this two sisters have morals and dignity,i'm so proud of you two gorgeous ladies
@TatyanaCelestinefashiontime10 жыл бұрын
I LIKE THEM GIRLS, SO TALENTED AND BEAUT, ITS NICE SHOW SALAMA.
@dianamakorenda800812 жыл бұрын
Nakaaya I love you my sister ni binti mzuri sana na usiyekuwa na skendo yeyote hongera sana dada. Take care. Upo juu kuliko mamiss wote wa Tz ulliwakilisha nchi mpaka nje Arusha tuko juu sana hakika Arusha sisi ni warembo.
@fettyzing57775 жыл бұрын
Nakaaya mzuri jaman
@swahiliwithZita12 жыл бұрын
i love naakaya, she is sooo relaxed....i did not know nancy is sooo nervous....hahaa
@hexadmedia12 жыл бұрын
Love this sisters and I envy the family background and up bring. Pole sana Nakaaya with the accident and wish u maximum recovery.
@anta.kessy311 жыл бұрын
Napenda maendeleo ya Nakaya xana, i wish to be like her... I real love Nakaya
@ZuberiusChaila11 жыл бұрын
Nancy nakukubali sana kiukwel umejaliwa mengi sana!
@rosa6297 жыл бұрын
much love kwa Nakaaya
@isacksumari25369 жыл бұрын
I love nakaaya ,good interview
@Burner_Acc12 жыл бұрын
John throws hard question like always, i like this dude.
@ngutujuma24119 жыл бұрын
Nimependa sana interview ya nakaya anajiamn
@shanisshow18649 жыл бұрын
yani nacy nakukubali sana dah! huna skendo sana kama warembo wengine
@sarahrashidirashid93848 жыл бұрын
mtangaze nchi yetu wasanii mnazidi namnaboa
@ahmadabdallah22269 жыл бұрын
Jamani Mme nampenda xana Nakaaya..
@Diana-cn6cf11 жыл бұрын
salama... love your show... makes me connected with tz ^_^
@modelka22211 жыл бұрын
jamaa anaemuosha nancy miguu kama hajadinda choko
@awadhally81066 жыл бұрын
khamis peter hahahah
@awadhally81066 жыл бұрын
Ebana hyo miguu atary
@folodhanitv257510 жыл бұрын
Juma tatu ijipita na sija tazama MKASI Dah....hiyo siku sinto pata usingizi kamwe.Nawapenda,wote
@maikojacobkimaki12 жыл бұрын
muosha miguu ndio anae faidi mazee hivi na mm siwezi kupata job hyo. ;)
@TheSirToady11 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya na nimeshangaa sana kutazama mahojiano haya. Nilidhani kuwa Watanzania wanajivunia kuongea lugha ya Kiswahili. Hapa Kenya vitabu vingi tunavyovisoma katika shule ya upili vimeandikwa na Watanzania kama vile Shaaban Robert (Kusadikika) na Mohamed S. Mohamed (Nyota ya Rehema, Kiu). Mbona Nakaaya na Nancy wanajibu kwa Kiingereza wanapoulizwa swali kwa lugha ya Kiswahili? Wamekengeushwa kiasi cha kuaibika kuwa Waafrika? Jameni, tujivunie lugha zetu za kiasili.
@shanisshow18649 жыл бұрын
watanzania wanaukasumba sana kwa lugha ya kiswahili
@aaronmakaveli20628 жыл бұрын
yah nyumbani kwanza lazma tu value lugha zetu za nyumbani
@kareemauni512110 жыл бұрын
Yupo juu
@gomakuu11 жыл бұрын
Jamani kumbukeni kwamba kuna jamii ya Watanzania ambayo imeanza kuibuka bila uwezo wa lugha ya Kiswahili na hili sio swala la hutuma. Haya yote yameletwa na mfumo wa elimu, ukoloni mamboleo, utandawazi na masuala mengine.
@mikedidas72693 жыл бұрын
nakaaya has more character... nancy, more beauty
@briannaswedi265112 жыл бұрын
aaww cute
@naturelle10976 жыл бұрын
why is it mtu akizungumza kiingereza Tanzania anasemwa ovyo?? wivu ni mbaya acheni hizo..hawa wadada wameipeperusha bendera ya Tz internationally. wewe unaelalamika umeifanyia nn nchi yako?
@josonwakitaa209212 жыл бұрын
wabongo bwana hv kuchanganya lugha sijui ndio nini,mkae mkijua kimombo ni kama lugha nyingine tu,mbona amchanganyi lugha zenu za kiasili.huu ni ujinga mtupu.kweli tembea ujionee,nimetembea nchi nyingi za ulaya sijaona tabia hii,nimeona mara nyingi ktk tv za kidachi wanapomuoji mtu anayeongea kimombo uwa wanatafsili kwa mdomo au kwa maandishi na sio siri asilia 96 ya wadachi wanajua vizuri kimombo ila wanacho jaribu kufanya ni kulinda heshima ya lugha yao,wakenya wanatucheka sana kwa tabia hii
@florakaaya45593 жыл бұрын
Nancy punguza kuongea sanaa wanawake wa Arusha tupo Kama NAKAAYA.
@mkingaluis12 жыл бұрын
JAMANI YULE JAMAA ANAYEOSHA ANAFAIDI KIAINA
@TheApraries12 жыл бұрын
Nancy is this much nervous on Mkasi???how does she stand international interviews then????? Need to dig more on the kid and ''snatching'' someone's husband story..i ''had'' a lot of respect for her
@mohamedomar403711 жыл бұрын
Kwa ujumla tunafahamu ya kuwa watanzania wako nyuma sana kwa lugha ya kiingereza lakini jambo la kushangaza siku hizi imekuwa kama mtindo kuchanganya lugha ya kiingereza kidogo na kiswahili wakati wanaongea kiswahili ,tafadhali jaribuni kuongea kiswahili bila kuchanganya lakini msifikiri ni maendeleo kuchanganya tema kiswahili tu wengi wakuelewe .
@ndegesha12 жыл бұрын
jamani watanzania tukizungumza lugha ya kiswahili tusichangi na kizungu
@sarahrashidirashid93848 жыл бұрын
jitaidini kuwa mnaongea kiswahili
@Franknjzzz12 жыл бұрын
Jamaa wa pedicure anafaidi ilembaya, tena hapo alifaidi kinomaa
@kedekosimon84498 жыл бұрын
please salama, watu wako wajtahid kuongea kiswahili
@kmtenga12 жыл бұрын
kumbe nancy anaongea sana
@eccentricchic8512 жыл бұрын
Once you dig, what are you going to achieve? a degree? putting food on the table? How old are you again? You don't even know the whole story, you don't know her yet you have the nerve to judge.
@hexadmedia12 жыл бұрын
I dont know whether u r a dude ama chick, but I got to give it to you... "you sound uneducated, accident doesn't make you gain weight". Got nothing to do with stress. IT IS THE SIMPLE FACT THAT YOU SPEND MOST OF THE TIME RELAXING/SLEEPING AND MOST OF THE TIME EATING WELL. HENCE U DONT BURN THE FAT IN THE FOOD U TAKE IN. - Daah... Next time think before you talk crap! Nakaya is miles away head of you in intellect.