STAMINA: "NINA USHAHIDI HADI WA VIDEO | NILIKATA TAMAA YA KILA KITU" | Kuhusu KUMRIDHISHA KITANDANI?

  Рет қаралды 843,504

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 жыл бұрын

STAMINA: "NINA USHAHIDI HADI WA VIDEO | NILIKATA TAMAA YA KILA KITU" | Kuhusu KUMRIDHISHA KITANDANI?

Пікірлер: 1 200
@makombaatv3311
@makombaatv3311 4 жыл бұрын
Hili jamaa linajitambua sana,,, respect to u stamina
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 4 жыл бұрын
Pole sana stamina, hakuna alie jasiri kwa hili, mda wowote kwa mtu yoyote linaweza kumfikia, tuombe sana wenye ndoa Mungu asimamie
@eginokimario9637
@eginokimario9637 4 жыл бұрын
Ndoa inapaswa kuheshimiwa sana na watu wote. Jiepushe sana na uvunjaji wa ndoa iwe yako au ya mwenzio. Kwa maelezo haya ni wazi kuwa kweli Stamina hakumjua vyema mwenzie ambaye naye hakuwa anajitambua. Asante kwa kuwa mfano na somo kwa wengine.
@soundlab4557
@soundlab4557 4 жыл бұрын
I HAVE LEARNED SOMETHING FROM STAMINA TODAY...I RESPECT THIS DUDE ALL DAY ANY DAY
@danielwilfred2609
@danielwilfred2609 4 жыл бұрын
If u look in his eyes,stamina is so damn serious he speaks from his heart.be strong bro💪🏾
@mathiasboniface6414
@mathiasboniface6414 4 жыл бұрын
Nadhani kama mlitongozana wawili mngeyamaliza wawili sasa cc ukituambia inatusaidia nini zaidi ya kujianika madhaifu yako je mwanamke haki sema huna pumzi kitandani ndo mana akamkumbuka mpenz wake wa zaman c utaonekana kiazi
@winifridashoo410
@winifridashoo410 4 жыл бұрын
Anaumia bado
@danielwilfred2609
@danielwilfred2609 4 жыл бұрын
@@winifridashoo410 inaonekana alimpenda sana
@winifridashoo410
@winifridashoo410 4 жыл бұрын
Seriously kabisa yan tunaopenda huwa hatupati nafasi mafunga embe yanaongozwa kwa kuolewa
@danielwilfred2609
@danielwilfred2609 4 жыл бұрын
@@winifridashoo410 😂😂 life skuzote haliko fair mwngne analalamika hana viatu while kuna mwngne anataman awe na miguu atembee ata peku
@triphonechuma2195
@triphonechuma2195 4 жыл бұрын
Hapa ndipo unapoambiwa kwamba ukiona ndoa imedumu basi kuna mmoja kajifanya Bwege. Hata mimi nilishakufa moyo kupenda tena basi.
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 жыл бұрын
Tatizo bikira
@fadhilsaidina6547
@fadhilsaidina6547 4 жыл бұрын
Sana
@triphonechuma2195
@triphonechuma2195 4 жыл бұрын
Kwa sasa kuzungumzia bikra ni sawa na kuuliza bikra kwenye wodi ya wazazi
@pendomrosso3197
@pendomrosso3197 4 жыл бұрын
Triphone Chuma jaman
@arafataliomar431
@arafataliomar431 4 жыл бұрын
baba mm kila mwanamke nampenda na kila mwanamke namkataa cmtaki kabsa
@erastomushi3954
@erastomushi3954 4 жыл бұрын
Ila Jomba umetoa fundisho sana. Na ulichokifanya ni sahihi kabisa psychologically, Big up Bro. Mwingine angekunywa sumu au angemdhuru mtu.
@shirwaelibakari410
@shirwaelibakari410 4 жыл бұрын
Dah jamaa anaonge pwet inauma Sana kwa mtu mwelewa ata mwelewa stamina kama upo sawa like
@shanteldelicious2617
@shanteldelicious2617 4 жыл бұрын
Daah asee pole stamina kw yote,unaonesha una mengi san moyon lkn mung atakutia nguv na maish mengin yanaendelea
@festojaribu7711
@festojaribu7711 4 жыл бұрын
Pole xana broo hata mm yamenikuta kama hayo na mwisho wa siku nmemchukua mwanangu naishi nae na life inaendelea vzur xana tyuuuu
@hamadisanifu7342
@hamadisanifu7342 4 жыл бұрын
Pole sn kaka sn chakukushaur ila muachie mungu ndoa zakiswahili ngumu sn kk
@johnsimon5895
@johnsimon5895 4 жыл бұрын
Daah kumbe kwel
@elishabayo4111
@elishabayo4111 4 жыл бұрын
What
@ashleywilliam7856
@ashleywilliam7856 4 жыл бұрын
Pole Sn bro wanawake wengi wana akili kama za kuku ukifunga mlango anataga nje,
@abdallahyahaya9760
@abdallahyahaya9760 4 жыл бұрын
waislamu tuemachiwa melekezo na Mtume kuwa tuogope vitu viwili 1.Dunia 2.Wanawake Ahsante. Shikamoo Mapenzi.
@MightyLumber
@MightyLumber 4 жыл бұрын
abdallah yahaya mbona mtume mwenyewe alikuwa haogopi wanawake bali alikuwa anawabaka?
@bramoajibu5058
@bramoajibu5058 4 жыл бұрын
Yesss sirrrr,nmekubali bonniveture Allah akuzidishie hiyo Ni kweli umeongea sahihi hata mungu atakulipa hapa hapa duniani mwchie Allah aufnyie wepesi mwnangu,Yes sirrrr
@yahayafotta8373
@yahayafotta8373 4 жыл бұрын
Pole sana bro. Kwa sisi watu wazima tunakuelewa sana
@khalfankitenga3130
@khalfankitenga3130 4 жыл бұрын
Yahaya Fotta
@johansenrauben6166
@johansenrauben6166 4 жыл бұрын
Mimi na muelewa sana stamina maumivu anayo yapata Mimi nime experience hiyo hali sasa tangu 2016 hadi sasa ijapokuwa huwa ni ngumu sana kuzoeleka ila jipe moyo mungu ni mwaminifu sana atatufuta machozi karibu home morogoro
@nicksonmariki6661
@nicksonmariki6661 4 жыл бұрын
Pole sana
@emmanuelnyangasa6441
@emmanuelnyangasa6441 Жыл бұрын
DHA pole sanaa
@JimmyJeff-sp5dp
@JimmyJeff-sp5dp 4 жыл бұрын
Live inauma Sana Kama unaimani mshkaji limemkwaza hili na anaongea kwa uchungu Kama mwanaume piga like kwaajiri ake
@mashauriandrew2874
@mashauriandrew2874 4 жыл бұрын
Isee stamina umenitouch sana brother hakika inauma saana
@eliayona9058
@eliayona9058 4 жыл бұрын
Dah
@eliayona9058
@eliayona9058 4 жыл бұрын
Hata mm ni mhanga mmoja wapo inauma sana Ila ikishatokea hamna namna temana nae broo Fanya yako maana huyo sio ngugu yako
@fredinyamba1251
@fredinyamba1251 4 жыл бұрын
Pole kaka stamina mlugulu mwezangu kwa changamoto ulizo pitia
@sitashaban4007
@sitashaban4007 4 жыл бұрын
Czdc
@denisimateru4709
@denisimateru4709 4 жыл бұрын
Sholo bwenzi umeongea point Sana Brother
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 4 жыл бұрын
Pole sana Kaka wanawake inatakiwa wasome sana Bible Waefeso 5-22.
@dastanfussy4898
@dastanfussy4898 4 жыл бұрын
Waefeso ngap na mstar wangap had?
@johncharles7951
@johncharles7951 4 жыл бұрын
Pole brother angu mungu atakuongoza, Me nimejifunza kwa stamina.
@mrs.eileenvahaye8669
@mrs.eileenvahaye8669 4 жыл бұрын
mhhh Mungu huyu anajua kupoz moyo
@ComradeMokiwa
@ComradeMokiwa 4 жыл бұрын
Good Interview. Funny fact. Nimeupenda wimbo, ila hadi sasa sijafuatilia wala sijui mke wake ana sura gani. Wimbo mzuri na wengi mjifunze.
@nancybarnabas2351
@nancybarnabas2351 4 жыл бұрын
pole stamin wengi wanaocoment ovyo hawaelewi nini maana ya ndoa and hawafahamu maumivu but chukulia powa yamepita and mungu atapooza nafsi
@mwariksamson585
@mwariksamson585 3 жыл бұрын
Noma xan mwamba
@mwidinijuma8214
@mwidinijuma8214 4 жыл бұрын
Stamina uko sahihi,wanawake waheshimuni waume zenu michepuko haifai
@tanzanianchiyangutaifalang8376
@tanzanianchiyangutaifalang8376 4 жыл бұрын
Dunia ya sasa kuna wanawake wa kuoa, pia kuna wanawake wa kutumiwa tu kwa ajili ya starehe. Huyo hakuwa mwanamke wa kuoa, ni mwanamke wa kutumia tu.
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 жыл бұрын
Tatizo bikira
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 4 жыл бұрын
Mnyonge mnyongen haki yake mpeni..sijapenda mwanamke alichofanya.(unahaki..uwimbe stamina )
@aloycemvula645
@aloycemvula645 4 жыл бұрын
Pole kaka
@deborahjm8890
@deborahjm8890 4 жыл бұрын
Dhuu sina mengi yakusema ila pole sana kaka , Mungu azidi kukuonesha njia zuri 🙏🙏
@akshaydavid159
@akshaydavid159 4 жыл бұрын
Atafute mwanamke ambae hajaguswa bado ndo amuoe
@alshakizmwongesh8624
@alshakizmwongesh8624 3 жыл бұрын
@@akshaydavid159 kumbuka uyo mke bado n mke wake hawaja peana divorce
@charlesmaziku9297
@charlesmaziku9297 4 жыл бұрын
Umeongea ukwel stamina,👍👍👍
@abrahameliasgabriel568
@abrahameliasgabriel568 4 жыл бұрын
Dah mzeeee baba stamina umetimiza kanuni ya mwanamziki ni kioo
@mtweveandrew1861
@mtweveandrew1861 4 жыл бұрын
Daaaah aseee pole sana mwanangu stamina
@capeafricatourssafari175
@capeafricatourssafari175 4 жыл бұрын
Stamina, you’re the man i tell you you’re the man. Ulichofanya ni sahihi mwanaume afanye. Man siwezi ongea you’re the man. Keep it up fanya mziki fanya maisha, tafuta pesa .
@oliviermarambo2587
@oliviermarambo2587 4 жыл бұрын
To be honest I stand with you, I’m a victim of the same problem.. inauma kaka.
@markmush3028
@markmush3028 4 жыл бұрын
Pole jamani
@oliviermarambo2587
@oliviermarambo2587 4 жыл бұрын
mark mush man it’s not an easy situation... I swear.... it’s so painful.
@markmush3028
@markmush3028 4 жыл бұрын
Its not easy but u need to accept it coz one of the best option to solve problem is to accept it
@isabellamrutu3571
@isabellamrutu3571 4 жыл бұрын
@@markmush3028 fact brother
@robby1agustino121
@robby1agustino121 4 жыл бұрын
@@markmush3028 point
@ephesongailo8564
@ephesongailo8564 4 жыл бұрын
Wasio jua ndoa watasema stamina umetusemea wengi!
@samymdundu
@samymdundu 4 жыл бұрын
Machizi haoo
@gidionsukuru4421
@gidionsukuru4421 4 жыл бұрын
Kweli ndugu
@angelerick8668
@angelerick8668 4 жыл бұрын
Mh
@mohameeddoaan2296
@mohameeddoaan2296 4 жыл бұрын
Kabisaa
@saidsukaliyaosaidsukaliyao3579
@saidsukaliyaosaidsukaliyao3579 4 жыл бұрын
Wanyabi
@babayao3791
@babayao3791 4 жыл бұрын
Wapo wengi wana majanga kama haya,lakini hawana platform ya kusemea Pole sana brother, watoto wa mama ni shida hata ukimwambia naomba maji ya kunywa anatangaza amenyanyaswa
@georgelyimo4411
@georgelyimo4411 4 жыл бұрын
😄😄😄
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 4 жыл бұрын
Sanaaa,vimeo
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 4 жыл бұрын
😭😭😭😭sana yaani mimi raitingekuwa na uwezo ningeweka iwe tamthilia
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 4 жыл бұрын
Ulioa mdangaji stamina.pole Sana bro.though wengi tupo kwenye ndoano
@coxtrixherboy4062
@coxtrixherboy4062 4 жыл бұрын
hahahhaa... ila n kwel
@princesjouse6436
@princesjouse6436 4 жыл бұрын
Mambo
@immadeprince3978
@immadeprince3978 4 жыл бұрын
Pole Sana stamina haya maisha ya ndoa yaache tyu yanaumiza kwelkwel stak Tena kpenda
@noelrichard9077
@noelrichard9077 4 жыл бұрын
Ebwana mm nimejifunza kupitia #STAMINA💪
@habibanarogwanarogwa6768
@habibanarogwanarogwa6768 4 жыл бұрын
Pole stamina sha jifunz kupia ww
@jumajuma9211
@jumajuma9211 4 жыл бұрын
Amazing
@benitoxavery1802
@benitoxavery1802 4 жыл бұрын
Ndoa inahitaji: 1.God 2.Maturity (Financial,Physical and Mental) Ukijichunguza ukaona kuna kitu bado kimepungua hapo,usioe,usiolewe. Hata kama una hamu vipi!
@andrewmwakibolwa8600
@andrewmwakibolwa8600 4 жыл бұрын
Facts
@nancyruoruo1025
@nancyruoruo1025 4 жыл бұрын
Love is blind
@samymdundu
@samymdundu 4 жыл бұрын
NOTED 200%
@happybalama3591
@happybalama3591 4 жыл бұрын
na ndoa nyingi za vijana siku hizi hazidumu sababu kuna kuwa na mahisiano ya haraka hawajuani.wazee wetu walianza kuchunguzana muda mnajuana ndio maana ndoa zilidumu sio sisi mnatongozana wiki kajitambulishe mara ndoa ndio maana hazidumu
@petronzengelele7137
@petronzengelele7137 4 жыл бұрын
@@happybalama3591 kabisa watu hatuchunguzani vizuri
@ramadhaniseifuledi513
@ramadhaniseifuledi513 4 жыл бұрын
Pole sana mkuu fanya yako hao wanawake pasua kichwa fungua ukrasa mpya na maisha ya endelea
@lifeisgood4242
@lifeisgood4242 4 жыл бұрын
Stamina pole sana. Kama ndivyo mruhusu ale maisha tu. Mtafute mwingine uendelee na maisha yupo wa ndoto zako. Yawezekana yupo mdada ulishamchumbia ukampotezea anaweza kukuchezea kiaina. Kaa tafakari chukua hatua.
@brytonrenatus4886
@brytonrenatus4886 4 жыл бұрын
Dah ngoja nisubiri subiri kama mambo yenyewe ndo haya 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️ pole bro mwachie Mungu tu
@mimimwenyew361
@mimimwenyew361 4 жыл бұрын
Usisubiriiii we oa tuuuu maana kila MTU na changamoto zake
@sarahlyanga3766
@sarahlyanga3766 4 жыл бұрын
Bryton Renatus 😂😂😂😂😂😂😂
@amrimzeru2913
@amrimzeru2913 4 жыл бұрын
Pole sana stamina,hii broo inaonekana imekuuma sana
@gidionsukuru4421
@gidionsukuru4421 4 жыл бұрын
Kama haijawahi kukutokea unaweza kusema
@denisimateru4709
@denisimateru4709 4 жыл бұрын
Alaf babaaa johni una Mambo za kiwaki ila sio kesi b dazen 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍
@jimmycclass
@jimmycclass 4 жыл бұрын
pole sana kwa haya Stamina, MUNGU kakuokoa from many calamities that could befall two people living together without trust
@dominicmawala5614
@dominicmawala5614 4 жыл бұрын
Upo sahihi sana Boy!! We kweli mwanaume
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 4 жыл бұрын
Mungu ninusuru mimi namume wanguu😭😭😭😭😭😭
@ommarnduru8253
@ommarnduru8253 4 жыл бұрын
stamina kma mimi ayo madudu na mimi nimeyafanya najuta! Sijamjua mwanamke nikaoa..iyo mbaya sana ...upo vzr brooo
@kirupyseleman582
@kirupyseleman582 4 жыл бұрын
Wale mnaudharau wimbo wa ASIWAZE mungu anawaona yaani
@jescajames9448
@jescajames9448 4 жыл бұрын
Mzur sana
@omarybuhoro7878
@omarybuhoro7878 4 жыл бұрын
Daaaa kaka ww unamoyo sana ningekua mm sijui ningemfanya kitu chaajabu ila nakubali sana maazi yako unabusala na hekima kaka angu
@gospotv
@gospotv 4 жыл бұрын
Kweli NDOA Kazi
@shebbygangster9241
@shebbygangster9241 4 жыл бұрын
Ambao Tusha Umizwa Ndo Tunaelewa Binafsi Sitaki Ushaur Wa Kipumbavu Wowote Kuhusu Mapenz
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 4 жыл бұрын
Mhhhhhhhhhhhh aiseeee shikamoo ndoa bora ukoseee kujenga kuliko kukosea kuoa au kuolewa ni jambo la kumwomba Mungu2 pole sana stamina
@bensonmwananchi7701
@bensonmwananchi7701 4 жыл бұрын
Kwa tunaojua ndoa stamina uko sahihi sana.tena hongera umekuwa mfano kwa wengine
@kimbalisaid2760
@kimbalisaid2760 4 жыл бұрын
Ulivumilia kwamuda mrefu hatahivi
@fatumakatembo4218
@fatumakatembo4218 4 жыл бұрын
Pole kaka achananae malipo dunian ico siku 1 atakukumbuka ata mimi ni mwanamke sifagirii ujinga alioupitiliza mwanamke mwenzg
@noahngogo4334
@noahngogo4334 4 жыл бұрын
we acha tu!!
@kapesekapese7167
@kapesekapese7167 4 жыл бұрын
Moyo hupenda mara moja tu, ukishaumizwa basi tena ndoa utaisikia tu. Kama hujui maumivu hayo don't comment just like or share.
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 4 жыл бұрын
Umeongea vzr sana mkuuu nimekuelewa Sanaa brooo mm yamenikuta Kama stamina
@kapesekapese7167
@kapesekapese7167 4 жыл бұрын
@Andrew Magwila pole sana kaka
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 4 жыл бұрын
umeongea fact, mpaka naskia hasira
@augustinkimati9713
@augustinkimati9713 4 жыл бұрын
Diamond
@kapesekapese7167
@kapesekapese7167 4 жыл бұрын
@@emanuelmoshama3899 kaka wote Ni wahanga haya Mambo sijui yaliletwa ya nini
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 4 жыл бұрын
Wanawake wa kizazi chetu sisi tuliozaliwa kuanzia 1990 mpaka 2050 ni mtihani mkubwa Nakwambieni kazi tunayo
@alh2875
@alh2875 4 жыл бұрын
Pole kaka stamena hio nimitahani inayo kumba jinsia zote kuna wanaopat wake watulivu lakn wanawachezea nawapo wanaopat waume watulivu wanawachezea
@sumadashsumadash7342
@sumadashsumadash7342 4 жыл бұрын
Saaaf sana mzee baba,hiyo mijanamke yaivyo yapo mengi sana.Hata mm nilikumbwa na hali Kama hiyo yaani nahis yakwangu ilikuwa ngumu zaid na nilikuwa safari cku moja jianamke lile likabeba kiiila kitu ndani sio vyangu tu likaiba vyote na nilikuwa Nina Evidence full, bas nikalikaushia tu wala ckulitafta wala ckuliuliza kwasasa lishafamba na halina tena soko naliliishatemwa nakila mwanaume limebakza kudanga danga tu apa mjini kwa Makonda mm walaaa..! Nshatilaxy
@tonganekwizayo9642
@tonganekwizayo9642 4 жыл бұрын
Kumbe wengi washa tendwa kama stamina 😫😫 gonga like 👉
@dajia4787
@dajia4787 4 жыл бұрын
all the way from china here. Stamina nakufeel sana jomba keep calm man. its life
@halfahalfa9728
@halfahalfa9728 4 жыл бұрын
It's very heart Anongea kama ni jambo la kawaida lakini usiombe yakukute Mimi naomba mungu yasinikute hayo maana naweza kuua au kuuliwa mimi na huyo anayechukua mke wangu 😢😢😢
@softrock7155
@softrock7155 4 жыл бұрын
So touching, of coz pain is love. Very sorry Stamina..
@jjm4583
@jjm4583 4 жыл бұрын
Kaka stamina nmekuelewa sanaaaaa
@rajlovechild8134
@rajlovechild8134 4 жыл бұрын
Kweli kabisa Kakaa. Waambie... Ndio Maana NDOA Yaitwa CHAMA CHA WAJINGA.. kwa Sababu usipokua mjinga Hauwezi Kaa Nae
@wilsonedward3976
@wilsonedward3976 4 жыл бұрын
Pole brother kweli ndoa ndoano sasa ivi stamina umesha jifunza alafu usitake mwanamke staa chukua mwanamke wa kawaida
@nelsonmataba1426
@nelsonmataba1426 4 жыл бұрын
Hiyo takugombana na mwanamke wako sababu ya jamaa,halafu anatoka anaenda kwa jamaa tena anakwambia tuachane kisa ya jamaa ishanitokea,jema ni nilishapona namshukuru Mungu sanaa 🙏🏾
@ameyashey3174
@ameyashey3174 4 жыл бұрын
Dah sotry yako km yangu 😥😭😭😭😭sema mimi mwanamke wewe mwanaume. mwaka wa 3 huu kila nikijalibu kupenda MOYO hautaki kabisaa dah😥pole
@sirsajj2091
@sirsajj2091 4 жыл бұрын
pole pia
@salimzaidi9203
@salimzaidi9203 4 жыл бұрын
Pole sana dada angu
@ntalarukadereva2504
@ntalarukadereva2504 4 жыл бұрын
Unaweza nipa namb yako
@ismailfrenchchannel3469
@ismailfrenchchannel3469 4 жыл бұрын
Pole pole
@johndunia716
@johndunia716 4 жыл бұрын
Daah Kweli umejaribu kupenda lakini wapi kama mimi YAN UNAJARIBU KUPENDA LKN WAPI..
@adefunmioluwadamilola605
@adefunmioluwadamilola605 4 жыл бұрын
Doooooo pole sana wanawake sisi vivuruge sana inaonekana ulimpenda sana ulikuwa hukat tamaa unapigania penzi lako ila hiyo sio ridhiki yako ulifanya maamuzi muda ambao haukuwa sahihi..ila usijali kitu chochot kinachokuja kama hakijakutoa uhai,,bhas ni pito tu yataisha hayo..God bless stamina awe strong tena. Napenda sana nyimb zak
@annabalenga7637
@annabalenga7637 4 жыл бұрын
Pole sn Stamina hayo mambo yametukuta wengi jipe moyo tuu mungu atakutetea .kama mwanamke ndo mwenyeshida mungu atakulipia.
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 4 жыл бұрын
😭😭😭😭stami wee umenitonesha mwenzioo. Japokuwa mimi ni mwanake.nina miaka 7 sasa sitamani tena mahusiano na niliyopitia nihayo. Kablaya ndoa mume wangu alikuwaga na msichana wakaachana. Baada ya kinioa mimi wakaludisha mahusiano. Na mwanamke kumwambiabwana kuwa kipindi walichoachanaga alikuwagana mimba ya wiki. Cha kushangaza wakarudisha mahusiano kwa mpaka bwana akawa aniaga asafiri kumbe enda tawishwa ndani😭😭😭hebu ngoja tu niishie hapa
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 жыл бұрын
Pole sna dear
@eneolatukio8493
@eneolatukio8493 4 жыл бұрын
Duh, shikamoo mapenzi, doggy man aliimba "ivi mapenzi ni kitu gani?" mimi namjibu mapenzi ni utamu wenye maumivu makali sana! Period!
@ramaccr7525
@ramaccr7525 4 жыл бұрын
Eneo Latukio 😂😂😂😂😂
@aureliebeatrice5952
@aureliebeatrice5952 4 жыл бұрын
Period 😂😂
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 4 жыл бұрын
😂🤣😂🤣😂
@allyshafih4913
@allyshafih4913 4 жыл бұрын
Teh teh
@antoinea.katembo5326
@antoinea.katembo5326 4 жыл бұрын
Eneo Latukio makali SANA TU!
@theresiangunda2298
@theresiangunda2298 4 жыл бұрын
Pole sana kaka kifupi mahusiano kwa ujumla yakiharibika huwa yanaumiza sana aise
@luciamathias8585
@luciamathias8585 3 жыл бұрын
Pole Sana Kaka aiseee njoo njooo nikupe hata mdogo wangu msukuma
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 4 жыл бұрын
Aseeeeh me nakuelewa sana stamina sanaaa yaaaan mm nakuelewa san yan mm nakuelewa san yaaan naelewaa maan n kama yalonkuta mm
@avemariaisidory9457
@avemariaisidory9457 4 жыл бұрын
Joseph Dionizy pole
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 4 жыл бұрын
Asante
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 4 жыл бұрын
Pole jmn😭😭
@josephdionizy2868
@josephdionizy2868 4 жыл бұрын
Asant
@movingkihara704
@movingkihara704 4 жыл бұрын
Umetusemea
@nicholasshukuru4928
@nicholasshukuru4928 4 жыл бұрын
"...inauma nyi acheni." Enyewe stamina namfeel Sana.
@miriammichael8113
@miriammichael8113 4 жыл бұрын
Kaka jipe moyo mungu yupo tatizo sio kukaa sana kwenyeausiano huyo dada alikua Malaya tu ila piga moyo konde wanawake tupo ukihita nitafute naamini hutojuta kaka angu nimekupenda toka hujaoa njoo baba tuyajenge
@saunakatauyanawausufanyeni9504
@saunakatauyanawausufanyeni9504 4 жыл бұрын
Stamina we mwaume bwana achana na uzalilishaji.
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 4 жыл бұрын
nimekuelewa sana mwamba umeumizwa sana mpaka sasa bado unaumia pole sana
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 4 жыл бұрын
Pole sana mkuu, pambana na maisha mengine. Japo kila mtu ana mapungufu yake ila huyo hakujua alitendalo
@margrethsalvatory1359
@margrethsalvatory1359 4 жыл бұрын
Jaman mimi nilie msikiliza huyu kaka he is damn hurted, Alaf hata kama huyoo dada angeazilishwa ni sawa tuu amemkosea huyu kaka jaman tupo kwenye ndoa ila sio poa kumsemea maneno nje
@alexmwalingo5120
@alexmwalingo5120 4 жыл бұрын
Bola kayaweka peupe, angeyafungia moyoni huenda angejinyonga, mi nampa hongela kwa maamuzi aliyoyachukua pia inaweza ikasaidia kuwajenga wanawake wengine wasifanye kama alivyofanya mke wake, na yy ni kioo cha jamii kiujumla kafanya vzr kuyaanika
@azizaalmas9624
@azizaalmas9624 4 жыл бұрын
Kwanza ukioa mwanamkee ambae mkigombana kidogo anakimbilia kwao nawazazi wanampokeaa wanakaanaeee bila hata tatizo nduguyake jiepushe mapema umeoa mabomu,
@dallasmoon653
@dallasmoon653 4 жыл бұрын
👍
@emilwaziri6489
@emilwaziri6489 4 жыл бұрын
VERY VERY TRUE
@elinikomniko4411
@elinikomniko4411 4 жыл бұрын
Hii Ni kweli kabisaa imenitokea
@ussyussy5
@ussyussy5 2 жыл бұрын
Kabisa kabisa
@gavanashy3197
@gavanashy3197 4 жыл бұрын
Pole sana stamina haya yote maisha..pole sana my young brother
@eliamathius7472
@eliamathius7472 4 жыл бұрын
Muosha huoshwa kama kampora kwako nayeye ataporwa anaekubali tupia lyk apa
@jizomontana1899
@jizomontana1899 4 жыл бұрын
Stamina kaka huku oa mwanamke ulioa msichana haiwezekani mgombane aseme muweke mapumziko😀😀😀
@joshuaviwanjamwanza8061
@joshuaviwanjamwanza8061 4 жыл бұрын
Daaaaaaahhhhhh!!!!!! Ukwel ni kwamba kuna X, na Neutral X huyu Neutral X hua anaendelea kula PENSION had uzeeni. Take it from me
@jonasdickson9118
@jonasdickson9118 4 жыл бұрын
pole sana mzee baba never give up wanawake hawathaminiki hata kidgo XXL is very professional
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 4 жыл бұрын
Pole sana Stamina Mungu atakupa mke mwingine aliokuandalia kwaajili yako inshaallah.
@suleimanbigger4251
@suleimanbigger4251 4 жыл бұрын
Dawa yao mond awakanyage mbaka wafeeee😂😂😂😂
@hawahassan4018
@hawahassan4018 4 жыл бұрын
Yaani kaka this is my story sema mm ni mwanamke ila mume anauma mke pia anaumwaa balaa
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 4 жыл бұрын
Nyie mnatutesa sana
@patrickmgata9574
@patrickmgata9574 4 жыл бұрын
Hawa njoo kwangu basi hutoumia
@issazakaria9704
@issazakaria9704 4 жыл бұрын
@Hawa Hassan pole sana na Mungu akufanyie wepesi
@mashimbadeograthiasmathias8583
@mashimbadeograthiasmathias8583 4 жыл бұрын
Hawa Hassan pole sana Dada tupo wengi sana
@catherinekayamba5304
@catherinekayamba5304 4 жыл бұрын
Pole my
@machetebogota4218
@machetebogota4218 4 жыл бұрын
Asojua ndoa asiogpe wapo watu wanapenda kwdhati ila usiombe uingie ndani yandoa na mtu usomjua Tabia 🙏Alhamdulillah Nimesahau Kila Kitu maisha yasonga ndo Maana kwa sisi waisalm mungu anatuambia katika Qur'an tukufu tuolewe na mwenye dini na hofu yamungu atahofia kufanya ubaya kwa kumyogopa Allah lakini ukiokota tu ndo unapojutia Wapo wenye Mapenz kwa Dhati
@azizakiswili1506
@azizakiswili1506 4 жыл бұрын
Pole sana,ushukuru jinamizi hilo limekuondokea sivyo lingekutoa roho hilo
@bulugulubuga2201
@bulugulubuga2201 4 жыл бұрын
Ndoa bwana, unaminyaminya nyanya unanunua bilinganya! Shout up to Roma mkatoliki
@bakaribakari_
@bakaribakari_ 4 жыл бұрын
Mkatoliki ashamalizaga haya kitambo.
@masumbukochilo2111
@masumbukochilo2111 4 жыл бұрын
Kweri kaka
@nestorymsacky6838
@nestorymsacky6838 4 жыл бұрын
Sio shout up bhana 😂😂😂😂
@malicksiambiri3584
@malicksiambiri3584 4 жыл бұрын
@@nestorymsacky6838 hahaah
@bulugulubuga2201
@bulugulubuga2201 4 жыл бұрын
@@nestorymsacky6838 shout out😀😀😀 Uko makini sana, umegundua hadi hiyo??
@epifaniamponda2443
@epifaniamponda2443 4 жыл бұрын
Wanawake mambo mengine usenge yani umeolewa hafu bado unatoka nje ulikubalije kufunga ndoa????
@rachaelseth7923
@rachaelseth7923 4 жыл бұрын
Yaan ni aibu. Mungu atusaidie sana, sisi wanawake. Ukiolewa inabidi uache makolonii yoote.
@epifaniamponda2443
@epifaniamponda2443 4 жыл бұрын
Rachael Seth ndoivo yani dah ungese sana
@BenLeeBl
@BenLeeBl 4 жыл бұрын
Nmejifunza kitu hapa.thanks broo
@allyseba172
@allyseba172 4 жыл бұрын
Daaah stamina umenigusa duuuh inauma nyie haya mambo yaskie kwa mwenzio... Mm nilifunga office nikawa ndan nalala
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 4 жыл бұрын
Wanaume mapenz, huruma, na care tumejaaliwa lkn wenzetu wanasiri nzito sana... 💔 heart
@mohamedsadiq2398
@mohamedsadiq2398 4 жыл бұрын
kaka yamenitokea hayo pole sana
@gwakisakallenge9620
@gwakisakallenge9620 4 жыл бұрын
Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
@wamburachibura5471
@wamburachibura5471 4 жыл бұрын
Huyo hakuwa mke bro
@MightyLumber
@MightyLumber 4 жыл бұрын
Na ndivyo walivyo mademu wengi wa kibongo, hawana mpango. Yaani demu ana acha mume wa ndoa anakwenda kutoka na mchezaji wa ligi ya kibongo, hivi ana akili kweli huyu demu? Gwakisa Kallenge
@georgemichael3209
@georgemichael3209 4 жыл бұрын
Gwakisa Kallenge kweli
@salminwilliam9270
@salminwilliam9270 4 жыл бұрын
Sawa
@hassankiluwa1317
@hassankiluwa1317 4 жыл бұрын
Gwakisa Kallenge Umesema kweli kaka,huyu jamaa akubali matokeo ajipange tu upya mungu atamsaidia asichoke kuomba mke mwema
@magrethkahise9532
@magrethkahise9532 4 жыл бұрын
Pole sana kaka mwisho wa hili mwanzo wa jingine kungulu hafugiki
@zuhuraabdul9383
@zuhuraabdul9383 4 жыл бұрын
Pole saana Stamina hao ndivyo walivyo hata mimi imenifika hiyo mpaka nimeamuwa kuachia kabisa wana tuchiti saana tena mno sasa majuto mjukuu dawa chukuwa kingine brodher
@karanidicky4489
@karanidicky4489 4 жыл бұрын
Bro We Ni Mjasiri Sana,Wanaume Wachache Sana Ndo Wanaeza Funguka Hali Ya Halisi Ianayotukuta Sisi Tulio Ndani Ya Ndoa..
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 4 жыл бұрын
Karani Dicky yani ukiona hivyo huyu jamaa alimpenda sana mwanamke halafu alamsaliti kwahiyo ana maumivu sana sana sana haya yametukuta wanaume wengi sana jamaa kaumia kiukweli halafu jasiri unaweza kuuwa wallah
@karanidicky4489
@karanidicky4489 4 жыл бұрын
@@zumbeshauri8114 Kumbe Umemsoma Bro,Yani Fikra Zako Ziko Sahihi Kabsaa..Inauma Sana I Sei
@silviagustavo416
@silviagustavo416 4 жыл бұрын
@@zumbeshauri8114 kweli
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 4 жыл бұрын
Mwana hiphop huyo hiphop inaongea real life hawanaga kupinda
@maxesh5135
@maxesh5135 4 жыл бұрын
The best interview kwa mm ambye sijaoa nimemwelewa sana Stamina
@papamgolo2835
@papamgolo2835 4 жыл бұрын
Bro maamuzi yk yapo sahihi
@salumkibiki7539
@salumkibiki7539 4 жыл бұрын
Pole Kaka Kwa wanawake wa Sikuizi Unaweza Ukapiga Ukauwa Maana wanaleta hasira hatali Ndiomana Sitakigi Shobo na ivi Viumbe
@happyhamza1895
@happyhamza1895 4 жыл бұрын
Watu tunazitaka ndoa wengine wanazichezea Aya maisha bhana!!!!....
@franklwehela7595
@franklwehela7595 4 жыл бұрын
Kwa Sisi Vijana ambao hatujaowa,take care Kwa last born na first. Hata Chris Mauki amewahi lisema hilo.
@alexmwalingo5120
@alexmwalingo5120 4 жыл бұрын
Kweli kabisa last na first ni shida, umejuaje, ukimgusa tu kakofi halaka sana amepiga cm kwa mama yake
@noahngogo4334
@noahngogo4334 4 жыл бұрын
kama ndio kuoa tunapaswa kuoa mwanamke asie pendwa kwao.
@ismailuzabihullah8926
@ismailuzabihullah8926 4 жыл бұрын
Tunawaumiza wanaotupenda...,Tunawapenda wanaotuumiza🙆‍♂️
@mariammadad6804
@mariammadad6804 4 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@asiakomba7837
@asiakomba7837 4 жыл бұрын
Ismailu Zabihullah 👏👏umona eeh
@livepuretanzania5260
@livepuretanzania5260 4 жыл бұрын
Hakika
@ismailuzabihullah8926
@ismailuzabihullah8926 4 жыл бұрын
@@mariammadad6804 ni shida hy mahusiano haya
@ismailuzabihullah8926
@ismailuzabihullah8926 4 жыл бұрын
@@asiakomba7837 yan ni hatar
@petywoiso4639
@petywoiso4639 4 жыл бұрын
Pole kakangu Mungu atakupa ubavu wako huwez amin utampata mwanamke atayekupenda kwa dhati.Najua unachokipitia ndoa inauma vibaya mno coz yalishanikuta .Tuliza akili potezea japo itakuchukua muda piga magoti mwombe Mungu utasahau kila kitu jitahidi kujiweka busy
@vitusgeraldo2282
@vitusgeraldo2282 4 жыл бұрын
Pole sana,God will give you another best chance
@situnayenge2292
@situnayenge2292 4 жыл бұрын
Uyo ni malaya tu kwani mpaka kutoka na mwanaume mwengi 😆.sema stamina wewe mpole angekuwa mcongo ange mufunza adabu kweli.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 77 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
Mke wa Stamina Kumbe na Yeye Yumo, Mtazame hapa.
19:38
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 405 М.
And who would you choose?👇
0:20
Kitty Power
Рет қаралды 12 МЛН
19 июля 2024 г.
0:20
мишук круглов
Рет қаралды 9 МЛН