😂😂😂😂wale wanaloangalia baada ya ile ngoma gonga like
@Jc-wl6yf4 жыл бұрын
Nani amekuja huku kuangalia baada ya kutoka kwenye ngoma ya Asiwaze
@hajimaulidyhajimaulidy81314 жыл бұрын
nimewasikia ila mmeona mkee wa stamina hana aibu
@yonathanyona29264 жыл бұрын
Baada ya ngoma ya stamina usiwazee...nipo hapa...Dah huyu Demu kamuumiza bro
@emmanueljoseph25764 жыл бұрын
Tuko wote
@lightwilliam44434 жыл бұрын
acha amuumize vizuri tu alijidai sana oh mnyarwanda ohh nini na nini😉 mkome kuturingishia wasichana wa nje.nimefurahi.
@zainababduly54174 жыл бұрын
Tupo wot bro
@yonathanyona29264 жыл бұрын
@@lightwilliam4443 😂😂😂😂😂😂sio vizur love inatesaaa
@yonathanyona29264 жыл бұрын
@@zainababduly5417 nakubare mremb
@neemajuman52134 жыл бұрын
Mungu akutete kaka kwa moyo wa kuokoa maisha ya mtoto mbali na kupandishwa cheo Mungu akukumbuke cku zote akuongezee cku za kuishi
@mollyupdates59254 жыл бұрын
Asiwaze imenileta uku nani nae Kama Mimi
@RayonSportsEcho4 жыл бұрын
Mie hapa naomba tujuane 🤗
@lenatiusjonas54644 жыл бұрын
Daniel Gaudence nami pia aise dah
@faridafaa49564 жыл бұрын
Daniel Gaudence ...yaan inauma sana
@angelinamsemwa55924 жыл бұрын
Mimi hapa haki ya Mungu nimekuja kuangalia na huku
@phineruge34804 жыл бұрын
Mie pia imenileta huku " USIWAZE "
@faizowali5230 Жыл бұрын
wangwani imeweza full shagwe stamina💯💯💯
@innocentchulla67384 жыл бұрын
Kumbe Stamina ni Mhehe Daa Wanyalu GONGENI LIKE HAPA TWENDE SAWA::::#
@veronicamdeke44744 жыл бұрын
Nko.hapa mnyalu
@veronicadaniel11224 жыл бұрын
Innocent Chulla Atajinyonga sasa
@grotzenaron75444 жыл бұрын
Niko hapa ila wifi etu kamuangusha sana kaka etu😭😭😭😭
@iungwadeogratius78935 жыл бұрын
Mungu awabarik sana ni hatua nzur sana mmepata baraka za mwenyez Mungu huyo ndo ubavu wako Stamina mtunze mjali muheshim achana na apenzi ya snema ukimheshim mkeo utakuwa umemheshim Mungu pia muwe na maisha mema siku zote furaha yenu idumu kama siku hii ya ndoa Ameeeeeen
@johnsonmarick455 жыл бұрын
I still watch this lovely wedding, if we are together hits likes 👍
@mauvaisecompagnie951 Жыл бұрын
Kawasikiliza kakuacha master
@yonadaniel3014 жыл бұрын
Dah mzee wangu mzee Kabogo amenipa maisha kanifundisha garage nampenda sana mzee wangu
@dominicbikolo95344 жыл бұрын
Daah!! Cjuh broz stamina akiskia hvyo..... Cjui atajickiaje inauma saana yaan kwang mm cjuh nitaoa lini maana nawaogopa hatariii
@lucianachappa12134 жыл бұрын
Usiwaze imenileta huku😥
@chimamymohamed28306 жыл бұрын
Nimependa nimefurahi hadi laha bi harusi kadamshi hatari na mm naamini one day mana wamenipa bashasha ya kuolewa one day yes ongera brather stamina
@RayonSportsEcho4 жыл бұрын
Hata nikiludia hii video..huu demu hana feelings kwa stamina kabss ..bola stamina angejua mapema 😰🤧
@lightwilliam44434 жыл бұрын
stamina anaonyesha alipagawa tu na dada mrembo ila dada hajampenda kivile.kwahivo lazma madhaifu yajitokeze.
Daaaah!! We Binti pamoja na kupaishwa huko kite bd Unamtenda😱😱😱 Imeniuma sn ndo maana Roma kamshauli kurekebisha baadhi ya Mistari akakataa !! Aliimba kwa Hisia Kali , Kweli Ndoa Ndoano!!
@sele25074 жыл бұрын
Here after ucwaze
@ziziafrika79086 жыл бұрын
Congratulations bruh Stamina,one love and more blessings
@emanuelsilemu10074 жыл бұрын
Who is here after asiwaze...Kam upo gonga like
@cynthiapatrick98186 жыл бұрын
mungu awajalie kwenye ndoa yenu na mzidi kuwa na umoja💓😘😘😘
@fadhilamgao25166 жыл бұрын
cynthia patrick
@msafiliismaili10875 жыл бұрын
cy
@jacklinekimario18834 жыл бұрын
Ila baba yake stamina Kama alijua nn kitatokea.shkamoo baba
@godwinndichaye4 жыл бұрын
Ni kweli kujifunza kuskia wazazi
@muhundaramadhani50572 жыл бұрын
Pole sana broo
@lightcelebrationgroup4 жыл бұрын
Inauma sana kabisa, kwanini shetani anakuwa anashambulia sana ndoa. Kavunja furaha yote. Kwa kweli hakuna anaye weza jua tabia ya mwenzie kabla hauja mtia ndani isipokuwa Mungu pekee.
@nicholasshukuru49284 жыл бұрын
Kweli harusi ni sherehe tu, ndoa ndo mpango mzima.
@teddycosmas-ez2kp Жыл бұрын
Mapenzi shikamooo 🙌🙌🙌🙌
@bosskubwa27275 жыл бұрын
Bingwa langu Stamina hongera mno, timu la wana yaani Roma2030 nyosheni kabsa upendo toka KENYA
waooo mungu aendle kuhudumia vyema ktk maisha yenu yandoa
@georgedominick94054 жыл бұрын
All da best ma dog with ya sweetest wife ,may God bless ya'all
@scolaasher69944 жыл бұрын
Dah malizen tofaut zenu jmn mpaka choz limenitoka
@Supernovaz120144 жыл бұрын
Baba stamina Alisema ukweli 09:38 na kuendeleza. Jamani tusikize watu wazima wako na upeo ya mbali.
@magymagy21564 жыл бұрын
Novatus G. Nden@## alisema aje baba?
@Supernovaz120144 жыл бұрын
@@magymagy2156 skiza vile anaongea kuanza hapo daika ya 9:38 na kuendelea
@mariyaal53664 жыл бұрын
Mke mzuri Mashalah mi nimependa na hizo dimpoz zake.
@stellamwakatulile32023 жыл бұрын
Jamani mlipendeza sana
@modesterlucas65044 жыл бұрын
Maskini hata baba alikuwa na mashaka!we we Dada rudi kwa mmeo.
@sadickrajabu11914 жыл бұрын
Baada ya ngoma ya usiwaze ndo naiangalia stamina alimpenda shetani alie muamin na kumthamin bro kaumia sana
@NeemaRutahiwa-is3eu Жыл бұрын
Nikweli uwa inanihuma sana jaman shikamoo mapenzi
@rosethomas10924 жыл бұрын
Bby uko juu kuliko kengele ya kanisa dar na bado unaondoka sd wadada wa mjini mna nn
@AlissonJB_774 жыл бұрын
Kama umeliona hilo jicho la huyo Demu lilikuwa la usaliti like that
@mokiaolenaputu76484 жыл бұрын
Hahahahaha mm nimeliona siku nyingi sana. Demu alikuwa anatafuta tu spotlight jamaa naye kaingia kingi
@AlissonJB_774 жыл бұрын
@@mokiaolenaputu7648 😁😁
@vickygasper70684 жыл бұрын
Baricki Zakayo yaani anaonyesha alikuwa na kidharau,hta afande anamchangamkia yy kavimbisha kidomo kisaliti halali
@AlissonJB_774 жыл бұрын
@@vickygasper7068 Sana hase, sjui wadada mlikoseaga wapi
@SUZIBALE_OG6 жыл бұрын
Afande nakukubali sana mkubwa wa KAZI mzee wa darubini much respect to you brother @black_tiger_smart696
@najumongoxcar87064 жыл бұрын
Kama umemuelewa baba stamina gonga like
@vannillahabdallahmarandava18154 жыл бұрын
Nim cute kwl basi ukicheche sijui kafunzwa na nani
@hamisibakari-ng3zv Жыл бұрын
daah sema mke kazinguwa
@ahadyeahboyemmanuel29994 жыл бұрын
Mumependeza said sana
@saumuhamisi80645 жыл бұрын
wowooooo!!!penda sana stamina uwa nackiza song zake sana
@maryambhallo3334 жыл бұрын
Afande alimaliza yote, hakuna kitu kigumu kama kumpoteza uliyempenda, sijui Mrs Stamina aliteleza wapi ndoa ilipendeza, baba aliona kitu mapema ila mapenzi upofu, mapenzi majani huota popote Stamina alimpenda zaidi mkewe
@dastanfussy48984 жыл бұрын
Baba aslisemaje?
@fanuelngailo39374 жыл бұрын
Kali xana
@victoriadavid92114 жыл бұрын
Baada ya interview clouds fm xxl nmekuja hapa
@parmdizzo80624 жыл бұрын
Nice
@dianamajiyapwani4 жыл бұрын
Wengi tumekuja after ngoma ya stamina kutoka😂😂😂😂
@mohamedmuhajiri83484 жыл бұрын
Acha umbea ila namm nimeshang kuon nakuja uku gaflatu
@dianamajiyapwani4 жыл бұрын
Mohamed muhajiri 😂😂
@josephjosephat78264 жыл бұрын
Yan dah mapenz bwana doh cha Ajabu wanaweza rudiana ?
@Djuku_One Жыл бұрын
Ndo shemela ??
@dominikikristiani5124 жыл бұрын
Blaz kumbe ndio mana ume umia daaa
@simulizazasauti25984 жыл бұрын
Usiwaze ndo imeniletea uku mamaeeee dem msenge huyu hata aibu
@TKip-gq2hg4 жыл бұрын
Tumekuja hapa baada ya ngoma Huyo ni Malaya achana naye
@igomagenzistationary97294 жыл бұрын
safi sana
@marydenis16624 жыл бұрын
Dah mapenz yanauma kumbe ilikuwa hiv cku ya haruc
@angelinajoseph12484 жыл бұрын
Jamaniiii we mwanamke wewe mungu anakuona
@mussamgundoi55365 жыл бұрын
Hongereni sana yn mmependeza hadi raha,, mungu awalinde na maadui wote Amina
@djb2kzer06 жыл бұрын
Dah kama tz Kuna mrisi wa hip hop kwa ngosha stamina is the first like sana uyo bro hingera sana kwa uamuzi wake wa kuweka jiko
@bojanmusic77996 жыл бұрын
Hingera❌ Hongera✔
@saumuhassan63656 жыл бұрын
True
@jenifamichael58674 жыл бұрын
Mm jamani mlembo adi laha
@musarichard29344 жыл бұрын
Nilikiwa simjui vzr mke wa stamini ikabidi nirudi kwanza huku...wangapi tuko wote
@chrissmoses16154 жыл бұрын
good
@user-pf9cd6zj1g4 жыл бұрын
Furahini duniani akhera moto unawasu birini
@lubuvahussein55564 жыл бұрын
Daah...Huyo shori kamuumiza jamaaa balaaa
@angelsango90834 жыл бұрын
Huyu Dada alitaka kiki tu hata sura inaonesha hayuko tayari nahuo ufupi ndo hata hawaendani
@simulizazasauti25984 жыл бұрын
Kama imesikia stamina akisema nimemuoa mtoto kwa idhini yakanisa mama unajua ww upo juu kuliko kengele ya kanisa
@kimosamingwa34324 жыл бұрын
Inauma Sana ndugu zangu kweli Hawa wanawake vivuluge
@paulmbwilo36654 жыл бұрын
Aliyemuelewa baba yake Stamina gonga like hapa!
@halimaedressa47786 жыл бұрын
Mungu awabariki sana mzidi kuheshimiana
@joshuamwangomo26153 жыл бұрын
Uyu bb harus anaonekana ana dharau na ana maringo(attitude) tangu apo ndomana almuacha
@stevenfumbi95664 жыл бұрын
Stamina angesikiliza ushauri wa Mzee
@leilasaid14764 жыл бұрын
Kabsaaaaa tatzo vijana hatuelew.. Na uyu dada anaonekana hana furaha kabsa apo
@frenkrenatus6913 жыл бұрын
Waoooo,,,
@rhoidakihwele14154 жыл бұрын
Dah
@williamkavuta80664 жыл бұрын
Duuuu huyu Baba hatari! Inabidi tuwe tunasikia nasaaa za wazazi au watu wazima
@gloryabraham46184 жыл бұрын
Pole sana konki liquid
@elfacechongera66484 жыл бұрын
Roma namkubali kama mtu really lakini nashangaa mkewe kuvaa mawigi 🤦🏿♂️ kama imekukela ndimu 😐
@orlenisimoni28334 жыл бұрын
Hahahahahaaaaa kiukweli baada yaaaa nimeona nije na hapa nione kulikoni daaaah inauma sana galama ilotumika then inakuwa hivo duuh mi bado nipo nipo sanaaaaaaaaaa
@adrianomwashiuya17984 жыл бұрын
Good mkuu
@benjaminmangu48334 жыл бұрын
Duh, "unajua kipepeo upo juu zaidi ya kengele ya kanisa"! 😃😃😃
@mudykishoma79444 жыл бұрын
Ndoa imevunjika imeniuma sana dada kazingua
@sanndyberg6456 жыл бұрын
Mke wa Roma kamdadisha mke wa Stamina,but kwa uzuri kikazi 👍
@FatmaFatma-kt1or5 жыл бұрын
Mashallah
@princespider58544 жыл бұрын
Mzee wake stamina kama aliona
@kobwaasombwe11264 жыл бұрын
Kumbe mc alikuwa classmate, hongera sana hancy ponela
@vicentntira21015 жыл бұрын
Mungu awatunze
@salmaabdallah38214 жыл бұрын
Ila hyu dem anaonekana jeuri jmn😂😂
@مهيجهتنزانيه4 жыл бұрын
Anaonekana kiburi
@paulkibenzi32424 жыл бұрын
Salma Abdallah kweli
@1stladyafrica4024 жыл бұрын
Tena sana
@adefunmioluwadamilola6054 жыл бұрын
Dahh magril si watu wazur mtu anafanya kitu kikubwa km hiki halafu unakuja kuzingua dooooo.....be strong broo stamina
@salhanganga76274 жыл бұрын
Bola angemsikiliza baba ake jamaniiiiiii
@JumaNdoro-vl3fb9 ай бұрын
duh kombe ilikuwaga hivi
@frankfabian24376 жыл бұрын
It good when you make song make like this
@teddycosmas-ez2kp Жыл бұрын
Nyie dah 😭
@happinessmtalika164 жыл бұрын
Hivi kwa nini wanaume wafupi wanapenda wanawake warefuuuu?🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@mariyaal53664 жыл бұрын
Furaha yote hiyo alafu mje muachane itakua ni haibu kubwa sana
@addelineantony36224 жыл бұрын
Walishaachana
@tahiyalukio70364 жыл бұрын
Too bad , ndoa imevunjika sababu Mke wa Stamina amemsaliti mumewe.
@lightwilliam44434 жыл бұрын
ndioooooo safi sana waliliringa sana wakaka hawa Kingkiba nae ndani safi sana.kwanza king alisema wadada wa TZ hawajiheshimu.hawajistiri mashauzi kama yote. hehehe hatari. kutudharau madem wa TZ😉 nimefurahi.mapenzi hayana mwenyewe.dada huko endelea kula raha kama mbwai iwe mbwai.shubaaamit!
@rosehillary87424 жыл бұрын
@@lightwilliam4443 😎😎😂😂😂😂😂
@lightwilliam44434 жыл бұрын
@@rosehillary8742 😂😂😂😂 wakome.
@edwardkongo93414 жыл бұрын
Kumbe ni nyani alafu limetuachia mabua, ila poa tu
@ndollafans23394 жыл бұрын
Mungu ampe wepes
@mtoleraclassictz5066 жыл бұрын
Umetisha sana stamina
@mtmatk50934 жыл бұрын
inauma Sana kuachana duu
@zabronnkoy49084 жыл бұрын
Waliokuwa wananibishia kwamba mapenzi bila uongo hayaendi naona sasa tumeelewana ..😁😁