaka ndugu wa damu, jamaa na marafiki wa karibu, sasa ifike mahali tukubali jambo hili halina tija wala maslahi kwa taifa letu.
@ombenisomi2210
@ombenisomi2210 9 жыл бұрын
Ramadhani Hayeshi Hili ni taztizo kubwa na ukubwa unaongezeka maana nchi imekosa wakukemea kila mtu analalamika ukiona hata wenye kutuonesha njia wanalalamika uone hatari zaidi. Nchi imekua ya wafanya biashara viongozi wanaongoza wanatafuta pesa, nchi hii kila mwenye pesa anawaza kuwa kiongozi. Angalia Prof Lipumba anataka kuwa rais wetu lakini na yeye kashaingia kwenye mkumbo wa dini unawaza anaweza kutusaidia?? We seriously need to change, getting a very respected man like J.K Nyerere will take us years
@ramadhanihayeshi5812
@ramadhanihayeshi5812 9 жыл бұрын
Inatia hofu Ombeni Somi lakini hapa tusimlaumu Lipumba peke yake, hata wengine pia wapo kwenye mkondo huo wa dini. Kifupi tuseme Misikiti na Makanisa nayo imeamua kuwatumikia watu
@ombenisomi2210
@ombenisomi2210 9 жыл бұрын
You are very right Brother!
@ElizabethHosea
@ElizabethHosea 12 жыл бұрын
Salama, unaweza kuwazuia watu kukuandikia facebook pia :)
@gervasmkini6341
@gervasmkini6341 4 жыл бұрын
unanyoa MTU hana nywele
@mamachris6811
@mamachris6811 5 жыл бұрын
Nisaidieni takwimu za waliofanya interview na hatunao tena !!!!!!!!
@gracethomas683
@gracethomas683 5 жыл бұрын
Mama Chris yaaani naona orodha inazidi kupungua tuuu...Mungu awasaidie kwa neema yake.
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 жыл бұрын
Kibonde, Ruge, Kanumba, Majuto, Sajuki, Banza Stone, Gamba, Komba, Gurumo.
@witnessmbwasi892
@witnessmbwasi892 5 жыл бұрын
Mungu awape kauli dhabiti
@briannyiti208
@briannyiti208 5 жыл бұрын
Duuuu! E Mola tusaidie tupate akili ZA kujua siku ZA kukaaa hapa duniani!
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
Kwa hapo kwa Nyerere kukuta watu sio wasomi marehemu hakusema kweli. Wasomi walikuwepo na yeye aliwakuta akaishia kuwafukuza na wengine kuwauwa kwa hofu ya kupinduliwa.
@paulmpazi5358
@paulmpazi5358 5 жыл бұрын
Mohamed Othman wasomi waliokuwepo wakati huo walikuwa na elimu ya kikoloni na tabia za kikoloni na ndio waliokuwa wanatumika kuwanyanyasa wazawa.
@mohamedothman9769
@mohamedothman9769 5 жыл бұрын
@@paulmpazi5358 Elimu ya kikoloni ndo ikoje hiyo, unataka kusema hata Osca Kambona, Bibititi Mohamed hakusoma.....? Soma historia acha kusikiliza maneno ya watu bro
@mariaedward6946
@mariaedward6946 5 жыл бұрын
Nadhani walikuwepo lakini sio kwa idadi iliyohitajika supply was less than demand
@djsantah9429
@djsantah9429 5 жыл бұрын
r. I. p kibonde
@lucasdismas4314
@lucasdismas4314 3 жыл бұрын
kibonde alisema kweli ila wewe ndio hujui Historia,ngoja nikupe mfano wa Congo,Rais Mobutu alikuta nchi haina msomi hata mmoja wa chuo kikuu Congo nzima na ukubwa wake wote,mimi kuna wazee walinambia wakati wanasoma chuo kikuu hapa Tanzania walikuwa ni wachache mno kiasi kwamba wanafahamiana wote,hapakuwa na wasomi wengi Tz nadhani hata hawakufika 50 (university graduates)
@shiraann632
@shiraann632 5 жыл бұрын
Rip kibonde
@shedrackmaluli1373
@shedrackmaluli1373 5 жыл бұрын
RIP Kibondee
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 5 жыл бұрын
Rip kibonde
@jacksonrichard6639
@jacksonrichard6639 5 жыл бұрын
Rip kibonde
Mkasi - SO6E03 With Millard Ayo
27:23
MkasiTV
Рет қаралды 481 М.
Mkasi - SO3E13 with Zembwela
28:10
MkasiTV
Рет қаралды 274 М.
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 7 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 11 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
MBOWE AELEZA MAZITO KIFO CHA MOHAMEDI ALLY KIBAO
11:55
JAMBO TV
Рет қаралды 4,6 М.
Mpoki, Mtanga, Eliudi | Mkutano wa wanakijiji
9:22
CHEKESHA TV
Рет қаралды 424 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,7 МЛН
Mkasi - SO4E02 with Banza Stone
28:09
MkasiTV
Рет қаралды 77 М.
Ephraim Kibonde na Gadna G Habash akimuhoji Zamaradi
55:36
ZamaradiTV
Рет қаралды 108 М.
RIYAMA NA MUME WAKE WAFANYA YAO LIVE KWEUPE REDIONI TAZAMA.
16:49
TimesFMTZ
Рет қаралды 2,4 МЛН
Mkasi - SO4E11 with Monalisa
27:59
MkasiTV
Рет қаралды 136 М.