Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Пікірлер: 537
@saiditwalibu524414 күн бұрын
Huyu Mzee ukiwa na akili huru utamuelewa vzr sana,
@CHIDIBAITI2 сағат бұрын
Kama unamkubali hananja like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤
@user-kq7kn7gh6l21 күн бұрын
Mimi ni mmoja wa watu ninao fuatilia mafundisho yako kiukweli unacho kiongea nikweli kabisa kwani baadhi ya makanisa yamegeuka hayafuati bibblia Bali wamejipangia taratibu tofauti na maagizo ya mwenyezi mungu , lakini Sasa Kila kitu kitawekwa wazima mwenye akiri na afahamu,maana hata wenzetu wa dini nyingine wanapata kutu SEMA kuwa huu ukristo sio dini ,lakini mungu atawatawanya manabii feki kwa njia saba
@Machozihussen-er8cp14 күн бұрын
Huyu mch ana mawe mazito sana 'majabali' powerful speech kuna kipindi utafurahi utacheka kuna kipindi anaisisimua akili INSHORT namuelewa sana
@mayungahima1987Күн бұрын
Mungu anaye watetezi waneno lake lisilogoshiwa, injiri ya Yesu halisi. Mungu akutunze vyema mch HANANJA.
@Yassinseleman21 күн бұрын
Nilikua na role model wa kisiasa wawili tz lowassa na maalim seiph sasa na baba hananja ni role model wangu kwenye kusema kweli nakupenda baba
@charlesyotham797714 күн бұрын
Huyu Baba anaongea kweli tupu mkijuwa kweli nayo kweli itakuweka huru
@user-zi9ug9tn6mКүн бұрын
Mchungaji Hananja Mungu akutunze kwakweli,unaugusa moyo wangu ❤😢
@fanuelkatoto891321 күн бұрын
Mungu akuzidishie hekima mtumishi ili tupate mafundisho yako yanayotujenga kiimani. 🙏🏽
@EmmanuelYohanaMbembela21 сағат бұрын
Hakika huu ni nyakati za mwisho lazima tuwe makini sana na injili za siku hizi Mungu wa Mbinguni akutunze sana Mchungaji Hananja lazima kweli ya Mungu isemwe👏
@FabiolaAntony-up7ih14 күн бұрын
Asante
@chandeyusufu957014 күн бұрын
Wallah baba nakukubali wewe ni msema kweli mwenye kuchukia na achukie mtumishi wa mungu itakuwaje ajichubue ao ndio welewale
@user-cg1hc7yt3vКүн бұрын
Nakupenda sana mzee wangu unakili za kuzaliwa awakuwezi wachungaji wote tanzania apa
Viva mzee....huyu ni mchungaji sasa, Mungu akubariki sana
@ChristinaMrema-ny5oe2 сағат бұрын
Mungu akubariki Mchungaji Hananja unasema kweli tupu
@sarahkinyashi621321 күн бұрын
Ninachojua nikukupenda tu mchungaji wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@VERONICASEGESELAКүн бұрын
Injili ya kweli siku hizi haina wafuasi wengi na watu wengi wamepotea kwa kutokuzingatia maarifa ya neno la Mungu .asante Mchungaji kwa kukazia ukweli ulivyo
@eliaskabila110614 күн бұрын
Mchungaji Hananja unasema kweli kabisa Mungu akubariki sana uishi maisha marefu uendelee kutufunza
@Sifa-ol4lb14 күн бұрын
Nakuombea kwa mungu uwe na maisha maref sanaa nakupenda san BABA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤