Sugu raisi wetu Mbeya, repping Mbeya to the fullest. Nice one
@clemkiz23767 жыл бұрын
huyu muba angetoka kwenye hii shoo.. maana hajui anachofanya
@magrethnatai88468 жыл бұрын
Best interview... mh sugu is intelligent, alitisha sana
@liberatusulaya22694 жыл бұрын
Suguuu nakubalii sana mwambaa, jongwee!! Tunaishi ndani ya falsafa zako za hustling!!..."tutaendelea kuonana ndani ya jiji LA Makamba.hahhh
@dr.shomerrogers49067 жыл бұрын
Fantastic show of miks
@willeykavishe98111 жыл бұрын
Much bless Sugu
@josonwakitaa209211 жыл бұрын
mimi nilishtukia long time babake kwamba salama ndie jembe peke yake ktk kipindi hiki
@mandeladavid9449 жыл бұрын
mheshimiwa mbunge safii
@yudadaniel48678 жыл бұрын
muba anazingua kinoma yani
@bucheetv91248 жыл бұрын
mubaa......tuliaga bhana..
@gaspermassawe73977 жыл бұрын
kamanda mbele sana,Mungu akupe afya njema uendelee kutetea watu wako.
@tumpiliksye11 жыл бұрын
kweli abaki salama tu kwenye maswali !!!! hawa washikaji wanaharibu show,,,,
@chuse00511 жыл бұрын
Nasubiria next episode, Salama ,"Unapiga mswaki kabla ya kulala?" Dem(simjui masela), "Nikiwa na boyfriend" Salama, "Aii!!!".......sina mbavu....hahahahah
@upthesmoke11 жыл бұрын
Nice one Sugu
@jolvinkaijage524010 жыл бұрын
Wana tukaribie ma vyuo bujora, make kuna bonge la education, duu! noumaaaaaaaaaaa,,,,
@piophilipkisu11 жыл бұрын
Sungu ni noma anatema live, Nafikiri mr nice inabidi nae afuatie,kwani kuna mambo muhmu sana sungu ameeleza.so in one way or another mr +Nice awe kwenye mkasi ili aeleze baadhi ya mambo.ili tupate somo
@lindambwanji28858 жыл бұрын
Mbeyaaaaaaa
@fadhilimkungura74533 жыл бұрын
2021
@marymaryuk11 жыл бұрын
Sugu chiiboko yao!!!the guy doesnt give a ish...he just says it like it is only Sugu can pull that...hate it or love it sugu will tell you like it is!!!now tell me that aint being REAL.ukizingua sugu anakupa LIVE and direct.
@givensanga11 жыл бұрын
mwanaharakat suguuuuuuuuuuuuu
@coms264011 жыл бұрын
yeah thats great
@jumamahdi61156 жыл бұрын
Ice Cube ni Mwana HipHop nguli wa kundi la N.W.A Marekani. Akiwa na Ezy E, Dr Dre, Mc Ren na wengine Jombaa!