Mungu amuhifadhi na amzidishie imani na mapenzi mwanangu Maria kwako mdogo wangu Makonda
@simonmollel88165 ай бұрын
Makonda anawasaidia wanaonyimwa haki zao Mungu amlinde.
@AbdilahiMriri5 ай бұрын
Hongera sana Mhe Makonda kwa kazi hiyo Mungu atakulipa. Na kubwa zaidi ingekua unaacha namba za simu zako upigiwe kuweza kupata mrejesho wa shida za Wananchi zaidi.
@KogaDenha-yy8lt5 ай бұрын
Mungu Akubariki sana kaka yangu kwakutatua shida za wanainchi
@simonmollel88165 ай бұрын
Ni kweli angekuwa anaacha number za simu ingekuwa vizuri sana.
@user-bt2bd9ld2v5 ай бұрын
Kweli kero ziko nyingi sana kwa wananchi.hizo unazopokea ni baadhi tu.nitashukuru serikali yetu kama zitafanyiwa kazi kwelikweli.
@user-bt2bd9ld2v5 ай бұрын
Tunashukuru kama umetambua kuwa watendaji wa serikali ya ccm ndio chanzo cha mates na adha kwa waajiri yaani WANANCHI!!!