STAMINA: "NINA USHAHIDI HADI WA VIDEO | NILIKATA TAMAA YA KILA KITU" | Kuhusu KUMRIDHISHA KITANDANI?
Пікірлер: 1 200
@makombaatv33114 жыл бұрын
Hili jamaa linajitambua sana,,, respect to u stamina
@ameirzapy13184 жыл бұрын
Pole sana stamina, hakuna alie jasiri kwa hili, mda wowote kwa mtu yoyote linaweza kumfikia, tuombe sana wenye ndoa Mungu asimamie
@eginokimario96374 жыл бұрын
Ndoa inapaswa kuheshimiwa sana na watu wote. Jiepushe sana na uvunjaji wa ndoa iwe yako au ya mwenzio. Kwa maelezo haya ni wazi kuwa kweli Stamina hakumjua vyema mwenzie ambaye naye hakuwa anajitambua. Asante kwa kuwa mfano na somo kwa wengine.
@soundlab45574 жыл бұрын
I HAVE LEARNED SOMETHING FROM STAMINA TODAY...I RESPECT THIS DUDE ALL DAY ANY DAY
@danielwilfred26094 жыл бұрын
If u look in his eyes,stamina is so damn serious he speaks from his heart.be strong bro💪🏾
@mathiasboniface64144 жыл бұрын
Nadhani kama mlitongozana wawili mngeyamaliza wawili sasa cc ukituambia inatusaidia nini zaidi ya kujianika madhaifu yako je mwanamke haki sema huna pumzi kitandani ndo mana akamkumbuka mpenz wake wa zaman c utaonekana kiazi
@winifridashoo4104 жыл бұрын
Anaumia bado
@danielwilfred26094 жыл бұрын
@@winifridashoo410 inaonekana alimpenda sana
@winifridashoo4104 жыл бұрын
Seriously kabisa yan tunaopenda huwa hatupati nafasi mafunga embe yanaongozwa kwa kuolewa
@danielwilfred26094 жыл бұрын
@@winifridashoo410 😂😂 life skuzote haliko fair mwngne analalamika hana viatu while kuna mwngne anataman awe na miguu atembee ata peku
@triphonechuma21954 жыл бұрын
Hapa ndipo unapoambiwa kwamba ukiona ndoa imedumu basi kuna mmoja kajifanya Bwege. Hata mimi nilishakufa moyo kupenda tena basi.
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Tatizo bikira
@fadhilsaidina65474 жыл бұрын
Sana
@triphonechuma21954 жыл бұрын
Kwa sasa kuzungumzia bikra ni sawa na kuuliza bikra kwenye wodi ya wazazi
@pendomrosso31974 жыл бұрын
Triphone Chuma jaman
@arafataliomar4314 жыл бұрын
baba mm kila mwanamke nampenda na kila mwanamke namkataa cmtaki kabsa
@erastomushi39544 жыл бұрын
Ila Jomba umetoa fundisho sana. Na ulichokifanya ni sahihi kabisa psychologically, Big up Bro. Mwingine angekunywa sumu au angemdhuru mtu.
@shirwaelibakari4104 жыл бұрын
Dah jamaa anaonge pwet inauma Sana kwa mtu mwelewa ata mwelewa stamina kama upo sawa like
@shanteldelicious26174 жыл бұрын
Daah asee pole stamina kw yote,unaonesha una mengi san moyon lkn mung atakutia nguv na maish mengin yanaendelea
@festojaribu77114 жыл бұрын
Pole xana broo hata mm yamenikuta kama hayo na mwisho wa siku nmemchukua mwanangu naishi nae na life inaendelea vzur xana tyuuuu
@hamadisanifu73424 жыл бұрын
Pole sn kaka sn chakukushaur ila muachie mungu ndoa zakiswahili ngumu sn kk
@johnsimon58954 жыл бұрын
Daah kumbe kwel
@elishabayo41114 жыл бұрын
What
@ashleywilliam78564 жыл бұрын
Pole Sn bro wanawake wengi wana akili kama za kuku ukifunga mlango anataga nje,
@abdallahyahaya97604 жыл бұрын
waislamu tuemachiwa melekezo na Mtume kuwa tuogope vitu viwili 1.Dunia 2.Wanawake Ahsante. Shikamoo Mapenzi.
@MightyLumber4 жыл бұрын
abdallah yahaya mbona mtume mwenyewe alikuwa haogopi wanawake bali alikuwa anawabaka?
@bramoajibu50584 жыл бұрын
Yesss sirrrr,nmekubali bonniveture Allah akuzidishie hiyo Ni kweli umeongea sahihi hata mungu atakulipa hapa hapa duniani mwchie Allah aufnyie wepesi mwnangu,Yes sirrrr
@yahayafotta83734 жыл бұрын
Pole sana bro. Kwa sisi watu wazima tunakuelewa sana
@khalfankitenga31304 жыл бұрын
Yahaya Fotta
@johansenrauben61664 жыл бұрын
Mimi na muelewa sana stamina maumivu anayo yapata Mimi nime experience hiyo hali sasa tangu 2016 hadi sasa ijapokuwa huwa ni ngumu sana kuzoeleka ila jipe moyo mungu ni mwaminifu sana atatufuta machozi karibu home morogoro
@nicksonmariki66614 жыл бұрын
Pole sana
@emmanuelnyangasa6441 Жыл бұрын
DHA pole sanaa
@JimmyJeff-sp5dp4 жыл бұрын
Live inauma Sana Kama unaimani mshkaji limemkwaza hili na anaongea kwa uchungu Kama mwanaume piga like kwaajiri ake
@mashauriandrew28744 жыл бұрын
Isee stamina umenitouch sana brother hakika inauma saana
@eliayona90584 жыл бұрын
Dah
@eliayona90584 жыл бұрын
Hata mm ni mhanga mmoja wapo inauma sana Ila ikishatokea hamna namna temana nae broo Fanya yako maana huyo sio ngugu yako
@fredinyamba12514 жыл бұрын
Pole kaka stamina mlugulu mwezangu kwa changamoto ulizo pitia
@sitashaban40074 жыл бұрын
Czdc
@denisimateru47094 жыл бұрын
Sholo bwenzi umeongea point Sana Brother
@TheBestPhone79184 жыл бұрын
Pole sana Kaka wanawake inatakiwa wasome sana Bible Waefeso 5-22.
@dastanfussy48984 жыл бұрын
Waefeso ngap na mstar wangap had?
@johncharles79514 жыл бұрын
Pole brother angu mungu atakuongoza, Me nimejifunza kwa stamina.
@mrs.eileenvahaye86694 жыл бұрын
mhhh Mungu huyu anajua kupoz moyo
@ComradeMokiwa4 жыл бұрын
Good Interview. Funny fact. Nimeupenda wimbo, ila hadi sasa sijafuatilia wala sijui mke wake ana sura gani. Wimbo mzuri na wengi mjifunze.
@nancybarnabas23514 жыл бұрын
pole stamin wengi wanaocoment ovyo hawaelewi nini maana ya ndoa and hawafahamu maumivu but chukulia powa yamepita and mungu atapooza nafsi
@mwariksamson5853 жыл бұрын
Noma xan mwamba
@mwidinijuma82144 жыл бұрын
Stamina uko sahihi,wanawake waheshimuni waume zenu michepuko haifai
@tanzanianchiyangutaifalang83764 жыл бұрын
Dunia ya sasa kuna wanawake wa kuoa, pia kuna wanawake wa kutumiwa tu kwa ajili ya starehe. Huyo hakuwa mwanamke wa kuoa, ni mwanamke wa kutumia tu.
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Tatizo bikira
@tatuyussuf75744 жыл бұрын
Mnyonge mnyongen haki yake mpeni..sijapenda mwanamke alichofanya.(unahaki..uwimbe stamina )
@aloycemvula6454 жыл бұрын
Pole kaka
@deborahjm88904 жыл бұрын
Dhuu sina mengi yakusema ila pole sana kaka , Mungu azidi kukuonesha njia zuri 🙏🙏
@akshaydavid1594 жыл бұрын
Atafute mwanamke ambae hajaguswa bado ndo amuoe
@alshakizmwongesh86243 жыл бұрын
@@akshaydavid159 kumbuka uyo mke bado n mke wake hawaja peana divorce
@charlesmaziku92974 жыл бұрын
Umeongea ukwel stamina,👍👍👍
@abrahameliasgabriel5684 жыл бұрын
Dah mzeeee baba stamina umetimiza kanuni ya mwanamziki ni kioo
@mtweveandrew18614 жыл бұрын
Daaaah aseee pole sana mwanangu stamina
@capeafricatourssafari1754 жыл бұрын
Stamina, you’re the man i tell you you’re the man. Ulichofanya ni sahihi mwanaume afanye. Man siwezi ongea you’re the man. Keep it up fanya mziki fanya maisha, tafuta pesa .
@oliviermarambo25874 жыл бұрын
To be honest I stand with you, I’m a victim of the same problem.. inauma kaka.
@markmush30284 жыл бұрын
Pole jamani
@oliviermarambo25874 жыл бұрын
mark mush man it’s not an easy situation... I swear.... it’s so painful.
@markmush30284 жыл бұрын
Its not easy but u need to accept it coz one of the best option to solve problem is to accept it
@isabellamrutu35714 жыл бұрын
@@markmush3028 fact brother
@robby1agustino1214 жыл бұрын
@@markmush3028 point
@ephesongailo85644 жыл бұрын
Wasio jua ndoa watasema stamina umetusemea wengi!
@samymdundu4 жыл бұрын
Machizi haoo
@gidionsukuru44214 жыл бұрын
Kweli ndugu
@angelerick86684 жыл бұрын
Mh
@mohameeddoaan22964 жыл бұрын
Kabisaa
@saidsukaliyaosaidsukaliyao35794 жыл бұрын
Wanyabi
@babayao37914 жыл бұрын
Wapo wengi wana majanga kama haya,lakini hawana platform ya kusemea Pole sana brother, watoto wa mama ni shida hata ukimwambia naomba maji ya kunywa anatangaza amenyanyaswa
@georgelyimo44114 жыл бұрын
😄😄😄
@mtanzaniamzalendo70014 жыл бұрын
Sanaaa,vimeo
@ashuuuaisha91224 жыл бұрын
😭😭😭😭sana yaani mimi raitingekuwa na uwezo ningeweka iwe tamthilia
@patriciacarlo72364 жыл бұрын
Ulioa mdangaji stamina.pole Sana bro.though wengi tupo kwenye ndoano
@coxtrixherboy40624 жыл бұрын
hahahhaa... ila n kwel
@princesjouse64364 жыл бұрын
Mambo
@immadeprince39784 жыл бұрын
Pole Sana stamina haya maisha ya ndoa yaache tyu yanaumiza kwelkwel stak Tena kpenda
@noelrichard90774 жыл бұрын
Ebwana mm nimejifunza kupitia #STAMINA💪
@habibanarogwanarogwa67684 жыл бұрын
Pole stamina sha jifunz kupia ww
@jumajuma92114 жыл бұрын
Amazing
@benitoxavery18024 жыл бұрын
Ndoa inahitaji: 1.God 2.Maturity (Financial,Physical and Mental) Ukijichunguza ukaona kuna kitu bado kimepungua hapo,usioe,usiolewe. Hata kama una hamu vipi!
@andrewmwakibolwa86004 жыл бұрын
Facts
@nancyruoruo10254 жыл бұрын
Love is blind
@samymdundu4 жыл бұрын
NOTED 200%
@happybalama35914 жыл бұрын
na ndoa nyingi za vijana siku hizi hazidumu sababu kuna kuwa na mahisiano ya haraka hawajuani.wazee wetu walianza kuchunguzana muda mnajuana ndio maana ndoa zilidumu sio sisi mnatongozana wiki kajitambulishe mara ndoa ndio maana hazidumu
@petronzengelele71374 жыл бұрын
@@happybalama3591 kabisa watu hatuchunguzani vizuri
@ramadhaniseifuledi5134 жыл бұрын
Pole sana mkuu fanya yako hao wanawake pasua kichwa fungua ukrasa mpya na maisha ya endelea
@lifeisgood42424 жыл бұрын
Stamina pole sana. Kama ndivyo mruhusu ale maisha tu. Mtafute mwingine uendelee na maisha yupo wa ndoto zako. Yawezekana yupo mdada ulishamchumbia ukampotezea anaweza kukuchezea kiaina. Kaa tafakari chukua hatua.
@brytonrenatus48864 жыл бұрын
Dah ngoja nisubiri subiri kama mambo yenyewe ndo haya 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️ pole bro mwachie Mungu tu
@mimimwenyew3614 жыл бұрын
Usisubiriiii we oa tuuuu maana kila MTU na changamoto zake
@sarahlyanga37664 жыл бұрын
Bryton Renatus 😂😂😂😂😂😂😂
@amrimzeru29134 жыл бұрын
Pole sana stamina,hii broo inaonekana imekuuma sana
@gidionsukuru44214 жыл бұрын
Kama haijawahi kukutokea unaweza kusema
@denisimateru47094 жыл бұрын
Alaf babaaa johni una Mambo za kiwaki ila sio kesi b dazen 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍
@jimmycclass4 жыл бұрын
pole sana kwa haya Stamina, MUNGU kakuokoa from many calamities that could befall two people living together without trust
@dominicmawala56144 жыл бұрын
Upo sahihi sana Boy!! We kweli mwanaume
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Mungu ninusuru mimi namume wanguu😭😭😭😭😭😭
@ommarnduru82534 жыл бұрын
stamina kma mimi ayo madudu na mimi nimeyafanya najuta! Sijamjua mwanamke nikaoa..iyo mbaya sana ...upo vzr brooo
@kirupyseleman5824 жыл бұрын
Wale mnaudharau wimbo wa ASIWAZE mungu anawaona yaani
@jescajames94484 жыл бұрын
Mzur sana
@omarybuhoro78784 жыл бұрын
Daaaa kaka ww unamoyo sana ningekua mm sijui ningemfanya kitu chaajabu ila nakubali sana maazi yako unabusala na hekima kaka angu
@gospotv4 жыл бұрын
Kweli NDOA Kazi
@shebbygangster92414 жыл бұрын
Ambao Tusha Umizwa Ndo Tunaelewa Binafsi Sitaki Ushaur Wa Kipumbavu Wowote Kuhusu Mapenz
@rosejoseph93784 жыл бұрын
Mhhhhhhhhhhhh aiseeee shikamoo ndoa bora ukoseee kujenga kuliko kukosea kuoa au kuolewa ni jambo la kumwomba Mungu2 pole sana stamina
@bensonmwananchi77014 жыл бұрын
Kwa tunaojua ndoa stamina uko sahihi sana.tena hongera umekuwa mfano kwa wengine
@kimbalisaid27604 жыл бұрын
Ulivumilia kwamuda mrefu hatahivi
@fatumakatembo42184 жыл бұрын
Pole kaka achananae malipo dunian ico siku 1 atakukumbuka ata mimi ni mwanamke sifagirii ujinga alioupitiliza mwanamke mwenzg
@noahngogo43344 жыл бұрын
we acha tu!!
@kapesekapese71674 жыл бұрын
Moyo hupenda mara moja tu, ukishaumizwa basi tena ndoa utaisikia tu. Kama hujui maumivu hayo don't comment just like or share.
@andrewmagwila16024 жыл бұрын
Umeongea vzr sana mkuuu nimekuelewa Sanaa brooo mm yamenikuta Kama stamina
@kapesekapese71674 жыл бұрын
@Andrew Magwila pole sana kaka
@emanuelmoshama38994 жыл бұрын
umeongea fact, mpaka naskia hasira
@augustinkimati97134 жыл бұрын
Diamond
@kapesekapese71674 жыл бұрын
@@emanuelmoshama3899 kaka wote Ni wahanga haya Mambo sijui yaliletwa ya nini
@nasibugunda79274 жыл бұрын
Wanawake wa kizazi chetu sisi tuliozaliwa kuanzia 1990 mpaka 2050 ni mtihani mkubwa Nakwambieni kazi tunayo
@alh28754 жыл бұрын
Pole kaka stamena hio nimitahani inayo kumba jinsia zote kuna wanaopat wake watulivu lakn wanawachezea nawapo wanaopat waume watulivu wanawachezea
@sumadashsumadash73424 жыл бұрын
Saaaf sana mzee baba,hiyo mijanamke yaivyo yapo mengi sana.Hata mm nilikumbwa na hali Kama hiyo yaani nahis yakwangu ilikuwa ngumu zaid na nilikuwa safari cku moja jianamke lile likabeba kiiila kitu ndani sio vyangu tu likaiba vyote na nilikuwa Nina Evidence full, bas nikalikaushia tu wala ckulitafta wala ckuliuliza kwasasa lishafamba na halina tena soko naliliishatemwa nakila mwanaume limebakza kudanga danga tu apa mjini kwa Makonda mm walaaa..! Nshatilaxy
@tonganekwizayo96424 жыл бұрын
Kumbe wengi washa tendwa kama stamina 😫😫 gonga like 👉
@dajia47874 жыл бұрын
all the way from china here. Stamina nakufeel sana jomba keep calm man. its life
@halfahalfa97284 жыл бұрын
It's very heart Anongea kama ni jambo la kawaida lakini usiombe yakukute Mimi naomba mungu yasinikute hayo maana naweza kuua au kuuliwa mimi na huyo anayechukua mke wangu 😢😢😢
@softrock71554 жыл бұрын
So touching, of coz pain is love. Very sorry Stamina..
@jjm45834 жыл бұрын
Kaka stamina nmekuelewa sanaaaaa
@rajlovechild81344 жыл бұрын
Kweli kabisa Kakaa. Waambie... Ndio Maana NDOA Yaitwa CHAMA CHA WAJINGA.. kwa Sababu usipokua mjinga Hauwezi Kaa Nae
@wilsonedward39764 жыл бұрын
Pole brother kweli ndoa ndoano sasa ivi stamina umesha jifunza alafu usitake mwanamke staa chukua mwanamke wa kawaida
@nelsonmataba14264 жыл бұрын
Hiyo takugombana na mwanamke wako sababu ya jamaa,halafu anatoka anaenda kwa jamaa tena anakwambia tuachane kisa ya jamaa ishanitokea,jema ni nilishapona namshukuru Mungu sanaa 🙏🏾
@ameyashey31744 жыл бұрын
Dah sotry yako km yangu 😥😭😭😭😭sema mimi mwanamke wewe mwanaume. mwaka wa 3 huu kila nikijalibu kupenda MOYO hautaki kabisaa dah😥pole
@sirsajj20914 жыл бұрын
pole pia
@salimzaidi92034 жыл бұрын
Pole sana dada angu
@ntalarukadereva25044 жыл бұрын
Unaweza nipa namb yako
@ismailfrenchchannel34694 жыл бұрын
Pole pole
@johndunia7164 жыл бұрын
Daah Kweli umejaribu kupenda lakini wapi kama mimi YAN UNAJARIBU KUPENDA LKN WAPI..
@adefunmioluwadamilola6054 жыл бұрын
Doooooo pole sana wanawake sisi vivuruge sana inaonekana ulimpenda sana ulikuwa hukat tamaa unapigania penzi lako ila hiyo sio ridhiki yako ulifanya maamuzi muda ambao haukuwa sahihi..ila usijali kitu chochot kinachokuja kama hakijakutoa uhai,,bhas ni pito tu yataisha hayo..God bless stamina awe strong tena. Napenda sana nyimb zak
@annabalenga76374 жыл бұрын
Pole sn Stamina hayo mambo yametukuta wengi jipe moyo tuu mungu atakutetea .kama mwanamke ndo mwenyeshida mungu atakulipia.
@ashuuuaisha91224 жыл бұрын
😭😭😭😭stami wee umenitonesha mwenzioo. Japokuwa mimi ni mwanake.nina miaka 7 sasa sitamani tena mahusiano na niliyopitia nihayo. Kablaya ndoa mume wangu alikuwaga na msichana wakaachana. Baada ya kinioa mimi wakaludisha mahusiano. Na mwanamke kumwambiabwana kuwa kipindi walichoachanaga alikuwagana mimba ya wiki. Cha kushangaza wakarudisha mahusiano kwa mpaka bwana akawa aniaga asafiri kumbe enda tawishwa ndani😭😭😭hebu ngoja tu niishie hapa
@asiajuma83304 жыл бұрын
Pole sna dear
@eneolatukio84934 жыл бұрын
Duh, shikamoo mapenzi, doggy man aliimba "ivi mapenzi ni kitu gani?" mimi namjibu mapenzi ni utamu wenye maumivu makali sana! Period!
@ramaccr75254 жыл бұрын
Eneo Latukio 😂😂😂😂😂
@aureliebeatrice59524 жыл бұрын
Period 😂😂
@ashuuuaisha91224 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂
@allyshafih49134 жыл бұрын
Teh teh
@antoinea.katembo53264 жыл бұрын
Eneo Latukio makali SANA TU!
@theresiangunda22984 жыл бұрын
Pole sana kaka kifupi mahusiano kwa ujumla yakiharibika huwa yanaumiza sana aise
@luciamathias85853 жыл бұрын
Pole Sana Kaka aiseee njoo njooo nikupe hata mdogo wangu msukuma
@josephdionizy28684 жыл бұрын
Aseeeeh me nakuelewa sana stamina sanaaa yaaaan mm nakuelewa san yan mm nakuelewa san yaaan naelewaa maan n kama yalonkuta mm
Kaka jipe moyo mungu yupo tatizo sio kukaa sana kwenyeausiano huyo dada alikua Malaya tu ila piga moyo konde wanawake tupo ukihita nitafute naamini hutojuta kaka angu nimekupenda toka hujaoa njoo baba tuyajenge
@saunakatauyanawausufanyeni95044 жыл бұрын
Stamina we mwaume bwana achana na uzalilishaji.
@mwanzashinyanga80604 жыл бұрын
nimekuelewa sana mwamba umeumizwa sana mpaka sasa bado unaumia pole sana
@samwelhechei85374 жыл бұрын
Pole sana mkuu, pambana na maisha mengine. Japo kila mtu ana mapungufu yake ila huyo hakujua alitendalo
@margrethsalvatory13594 жыл бұрын
Jaman mimi nilie msikiliza huyu kaka he is damn hurted, Alaf hata kama huyoo dada angeazilishwa ni sawa tuu amemkosea huyu kaka jaman tupo kwenye ndoa ila sio poa kumsemea maneno nje
@alexmwalingo51204 жыл бұрын
Bola kayaweka peupe, angeyafungia moyoni huenda angejinyonga, mi nampa hongela kwa maamuzi aliyoyachukua pia inaweza ikasaidia kuwajenga wanawake wengine wasifanye kama alivyofanya mke wake, na yy ni kioo cha jamii kiujumla kafanya vzr kuyaanika
@azizaalmas96244 жыл бұрын
Kwanza ukioa mwanamkee ambae mkigombana kidogo anakimbilia kwao nawazazi wanampokeaa wanakaanaeee bila hata tatizo nduguyake jiepushe mapema umeoa mabomu,
@dallasmoon6534 жыл бұрын
👍
@emilwaziri64894 жыл бұрын
VERY VERY TRUE
@elinikomniko44114 жыл бұрын
Hii Ni kweli kabisaa imenitokea
@ussyussy52 жыл бұрын
Kabisa kabisa
@gavanashy31974 жыл бұрын
Pole sana stamina haya yote maisha..pole sana my young brother
@eliamathius74724 жыл бұрын
Muosha huoshwa kama kampora kwako nayeye ataporwa anaekubali tupia lyk apa
@jizomontana18994 жыл бұрын
Stamina kaka huku oa mwanamke ulioa msichana haiwezekani mgombane aseme muweke mapumziko😀😀😀
@joshuaviwanjamwanza80614 жыл бұрын
Daaaaaaahhhhhh!!!!!! Ukwel ni kwamba kuna X, na Neutral X huyu Neutral X hua anaendelea kula PENSION had uzeeni. Take it from me
@jonasdickson91184 жыл бұрын
pole sana mzee baba never give up wanawake hawathaminiki hata kidgo XXL is very professional
@aminathaabubakarmasoud5654 жыл бұрын
Pole sana Stamina Mungu atakupa mke mwingine aliokuandalia kwaajili yako inshaallah.
@suleimanbigger42514 жыл бұрын
Dawa yao mond awakanyage mbaka wafeeee😂😂😂😂
@hawahassan40184 жыл бұрын
Yaani kaka this is my story sema mm ni mwanamke ila mume anauma mke pia anaumwaa balaa
@sir_ENOCKMACHA4 жыл бұрын
Nyie mnatutesa sana
@patrickmgata95744 жыл бұрын
Hawa njoo kwangu basi hutoumia
@issazakaria97044 жыл бұрын
@Hawa Hassan pole sana na Mungu akufanyie wepesi
@mashimbadeograthiasmathias85834 жыл бұрын
Hawa Hassan pole sana Dada tupo wengi sana
@catherinekayamba53044 жыл бұрын
Pole my
@machetebogota42184 жыл бұрын
Asojua ndoa asiogpe wapo watu wanapenda kwdhati ila usiombe uingie ndani yandoa na mtu usomjua Tabia 🙏Alhamdulillah Nimesahau Kila Kitu maisha yasonga ndo Maana kwa sisi waisalm mungu anatuambia katika Qur'an tukufu tuolewe na mwenye dini na hofu yamungu atahofia kufanya ubaya kwa kumyogopa Allah lakini ukiokota tu ndo unapojutia Wapo wenye Mapenz kwa Dhati
@azizakiswili15064 жыл бұрын
Pole sana,ushukuru jinamizi hilo limekuondokea sivyo lingekutoa roho hilo
@bulugulubuga22014 жыл бұрын
Ndoa bwana, unaminyaminya nyanya unanunua bilinganya! Shout up to Roma mkatoliki
@bakaribakari_4 жыл бұрын
Mkatoliki ashamalizaga haya kitambo.
@masumbukochilo21114 жыл бұрын
Kweri kaka
@nestorymsacky68384 жыл бұрын
Sio shout up bhana 😂😂😂😂
@malicksiambiri35844 жыл бұрын
@@nestorymsacky6838 hahaah
@bulugulubuga22014 жыл бұрын
@@nestorymsacky6838 shout out😀😀😀 Uko makini sana, umegundua hadi hiyo??
@epifaniamponda24434 жыл бұрын
Wanawake mambo mengine usenge yani umeolewa hafu bado unatoka nje ulikubalije kufunga ndoa????
@rachaelseth79234 жыл бұрын
Yaan ni aibu. Mungu atusaidie sana, sisi wanawake. Ukiolewa inabidi uache makolonii yoote.
@epifaniamponda24434 жыл бұрын
Rachael Seth ndoivo yani dah ungese sana
@BenLeeBl4 жыл бұрын
Nmejifunza kitu hapa.thanks broo
@allyseba1724 жыл бұрын
Daaah stamina umenigusa duuuh inauma nyie haya mambo yaskie kwa mwenzio... Mm nilifunga office nikawa ndan nalala
@zclassicfashionz4 жыл бұрын
Wanaume mapenz, huruma, na care tumejaaliwa lkn wenzetu wanasiri nzito sana... 💔 heart
@mohamedsadiq23984 жыл бұрын
kaka yamenitokea hayo pole sana
@gwakisakallenge96204 жыл бұрын
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
@wamburachibura54714 жыл бұрын
Huyo hakuwa mke bro
@MightyLumber4 жыл бұрын
Na ndivyo walivyo mademu wengi wa kibongo, hawana mpango. Yaani demu ana acha mume wa ndoa anakwenda kutoka na mchezaji wa ligi ya kibongo, hivi ana akili kweli huyu demu? Gwakisa Kallenge
@georgemichael32094 жыл бұрын
Gwakisa Kallenge kweli
@salminwilliam92704 жыл бұрын
Sawa
@hassankiluwa13174 жыл бұрын
Gwakisa Kallenge Umesema kweli kaka,huyu jamaa akubali matokeo ajipange tu upya mungu atamsaidia asichoke kuomba mke mwema
@magrethkahise95324 жыл бұрын
Pole sana kaka mwisho wa hili mwanzo wa jingine kungulu hafugiki
@zuhuraabdul93834 жыл бұрын
Pole saana Stamina hao ndivyo walivyo hata mimi imenifika hiyo mpaka nimeamuwa kuachia kabisa wana tuchiti saana tena mno sasa majuto mjukuu dawa chukuwa kingine brodher
@karanidicky44894 жыл бұрын
Bro We Ni Mjasiri Sana,Wanaume Wachache Sana Ndo Wanaeza Funguka Hali Ya Halisi Ianayotukuta Sisi Tulio Ndani Ya Ndoa..
@zumbeshauri81144 жыл бұрын
Karani Dicky yani ukiona hivyo huyu jamaa alimpenda sana mwanamke halafu alamsaliti kwahiyo ana maumivu sana sana sana haya yametukuta wanaume wengi sana jamaa kaumia kiukweli halafu jasiri unaweza kuuwa wallah
@karanidicky44894 жыл бұрын
@@zumbeshauri8114 Kumbe Umemsoma Bro,Yani Fikra Zako Ziko Sahihi Kabsaa..Inauma Sana I Sei
@silviagustavo4164 жыл бұрын
@@zumbeshauri8114 kweli
@husnamahadhi74374 жыл бұрын
Mwana hiphop huyo hiphop inaongea real life hawanaga kupinda
@maxesh51354 жыл бұрын
The best interview kwa mm ambye sijaoa nimemwelewa sana Stamina
@papamgolo28354 жыл бұрын
Bro maamuzi yk yapo sahihi
@salumkibiki75394 жыл бұрын
Pole Kaka Kwa wanawake wa Sikuizi Unaweza Ukapiga Ukauwa Maana wanaleta hasira hatali Ndiomana Sitakigi Shobo na ivi Viumbe
@happyhamza18954 жыл бұрын
Watu tunazitaka ndoa wengine wanazichezea Aya maisha bhana!!!!....
@franklwehela75954 жыл бұрын
Kwa Sisi Vijana ambao hatujaowa,take care Kwa last born na first. Hata Chris Mauki amewahi lisema hilo.
@alexmwalingo51204 жыл бұрын
Kweli kabisa last na first ni shida, umejuaje, ukimgusa tu kakofi halaka sana amepiga cm kwa mama yake
@noahngogo43344 жыл бұрын
kama ndio kuoa tunapaswa kuoa mwanamke asie pendwa kwao.